Afya kwanza

Afya kwanza

Share

Ukurasa huu ni kwa ajili ya elimu kuhusu maswala mbalimbali ya afya ikiwemo ushauri wa kiafya na namna ya kujiimarisha zaid kweny mifumo ya kifya

Jali afya yako kwa kutumia virutubisho muhimu kweny afya yako

12/06/2022
28/01/2022

Fikiria unapata text ya mke wa mtu ANAKWAMBIA " mume wangu hawezi kabisa anamwaga dakika mbili nyingi". Mke anasema " kaka napata shida na sitaki kabisa kumchiti mume wangu ila naumia maana kabla yake nilikuwa na mtu ambaye kwa kweli alikuwa vizuri " Sometimes mke wa mtu ANAKWAMBIA kwa kweli uvumilivu unakaribia kunishinda kwa sababu na mimi ni binti na nina hisia. Nikimwambia mume wangu anasema hajui shida ni nini"

Au mwingine anasema "MWENZANGU MBEGU ZAKE NYEPESI AKINIMWAGIA ZINATIRIRIKIA NJE YA UKE TU HATA NIKIWA NIMELALA"😟😟😥😥Tuma neno Afya kwenda Whatsapp number 0788919366

12/01/2022

Hii apa mwanaume Anza kufanya mapinduzi ya Afya yako .Tuma neno OFA kwenda Whatsapp number 0788919366

12/01/2022

Mambo ya sikukuu ya mapinduzi hayo ,tuma neno FAB kwenda Whatsapp number 0788919366

05/01/2022

Kuwa SHABABIY kwenye tendo rafikia

05/01/2022

TIKITIMAJI NA NGUVU ZA KIUME INAKUHUSU MWANAUME
*FAIDA YA TIKITI* *MAJI*
Tunda hili linafaida.pamoja na kuwa ni chanzo kikuu cha protini.,mafuta,nyuzinyuzi,wanga,calcium.,phosphorus,chuma.vitamin A, B6,C,Potasium,magnesium,carotene,anthocyanins na virutubisho vngn ving.

✍️Tunda hili husaidia kuwa na uwezo mkubwa wa kuimarika misuli.na mfumo wa fahamu.kufanya kazi yake vizuri na kukuondoa katika hatari ya kupatwa na shinikizo la juu.la damu.

*TIKITI MAJI NA* *NGUVU ZA KIUME*
Tafiti.za karibuni zinaonyesha kila.wanaume watatu bas mmoja anachangamoto ya upungufu wa nguvu.miongoni wa tunda ambalo ni tiba kwa changamoto hyo ni pamoja na tikitimaji kutokan na utafiti uliofanywa na madaktari wamedhibitisha kuwa tikiti maji ni tiba kwa changamoto ya nguvu za kiume.tikitimaji inasemekana kwamba ni mkuyati wa asili k**a ilivo katika parachichi.kwenye tikitimaji kuna vitu vitatu muhimu sana kwa afya ya mwanaume.lycopene,betacarotene.na citrulline,ambavyo husaidia kuweka.mishipa ya damu katika hali ya utulivu.
👉Tikiti maji ni vi**ra asili inayoweza kutumika kuongeza hamu ya tendo la.ndoa kwa watu wa jinsia zote mbili bila kukuacha na madhara yoyote mabaya.
❣️Kwenye tikiti maji hasa mbegu zake kuna kitu kingine kinaitwa Largininine,Ndicho ambacho huhusika na kuongeza nguvu za kiume.Mbegu za tikiti maji zmeonyesha matokeo mazuri katka kuimarisha nguvu za kiume hata kwa wazee kabisa.

Kinachotakiwa ni kula tikiti maji kila siku sambamba na mbegu zake na autatakawia kuona tofauti.

*FAIDA NYINGINE 27* *ZA TIKITI MAJI* *KIAFYA*
👉Asilimia 92 yake ni maji.
👉ndani ya tikiti maji kuna vitamin A ambavyo huboresha afya ya macho.
👉ndani ya tikiti kuna vitamini C ndani yake huimarisha kinga ya mwili.
👉Huponya majeraha
👉Hukinga uharibifu wa seli
👉Huboresha afya ya meno na fizi
👉Hubadili protini
kuwa nishati.
👉Chanzo cha madini ya potassiumu yaliyopo katka tikiti husaidia kushusha na kuponya shinikizo la juu la damu
👉Hurahisisha mtiririko wa damu mwilini.
👉Huondoa
sumu mwilin

mwanaume.ly

01/01/2022

Happy New year

29/12/2021

SABABU KUU ZA WANAWAKE KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA NA MATIBABU YAKE
Utafiti unaonyesha 30% ya wanawake wenye umri wa kufanya mapenzi yaani kuanzia miaka 18 mpaka 59 wana tatizo la kuishiwa hamu ya kufanya tendo la ndoa na hili ndio tatizo lao kuu inapokuja wenye afya ya tendo la ndoa kitaalamu k**a sexual health, hii ni moja ya sababu inayowafanya wanaume wengi wakimblie nje kulala na Malaya au wanawake wengine kwani wawanawake zao kila siku hutafuta sababu ya kutofanya tendo la ndoa.

Lakini tatizo hili ni tofauti kidogo kwa upande wa wanaume kwani ni vigumu sana mwanaume kukataa kufanya tendo la ndoa na pia wanaume wanaweza kupata hamu kwa kutumia vidonge tu vya aina Fulani lakini wanawake inahitaji mchanganyiko wa njia mbalimbali ili kuweza kutatua tatizo lao yaani njia za ushauri wa kitaalamu na dawa pia wakati mwingine.

Zifautazo ni sababu za kuishiwa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake…

01:Matatizo ya kisaikolojia.
linapokuja swala la tendo la ndoa amani ya moyo na uhuru wa kiakili unachangia sana mtu kupata hamu hata kufika kileleni lakini hali huu huweza kua na vikwazo k**a historia ya kulazimishwa kingono au kubakwa hapo kipindi cha nyuma, mawazo mengi hasa ya kazi, matatizo ya kifedha, kutojiamini na kuhisi labda maumbile yake mwanamke hayavutii, magonjwa ya akili na mgandamizo wa mawazo, mtizamo hasi kuhusu ngono kwamba anahisi ni unyanyasaji wa kijinsia na kadhalika.
02:Matatizo ya kimahusiano.
sio rahisi kwa mwanamke kufanya mapenzi kwa mtu ambaye hana hisia naye hata kidogo labda k**a anajiuza japokua wanaume wanaweza kufanya ngono na mtu yeyote hivyo shida yeyote ambayo inaharibu hisia za mwanamke kwa mwanaume wake humfanya kose hamu kabisa ya kufanya ngono, mfano mawasiliano mabovu kati ya wapenzi, ugomvi kati ya wapenzi ambao haujapata suluhisho, kutoaminiana kati ya wapenzi na kuisha kabisa kwa hisia za mapenzi ambazo mwanzoni zilikuepo, ndoa ya muda mrefu sana pia huchosha kabisa linapokuja swala la tendo la ndoa.
03:Matatizo wakati wa tendo.
k**a mwanamke anasikia maumivu makali kipindi cha kufanya ngono hujikuta akipoteza hamu kabisa na hakuna siku moja ataweza kusikia hamu kabisa.
04:Matumizi ya dawa Fulani.
Baadhi ya dawa mfano dawa za kifafa, dawa za kupunguza mgandamizo wa mawazo na dawa za presha ya damu hupunguza hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa kiasi kikubwa.
05:Magonjwa
magonjwa mengi huchangia kuishiwa hamu ya kufanya tendo la ndoa mfano magonjwa yote yanayosababisha maumivu mfano maumivu makali ya joint, maumivu makali ya kifua, maumivu ya tumbo pia magonjwa ya mishipa ya fahamu, kisukari, ugonjwa wa presha na kadhalika

06:Uchovu.
kufanya kazi nyingi na kurudi nyumbani usiku ukiwa umechoka, kazi ya kuwahudumia watoto k**a kufua, vyombo, kupika na kadhalika huleta uchovu mwingi ambao hupoteza kabisa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.
07:Upasuaji.
Ipasuaji wowote unaohusu matiti ya mwanamke au sehemu zake za siri unaweza kuathiri kabisa uwezo wake wa kushiriki tendo la ndoa.
08:Tabia na maisha kwa ujumla.
Unywaji wa pombe uliopitiliza na uvutaji wa sigara huathiri uwezo na hamu ya kushiriki tendo la ndoa japokua unywaji wa wine kidogo k**a glass moja huleta hamu ya kushiriki kingono.
09:Mazoea ya kushiriki aina zingine za ngono.
Kuna aina zingine za ngono ambazo si za kawaida mwanamke akishazoea inakua ngumu sana kuacha hata akiolewa inakua vigumu kushiriki ngono za kawaida mfano mazoea ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile, kufanya ngono na wanawake wenzake, kufanya ngono na mtu zaidi ya mmoja mfano th*****me au foursome.
10:Ujauzito na kunyonyesha.
Hua kuna mabadiliko makubwa ya viwango vya homoni pale mwanamke anapobeba mimba na wakati wa kunyonyesha hii hupunguza hamu ya kufanya ngono kwa kiasi kikubwa sana.
11:Umri.
Kadri umri unavyozidi kwenda hamu ya kufanya ngono inazidi kupungua kwa wanawake na mwanamke anapofika miaka hamsini kitaalamu tunaita menopause homoni inayoitwa oestrogen hupungua sana na kumfanya awe na uke mkavu ambao hua na maumivu kipindi cha kushiriki ngono.
VIPIMO AMBAVYO HUFANYIKA
Kiwango cha homoni; kupima kuangalia k**a homoni za uzazi ziko kwnye kiwango sahihi
*Pelvic examination*
Hii hupimwa na daktari kuangalia k**a kuna tatizo kwenye viungo vya uzazi vinavyochangia tatizo labda uke kua mdogo sana na kuleta maumivu, ukavu wa uke na magonjwa ya viungo vya uzazi yanayoweza kuleta maumivu kipindi cha tendo la ndoa.
*MATIBABU*
*Ushauri*
K**a nilivyosema mwanzoni kuishiwa hamu ya kufanya ngono kwa wanawake huletwa na sababu nyingi na matibabu yake hutegemea sana chanzo cha tatizo husika yaani chanzo kikitatuliwa mtu ataweza kurudi katika hali yake ya kawaida. Mfano wanawake wenye matatizo ya kisaikolojia wanatakiwa wamuone mshauri aweze kuwasaidia kulingana na matatizo yao na k**a kuna shida ya mahusiano kutafuta ufumbuzi wake.
*Matumizi ya dawa za homoni* dawa za hormone zenye oestrogen peke yake au mchanganyiko wa oestrogen na progesterone husaidia sana kuongeza mzunguko wa damu kwa wanawake wenye matatizo ya homoni lakini pia wale ambao umri umeenda kwani dawa hizi huongeza mzunguko wa damu kwenye sehemu za uke kupata hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Lakini pia cream za oestrogen na progesterone huweza kutumika pia kwa kupaka kwenye uke.
Matumizi ya virutubisho vya kuongeza hamu ya tendo la ndoa: mmea wa multimaca ambao unapatikana huko marekani ya kusini umethibitisha kusaidia sana kutibu tatizo hili sugu na kwa sasa hapa nchini virutubisho hivyo vipo, na mimi binafsi nimesaidia wengi kupitia virutubisho hivyo, na k**a wewe ni muhanga wa shida hii tunaweza kuwasiliana kutumia namba hapo chini ili uweze kupata matibabu mapema iwezekanavyo kuokoa ndoa yako au mahusianao yako.
*Matumizi ya mvinyo*
mvinyo au wine ikitumika kwa kiasi kidogo labda glass moja au mbili huongeza msukumo wa damu kwenye kinembe cha mwanamke na kumletea hamu ya kufanya tendo la ndoa. Mfano amarula, red wine, white wine na kadhalika.
pata likizo na mapumziko ; si rahisi kulala na mtu kitanda kimoja na mazingira yaleyale kwa zaidi ya miaka kumi bila kuchokana na hali hii huwatokea sana wana ndoa..hebu jaribuni kusafiri pamoja kubadilisha mazingira na kushiriki tendo la ndoa kwenye mazingira mapya wakati mwingine mwanamke aende kwa wazazi wake hata kwa wiki mbili mpaka tatu kwa mwaka kutembea ili mpate nafasi ya kukumkumbukana.
*MWISHO*
Mchanganyiko wa njia nilizotaja hapo juu zinaweza kusaidia sana kuliko kuchagua njia moja tu, hivyo unaweza ukatumia njia tofauti tofauti hapo ili kupata suluhisho la kudumu japokua virutubisho vya multimaca zimeonyesha uwezo wa hali ya juu ya kutibu tatizo hilo. k**a uko kwenye mahusiano ambayo unajua kabisa moyo wako haupo hapo au hisia zimekwisha hasa kabla ya ndoa ni bora kua muwazi tu na kuvunja mahusiano kuliko kuendelea kudanganyana kwani huko mbele ya safari itakua taabu zaidi na usiolewe kumridhisha mtu, olewa kwasababu hisia zako ziko pale kwa uhakika.

28/12/2021

*Jinsi ya kuacha punyeto na athari zake*

-Fanya maamuzi Sirias ya kuacha kujichua.

-Futa picha na video za utupu kwenye simu yako.

-Jiweke bize pale unapohisi upo mpweke, unaweza kufanya mazoezi, nk

-Jiweke mbali na kundi la marafiki wanaokushawishi stori za wanawake nk

-Tumia virutubisho Lishe asilia ili kurejesha madini uliyopoteza, kuimarisha misuli iliyojeruiwa, mzunguko wa damu kwenye uume na hormones zako kwa ajili ya hisia

Zielewe hizi athari za kujichua
👇👇👇

FAHAMU VIZURI NAMNA KUJICHUA KUNAVYOATHIRI NGUVU ZA KIUME.

Katika uume kuna sehemu inaitwa Corpus cavernosum ni msuli muhimu sana unaojenga uume ,ni msuli mkubwa unaojaa damu kwa asilimia 90 uume ukiwa umesisima .Msuli huu ukiwa na afya njema ,uume utasimama vizuri na muda mrefu bila kusinyaa haraka.Pia Ndio husababisha uume uwe na nguvu hatimaye kumuwezesha mwanaume kushiriki tendo la ndoa kwa ufanisi wa hali ya juu.

Vivile msuli corpus cavernosum ukiwa salama uume unatuna na ukisimama unakuwa mrefu na mnene .Ikiwa kuna hitilafu ndani yake uume utasinyaa sana na kuwa k**a wa mtoto mdogo!

Mwanaume aliyefanya punyeto huwa msuli huo unajeruhiwa sana ,hupelekea kukak**aa na kujenga usugu vile vile hata kupungua kipenyo chake na mishipa ya damu iliyopo kwa ndani hufa inabaki michache sana .Matokeo yake Damu Huingia kidogo uume ukiwa umesimama .

Dalili ambazo huonyesha kwamba uume wako umejeruhiwa na kupiga punyeto ni maumivu baada ya kumaliza kujichua,ukimaliza kujichua uume unanyea haraka sana na kurudi ndani,korodani kuuma,uume unasimama lakini haujikazi unakuwa lege lege,Unatoa mbegu kidogo ,kuna baadhi ya siku nyingine wakati shahawa zinatoka (ej*******on) unahisi maumivu badala ya raha,siku nyingine unahisi hamu za kufanya punyeto lakini uume hausimami mpaka ulazimishe,punyeto ndio hukupa raha zaidi kuliko uke,Kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo unavyozidi kubana uume kwa mkono au sehemu yoyote ile ili kuendelea kupata raha ile ile k**a ya mwanzoni.Hii ni kutokana na kufa kwa neva hivyo usipobana vizuri uume kwa nguvu hupati raha au msisimko!
O
Wengi wamejichua au kufanya punyeto pasipo kujua madhara yake ,leo nimekuonyesha madhara yake kwa kina. K**a ulishajichua kipindi cha nyuma anza kujikinga na athari sasa kabla changamoto haijaathiri zaidi.Asilimia kubwa ya waathirika wa punyeto ni vijana waliosoma shule za boarding. Chukua tahadhali mapema.

Suluhisho linahitajika mapema Kabla changamoto haijakua sugu
👇👇

21/12/2021

RAFIKI YANGU ALIKUWA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

Alikuwa anawahi Sana kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.

Waliomsaidia Ni hawa wataalam wa Virutubisho Lishe wanaitwa Afya Jamii ,

watumie Ujumbe neno AFYA JAMII kwenda WhatsApp +255788919366 au wapigie simu usaidiwe haraka.

17/12/2021

Ni kosa kubwa kukurupuka kubugia DAWA za NGUVU ZAKIUME bila kujua chanzo cha Tatizo na bila kujua hiyo inaenda kutibu tatizo gani kwenye mwili wako,utamaliza miaka hata zaidi ya 100 hautapona!

K**A UNAWAHI KUMALIZA NA HUWEZI KURUDIA WAKATI WA TENDO LA NDOA WASILIANA NASI UPATE SULUHISHO LA KUDUMU LEO.

Call/What'sApp 0788919366

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Sinza Madukani
Dar Es Salaam