jenga.afyanalameck
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from jenga.afyanalameck, Health/Beauty, makumbusho, Dar es Salaam.
27/06/2023
*TATIZO LA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA*
Ndugu zangu leo napenda tulijadili tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa, kwa maneno mengine ya mitaani linaitwa tatizo la kukosa nyege. Tutajadili sababu zinasababisha mwanamme kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa, madhara yanayotokana na hali hiyo na kisha kuona ni nini cha kufanya ili kuongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa au kuongeza nyege. Bahati nzuri ni kwamba kuna mambo unayoweza kuyafanya kupunguza ukubwa wa tatizo hili au kuliondoa kabisa. Watu wengine wanamini kuwa hamu ya kufanya tendo la ndoa inapungua kadri umri wa mwanamme unavyoongezeka. Wakati ni kweli kwamba hilo huwatokea wengi, SIYO LAZIMA kwamba hamu ya kufanya mapenzi ipungue umri unapoongezeka. Kuna idadi kubwa tu ya wanaume ambao hamu yao ya kufanya tendo la ndoa imebaki vilevile hata umri wao ulipokuwa mkubwa kabisa.
Kwanza tuanze kwa kutazama ukubwa wa tatizo hili.
Ukubwa Wa Tatizo La Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa
Wanaume wengi hawapenzi kulizungumzia tatizo hili waziwazi. Pamoja na kwamba tatizo hili halijitokezi sana kwa wanaume ukilinganisha na wanawake, inakadiriwa kuwa asilimia 15 hadi 16 ya wanaume wana tatizo hili, kwa lugha nyepesi kuna mwanamme mmoja mwenye tatizo hili baina ya kila wanaume sita au saba. Idadi ya wanawake wenye tatizo hili ni mara mbili ya wanaume. Tatizo hili huwakera zaidi wanaume kuliko wanawake kwa sababu wanaume huchukulia urijali k**a sehemu ya ukamilifu wa mwanamme na hunyongea wanapoona wana mapungufu kuhusu mambo ya mapenzi, tofauti kabisa na wanawake. Idadi ya wanaume wanaoridhika kuishi na tatizo hili ni ndogo sana ukilinganisha na ile ya wanawake. Hata hivyo tatizo la mwanamme kukosa hamu ya kufanya mapenzi limebainika kuwa ndilo linaloongoza katika kuleta migogoro ya unyumba kuliko matatizo mengine yote.
Utajuaje K**a Una Tatizo La Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa?
Tatizo hili halitokei ghafla k**a vile umelala halafu ghafla asubuhi unaamka una mafua, la hasha. Ni kitu kinachotekea pole pole na pengine mwenyewe usijigundue. Sanasana pima mwenendo wako wa masuala ya mapenzi kwa mwaka uliopita au miezi kadhaa iliyopita.
Kwa ushauri na huduma bora
Call/WhatsApp 0748114498
27/06/2023
🚨🚨🚨🚨🚨
*HASARA ZA MWANAMKE KUTOFIKA KILELENI.*
Wanawake wengi wanapitia kipindi kigumu sana kwenye mapenzi (ndoa) kwa kukosa haki ya tendo lenye nguvu na kuwaridhisha, wengi wanaishi bora ilimradi kumekucha ila wana maumivu kwa kutoridhishwa kabisa 😔
*✍️Hasira za ghafla.*
Mwanamke anayepunjwa hisia zake, asiyeridhika hujikuta akipandwa na hasira hata kwa vitu vidogo, watoto anawafokea vibaya, mfanyakazi anamuwakia hovyo, nyumba inakuwa chungu sana akiwepo, hata kazini anakuwa mkali sana kwa wafanyakazi wenzake hasa ile siku ambayo ametoka kuguswaguswa tu na kaachwa na hisia (nyege) bila kumalizwa vizuri.
*✍️Kushindwa kusamehe*
Mwanamke asiyeridhishwa hujikuta na moyo mzito kusamehe makosa ya watu hasa mumewe, anakuta k**a ni makusudi na pia moyo wa huruma unamtoka, anakuwa hajali sana kuhusu kumpoteza, anajikuta akikusanya makosa ya mwezi mzima.
*✍️Uvivu/Kupoteza nuru ya mwili*
Hapa mwanamke hukosa ari ya kufanya kazi, hukosa nguvu za kufanya kazi, atapendelea kulalalala mchana, anakuwa na uvivu wa kujituma, anaweza kuomba ruhusa kazini asiende na wakati hana tatizo kabisa.
Anapoteza mvuto wake, asipopata mafuta ya mwili na nywele anakuwa k**a yupo msibani, hawi na ngozi nyororo, chunusi na kupauka vinamuandama.
*✍️Kupata maumivu (tumbo na kiuno)*
Kitaalamu Mwanamke ana kilele cha kuenjoy mapenzi na kuna hormones zinatakiwa kutolewa wakati kufika kileleni, hii humfanya apate maumivu anapokosa hizo hormones. Kiuno humuuma, tumbo hugua kabisa hasa wakati wa period.
*✍️Kiburi/kukata tamaa.*
Hujikuta akipoteza morali ya kumtii mume, hukosa sababu ya kumnyenyekea mumewe, hupuuza maagizo yake pia, hufika hatua ya kuanza kuhisi hakustahili kuwa Mwanamke, hujikosoa na kujiona wa kawaida sana na pengine hana mvuto labda, Ana kata tamaa.
*✍️Kutazama picha za utupu ( # # # videos)*
Mwanamke asiyeridhishwa kimapenzi huishia kwenye kutazama video chafu za ngono, huungana na wale wanawake walio single, waliotendwa na wale wasiotaka Mahusiano kabisa.
*N.B* *siyo lazima mwanamke asiyefikishwa afanye yote hayo anaweza kufanya baadhi lakini yakatosha kukuonesha humpi haki yake*
*Kwa ushauri na huduma bora*
*Call/WhatsApp 0748114498
27/06/2023
Mwanaume chukua hiyoo 👇 👇
Penda kula hivyo vyakula kwa wingi sana ili uweze kujiimarisha vizuri kwa afya ya uzazi wa mwanaume hasa kwenye tendo la ndoa
KUMBUKA MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME SASA NI MUDA MUAFAKA WA KUANZA KUTAFTA MATIBABU SAHIHI BILA KUTUMIA DAWA.. TUMIA VIRUTUBISHO ILI UPONE MOJA KWA MOJA..
Kwa ushauri na huduma bora
Call/WhatsApp 0748114498
27/06/2023
Ni tatizo ambalo likimpata mtu mara kwa mara linaweza kuwa chanzo cha kupata tatizo la kuwahi kufika kileleni, kushindwa kuendelea mizunguko mingine ya tendo au kukosa hamu ya tendo.
Tatizo hili linapomkabili mwanaume inaweza kuwa chanzo cha kuvunjika mahusiano au kuleta mifarakano. Mwanaume anaweza akaonekana mtulivu na anayeongea kuliko mwanamke lakini ndani ya mioyo yao huwa na hofu hali inayomfanya kuwa mwoga hasa nyakati za matayarisho kabla ya tendo.
:
Umekuwa ukitafuta njia sahihi ya kuondokana na changamoto za afya ya uzazi kuwahi kufika,dhakali kulegea,kukosa hamu ya tendo tuwasiliane 0748114498
27/06/2023
DALILI ZA MTU ALIYE ATHIRIWA NA PUNYETO
Dalili kuu za mtu aliye athiriwa na punyeto ni k**a ifuatavyo:
🔶. Uume kusinyaa na kuwa k**a wa mtoto
🔶. Uume kurudi ndani
🔶. Uume kusimama ukiwa legelege
🔶. Kufika kileleni haraka wakati wa tendo la ndoa.
🔶Kushindwa Kurudia tendo round inayofuata Au Kuchelewa Kurudia tendo
🔶Muda Mwingine Uume Kusinyaa Ndani ya Uke wakati wa tendo la ndoa
🔶Kutoa Manii Nyepesi Zisizo na Nguvu, hata utokaji wake usio wa kuruka .
Rejesha afya yako ya uzazi ,Epuka fedheha kwa kuamua kutumia virutubisho sahihi.Tuwasiliane kwa number 0748114498
27/06/2023
Watu wengi wamekuwa na changamoto ya afya ya uzazi ila wamekuwa hawafahamu chanzo cha tatizo lake ..Pia Kutokuwa na elimu juu ya tatizo kenyewe na mwisho kushindwa kutatua kwa njia sahihi na kukufanya kutokupata suluhisho .
Ili kuondokana na changamoto za afya ya uzazi ni muhimu kuweka sawa mifumo ya kwenye mwili kwa kuilisha virutubisho sahihi .
Nicheck kwa Ushauri , Elimu na kupata huduma 0748114498 Call / Whatsapp
27/06/2023
*JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME*
✅Safisha Sumu mwilini kwa kutumia viondoa sumu.
Kuna sumu aina kuu tatu ambazo mimi huwa napenda kuziongelea na kushughulika nazo kwa wagonjwa wangu k**a zifuatazo:-
1.Sumu ambayo inatokana na mabaki ya hewa ya oksijeni yani *FREE RADICALS* ambayo ni moja wapo inaweza kuumiza sana *Cells za mwili* wako na kusababisha seli zako kubadili mtazamo wa ukuaji na kuendelea kuzalishwa seli mbovu na hatimaye zinaweza kupelekea hata kupata kansa.
2.Sumu ambazo tunazipata kutoka katika mazingira yetu ya kazi kwa kukutana na metali nzito k**a lead, na mercury ambazo ni kizuizi kikubwa sana katika utendaji wa mwili wako. Pia sumu inayotokana na mionzi mbalimbali inayotokana na kuchokozwa kwa miamba ya ardhi ( Earth’s crust)
3.Sumu inayotokana na vyakula tunavyokula ambavyo huenda na kuathiri mfumo wako wa chakula na hatimaye kuharibu ulinzi wa mwili wako katika mfumo wa chakula. Afya yako huanzia katika mfumo wa Mmeng'enyo wa chakula na magonjwa yote huanzia katika mfumo huo yaani *Gut and Digestive System
Hii itaondoka kwa kutumia our *Natural Cleansing Program* itakusaidia kuondoa taka mwili na sumu zote mwilini pamoja na kuongeza kinga yako ya Mwili.
✅Ondoa Mafuta Mabaya yanayopunguza mzunguko wa Damu ( blood circulation ) kutokuwa normal na kuzuia mishipa mbalimbali isipitishe damu kwa wakati na kufanya dhalali kutokusimama vizuri au kukufanya ushiriki tendo k**a inavyopaswa.
Unaweza kuondoa Bad Cholestral kwenye mwili wako kwa kutumia
*OMEGA 3 FATS ACID* AU kirutubisho chenye mafuta ya samaki,Olive oils ,blackseeds au vyakula vyenye uwezo mkubwa wa kusafisha mafuta mabaya mwilini mwako .Tunaweza pia wasiliana K**a unahitaji kirutubisho hichi ili kikusaidie .
25/06/2023
Mchezo wa kupiga puli wakati nipo shule ndio uliosababisha yote haya.
Sikujua kufanya mchezo ule nilikua najiandalia madhara makubwa baadae.
Tatizi langu kubwa lilikua ni kumaliza kabla safari haijafika mwisho.Nikiupanda tu mnazi dakika tano nyingi, Chali.
Siku moja wakati naperuzi mitandaoni nikapata kusoma makala moja toka baada ya kusoma nikapata kufahamu kitu ambacho kimepata kurudisha heshima ya nyumba yangu.
Furaha imerejea, siku hizi eti huniita, "Shupavu wao"
Tatizo kubwa tunalopata wengi tuliopitia mchezo wa kujichua ni kulegea kwa misuli ya mtaimbo jambo ambalo husababisha kuwahi kumaliza gemu mapema wakati mwenzio ndio kwanza kipapa kimepata joto.
Niliamua kum'follow na kuwatumia ujumbe whatsapp 0748114498
25/06/2023
MWANAUME ACHA KABISA KULA HII Mungu tu atusimamie. Ubunifu wa kimapishi unatuumiza Watanzania.
Maswala ya kupoteza hisia kwa wanaume ni jambo la kawaida, kuwai kumaliza sio kitu tena, misuli ya uume kua legevu imekua tishio mbaya zaidi *Ugumba sasa ni Tishio*, Maswala ya uvimbe kwenye kizazi na kansa sasa ni Tishio. Kisukari katika umri mdogo sasa ni Tishio.
Jamii isipo elimishwa kuacha vyakula vya utandawazi miaka 20 baadaye nguvu kazi ya taifa itakuwa Taabani.
Kwa misosi hii acha wanawake wale nauli zetu wanaume. Kwa misosi hii acha mwanamke afurahie kusafiri kwa mwanaume, huwezi mwanamke kuwa na hisia kwa misosi hii.
Je nini maoni yako au nini kifanyike?
K**a una changamoto ya kushindwa kurudia kushiriki tendo la ndoa tuma NENO AFYA JAMII kwenda namba 0748114498
25/06/2023
Aina ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume,na kuweka mwili sawa.
1.Tende.
Katika kila gram (100) ndani ya tende kuna virutubisho kwa asilimia k**a ifuatavyo.
Chuma (iron). 5.50ppm.
wanga (cabohydrate) 78.8%.
Nishati (energy) 317kcal.
Hamirojo (protin)2.5%.
Mafuta (fat).0.4%.
Kamba kamba (fiber)4%.
Madini 2.1%.
Unyevu nyevu (moisture)15.3%.
Fructose 27%.
Grucose (Sukari) 35%.
Faida nyingine za tende.
1.Huongeza damu ukichanganya na maziwa
2.Husaidia kuzalisha manii kwa wingi
3.Huongeza nguvu za kiume.
4.Huzidisha hamu ya tendo la ndoa.
2.Zabibu.
Huongeza sana nguvu za kiume,
wengi hupenda kuyaita "viagra"kwa sababu ya ufanyaji kazi mwilini. husaidia mzunguko wa damu,pia huondoa cholesterol
3.Chocolate.
Husaidia kuongeza stamina,kwa sababu ina viambato vya phenylethylamine na Alkaloid
Phenylethylamine.
hupelekea kujisikia vizuri.
Alkaloid.
Huongeza stamina wakati wa tendo la ndoa.
4.Ndizi.
Ni chanzo kikubwa cha vitamini B,ambacho ni muhimu katika tendo la ndoa,ina kimeng'enyo cha bromelan ambacho huongeza Ashk wakati wa tendo la ndoa.pia huongeza stamina.
5.Tangawizi.
Husisimua sana mzunguko wa damu.tangawizi imekuwa ikitumika sana katika maeneo ya Asia kwa ajili ya wanaume wenye tatizo la nguvu za kiume.
6.Tunda la komamanga.
Ni aina ya matunda yenye rangi nyekundu na muonekeno k**a apple.husaidia kuamsha mishipa ya fahamu na kuweka mawasiliano sahihi ya mwili na hivyo kumuongezea uwezo na hamasa wakati wa tendo la ndoa na kupoke hisia kwa urahisi.
7.Mtini.
Ni matunda yenye kiwango kikubwa sana cha amino asid,ambayo ni kiungo kikubwa cha Kuzalisha homoni mwilini.
8.Karanga.
NI Chanzo kikubwa sana cha kurekebisha Protini mwilini,pia husaidia kuweka vizuri mzunguko wa damu,na kusaidia kuzalisha homoni ambayo ni muhimu kwa tendo la ndoa.
9.Asali.
Asali ina historia ndefu ya kuamsha nguvu za kiume pamoja na kuwa dawa madhubuti ya kutibu uhanithi kutokana na uwezo wake k**a kiamshaji/chaji kwa wanandoa. Tumia vijiko 2 asubuhi na 2 jioni.
10.Kitunguu swaumu.
Kitunguu swaumu kina Allicin, kiambato kinachosaidia kuweka vizuri mzunguko wa damu.Pia Hupunguza tatizo la damu kuganda katika mishipa ya damu
25/06/2023
Tendo la ndoa ni kitu muhimu kwenye mahusiano yoyote kwa vile huwa na faida za kihisia k**a vile kupooza mioyo, kushusha hasira, kusuluhisha ugomvi na kuongeza ukaribu baina ya wapenzi.
Kisayansi tendo la ndoa huwa na faida nyingi ikiwemo kuimarisha afya ya moyo kwa kushusha kiwango cha presha, sukari na kupunguza hatari ya msongo wa mawazo.
Wataalamu wa mahusiano wanasema kuwa tendo la ndoa kwa wanandoa ni jambo takatifu ambalo licha ya kuendeleza kizazi kwa watu kuzaliana au kupata watoto lakini limekuwa likisaidia kupunguza idadi ya talaka na kutengana kwa wanandoa pindi tendo hilo linapofanyika kwa mujibu wa maelekezo ya wataalamu.
Kisayansi pia inatajwa kuwa tendo la ndoa huongeza furaha kwa wanandoa kwa kuzalisha vichocheo ikiwemo Endorphins na Oxytocin ambavyo huondoa msongo wa mawazo, maumivu ya mwili, umapepe na kuongeza umakini.
Ukweli wa mambo hata hivyo uonesha kuwa wanandoa wengi hufanya mapenzi zaidi ya mara 3 kwa wiki takwimu ambayo inapungua kadri wanandoa wanavyozidi kuongezeka ambapo vijana hufanya tendo hilo mara 80 kwa mwaka, watu wa miaka ya kati hufanya mara 40 huku watu wazima waliozidi miaka 60 hufanya mara 20 tu kwa mwaka mzima.
Je, Wewe unahesabu unafanya tendo la ndoa mara ngapi kwa Wiki ?
:
Umekuwa na changamoto ya afya ya uzazi? Kuwahi kufika ,dhakali kulegea ,kukosa hamu ya tendo tuwasiline 0748114498 whatsapp / Call
25/06/2023
Usihofu..
Mwanaume unaepitia changamoto za kukosa nguvu za kiume pamoja na hamu ya tendo la ndoa Usihofu Kwani suluhisho lipo kwa ajili yako..
Cha kufanya...
Tumia virutubisho ili Upone moja kwa moja kutokana na hizo changamoto za kukosa nguvu za kiume kwani virutubisho ndiyo suluhisho sahihi kwa ajili yako
Zingatia..
Mwanaume pia Zingatia kufanya mazoezi... Mazoezi yatakuongezea uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kwa ufanisi zaid na pia kwa muda mrefu zaid..
Kwa matatizo ya NGUVU ZA KIUME SASA NI MUDA MUAFAKA WA KUANZA KUTAFTA MATIBABU SAHIHI BILA KUTUMIA DAWA.. TUMIA VIRUTUBISHO ILI UPONE MOJA KWA MOJA
Kwa ushauri na huduma bora
Call/WhatsApp 0748114498
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Makumbusho
Dar Es Salaam