Tiba ya bawasiri

Tiba ya bawasiri

Share

Nakusaidia Kupona CHOO KIGUMU na BAWASIRI bila UPASUAJI, Nipigie 0743 429 728.

01/01/2026

👉Bawasiri ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi, ufahamu leo kwa kutembelea Tiba ya bawasiri .
___________

28/11/2024

Rest in peace😭

20/11/2024

PONA BAWASIRI BILA
👉Wasiliana/Awasiliane nasi 0743 429 728.
Tunapatikana nzima.
_____________

22/09/2024

UFAHAMU UGONJWA WA NA TIBA YAKE BILA . (HEMORRHOIDS)

👉Watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa
kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba

👉Ni unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu
ya na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja
damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka au .

👉Ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita ilhali kwa lugha ya
kingereza unafahamika k**a piles, tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri
watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30.

👉SABABU
Chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha
kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni k**a vifuatavyo:
 kufanya mapenzi kinyume na maumbile
 kuharisha kwa muda mrefu
 tatizo la kutopata choo
 matatizo ya umri
 kukaa kitako kwa muda mrefu
 uzito kupita kiasi
 matumizi ya vyoo vya kukaa kwa muda mrefu

👉DALILI ZA BAWASIRI
 Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
 kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
 kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
 kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
 kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

😭MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI
 kupata upungufu wa damu (anemia)
 Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
 hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
 kuathirika kisaikolojia
 kukosa moral ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali.

USHAURI NA TIBA
👉K**a unapata dalili hizo, pata ushauri na tiba bila upasuaji leo, wasiliana nami:
Whatsapp au Piga 0743 429 728.
______

14/06/2024

NI UGONJWA GANI..?
Watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba

👉BAWASIRI Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja_kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka au uvimbe.

Ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles, tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30.

AINA ZA BAWASIRI
Kuna Aina mbili za bawasiri
1) BAWASIRI YA NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na
maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili. Aina hii hutokana na
na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa

🖐Aina hii imegawanyika katika madaraja manne

i. DARAJA LA KWANZA
Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahal pale panapohusika

ii. DARAJA LA PILI
Hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyew ndani baada ya

iii. DARAJA LA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye
mwenywe

iv. DARAJA LA NNE
Hii ni bawasiri inayotoka na sababishi nyingi na huwa ngumu kurudi

2) BAWASIRI YA NJE
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na
kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS

⚠VISABABISHI VYA BAWASIRI
Chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha
kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni k**a vifuatavyo
 kufanya mapenzi kinyume na maumbile
 kuharisha kwa muda mrefu
 tatizo la kutopata choo
 matatizo ya umri
 kukaa kitako kwa muda mrefu
 uzito kupita kiasi
 matumizi ya vyoo vya kukaa kwa muda mrefu

🖐DALILI ZA BAWASIRI
 Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
 kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
 kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
 kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
 kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI
 kupata upungufu wa damu (anemia)
 Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
 hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
 kuathirika kisaikolojia
 kukosa moral ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali

😊MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI
👉Matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula hata hvyo tiba hii si nzuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia.

👉Hivyo tiba nzuri ni kutumia Virutubisho lishe vyetu asilia ambavyo vitaondoa tatizo Hilo bila kufanyiwa .🖐Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia kula..

mbogamboga za majani, matunda, na nafaka zisizokobolewa, kunywa maji mengi angalau grass 6/12 kwa siku epuka kukaa chooni kwa muda mrefu.

USHAURI NA TIBA BILA UPASUAJI.
Whatsapp link gusa >> wa.me/255743429728.

Au NIPIGIE 0743 429 728.

24/04/2023

YAFAHAMU YA KUTOONDOA SUMU KATIKA MWILI

👉Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao.
..Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.

Fahamu leo..
👇👇👇

VYANZO VYA SUMU

Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;

1. Matumizi ya dawa mara kwa mara

2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara

3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia

4. Ukosekanaji wa lishe sahihi na diet nzuri

5.Matumizi ya madawa makali

6.Uzito mkubwa

7.Mitindo ya maisha

8.Njia za uzazi wa mpango za kisasa

UMEELEWA?..
Zifahamu dalili za kuwa na sumu mwilini..
👇👇👇

ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI

1.Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi,vipele

2.kuwa na uzito wa kupindukia

3.kutokupata choo au choo kigumu

4.kukosa usingizi Na kujihis kuchokachoka

5.Kiichwa kuuma

6.Kupata miwasho

7.Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti

8.kuwa na hasira mara kwa mara.

9.Tumbo kujaa gesi

👇👇👇
YAKE

1.kuondoa hamu ya tendo la ndoa

2.maambukizi ya figo

3.Maambukizi ya Ini

4.Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)

5.hupelekea uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke

6.Hupelekea matatizo ya pressure

7.Mvurugiko wa homoni

8.Huchochea matatizo ya kisukari

9.Kuzeeka kwa Mapema

SULUHISHO LA KUDUMU
👉Endapo unapata dalili tajwa hapo juu na unahitaji tiba wasiliana nami:
WhatsApp link gusa wa.me/255743429728

Au nipigie 0743 429 728.
___________________

10/04/2023

NI UGONJWA GANI..?
Watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba

👉BAWASIRI Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka au uvimbe.

Ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles, tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30.

AINA ZA BAWASIRI
Kuna Aina mbili za bawasiri
1) BAWASIRI YA NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na
maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili. Aina hii hutokana na
na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa

🖐Aina hii imegawanyika katika madaraja manne

i. DARAJA LA KWANZA
Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahal pale panapohusika

ii. DARAJA LA PILI
Hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyew ndani baada ya

iii. DARAJA LA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye
mwenywe

iv. DARAJA LA NNE
Hii ni bawasiri inayotoka na sababishi nyingi na huwa ngumu kurudi

2) BAWASIRI YA NJE
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na
kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS

⚠VISABABISHI VYA BAWASIRI
Chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha
kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni k**a vifuatavyo
 kufanya mapenzi kinyume na maumbile
 kuharisha kwa muda mrefu
 tatizo la kutopata choo
 matatizo ya umri
 kukaa kitako kwa muda mrefu
 uzito kupita kiasi
 matumizi ya vyoo vya kukaa kwa muda mrefu

🖐DALILI ZA BAWASIRI
 Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
 kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
 kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
 kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
 kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI
 kupata upungufu wa damu (anemia)
 Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
 hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
 kuathirika kisaikolojia
 kukosa moral ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali

😊MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI
👉Matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula hata hvyo tiba hii si nzuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia.

👉Hivyo tiba nzuri ni kutumia Virutubisho lishe vyetu asilia ambavyo vitaondoa tatizo Hilo bila kufanyiwa .🖐Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia kula..

mbogamboga za majani, matunda, na nafaka zisizokobolewa, kunywa maji mengi angalau grass 6/12 kwa siku epuka kukaa chooni kwa muda mrefu.

USHAURI NA TIBA BILA UPASUAJI.
Whatsapp link gusa >> wa.me/255743429728.

Au NIPIGIE 0743 429 728.

20/02/2023

FAIDA 6 ZA KUNYWA MAZIWA YA MTINDI:
>Maziwa aina ya mtindi yanaorodheshwa kuwa ni miongoni mwa vyakula bora na muhimu katika afya ya binadamu.Maziwa haya ya mtindi huwa na vingi ambavyo vina faida nyingi katika mwili wa binadamu.

Baadhi ya virutimbo vilivopo katika maziwa ya mtindi ni ‘Molybdenum’,‘Potassium’, ‘Riboflavin (vitamin B2),Iodine’,‘Phosphorus’,‘Pantothenic acid (vitamin B5) ‘Zinc’,‘Calcium’ na ‘vitamin B12’.Mbali na virutimbo vinavyopatikana kwenye mtindi pia ndani ya mtindi kuna 'bakteria hai' ambao ni muhimu katika afya yako.

FAIDA YA MAZIWA YA MTINDI

1.Kinga ya Mwili
>unywaji wa mtindi kila siku, huamsha na kuupa nguvu mfumo wa kinga ya mwili kupambana na magonjwa kadhaa ya maambukizi, ikiwemo saratani ya utumbo.

2.Kupunguza Uzito
>Mbali ya faida hizo, mtindi pia umeonekana kupunguza mafuta (fat) mwilini na kwa maana hiyo una uwezo wa kupunguza unene unaotokana na mafuta mengi mwilini.kwa watu wenye mpango wa kupunguza uzito wanashauriwa kunywa mtindi mara kwa mara huku wakiendelea kufanya mazoezi mbalimbali ya kupunguza uzito.

3.Kujenga Misuli
>Maziwa ya mtindi yana mchango mkubwa katika ukuaji wa misuli. Hili ni kutokana na protini zinazopatikana katika maziwa.Maziwa huzuia maumivu ya misuli pamoja na kurudisha ute ulipotea kwenye maungo ya magoti na viwiko wakati wa kazi mbalimbali.Unashauriwa kunywa maziwa ya mtindi mida ya joini baada ya kutoka katika shughuli zako za siku nzima.

4.Hurefusha Maisha
>Utafiti unaonesha kuwa unywaji wa mtindi mara kwa mara, hasa katika kundi la wazee umeongeza uwezo wa mwili kupambana na magonjwa mbalimbali na kuufanya mfumo wa kinga mwilini kuwa imara zaidi.

5.Kuupa mwili Nguvu
>Watu ambao huwa wanaishiwa na nguvu mwilini mara kwa mara wanashauriwa kupenda kunywa maziwa ya mtindi kwani huwa na uwezo wa kuupa mwili nguvu kupitia virutubisho vya wanga vinavyopatikana katika maziwa ya mtindi.

6.Kupunguza Lehemu mbaya mwilini
>Maziwa ya mtindi pia husaidia kupunguza kiwango cha lehemu mbaya mwilini.

🤔Follow

USHAURI NA TIBA MBADALA
Whatsapp/piga 0743 429 728.
___
'ombewakisasa

20/02/2023

ZIFUATAZO NI SABABU ZA KUPATA :

>Lishe mbovu: vyakula vilivyosindikwa sana, sukari, nafaka iliyokobolewa, pombe, vyakula vilivyoongezwa sukari na kemikali za kutunza chakula kisiharibike na mafuta mabaya huleta ugumu kwenye utengenezaji na utolewaji wa kinyesi na hivo kukupelekea kukosa choo kwa muda mrefu.

>Msongo wa mawazo: watu wanaopata msongo mkubwa wa mawazo huharibu mpangilio wa homone zao pamoja na kuathiri uzalishaji wa visambaza taarifa kwenye mwili na hivo kusababisha shida kwenye misuli, kupata mcharuko/mpambano ndani ya mwili (inflammation) nakuathiri ufanyaji kazi wa enyzmes ambazo husaidia kumeng’enya chakula.

>Kutoshughulisha mwili: mazoezi yanasaidia kuimarisha mzunguko wa damu kwenye mfumo wa chakula na kuimarisha misuli na hivo kurahisisha utolewaji wa kinyesi. Utafiti unasema watu wanaotumia mda mwingi wakiwa wamekaa hasa maofsini wanaongoza kwa kuapata matatizo ya kukosa choo kwa mda mrefu.

>Matumizi ya baadhi ya vidonge: baadhi ya vidonge husababisha kukosa choo kwa muda mrefu na kupata choo kigumu, mfano dawa za kupunguza maumivu, dawa za kuconrtol stress, dawa za kulevya, virutubisho vya calcium na magnesium na antiacids.

>Ukuaji wa bacteria wabaya kwenye mfumo wa chakula: bacteria wazuri/normal flora waliopo kwenye mfumo wa chakula tunawaita probiotics husaidia kwenye uchakataji wa chakula. Ndio maana kuna umuhimu wa kula vyakula vye kambakamba kwa sababu ni mbolea nzuri kwa bactetia wazuri kukua na kufanya kazi.

>Matatizo ya tezi ya Thyroid na matatizo mengine ya homoni: matatizo k**a kisukari, kukoma hedhi, maumivu kabla ya hedhi na ufanyaji kazi hafifu wa tezi ya Thyroid huweza kusababisha kupata constipation. Magonjwa mengine ni k**a Pakinson disease, ajali ya uti wa mgongo na matatizo mengine ya neva yanaweza kusababisha Constipation.

>Upungufu wa magnesium: magnesium husaidia ufanyaji kazi mzuri wa misuli na hivo kusaidia utolewahi mzuri wa kinyesi.

>Baadhi ya tabia hatarishi wakati umeenda chooni: tabia hizi ni k**a kujisaidia kwa haraka na ukaaji mbaya unapokuwa chooni huchangia kuongeza ukubwa wa tatizo na kisha kupelekea kupata ugonjwa wa

MADHARA YA KUTOPATA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU😭😭 (CONSTIPATION)

Watu wengi hudhani ni hali ya kawaida kupata CHOO KIGUMU au KUTOPATA CHOO kabisa. Wengine hukaa siku nzima, siku mbili au tatu bila kupata CHOO, wengine hupata CHOO KIGUMU hii ni hatari sana.... Usipuuzie.

👉Madhara ya KUTOPATA CHOO au kupata CHOO KIGUMU ni makubwa sana.

1). (Hemorrhoids)
Kutanuka kwa mishipa ya damu kunakotokana na nguvu nyingi unayotumia wakati wa kujisaidia. Hii hupelekea maumivu makali kwenye njia ya haja kubwa.

2).Kupasuka kwa layer ya ndani ya njia ya haja kubwa. (A**l Fissure): Ni kutokana na nguvu nyingi inayotumika wakati wa kujisaidia. Hutokea sana kwa watoto.

3).Kuchungulia kwa sehemu ya utumbo kwenye njia ya haja kubwa( Re**al Prolapse).

4). Magonjwa ya utumbo, Kutokana na kinyesi kukaa kwa muda mrefu bila kutolewa hupelekea kupata maambukizi ya Magonjwa mengi yatokanayo na bakteria n.k na kwa muda mrefu hupelekea kupata kansa za utumbo, maumivu ya sehemu ya mgongo n.k

USHAURI NA TIBA
>Tumia tibalishe yetu asilia kuepuka madhara hayo k**a bawasili nk, ipate kwa Tsh 95,000/= badala ya laki moja (120,000/=).
link gusa wa.me/255743429728
.au piga 0743 429 728.
_____
_

25/01/2023

MAELEZO YA YETU ASILIA YA WANAOPATA CHOO KIGUMU.

💥CONSTIPATION RELAXATION
👉Hii ni bidhaa iliyotengenezwa kiasili kwa kutumia mchanganyiko wa FOS (Fructooligosaccharide),Radix Astragali, Prebiotic. Zinazosaidia ufanisi wa mmen’genyo wa chakula na kuondoa matatizo mengine ya tumbo.

💥FAIDA ZA CONSTIRELAX
 Inasafisha tumbo vizuri mno na kuondoa hari ya kuvimbiwa (constipation)

 Inaondoa sumu zote tumboni

 Inaondoa dalili za Bawasiri sugu (Acute Hemorrhoids) k**a kuvimba, kutoka
damu.

 Inaboresha mzunguko wa maji maji mwilini na kuondoa viuvimbe vinavyo
sababishwa na maji maji.

 Inasaidia kutibu aina mbali mbali ya vidonda vya tumbo (Peptic & Gastric)

 Tiba nzuri ya Mawe kwenye figo.

 Inaboresha ngozi yako kwa kuondoa sumu ndani.

 Inaondoa gesi na uchafu wote usiotakiwa tumboni.

💥MATUMIZI
👉Wengi hupata matokeo mabaya watumiapo dawa hii, sababu hawazingatii matumizi sahihi ya tiba hii.

Na matumizi sahihi ya dawa hii unapewa baada ya kuinunua.

GHARAMA
👉Thamani ya dawa hii ni Tsh 150,000/= lakini ndani ya wiki hii utaipata kwa bei ya punguzo (OFA) kwa Tsh elfu 110,000/= tu🤑

👉Ipate ukiwa mkoa wowote kwa kuwasiliana nasi Whatsapp/piga 0743429728.
______

12/01/2023

IFAHAMU SARATANI YA UTUMBO MPANA;

👉Mwanzo wa saratani ya utumbo mpana ni vimbe ndogondogo zisizo saratani ambazo taratibu huanza kujitengeneza kwenye utumbo na baadaye kuanza kugeuka kuwa seli za
-
Kulingana na takwimu, tatizo la aina hii ya saratani linazidi kuongezeka kila kukicha huku asilimia 5 tu ya wagonjwa wakiwa wamerithi tatizo hilo.
-
Baadhi ya watu wenye saratani ya utumbo mpana hupata dalili za maumivu kwenye tumbo na tumbo kujaa gesi na kadiri tatizo linavyokuwa la muda mrefu zaidi ndivyo ukali wa maumivu unavyoongezeka zaidi.

💥🤔SABABU ZA SARATANI YA UTUMBO MPANA👇

Watu wenye umri mkubwa kuanzia miaka ya 50 wapo kwenye hatari zaidi
-
Kula lishe mbovu hasa vyakula viliyosindikwa na kuchakatwa kiwandani k**a nyama za makopo, mafuta yaliyochemshwa kiwandani na kuwekewa "Hydrogen"
-
Uzito mkubwa na kitambi pamoja na kuishi bila ya kufanya mazoezi na kuushugulisha mwili
-
Matumizi makubwa ya pombe hasa kwa watu wazima na wenye umri mkubwa na uvutaji wa sigara na tumbaku
-
Wagonjwa waliowahi kuugua magonjwa ya mfumo wa chakula kwa kipindi cha nyuma
-
Watu wenye kisukariA

💥🤔DALILI KUU ZA SARATANI ZA YA UTUMBO MPANA
-
Mabadiliko kwenye choo k**a kuharisha na kupata choo kigumu ama kukosa choo kwa muda mrefu, dalili hizi zinaweza kuwa za muda mrefu
-
Kupata choo chenye damu ama choo cheusi na chenye nta
-
Mwili kuchoka sana kila mara, kichefuchefu na kutapika mara kwa mara
-
Kukosa hamu ya kula na mwili kupungua uzito ghafla na mwili kuishiwa damu (anemia)
-
Macho na ngozi kuwa na rangi ya manjano (jaundice

💥🤔JINSI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA SARATANI HII
-
Kula zaidi vyakula vya kuondoa sumu na vyenye nyuzinyuzi au kambakamba kwa wingi. Vyakula hivyo ni k**a Parachichi, N**i na Tuwi la N**i, Viazi Vitamu, Bamia, Karanga, Mafuta ya N**i na Mizeituni, Tangawizi, Kokoa na uUyoga.
-
Hakikisha unapunguza uzito pia fanya mazoezi ya kutosha na kuushugulisha mwili wako
-
Punguza matumizi ya pombe na sigara.
-
Hakikisha unatibu magonjwa ya mfumo wa chakula, k**a kuharisha na kukosa choo kwa muda mrefu.
_
Watsap/piga 0743 429 728.
____________

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam