Uzazi wako

Uzazi wako

Share

Tunahusika na maswala ya tiba mbadala au tiba lishe kwa magonjwa yote sugu hasa ya uzazi.

Magonjwa yote ya kuambukizwa na yasiyo ya kuambukizwa hapa utapata tiba ya uhakika na usalama zaidi kwa Bei rafiki kabisa na nafuu kwa mteja wetu (Mgonjwa).

11/09/2023

NDEGE WALIOFARIKI NDANI YA KIOTAπŸ₯ΊπŸ˜­
Wanasubiri mama yao awaletee chakula lakini ni wazi mama aliuawa.
Sikiliza,
Kila unapopigana na mtu, pia unapigana na vitegemezi vyake.
Usiwe sababu kwa nini mtu ana maumivu.
Usiue ndoto ya mtu mwingine kwa sababu tu haukubaliani na mawazo yao.
Maneno yana nguvu, yanaweza kuleta uzima au kifo.
Badala ya kumkatisha tamaa mtu, msaidie kwa maneno ya kutia moyo.
Kwa sababu mwishowe, hautalipia bili zao.
Usiwe sababu ya wao kuacha kwenye ndoto zao!

Nimeinakili kutoka kwa
RORBAT KIYOSAKI.
Mwandishi nguli wa vitabu Dunia.
By Mziwanda King πŸ‘‘πŸ‘‘

07/04/2022

Kila mwanamke anatamani kupata maumi u ya uchungu wa mimba na kujifungua Ili kukamilisha fraha ya moyo wake ya kupata mtoto na kutwa mama.

Lakini pia Kuna matatizo yanaweza yakawa kikwazo kufikia hatua hiyo.
Miongoni mwa matatizo hayo ni.
πŸ‡Mirija kuziba au kujaa maji.
πŸ‡U. T. I SUGU
πŸ‡ FANGASI sugu
πŸ‡P. I . D
πŸ‡ HORMONE IMBALANCE
Na magonjwa yote ya kuambiza na yasiyo ya kuambiza.

Karibu kwetu tukutibu na kukurudishia fraha yako.

Follow


Pia wasiliana nasi kwa kupiga simu, kutuma ujumbe mfupi na WhatsApp kwa 0767 187 798.

05/10/2021

Hata wewe unaweza kupona magonjwa yako yanayokutesa.

Follow Page yetu.
M***a Ngoli]
M***a Ngoli]

Pia wasiliana nasi kwa tiba na ushauri zaidi.
0767 187 798
Kwa kupiga simu, kutuma ujumbe mfupi na WhatsApp.

Karibu..!!!

05/10/2021

Haijarishi umejitibu Mara ngapi Ila kwetu ukifika basi uwezekano wa kupkna ni mkubwa sana.

Follow page yetu
M***a Ngoli]
M***a Ngoli]

Pia wasilia nasi kwa tiba na ushauri zaidi.
0767 187 798
Kwa kupiga simu, kutuma ujumbe mfupi na WhatsApp.

Karibu..!!!

18/09/2021

Hata wewe unaweza kupona na kupata mimba.

Karibu kwetu tukupatie Virutubisho mhimu sana vyenye uwezo wa kukutibu magonjwa yako yote yawe ya kuambukizwa au yasiyo ya kuambukizwa.

Follow page yetu
M***a Ngoli]
M***a Ngoli]

Pia wasiliana nasi kwa tiba na ushauri zaidi.
0767 187 798
Kwa kupiga simu, kutuma ujumbe mfupi na WhatsApp..!!!

Karibu..!!!

16/09/2021

Je, Maambukizi Ya Fangasi Ni nini?
Sehemu ya pili

Mambo yanayoongeza vihatarishi vya ugonjwa huu ni pamoja na:

πŸ”· Matumizi ya madawa makali k**a vile ya antibiotic, nk;
πŸ”· Kisukari cha muda mrefu,
πŸ”· Mabadiriko ya homoni, hasa kwa kina mama wenye ujauzito.
πŸ”· Vidonge vya kupachika sehemu za uke,
πŸ”· Kutokuwa na usafi sehemu za uke
πŸ”· Matumizi ya sabuni kwa kuoshea sehemu za uke sio kwamba zinasababisha fangasi bali zinaongeza hatari ya kupata maambukizi ya fangasi.
πŸ”· Mavazi ya ndani yenye kubana sana, nafikiri kina dada mnaosoma makala hii hapo mlipo mumeshatambua maana najua hata sasa wapo wengi wenye mazoea ya kuvaa nguo za kubana ambazo wengi wanaita β€œSkin Tight”!

Je, Dalili Za Maambukizi Ya Fangasi Ukeni Zinakuwaje?
K**a tulivyowahi kujifunza, dalili za maambukizi ya fangasi ukeni sio nyingi mno, nazo huwa k**a hivi ifuatavyo:

πŸ”· Kuhisi muwasho sehemu za uke
πŸ”· Kutokwa na uchafu wenye rangi nyeupe k**a maziwa mtindi lakini hauna harufu.

MHIMU: Lakini wakati huohuo huwa kuna dalili zingine za kawaida pamoja na madhara ya fangasi. Kuongezeka kwa dalili hutegemeana na tatizo kukaa muda mrefu bila kupata matibabu. Kwa upande mwingine napenda niseme hivi, tatizo la fangasi ukiwa unaritibu lakini linaendelea kujirudia mara kwa mara kwa muda mrefu, laweza kusababisha madhara makubwa hasa ya PID (Pelvic Inflammatory Diseases). Hii ndio maana yafaa kumuona daktari wa vipimo haraka sana ikiwa k**a utaona dalili k**a zifuatazo;

πŸ”· Kuhisi hali ya kuwaka moto sehemu za uke
πŸ”· Kuhisi hali ya muwasho
πŸ”· Kuhisi Maumivu wakati wa kujamiiana
πŸ”· Kuona hali ya uvimbe
πŸ”· Vidonda ama michubuko sehemu za siri.
πŸ”· Kutokwa na uchafu sehemu za uke hata k**a ndio umeanza kutoka haijalishi ni mwingi au kidogo maana ndio dalili zenyewe za fangasi. Kumbuka kwa upande mwingine dalili hizi zaweza kuwa majimaji yenye harufu.

Je, Tiba Zake Zinakuwaje?
Kwetu tuna dawa nzuri kabisa zenye uwezo mkubwa wa kutibu FANGASI na kupona kabisa.

Follow page yetu


Pia wasiliana nasi kwa tiba na ushauri zaidi
0767 187 798
Kwa kupiga simu, kutuma ujumbe mfupi na WhatsApp.

Karibu..!!!.

16/09/2021

Je, Maambukizi Ya Fangasi Ni nini?
Sehemu ya kwanza.

Candida albacans ni vimelea wa fangasi ambao hukua k**a fangasi ama seli zenye kusababisha kuwepo kwa maambukizi ya fangasi kwa mwanadamu.

Fangasi ya asili ijulikanayo k**a Candida albicans, mara nyingi husababisha aina hii ya kuvimba kwa uke(Vaginitis). K**a inavyokadiriwa kuwa katika wanawake wanne, basi watatu wanaweza kuwa na maambukizi ya fangasi katika maisha yao, haijalishi una umri gani. Hapo awali ilionekana kuwa jambo la kawaida sana mwanamke kuwa na maambuki ya fangasi sehemu za siri, lakini leo inaonekana kuwa tatizo la kutisha kwani linaweza kuzarisha madhara mengine makubwa ambayo muhusika hakutarajia k**a vile kuvimba ukeni, muwasho na masumbufu mbalimbali.

MHIMU: Magonjwa ya maambukizi yamekuwa yakienea kwa njia mbalimbali hasa kwa njia ya kujamiiana. Kwa upande mwingine maambukizi haya sio kwamba ni magonjwa ya zinaa tu. Wagonjwa wamekuwa wakipatwa na masumbufu mengi katika kutibu maambukizi katika via vya uzazi hasa fangasi.

Je, Fangasi Inaambukizwaje?
Mbali na kusababisha maambukizi ya fangasi sehemu za siri, fangasi pia husababisha maambukizi katika sehemu za mwili wako zenye unyevunyevu, k**a vile mdomo (thrush), sehemu za kwapa, na sehemu za makucha. Vimelea wa fangasi pia wanaweza kusababisha tatizo la harara.
.

09/09/2021

Hata ndugu pia wanatuamini na tunawatibu wanapona.

Karibu sana tukurudishie fraha yako iliyopotea kwa maradhi.

Follow page yetu
M***a Ngoli]
M***a Ngoli]

Pia wasiliana nasi kwa tiba na ushauri zaidi.
0767 187 798
Kwa kupiga simu, kutuma ujumbe mfupi na WhatsApp.

Karibu..!!!

09/09/2021

KUTOA HARUFU MBAYA UKENI
ZIJUE AINA ZA UCHAFU NA HARUFU ZAKE

DALILI ZA TATIZO HILI
Kutokwa na uchafu ukeni unaoambatana na kuwashwa au kutokewa na vipele, hii hutokana na kuharibika kwa uwiano wa bacteria hivyo kuwa na madhara na uchafu hutoka wa aina tofauti hapa chini nitaelezea kila Aina ya uchafu na dalili zake.

1. UCHAFU WENYE RANGI YA KAHAWIA AU DAMU.
Huu uchafu huonyesha dalili ya kuwa mzunguko wako wa hedhi umevulugika na wakati mwingine ni dalili ya kansa ya kizazi, mwanamke anayepata tatizo hili hutoa damu nyingi kuumwa sana nyonga.

2. UCHAFU WENYE RANGI YA NJANO /KIJANI WENYE HARUFU MBAYA.
Endapo uchafu huo utatoka k**a povu na wenye rangi ya kijani au njano na ukiambatana na harufu mbaya huwa ni dalili ya ugonjwa wa trichomonas, maambukizi ya parasite yanatokana na ngono zembe, dalili Yake nyingine ni maumivu na kuwashwa wakati wa kutoa haja ndogo.

3. UCHAFU MWEUPE MZITO K**A JIBINI.
Mara nyingi hii huwa ni dalili ya maambukizi ya fangasi(YEAST INFECTION) na dalili nyingine huwa ni kuvimba sehemu ya nje ya siri, kuwashwa na kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

4. UCHAFU MWEUPE/KIJIVU WENYE HARUFU YA SAMAKI.
Uchafu wa Aina hii ni dalili ya maambukizi ya bacteria vaginosis, mara nyingi mwenye tatizo hili husikia muwasho na maumivu sehem ya nnje ya uke.

5. MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KUEPUKA TATIZO HILI NA TIBA YAKE.
Matibabu ya tatizo hili hufanyika baada ya kugundua chanzo cha tatizo na mara nyingi tiba Yake ni tiba ya dawa za antibiotics kitu ambacho si tiba nzuri zaidi kwasababu tatizo huweza kujirudia kila wakati na kusababisha matatizo zaidi

❗❗ Ifahamike tatizo hili kadri linavyokuwa hupoteza Ustawi mzur wa mirija Ya Uzaz na kizaz Chenyewe hatmaye UGUMBA

WAHI SASA UTUMIE DAWA ZETU KULIONDOA TATZO HILI.
NJOO INBOX Utapata Undani Zaidi

Follow page yetu


0767 187 798
Kwa kupiga simu, kutuma ujumbe mfupi na WhatsApp.

Karibu..!!!

08/09/2021

Yes inawezekana hata wewe kuitwa Mama.
Hakikisha unajitibu k**a una tatizo lolote lile kwenye afya yako ya uzazi.

Karibu kwetu tukupatie tiba nzuri sana kwa ajili ya kutibu magonjwa yafuatayo.
πŸ”· P. I. D
πŸ”· U. T. I sugu
πŸ”· Hormone imbalance.
πŸ”· FANGASI na miwasho sugu.
πŸ”· Mimba kuhariba.
πŸ”· Mirija kujaa maji na kuvimba
πŸ”· Kutokupata ute kipindi cha ovulation

K**a unasumbuliwa na jambo lolote kati ya hayo basi Karibu tukutibu.

Follow page yetu



Pia wasiliana nasi kwa tiba na ushauri zaidi.
0767 187 798
Kwa kupiga simu, kutuma ujumbe mfupi na WhatsApp.

Karibu..!!!

04/09/2021

Mwanao anasumbua kula baada ya kumuachisha kunyonya.??

Mwanao anasumbua kula na anakuchosha sana kunyinya.??

Mtoto mchanga kuanzia miezi 6 anapaswa kuanzia kula vyakula lakini nje na maziwa ya mama yake, hivyo k**a anasumbua kula basi jua kuna jambo halipo sawa kwake.

Karibu kwetu tukupatie Virutubisho mhimu sana kwa ukuaji wa mwanao, pia vitampatia hamu ya kula na kumkinga na magonjwa nyemelezi ya watoto.

Follow page yetu



Pia wasiliana nasi kwa tiba na ushauli zaidi
0767 187 798
Kwa kupiga simu, kutuma ujumbe mfupi na WhatsApp.

Karibu.??

21/07/2021

Nawatakia kheri ya sikukuu ya EID AL-ADHA MUBARAK.

Mziwandanausafi bado tunaendelea kutoa huduma zetu za tiba yote sugu ya wanawake k**a vile.
πŸ“Œ Uvimbi wowote kwenye kizazi.
πŸ“Œ Uvimbe kwenye ovari.
πŸ“Œ P. I. D.
πŸ“Œ U. T. I sugu.
πŸ“Œ Ugumba.
πŸ“Œ Mimba kuhalibika.
πŸ“Œ Kukosa ute.
πŸ“Œ Miwasho sehemu za siri.
πŸ“Œ Hormone imbalance.
πŸ“Œ Lishe kwa mtoto asiyependa kula.
πŸ“Œ Bawasili.

Tunatibu kwa kutumia Virutubisho, mimea, matunda na mboga mboga.

Follow page yetu
M***a Ngoli]
M***a Ngoli]

Pia wasiliana nasi kwa tiba na ushauri zaidi.
0767 187 798
Kwa kupiga simu, kutuma ujumbe mfupi na WhatsApp.

Karibu..!!!

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Sinza Madukani
Dar Es Salaam