Afya yako kwanza

Afya yako kwanza

Share

karibu utatue changamoto yako ya afya kwa kutumia bidhaa asilia na zenye ubora zilizothibitishwa na

14/02/2024

07/11/2023

35 Easy-to-Build Chicken Coops Made With Wood and Iron Net

15/09/2021

Yawezeka unasumbuliwa na changamoto zifuatazo ila hujui ni lipi suluhisho la kudumu juu ya changamoto yako;
👉 Kupata miwasho sehemu ya njia ya haja kubwa
👉 Kupata maumivu wakati wa kujisaidia
👉 Kupata choo chenye damu
👉 Kupata choo kigumu
👉Kukaa siku tatu mpata wiki bila Kupata choo
👉 Kujitokeza kwa kinyama sehemu ya njia ya haja kubwa

Hizo ni dalili zinazoashiria kuwa una tatizo la Bawasiri au mgolo

Nimewasaidia wahanga wengi wenye changamoto ya bawasiri wamepona changamoto Yao
Namna ya Kupata suluhisho la changamoto lako
Wasiliana nasi kwa namba
0757940081

15/09/2021

Kwa ushauri na suluhisho tuwasiliane kwa namba 0757940081

Photos from Afya yako kwanza's post 30/05/2021
22/02/2021

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.

CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni Ă·
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali

Kwa msaada zaidi tucheki whtsap/call 0757940081

17/02/2021

Watu wengi wamekuwa na tatizo la Bawasiri lakini hawaelewi k**a ni Bawasiri.

Bawasiri ni uvimbe unaotokea sehemu ya njia ya haja kubwa kutokana kuathirika kwa mishipa ya vein iliyoko sehemu ya njia ya haja kubwa na Bawasiri hii imegawanyika katika aina kuu mbili ambayo ni
ya nje na
ya ndani

K**a unatatizo k**a hili usipuuze karibu upate suluhisho sahihi piga namba 0757940081

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam