Pata ushauri na dondoo za afya

Pata ushauri na dondoo za afya

Share

tunatoa ushauri na tiba kwa magonjwa mbalimbali

16/03/2021

Stage1;Utajuaje k**a tayari una saratani ya utumbo mpana kwa HATUA ya awali?
Kwanza inagundulika pale ambapo semi za saratani zinaanza kukua na kusambaa katika eneo LA ndani ya utumbo kwa kutoa harufu mbaya sehemu ya haja kubwa na kutoa majimaji inaweza ikwa ni HATUA ya awali ya saratani,

Hivyo k**a umepata BAWASIRI ambayo hujaitibu hadi kupelekea kufika kwenye HATUA hii ya kutokwa maji yenye harufu Kali eneo LA haja kubwa jua Upo hatarini kupata ugonjwa huu mbaya ambao unauwa watu wengi duniani.
Maoni/ushauri
#0682671186

16/03/2021

HABARI, Leo hakikisha umejisaidia choo laini jamani,usisahau kunywa maji ya kutosha, na kwenye mlo wako weka mbogamboga za kutosha, jitahidi kula kwa wakati,usishinde njaa.
Ukibanwa kujisaidia nenda kwa wakati chooni
Lengo ni wewe kuwa na mfumo mzuri wa mmeng'enyo was chakula...
Maoni piga 0682671186

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam