IJUE AFYA YAKO

IJUE AFYA YAKO

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from IJUE AFYA YAKO, Health/Beauty, morogoro, Dar es Salaam.

30/08/2020

USIPANGE KUKOSA HII.LEO TAREHE 30/7/...TUTAKUA NA SEMINER KUBWA MIDLAND HOTEL MSAMVU MOROGORO!!!KWA WAKAZ WOTE WA MOROGORO MJINI USIPANGE KUKOSA HIIHAKUNA KIINGILIO!NI BURE.NICHEK 0652040295 NIKUWEKEE KAD YAKO.KARIBUNI SANA,VIJA TUAMKE TUCHANGAMKIE FURSA

18/05/2020

IJUE BAMIA NA FAIDA ZAKE.
Kwa mawasilino zaidi jinsi/namna ya kutumia, pigs no 0654749068/0652040295

12/05/2020
09/04/2020

Uvimbe katika mfuko wa kizazi wa mwanamke hujulikana k**a uterine myoma au fibroid. Uvimbe huu hutokea kwenye misuli laini ya mfuko wa uzazi. Tatizo hili huwakumba wanawake wengi ambapo huwapata kwa asilimia tano wanawake wenye umri kati ya miaka 20 hadi 30, asilimia karibu 20 kwa wanawake wenye umri kati ya miaka 30 hadi 40, na zaidi ya asilimia 40 kwa wale wenye umri zaidi ya miaka 40. Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa myoma ni aina ya uvimbe unaowapata wanawake wengi hasa katika umri wa miaka ya uzazi. Hii inamaanisha kuwa kadiri umri unavyokuwa mkubwa mwanamke ana nafasi kubwa ya kupata ugonjwa huu, pia ni tatizo ambalo linashuhudiwa sana katika jamii kwa sasa na pengine ni kutokana na jinsi watu wanavyoishi. Kuna aina kuu 3 za fibroids, kwanza ni uvimbe unaotokea kwenye tumbo la kizazi na unaweza kuwa ndani ya kizazi unaojulikana k**a submucosal fibroids. Aina ya pili ni uvimbe unaotokea ndani ya nyama ya kizazi yaani intramural fibroid, na aina ya tatu ni ule unaotokea nje kwenye ukuta wa kizazi ambao hujulikana kitaalamu k**a subserosal fibroids.
Uvimbe katika mfuko wa uzazi huwapata zaidi kina mama ambao wako katika umri wa kuweza kuzaa (reproductive age). Uvimbe huwa wa ukubwa tofauti huanza kwa mdogo na baadaye kuwa mkubwa sana na hata baadhi ya wakati mwanamke kuonekana k**a ni mjamzito. Uvimbe huu unaweza kuwa mmoja lakini baadhi ya wakati hutokea uvimbe zaidi ya mmoja amboa hutanda katika mfuko wa uzazi.
Tafiti nyingi zinaonyesha kuwa wanawake wa asili ya Kiafrika hupata zaidi tatizo hili kuliko wazungu. Pia huwapata zaidi wanawake ambao hawajazaa kabisa au wamekaa muda mrefu bila ya kuzaa, wanawake wanene, na pia wale ambao wana ndugu wa karibu aliyepatwa na ugonjwa huu. Wengine walio katika hatari ya kupata ugonjwa huu wa fibroids ni pamoja na wale wanaopata hedhi mapema.
Inafaa kuelewa kuwa, fibroids sio kansa bali ni uvimbe wa kawaida tu ambao hukuwa kwa kutegemea kichocheo au hormone ya estrogen.
Kwa msaada zaidi tuwasiliane kwa namba;0654749068

12/03/2020

FAIDA YA MADINI
Faida za Madini ya zinc kwa watoto
1-Kuongeza kings ya mwili kwa watoto
2-Husaidia maendeleo katika ukuaji kwa mtoto
3-Huimarisha Afya ya ngozi kwa watoto
NI YAPI MADHARA YA I UpUNGUFU WA MADINI YA ZINC KWA WATOTO?
1-Kupoteza kumbukumbu.
2-Kudumaa kiakili
3-Kupoteza hamu ya kula
4-Kupungua Uzito
FAIDA YA MADINI YA ZINC KWA WATU WAZIMA
1-Kuimarisha mfumo was uzazi kwa Mwanaume
2-Husaidia kuweka sawa mfumo wa hormone na ukuaji kwa mayai
3-Husaidia uzalishaji wa mbegu za kiume kwa Mwanaume
4-Kuponesha kidonda.
5-Inasaidia katika utengenezaji wa protein
6- Kuimarisha mfumo wa uzazi kwa Wanawake

AKINA NANI WANAFAA KUTUMIA ZAIDI MADINI YA ZINC?
1-Watu wanaotumia sawa kwa muda mrefu
2-Wanaume wenye upungufu wa mbegu za kiume
3-Watu wanaofanya mazoezi zaidi
4-Wanawake wenye mvurugiko wa hormone
5-Watu wenye matatizo ya vidonda vya tumbo

Tunawaandalia program nzuri kwa wale wrote wenye upungufu na ukuaji wa MADINI ya Zinc hasa watoto wadogo,ambao hawakui vizuri,wanaume wenye changamoto za nguvu za kiume
Tuwasiliane kwa namba 0654749068.
Karibuni sanaa

12/03/2020

FAIDA YA MADINI
Faida za madini ya Zinc kwa watoto
1-Huimarisha Afya ya Ngozi kwa watoto
2-Husaidia maendeleo ya ukuaji kwa watoto
3-Kuongeza kinga ya mwili kwa watoto

JE NI MADHARA GANI HUWAPATA WATOTO WENYE UKOSEFU WA MADINI YA ZINC???
1-Mtoto kupoteza kumbukumbu
2-Kudumaa kiakili
3-Kupoteza hamu ya kula
4-Kupungua uzito.

FAIDA YA MADINI YA (ZINC)KWA WATU WAZIMA
1-Kuimarisha mfumo was uzazi kwa Mwanamke
2-Husaidia kuweka sawa mfumo was hormone na ukuaji kwa Mayai
3-Husaidia uzalishaji was Mbegu za kiume kwa Mwanaume
4-Kuponesha kidonda
5-Inasaidi katika utengenezaji was protein
6-Kuimarisha mfumo was uzazi kwa MwanaumeJE,NI KINANI WANAOFAA KUTUMIA ZAIDI MADINI YA ZINC?
1-Watu wanaotumia dawa kwa muda mrefu
2-Wavutaji Sigara
3-Wanaume wenye upungufu was mbegu za kiume
4-Watu wanaofanya mazoezi zaidi
5-Wanawake wenye mvurugiko was hormone
6-Watu wenye matatizo ya Vidonda vya matumbo

Tunawaandalia program nzuri kwa wale wrote wenye upungufu na uhitaji was MADINI ya Zinc has a watoto wadogo,ambao hawakui vizuri,Mwanaume wenye Changamoto za nguvu za kiume.

Kwa msaada zaidi tuwasiliane kupitia namba 0654749068.Karibuni Sana'a!

25/02/2020

PATA ELIMU JUU YA AFYA YAKO!
JE WAJUA KUA ASILIMIA 99% YA MAGONJWA KATIKA KARNE YA 21 NI MAGONJWA YASIYO AMBUKIZI??!!!

Ikiwa Afya ni muhimili wa maisha ya mwanadamu,kijamii,kiuchumi,kiutamadunikisiasa n.k,,,,je?ikitokea Leo hii umeumwa gafla,unafikiri kipato chako kitaendelea?Uchumi wako utakua?shughuli zako za kijamii zitafanyika????

ANZA LEO KUEKEZA KATIKA AFYA YAKO,AFYA YAKO KIPATO CHAKO!AFYA YAKO UTAJIRI WAKO!

Katika karne hii ya 21,mambo yasiyo ambukizi yamekuja kwa kasi ya ajabu ukilinganisha na miaka mingi iliyopita.Magonjwa haya kwa majina mengine tunayaita(Life style diseases)Mfano
1-Pressure
2-Kisukari
3-Kansa ya Tezi dume
4-Homone imbalance
5-UTI
6Vidonda vya tumbo
7-Canser
8-Costipation(choo kigumu)
9-Mgongo wazi n.k

Nini chanzo cha Magnum a haya????

Tafadhali endelea kufatilia page yangukwa elimu bora juu ya AFYA yako.

Kwa maelezo zaidi tupigie 0654749068.

23/02/2020

HOMONE IMBALANCE(VICHOCHEO VYA MWILI)
Mini maana ya Hormone Imbalance?
Ni kitendo cha kuzidi kwa uzalishwaji wa homone mwilini hivyo kupeleke hormone imbalance.
Changamoto hii imekua ikiwakumba wanawake wengi sanaa.
Chanzo
Tatizo hili limekua likisababishwa na kiwango kidogo cha ESRTOGEN

DALILI
1-Kupungua kwa hamu ya kufanya tendo La ndoa
2-Kutokua na uwezo kushika mimba(Infertility)
3-Mzunguko wa hedhi kubadilika badilika
4-Kuongezeka uzito
5-Kutopata usingizi
6-Kutofurahia tendo la ndoa
7-Mapigo ya moyo kutokua sawa
8-Mafua Mara kwa Mara
9-Kutofurahia tendo la ndoa
10-kupata choo kwa shida
11.......
12........

JE Athari yake kubwa hasa ni IPI???!
Itaendelea
Contact us 0654749068

28/12/2019

IJUE KAROTI NA FAIDA ZAKE
KAROTI NI NINI?
KAROTI ni moja kati ya viungo vya kupikia mboga

FAIDA ZAKE
1-Kuongeza uono wa macho
2-kurahisisha mmeng'enyo wa chakula mwilini
3-Ni nzuri kwa kiongeza ladha ktka chakula
4-Kuifabya ngozi kua nyorori
5-...,.itaendelea

26/12/2019

FAHAMU KUHUSU KANSA YA TEZI DUME!!
NINI MAANA YA TEZI DUME???

TEZI DUME ni kiungo k**a viungo vingine katika mwili wa mwanadamu.

JE INAPATIKANA WAPI?
TEZI DUME inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume Kafka shingo ya kibofu cha mkono.

KAZI KUBWA YA TEZI DUME NI NINI?
Kazi kubwa ni kutengeneza majimaji ya uzazi wa mwanaume(Shahawa)ambayo husaidiq kurutubisha mbegu za kiume
zilizotengenezwa kutoka kwenye korodani na kusaidia mbegu za kiume kubaki hai kwa muda unaostahili.

TATIZO HUANZIA WAPI?!
TATIZO huanza pindi kiungo kinapoanza kutanuka.Kiungo hili kinakua taratibu taratibu mno.

TAKWIMU Inaonyesha kuwa;kati ya mwanaume 10, mwanaume 5 kati yao wanadalili ya kupata Kansa ya Tezi DUME(Prostat Cancer)

UKUAJI WA TEZI DUME!

NI ile hali ya chembechembe hai katika Tezi ya kkiume kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili katika eneo linalozunguka mirija ya kupitisha mikojo na mbegu za kiume.

ChRPC(CENTRE FOR HUMAN RIGHT PROMOTION);Inaonyesha kuwa,kila mwanaume Kafka maisha take ana asilimia 16% kugundulika na Saratani yavTezi Dume.

SARATANI hii inaua mwanaume 1 kila baada ya Dk 13.

VYANZO
-Mitindo mibovu ya maisha (Lifestyle)
-ELIMU ndogo iliyoko katka jamii kuhusu Afya zao
-Ukosefu wa Lishe kamili na virutubisho muhimu mwilini
-Uwepo wa simu nyingi mwilini
-Kutokufanya mazoezi
-Matumizi ya pombe Kali na uvutaji wa sigara
-Uzito mkubwa
-HomoneImbakance(Vichochea vya mwili)
-Msongo wa Mawazo
-Magonjwa ya Zinaa
-Umri mkubwa
-Upasukaji wa korodani.
-Sababu za kimazingira.

DALILI
1-Maumivu makali kwenye mfumo wa mkono
2-Kuhisi kibogu kimejaa muda woote,ukienda kukojia mkono hauyoki
3-Kukojoa Mara kwa Mara has a nyakati za usiku
4-Maumivu ya mifupa hswa chini ya mgongo,kiuno
5-Kushindwa kumudu tendon la ndoa
6-Kuhisi maumivu makali wakati wa unamalizia tendon la ndoa
7-Kushindwa kuzuia mkono pindi unataka kukojoa
8-Kushindwa kuzuia haja kubwa
9-Miguu kua dhaifu.

ATHARI
1-Kufunga kwa njia ya mkono
2-Kuharibika kwa FIGO na INI
3-FIGO kushindwa kufanya kazi(Kidney Failure)
3-Kuvunjika kwa Ndoa
4-Ugumba (Infertility)
5-Kutokea kwa majipu sehemu za siti.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Morogoro
Dar Es Salaam
250