afya_yako2020

afya_yako2020

Share

clinic inayoshughulika na shida za wanawake na wanaume kiafya
uzazi wanawake
uzazi wanaume
UTI
pressure & sukari
changamoto ya ngozi watoto .

Photos 24/06/2020

Everything is possible kuamua tu.

Photos 29/05/2020

Photos 28/05/2020

Watu hujifunza kwa mifano.

Photos 25/05/2020

ts tea tym

Photos 16/05/2020

Shuhuda ndio zinatusaidia sana kiimani.

Photos 14/05/2020

(4) *garlic alium complex* ni bidhaa maarufu saana Neolife ni antibacterial, antifungal, inaongeza kinga pia thidi ya magonjwa mengi zikiwemo.infections nguvu ya jamiii ya vitunguu imo kwenye harufu jamii za vitunguu zina lishe aitwa ALLIN ukikata kitunguu au ukitafuna kitunguu hiii lishe ya allin hubadilika na kuwa ALLICIN(main active ingredient) allicin ina SULFUR hii ndio hukutoa machozi NDIO HARUFU YA KITUNGUU NA RADHA , allicin hubadilika haraka na kuwa SULFUR compound ni hiii SULFUR compound inakifanya kitunguu kiwe k**a dawa kiwe na sifa ya kutibu, SULFUR compound zimeonesha uwezo mkubwa wa kuongeza uwezo wa white blood cells chembe nyeupe za damu kupambana na maambukizi infections zote, bacteria, fungus, viruses ns hata zile zinazosababisha mafua makari na kikohozi , garlic pia inapunguza uwezekano wa kuugua na hata .ukiugua k**a unatumia garlic unapona haraka mnoo na inapunguza seriousness ya ugonjwa , Neolife tuna the best garlic allium complex ambayo imetengenezwa vizuri haitoi harufuu kabisa

Photos 12/05/2020

pro vitality

Photos 12/05/2020

karibuni wateja wetu wa clinic yetu pendwa tuwafundishe biashara hii itakayoenda kubadilisha maisha yako na pia kikubwa KULINDA AFYA YAKO NA KUKUPONYESHA MAGONJWA MBALIMBALI. just click on our bio

Photos 27/04/2020

*1. Fibre tablets* Vyakula vingi (hasa vya nafaka) tunavyokula havina nyuzinyuzi za kutosha kwa sababu ya jinsi vinavyoandaliwa mfano kuondoa ganda la juu (kukoboa).
Pia hatuli matunda na mbogamboga za kutosha.
Fibre tablets imetengenezwa kwa nyuzinyuzi kutoka katika vyakula mbalimbali ambavyo ni nafaka, matunda na mbogamboga
*Kazi za fibre tablets* _ Inakufanya ujisikie umeshiba hivyo inazuia kula kiasi kikubwa cha chakula.
_ Ni nzuri kwa watu wanaotaka kupungua uzito (hasa wale ambao hawawezi kudhibiti hamu ya kula)
_ Inaondoa mafuta mabaya mwilini _ Inadhibiti kiwango cha sukari katika damu (hivyo ni nzuri sana kwa wenye tatizo la Kisukari)
_ Inaimarisha mfumo wa umeng'enywaji wa chakula, mfumo wa kinga mwili na afya kwa ujumla
_ Inazuia na kuponya tatizo la kukosa/kufunga choo (constipation)

Photos 26/04/2020

Usiwaze sana kuhusu Covid_19 pamoja na kunawa na Kumwomba Mungu imarisha kinga ya mwili Mara 37% zaidi ikiwa na mboga na matunda ya kuosha yakiwemo machungwa yaani vitamin c zote
Hakuna changamoto yeyote ya afya itakayokaa mwilini
Kisukari
Pressure
Kinga zimeshuka
Kuchoka
Macho
Miguu
Sumu zimejaa mwilini
Nitafute nikupatie Suluhisho
235000
Ikiwa una mapenzi na ndugu na jamaa wenye wasiwasi na habari za corona wapelekee hii SMS tupambane na corona.

Photos 20/04/2020

kwa kipindi hichi cha corona , tuwajali watoto wetu kwa kuwapatia virutubisho vitakavyo imarisha immune system zao.

Photos 17/04/2020
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam