BF Suma Tanzania

BF Suma Tanzania

Share

Tunawasaidia watu wenye haya
1. UTI sugu
2. PID
3. Bawasiri
4. Tezi Dume,
5. Upungufu wa Nguvu za kiume
6. Matatizo ya magoti na mgongo

kwa kutumia tiba lishe tu.

08/04/2026

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Rogath Paul, Yonnah Godfrey

07/04/2026
06/04/2026

Hauna sababu ya kusumbuliwa na changamoto mifupa suluhisho limepatikana

10/07/2025

Dalili 5 za Kisukari (Diabetes):

1. Kukojoa Mara kwa Mara – Mgonjwa huhisi haja ya kwenda haja ndogo kila mara, hasa usiku.

2. Kusikia Kiu Kupita Kiasi – Kiu ya mara kwa mara hata baada ya kunywa maji ya kutosha.

3. Kupungua kwa Uzito Bila Sababu – Kupungua uzito ghafla bila kufanya mazoezi au mabadiliko ya lishe.

4. Kuchoka Kupita Kawaida – Mgonjwa huhisi uchovu au udhaifu wa mwili bila kufanya kazi nzito.

5. Maono Yenye Ukungu (Blurred Vision) – Kuona kwa shida au kwa ukungu kutokana na mabadiliko ya sukari kwenye damu.

Ikiwa unahisi dalili hizi, ni vyema kwenda kupima kiwango cha sukari kwenye damu.

15/05/2025

*LINDA TEZI DUME,KORODANI NA KIBOFU CHA MKOJO*

*IJUE PROSTATE RELAX CAPSULES na MAAJABU YAKE MAKUBWA KWA MATATIZO SUGU*

● *KAZI KUU ZA PROSTATRELAX CAPSULES*

○ Inalinda tezi na kuzui kuongezeka kwa tezi dume na kuondoa uvimbe wa tezi dume
○ Inazuia kuongezeka Kwa Korodani *(Busha)*
○ Maumivu ya Korodani na chini ya kitovu
○ MWENYE Matatizo ya ngiri sugu
○ Inadumisha Afya ya Mkojo
○ Inatibu U.T.I sugu Kwa mwanaume
○ Inaboresha ufanisi wa tendo la ndoa
○ Inaondoa maumivu ya kiuno na wakati wa kukojoa
○ Husaidia kufika kileleni vizuri bila maumivu.
○Inanyonya maji yoote yanayofanya kitu kinaitwa Busha kwenye korodani.
○Huzuia TEZI dume kuongezeka ukubwa na hutibu na kutokomeza kabsa.
● *NANI ANATUMIA*
○ Wanaume wenye shida ya tezi dume haswa wenye umri zaidi ya miaka 40.
○ Watu wenye Matatizo ya kuvimba kwa korodani *(Busha)*
○ Wanaume wenye shida ya kukojoa.
○ Wenye shida za nguvu ya kiume.
°> Na Wanaume Wenye Shida Ya Mbegu. ( S***m )

12/05/2025

*BIDHAA ZINAZOENDA KUBORESHA AFYA YA MIFUPA NA MAUNGIO*
⏩ Hutibu kabisa changamoto za nyonga hasa kwa magonjwa ya utu uzima na kuondoa uchovu
⏩Huboresha viungo na kuponesha sehemu zilizoumia kwenye viungo
⏩Huondoa maumivu ya ugonjwa wa mifupa (osteoarthritis) na chakavu wa mifupa
⏩Huimarisha mpishano mzuri wa mifupa kwenye viungo wakati wa kutembea
⏩Huongeza virutubisho mhimu kwenye mifupa na viungo
⏩Husaidia kulainisha sehem za viungo
kwa sababu ya uwepo wa chondroitin
⏩Husaidia kumarisha tissue na misuli inayounganisha mfupa na mfupa
⏩Husaidia kuzalisha ute ute kwenye maungio (synovial fluid)
⏩Husaidia kabisaa kuzuia ugonjwa wa mifupa na viungo (osteoarthritis)
⏩Huwasaidia zaidi wazee kuwa king a magonjwa ya viungo na mifupa kwa kuwapatia virutubisho mhimu
⏩Husaidia kupona haraka kwa cartilage zilizo athirika
⏩ Inaboresha gwegweju (Cartilage metabolism) na kuzuia kusagana kwa mifupa.
⏩Ni nzuri kwa wenye maumivu ya kiuno, viungo na shingo.

29/04/2025

Sharp Vision kutoka BFSuma ni kipengele cha virutubisho kinachotumika kusaidia afya ya macho. Faida zake ni pamoja na:

1. Kuboresha Uono: Inasaidia katika kuboresha uono kwa kutoa virutubisho muhimu ambavyo vinaweza kusaidia kupunguza uchovu wa macho na kuimarisha uwezo wa kuona.

2. Kupunguza Dalili za Macho Yaliyochoka: Sharp Vision inaweza kusaidia kupunguza dalili za macho yaliyochoka, k**a vile maumivu ya macho na vichwa kutokana na matumizi ya muda mrefu wa kompyuta au simu.

3. Kutunza Afya ya Macho: Ina virutubisho k**a vitamini A na C, ambazo ni muhimu kwa afya ya macho na kusaidia kupambana na magonjwa ya macho k**a vile degerevysheni ya macho ya umri mkubwa (AMD).

4. . Kuzuia Upungufu wa Uono: Inasaidia kuzuia matatizo ya macho yanayohusiana na upungufu wa virutubisho muhimu, k**a vile lutein na zeaxanthin.

5. Anti-oxidants: Virutubisho vilivyomo katika Sharp Vision vina antioxidants, ambazo husaidia kupambana na madhara ya free radicals, inayoweza kusaidia kutunza afya ya seli za macho.

Karibuni

28/04/2025

*IFAHAMU FEMIBIOTIC*

Femibiotics – Mlinzi wa Afya ya Wanawake

Femibiotics ni kirutubisho kinachosaidia kurekebisha usawa wa bakteria wazuri ukeni, kuboresha kinga ya mwili, na kulinda mfumo wa uzazi wa mwanamke.

■ Faida Kuu za Femibiotics:

1. Kurekebisha usawa wa bakteria: Husaidia kuongeza bakteria wazuri (probiotics) k**a Lactobacillus wanaolinda uke dhidi ya maambukizi.

2. Kupunguza maambukizi ya uke: K**a vile fangasi (Candida), bacterial vaginosis (BV), n.k.

3. Kuboresha kinga ya mwili: Inaimarisha uwezo wa mwili kujilinda dhidi ya vijidudu.

4. Kusaidia uzazi bora: Kwa kudhibiti mazingira ya uke kuwa bora kwa afya ya uzazi.

■ Mambo ya Kipekee kwenye Femibiotics:

○ Ina aina 7 za bakteria hai (probiotics).

○ Ina virutubisho vinavyolinda ukuta wa uke na mfumo wa uzazi.

○ Teknolojia ya "double-layer coating" huongeza ufanisi kwa kuhakikisha bakteria wanafika salama tumboni.

■ Inafaa kwa nani?

1. Wanawake wenye maambukizi ya uke ya mara kwa mara.

2. Wanawake wanaotumia au waliotumia antibayotiki.

3. Wanawake walioko kwenye hedhi au baada ya hedhi.

4. Wanawake wanaotafuta ujauzito au waliopo kwenye mchakato wa uzazi.

Tofauti na bidhaa nyingine (mf. FemiCare):

Femibiotics ni maalumu kwa urejeshaji wa usawa wa bakteria ukeni, wakati FemiCare inalenga zaidi usafi wa uke na kupunguza harufu mbaya.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam