Mwanaume niafya
health service
24/02/2022
🔴TIBA YA TEZIDUME BILA UPASUAJI
☆☆
⚫Tezidume kila mwanaume anazaliwa nayo shida nipale inapoanza kutanuka.
🔵Chanzokikubwa cha kutanuka kwake ni mvulugiko wa homone ya uzazi dehdrotetestrone kuongezeka kupita kiasi nakupelekea kuzalisha seli nyingi ndani ya tezidume na hizi seli huendelea kukua na kuijaza tezidume hii husababisha tezikutanuka na kupandamiza mlija wa mkojo
DALILI ZA TEZIDUME.
🔸kukojoa mala kwa mala
🔸maumivu wakati wa kukojoa
🔸mkojo kuto kuruka mbali (hafifu)
🔸maumivu ya nyonga na mgongo
🔸kukojoa damu
🔸mbegu zakiume kuambatana na damu
MADHALA YA TEZIDUME.
🔷upungufu wa nguvu zakiume
🔷maumivu makali
🔷kufanyiwa upasuaji
🔷Tezidume kujiludia baada ya upasuaji
🔷kifo juu ya salatani ya tezidume
⚫Je wewe,ndugu,wazazi,jamaa na marafiki ni miongoni mwa wale wanaosumbuliwa na TATIZO la TEZIDUME kwa muda mrefu na umetumia dawa nyingi umeshindwa kupona?? Haujachelewa Bado pata tiba sahihi ya kumaliza TATIZO lako..
Waweza wasiliana nami kwa msaada zaidi ili kupata tiba ya kumaliza tatizo lako kwa simu namba
# # # 0768892003 # # #
# # # # # #
18/02/2022
Je unafahamu kuwa tezidume hupelekea upungufu wa nguvu zakiume?
17/02/2022
Itunze tezidume
Pindi uonapo dalili hizi
Wasiliana nami kwa taarifa zaidi elimu na tiba
0768892003
Dr_ Evitus
16/02/2022
TIBA YA TEZIDUME BILA UPASUAJI
Kwa elimu zaidi ushauli na tiba
Piga 0768892003
Dr_ Evitus
01/02/2022
JE, UNASHINDWA KUHIMILI TENDO LA NDOA KUTOKANA NA SABABU ZIFUATAZO??
- Uzee
- Kisukari
- Kujichua/Punyeto
- Ngono zembe
-Wasiwasi
- Hasira
- Msongo wa mawazo (Stress)
- Huzuni
- Hofu na mashaka
- Kutokujishughulisha na mazoezi
- Shinikizo la juu la damu
- Ugonjwa wa moyo
- Uvutaji sigara/tumbaku
- Utumiaji uliozidi wa kafein.
- Kudhurika kwa neva au uti wa mgongo
- Madawa ya kulevya
- Kupungua kwa homoni ya testerone
- Athari kutoka kwa baadhi ya dawa za hospitali au mitishamba
- Pombe
JE, SULUHISHO NI LIPI??
X Power Coffee ni KIRUTUBISHO MAALUMU Kwa Waathirika Waenye Upungufu/Matatizo Ya Nguvu Za Kiume. Dawa hii hufanya kazi zifuatazo:-
✅Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo La Ndoa
✅Hufungua Mirija Midogomidogo Ya kibofu Kwenye Uume Ambayo Hufa Kwa Ajiri Ya Umri Na Kisukari/Presha
✅Huondoa Uchovu
✅Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume
✅Huondoa Tatizo La Maumivu Uume Ukiwa Umesimama
✅Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo
✅Huongeza Kinga Kwenye Via Vya Uzazi
✅Humfanya Mwanaume Arudie Tendo Bila Kuchoka Na Kwenye Ubora Wa Hali Ya Juu
●Huondoa sumu mwilini na katika mfumo wa uzazi
✅Huondoa Tatizo La Uume Kusimama Ukiwa Legelege
✅Huondoa Tatizo La Uume Kurudi Ndani Na Kuwa K**a Wa Mtoto
✅Huondoa Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za kiume Na Ugumba Kwa Wanaume
●Ni nzuri kwa ulinzi wa maambukizi sehemu za siri
Kupata bidhaa hii wasiliana nasi kwa simu namba http://wa.me//+2555768892003au http://wa.me//+255787405044Whatsapp kwa kutuma ujumbe mfupi neno AFYA
Tunapatikana Dar es salaam Mlimani city Zanzibar Ruvuma Njombe Kigoma Kibaha Arusha, Katavi Moshi,Mbeya, Iringa ,Lindi Mjini, Mwanza, Morogoro Shinyanga Simiyu , Bukoba,Singida,Tanga Na Mikoa Mingine Wasiliana Nasi Kwa Maelekezo Zaidi Karibu Sana
NB:
BIDHAA HII HAINA MADHARA KWA MTUMIAJI, NGUVU YAKE NI ENDELEVU
☆FAIDA ZA XPOWER MAN CAPSULES☆
●☆inaongeza hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote mbili akina baba na akina mama stamina nguvu wakati wa tendo la ndoa
●☆inasaidia kuondoa msongo wa mawazo
●☆inasaidia kuongeza idadi ya mbegu za kiume (s***m count) na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri (mobility)
●☆inasafisha mwili na kupunguza kasi ya kuzeeka haraka
●☆inasaidia kubalansi kiwango cha sukari mwilini hivyo huboresha hamu ya tendo la ndoa kwa watu wenye changamoto ya sukari
●☆kusaidia kurekebisha na kujengeka kwa mifupa na kazi za misuli
●☆husaidia ufanisi mzuri wa kazi za moyo
●☆husaidia mishipa ya damu kufunguka na kutoa uchafu ulioganda
●☆kubalance standard blood pressure
●☆husaidia damu kusafiri vizuri sehemu zote za mwili
●☆husaidia kurudisha umri nyuma kuanzia muonekano mpaka ufanyaji kazi wa viungo kwa ujumla.
X POWER COFFEE
Hii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;
1. Fresh maca
2. Ginseng powder
3. Tongkat ali
4. Epimedium
Viambata hivi vimetoka nchi za
KOREA,CHINA,USA,INDIA,PERU
Kahawa hii haina CAFFEINE,imetolewa Kwa kutumia teknolojia bora ili kuwafaa watu Wa aina zote.
Kazi muhimu za Hii Kahawa;
💯1. Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.
2💯. Kuupa mwili Nguvu zaidi
3.💯 Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.
5.💯 Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata k**a iliisha kabisa.
6💯. Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.
7💯. Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume
8💯. Kuufanya uume usimame barabara k**a msumari
9.💯 Kusafisha mishipa ya damu
10.💯 Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi
11.💯 Haina kemikali ni ya asili kabida 100%
EPUKA AIBU YA KUFIKA HARAKA KILELENI.
PATA XPOWERMAN COFFEE na X POWER MAN CAPSULRES
Kwa maelezo zaidi USHAULI NA TIBA
piga 0768892003
ili upatiwe virutubosho hivi.
0768892003
Dr_Evitus
26/01/2022
*...Kutokana na uhaba wa mafuta aina ya fatty acid mwilini yanayopatikana kwenye vyanzo k**a samaki wa kina kirefu cha bahari hasa kwa samaki aina ya salmon, na pia dagaa, sangara, ngisi n.k pamoja na mbegu k**a mizeituni, almonds, walnuts na kwa kiwango flani katika parachichi na Karanga...* wengi wetu tumekuwa tukisumbuliwa na changamoto mbalimbali k**a
➖Kuzidi kwa lehemu (cholesterol ) katika damu
➖Uono kupungua nguvu
➖Kumbukumbu kupotea
➖Joint kuuma na ukak**avu wa Neva za mwili
➖Mishipa ya damu kukak**aa na kukaza
➖Shida za moyo n.k
➖Seli na tissue kushambuliwa na kemikali huru.
Hivyo tumekuandalia kirutubisho kiitwacho * *Dr cow na detoxilive** ili kikusaidie wewe na familia kuratibu afya yako kwa ujumla.
*Ipate leo product hiyo 0768892003
21/01/2022
X POWER COFFEE
Hii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;
1. Fresh maca
2. Ginseng powder
3. Tongkat ali
4. Epimedium
Viambata hivi vimetoka nchi za
KOREA,CHINA,USA,INDIA,PERU
Kahawa hii haina CAFFEINE,imetolewa Kwa kutumia teknolojia bora ili kuwafaa watu Wa aina zote.
Kazi muhimu za Hii Kahawa;
💯1. Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.
2💯. Kuupa mwili Nguvu zaidi
3.💯 Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.
5.💯 Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata k**a iliisha kabisa.
6💯. Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.
7💯. Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume
8💯. Kuufanya uume usimame barabara k**a msumari
9.💯 Kusafisha mishipa ya damu
10.💯 Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi
11.💯 Haina kemikali ni ya asili kabida 100%
EPUKA AIBU YA KUFIKA HARAKA KILELENI.
PATA XPOWERMAN COFFEE.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba
0768892003
Dr_Evitus
04/01/2022
CHANZO CHA UGUMBA KWA MWANAUME
__________
Dr_ Evitus
Watu walio wengi hudhani k**a mwanamke hapati ujauzito, basi tatizo na lawama zote zitakuwa ni upande wake. Lkn si mara zote tatizo linakuwa kwa mwanamke, pia kuna uwezekano mkubwa wa tatizo kiwa upande wa mwanaume.
KUNA SABABU KUU MBILI ZA UGUMBA KWA MWANAUME:
1. Mwanaume kuwa na mbegu chache (Low s***m count).
2. kutokubalansi kwa homoni (hormonal imbalance)
Wanawake wanahitaji vipimo vingi kujua chanzo cha tatizo hali ya kuwa kwa mwanaume ni kipimo kimoja tu nacho ni cha kujua wingi wa mbegu pamoja na afya ya mbegu kwa ujimla (S***m analysis). Mwanaume mwenye uwezo wa kuzalisha anahitaji kuwa na mbegu zisizopungua MILIONI 20. Chochote chini ya hapo kinaweza kuwa sababu ya kutokutungisha ujauzito.
VISABABISHI VYA MBEGU KUWA CHACHE (LOW S***M COUNT).
a). Vifaa vya kielektroniki.
Athari inakuja kujitokeza pale ambapo mionzi yake inapopelekea joto lisilohitajika ktk mfuko wa mbegu za kiume. Vifaa ivi ni k**a simu, komputa (laptop). Na ndio mana tunashauriwa kutokuweka simu mfukoni au kuweka laptop kwenye mapaja.
b). Vifaa vya internet visivyotumia waya (Wireless internet) or WiFi.
Vifaa hivi vinapunguza wingi wa mbegu, uwezo wa mbegu kukimbia pamoja na kuharibu muundo asili wa mbegu kwa ujumla (DNA fragmentation).
C). Aina ya chakula tunachokula.
Hii ni moja ya sababu kubwa mnoo inayowakumba wanaume wengi. Tunakuwa hatupati chakula sahihi au lishe bora ktk milo yetu ya kila siku.
d). Kujichua (Punyeto). Hili ni janga kubwa miongoni mwa wanaume wengi karibu kote duniani. Mbaya zaidi tatizo hili ukishakuwa affected inakuwa vigumu kuacha.
e). Unywaji wa pombe
f). Uvutaji wa sigara, bhangi na madawa yote ya kulevya kwa ujumla.
g). Msongo wa mawazo (stress).
h). Madawa yanyotumika kwenye mazao mashambani au kuhifadhia mazaomwili na hivyo kupelekea. Matumizi ya vifaa vya plastiki.
Wakati kifaa cha plastiki kinapowekewa chakula cha moto hutoa kitu kijulikanacho k**a 'xenohormone' ambacho huigiza k**a ni 'estrogen' ndani ya mwili na kuleta Matatizo kwenye mfumo wa uzazi.
OKOA NDOA YAKO KWA KUPATA TIBA SAHIHI.
NJOO TUWASILIANE UPATE SULUHISHO LA KUDUMU
Mawasiliano
0768892003
TIBA YA TEZIDUME BILA UPASUAJI.
DR_EVITUS
Kila mwanaume anazaliwa na Tezi ya kiume. Tezi dume siyo ugonjwa bali ni kiungo k**a viungo vingine mwilini. Tezi dume inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo. Kazi yake kubwa nikutengeneza majimaji ya uzazi wa mwanaume (shahawa), ambayo husaidia kurutubisha mbegu za kiume zilizo tengenezwa kutoka kwenye Korodani; na husaidia mbegu za kiume kubaki hai kwa muda unaostahili pia kumkinga mwanaume na maambukizi katika mfumo wa mkojo.
Tatizo linakuja kiungo hiki kinapoanza kutanuka. Kiungo hiki kinatanuka taratibu taratibu mnoo. Hili ni tatizo linalo wakumba wanaume wengi.
Takwimu zinaonesha kwamba kati ya wanaume 10, wa 5 na kuendelea wana dalili za kutanuka kwa Tezi dume.
UKUAJI WA TEZI DUME.
Ukuwaji wa Tezi dume ni ile hali ya chembe chembe hai katika tezi ya kiume kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili katika eneo linalo zunguka mirija ya kupitisha mkojo na mbegu za kiume.
Tatizo hili kwa sasa linawapata wanaume kuanzia umri wa miaka 25 na kuendelea, tofauti na awali lilikuwa miaka zaidi ya 50.
Takwimu kutoka kwenye shirika la CHRP (Centre for Human Right Promotion), zinaonesha kwamba kiujumla kila mwanaume katika maisha yake ana 16% za kugundulika na saratani ya Tezi Dume, mtu 1 kati ya watu 6 analo hili tatizo; Na 3% (1 kati 33) wanakufa kwasababu ya Saratani ya Tezi Dume.
Saratani hii inaua mwanaume mmoja kila baada ya dakika 13.
II. VYANZO VINAVYOPELEKEA TEZI DUME KUTANUKA
Tatizo la kutanuka kwa tezi dume limekuwa kwa kasi sana hii ni kutokana na mitindo ya maisha wanaume wengi wanayoishi. Pia na elimu ndogo iliyoko kwenye jami kuhusu afya bora na Virutubisho.
Vifuatavyo ni vyanzo vya kutanuka kwa tezi dume:
- Ukosefu wa lishe kamili na upungufu wa Virutubisho muhimu mwilini
- Uwepo wa sumu nyingi na mafuta mengi mwilini hasa katika mishipa na ogani za uzazi
- Kutokufanya mazoezi
- Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara
- Uzito mkubwa (uliopindukia, uliokithiri), na Kitambi
- Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance)
- Msongo wa mawazo (Stress )
- Magonjwa ya zinaa
- Umri mkubwa
- Upasuwaji wa korodani,matatizo ya kimaumbile ya Korodani
- Historia ya Familia (Kurithi)
- Mazingira (Ethnicity)n.k
III. DALILI ZA KUTANUKA KWA TEZI DUME
Tatizo la Tezi Dume si tatizo la kutokea tuu siku moja na mara moja tuu na ndo maana tunasisitiza sana matumizi ya Suppliments (Virutubisho) kwa mwanaume yeyote anaejari Afya yake. Mpaka mtu apate saratani ya Tezi Dume (Prostate Cancer), atambue alianza kupata tatizo hilo kwa muda mrefu sana, Wengi wao hueleza dalili za tatizo hili huanza kuziona si chini ya miaka 3.
Hii hutokana na mrundikano wa mkojo unaobaki kwenye kibofu na kwenye mrija wa mkojo (Urethra) wakati unakojoa, ukiendelea kujirundika kwenye kibofu na mrija; baada ya muda unazalisha “Uric Acid” na ndio inatengeneza saratani (cancer).
Saratani ziko stage nne.
Ya kwanza na yapili ukiwahi unaweza kupona; lakini ikishafika stage ya 3 na 4, hazitibiki. Unasaidiwa kupunguza makali kwa mionzi ukijitayarisha kupoteza maisha muda wowote.
Hivyo ukiona dalili mojawapo kati ya hizi chukua tahadhari na hatua mapema kabla hujaharibu mfumo wako
mzima wa uzazi wa mwanaume.
a) Dalili za awali
- Kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu
- Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
- Maumivu kwenye mfumo wa mkojo
- Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
- Kuhisi kibofu kimeja mkojo muda wote na ukienda kukojoa mkojo hautoki, lakini ukirudi kukaa unahisi kukojoa tena.
- Homa
- Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku
- kupata maumivu ukilazimisha kukojoa na kushindwa kutoa mkojo pale unapolazimisha na kuambatana na maumivu makali.
b) Dalili za mtu aliyeathirika
- Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno na mbavu
- Miguu kuwa dhaifu
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa, au Kuhisi maumivu makali wakati unamaliza tendo la ndoa
- Kushindwa kuzuia mkojo , pindi unapohisi kukojoa
- Kushindwa kuzuia haja kubwa
(kinyesi cha maji maji)
- Tumbo kujaa gesi mara kwa mara
IV. MADHARA YA TEZI ILIYOTANUKA
Katika hatua za awali, tezi inapotanuka hugunduliwa kwa kupimwa kwa njia ya kidole.
Hii ni njia ambayo daktari huingiza kidole kwenye njia ya haja kubwa ili kuweza kubaini k**a tezi imetanuka. Kipimo hiki ndicho rahisi kinacho kubalika duniani kote na kisicho na gharama. Lakini kimekuwa kikipata upinzani kutoka kwa wanaume kutokana na imani potofu ya wahusika wa tatizo hili kuona ni udhalilishaji.
Kipimo kingine ni kipimo cha damu. Damu huchunguzwa aina ya protein inayozailishwa na seli za tezi dume, kiitwacho Prostate Antigen (PSA). PSA huonesha kuwapo kwa tatizo kwenye Tezi Dume, lakini kipimo hiki hakina uwezo wa kutofautisha endapo tatizo hilo linamaanisha saratani.
MADHARA:
Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka:
- Kibofu cha mkojo kuuma : hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume
- Kifo
V. SULUHISHO KWA TEZI ILIYOTANUKA
a) Suluhisho Linalopendwa na
Watu wengi pindi wanapopatwa na madhara ya Tezi dume ni Dawa na kujikuta wakipewa tiba ambazo huficha tatizo hilo kwa muda mfupi kisha tatizo hujirudia kwa kasi kubwa.
Tezi iliyotanuka haiwezi kutibika kwa njia za madawa yenye makemikali au mitishamba, lakini madawa au upasuaji hupunguza maumivu ya dalili na kuzifanya zisizidi sana.
Kuna njia 3 za kudhibiti Tezi iliyotanuka
1. Kusubiri na kufuatilia kwa ukaribu na Daktari:
Inashauriwa kwamba kwa tatizo hili ni bora kuendelea kulichunguza bila kukimbilia tiba kali k**a madawa, upasuaji na Tiba kemikali, mpaka pale mtu atakapoona hakuna njia mbadala.
2. Madawa
“Baadhi ya madawa wanayopewa wagonjwa wa saratani ya tezi Dume yaligunduliwa miaka 30 iliyopita, yanasababisha athari kwenye Ini, Moyo na kuvimbisha magoti. Yamepigwa marufuku katika Nchi haswa za Ulaya.”
– Johnathon Waxman , Cancer Specialist, Hammer Smith Hospital, London
3. Upasuaji
Njia hii ambayo madaktari hutumia inapelekea “70% ya wagonjwa kuwa mahanithi baada ya upasuaji, na 40% wanashindwa kuzuia mkojo kutoka wanapo banwa na haja ndogo.”
– Johnathon Waxman
Inasikitisha kuona wanaume wanapasuliwa bila uhakika wowote kwamba huo upasuaji utakuwa na manufaa.
b) Suluhisho la kudumu (Bora)
JE NINI WAWEZA KUFANYA KUJIKINGA NA KUONDOKANA NA CHANGAMOTO YA TEZI DUME??.
SOMA HAPA:
Miili yetu hihitaji virutubisho muhimu ili kuimarisha Kinga na Kuulisha mwili wetu.
Vitu gani vya kuzingatia kuilinda tezi dume?
1. Kula mboga mboga na matunda kwa wingi kulingana na kundi lako la damu yako.
2. Punguza au acha kuvuta sigara
3. Punguza au acha utumiaji wa pombe kali.
4. Punguza kukaa kwa mda mrefu sehemu moja kwa siku.
Fanya mazoezi kwa wingi.(Sitting is a new smoking)
5. Kutovaa nguo za kubana
6. Vaa chupi za cotton na sio material yeyote.
7. Kuhakikisha Uume uwe una erect mara kwa mara
8. Na mwisho Zingatia Matumizi ya Virutubisho. Utumiaji wa virutubisho ( Supplements) hasa vinavyohusika na Tezi dume, Uzazi kwa mwanaume(Nguvu za kiume) pamoja na ogani zote za uzazi.
Tezi Dume inatanuka kwasababu ya upungufu wa madini na virutubisho mwili unavyohitaji.
Kwa watu wenye uhitaji wa kujikinga na pia wenye changamoto hii ya kutanuka kwa Tezi Dume, na mfumo wa uzazi mwanaume ,na
Kampuni tumewaandalia program ya lishe kamili na virutubisho muhimu . Supplements hizi ni vyakula, siyo madawa wala mitishamba. Zimetengenezwa kutoka kwenye vyakula ambavyo tungefaa kula kila siku, na vina lishe kamili na virutubisho muhimu katika miili yetu inavyo hitaji ili iweze kutengeneza mfumo bora wa mwili na uzazi wenye afya bora na nadhifu.
Supplements hizi (Virutubisho) vina mchanganyiko wa Proteins, Vitamins, Minerals, Essential Fat Acid and Trace minerals .
Pia Program zetu za lishe zimethibitishwa na mashirika ya kuthibiti ubora wa viwango vya bidhaa duniani. Na kwa hapa Tanzania, zimethibitshwa na mamlaka ya chakula na madawa (TMDA) pamoja na (Tbs) viwango vya ubora Tanzania.
TUNAPATIKANA
DAR ES SALAAM
ILALA
Wasiliana nami:
+255768892003
+255787405044
KARIBUNI SANA.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Ilala Boma
Dar Es Salaam