afya_yako2020
clinic inayoshughulika na shida za wanawake na wanaume kiafya
uzazi wanawake
uzazi wanaume
UTI
pressure & sukari
changamoto ya ngozi watoto .
24/06/2020
Everything is possible kuamua tu.
29/05/2020
28/05/2020
Watu hujifunza kwa mifano.
25/05/2020
ts tea tym
16/05/2020
Shuhuda ndio zinatusaidia sana kiimani.
14/05/2020
(4) *garlic alium complex* ni bidhaa maarufu saana Neolife ni antibacterial, antifungal, inaongeza kinga pia thidi ya magonjwa mengi zikiwemo.infections nguvu ya jamiii ya vitunguu imo kwenye harufu jamii za vitunguu zina lishe aitwa ALLIN ukikata kitunguu au ukitafuna kitunguu hiii lishe ya allin hubadilika na kuwa ALLICIN(main active ingredient) allicin ina SULFUR hii ndio hukutoa machozi NDIO HARUFU YA KITUNGUU NA RADHA , allicin hubadilika haraka na kuwa SULFUR compound ni hiii SULFUR compound inakifanya kitunguu kiwe k**a dawa kiwe na sifa ya kutibu, SULFUR compound zimeonesha uwezo mkubwa wa kuongeza uwezo wa white blood cells chembe nyeupe za damu kupambana na maambukizi infections zote, bacteria, fungus, viruses ns hata zile zinazosababisha mafua makari na kikohozi , garlic pia inapunguza uwezekano wa kuugua na hata .ukiugua k**a unatumia garlic unapona haraka mnoo na inapunguza seriousness ya ugonjwa , Neolife tuna the best garlic allium complex ambayo imetengenezwa vizuri haitoi harufuu kabisa
12/05/2020
pro vitality
12/05/2020
karibuni wateja wetu wa clinic yetu pendwa tuwafundishe biashara hii itakayoenda kubadilisha maisha yako na pia kikubwa KULINDA AFYA YAKO NA KUKUPONYESHA MAGONJWA MBALIMBALI. just click on our bio
27/04/2020
*1. Fibre tablets* Vyakula vingi (hasa vya nafaka) tunavyokula havina nyuzinyuzi za kutosha kwa sababu ya jinsi vinavyoandaliwa mfano kuondoa ganda la juu (kukoboa).
Pia hatuli matunda na mbogamboga za kutosha.
Fibre tablets imetengenezwa kwa nyuzinyuzi kutoka katika vyakula mbalimbali ambavyo ni nafaka, matunda na mbogamboga
*Kazi za fibre tablets* _ Inakufanya ujisikie umeshiba hivyo inazuia kula kiasi kikubwa cha chakula.
_ Ni nzuri kwa watu wanaotaka kupungua uzito (hasa wale ambao hawawezi kudhibiti hamu ya kula)
_ Inaondoa mafuta mabaya mwilini _ Inadhibiti kiwango cha sukari katika damu (hivyo ni nzuri sana kwa wenye tatizo la Kisukari)
_ Inaimarisha mfumo wa umeng'enywaji wa chakula, mfumo wa kinga mwili na afya kwa ujumla
_ Inazuia na kuponya tatizo la kukosa/kufunga choo (constipation)
26/04/2020
Usiwaze sana kuhusu Covid_19 pamoja na kunawa na Kumwomba Mungu imarisha kinga ya mwili Mara 37% zaidi ikiwa na mboga na matunda ya kuosha yakiwemo machungwa yaani vitamin c zote
Hakuna changamoto yeyote ya afya itakayokaa mwilini
Kisukari
Pressure
Kinga zimeshuka
Kuchoka
Macho
Miguu
Sumu zimejaa mwilini
Nitafute nikupatie Suluhisho
235000
Ikiwa una mapenzi na ndugu na jamaa wenye wasiwasi na habari za corona wapelekee hii SMS tupambane na corona.
20/04/2020
kwa kipindi hichi cha corona , tuwajali watoto wetu kwa kuwapatia virutubisho vitakavyo imarisha immune system zao.
17/04/2020
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam