Tiba na ushauri
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba na ushauri, Health/Beauty, Bagamoyo, Dar es Salaam.
22/03/2022
# # #
KWA MENO SAFI na IMARA Tumia Dr Ts
>>>HUONDOA MAUMIVU YA MENO
>>HUNG’ARISHA MENO
>>HUTIBU MENO KUTOBOKA /kumeguka
>>HUTIBU FIZI KUVIMBA na KUTOA DAMU
>>HUONDOA HARUFU MBAYA YA KINYWA/mdomo
>>HUTIBU VIDONDA MDOMONI
>>HUTIBU FUNGUS ZA KWENYE KOO na KINYWANI
>>Huondoa GANZI kwenye MENO /KINYWA
**SHARE kwa WATU na Ma GROUP mbali mbali uweze kuwasaidia Wengi wanaoteseka 🙏🙏
Piga/WhatsApp:0
NOTE: Ukiinunua kabla ya Tarehe 31 Mwezi huu utaipata Kwa BEI YA PUNGUZO MAALUMU
• KWA NINI HOMONI ZINAVURUGIKA?
• MAMBO GANI TUKIYAFANYA HUWA TUNAVURUGA HOMONI ZA UZAZI....?
•VITU GANI TUVIZINGATIE ILI KUONDOA KERO ZA KUKOSA HEDHI KWA WAKATI ILI TUPATE UJAUZITO KWA MUDA TUNAOUTAKA...?
Karibu darasani....
Kwa bahati mbaya sana shule zetu za msingi hazina somo la endocrinology japo ni somo muhimu sana maana bila kuzifahamu vyema homoni, tunatumia pesa kubwa kutibu mambo ambayo unaweza kabisa kuyatatua ukiwa jikoni kwako.
👉🏾Sababu kubwa inayosababisha homoni kuvurugika ni Lishe Duni na ULAJI MBOVU (Mtindo Wa Maisha) usiofaa (hiki ndicho kiini kikubwa na ndio sababu ya kukualika katika kundi hili hili tupeane elimu kidogo kuhusu homoni)
Kile tunachokiingiza katika mwili wetu kwa kula na kunywa hicho ndicho kinajenga mwili au kuharibu mwili wetu iwe tunafahamu au hatufahamu.... (Sumu inaua tu iwe unajua ni sumu au umekunywa bahati mbaya itakuua tu) vivyo hivyo ulaji wetu ndivyo unafanya.
Katika Jamii na familia zetu tumeendekeza sana mtindo mbovu wa maisha ya kizungu katika ulaji na unywaji ila tumesahau kuiga mtindo wao wa mazoezi, kufanya vipimo mara kwa mara na kuzingatia kanuni bora za ulaji.
Unywaji soda, vyakula vya viwandani, vyakula vya wanga, vyakula vya kukaushwa kwa mafuta mengi, vyakula vya kisasa k**a mayai, nyama / samaki za kutunzwa kwenye makopo, uvutaji sisha na sigara, bia, pombe, vilevi n.k umekuwa utaratibu wetu wa mara kwa mara na kusahau kabisa ulaji wetu wa kawaida (Wa Kishamba) kitu ambacho kimefanya wadada wa kijijini wanaishi vizuri huku wadada mjini tunaishi kwa kutembelea hospital kila mwezi.
Umewahi kuambiwa na daktari wako kwamba punguza ulaji wa vyakula vya wanga na sukari nyingi?
👇🏿
KWA NINI TUNASEMA UPUNGUZE KULA WANGA NA SUKARI ILI KUWEKA HOMONI / UZAZI SAWA
Jamii haijui kwamba Vyakula vya Sukari na wanga Vinavuruga homoni, Vinakukosesha Hamu ya Tendo la ndoa, Vinakuletea Uvimbe kwenye Kizazi (Cyst na Pcos) mambo haya huwasababishia UGUMBA wanawake wengi sana:-
1. Mwili wa binadamu huwa unastahimili
09/12/2021
*KIBOKO YA NGOZI WALIO ATHIRIKA NA CREAM MUWASHO,MAKOVU SUGU*
🙍🏽🙍🏽🙍🏽MATATIZO YA NGOZI KWA WANAWAKE👩🏽🦰👩🏽🦰👩🏽🦰 Wanawake wengi wamekua wakihangaika na matatizo mbalimbali ya ngozi,k**a vile; .
➡Chunusi sugu usoni na mgongoni.
➡Mabaka,makovu upele na harara
➡ngozi kuwa kavu na inayotoa jasho sana.
➡ngozi iliyoungua kutokana na matumizi ya vipodozi .
➡Kukosa unyevu katika ngozi .
➡Madoa meusi yasiyoisha(black heads)
➡Makunyanzi na ngozi iliyozeeka
Kwa kawaida ngozi ya mwanamke tofauti na mwanaume,inatakiwa kuwa laini, nyororo na isiyo na madoa wala ukavu...hii ni kutokana na uwepo wa hormone ya oestrogen inayozalisha vichocheo kwa ajili ya ngozi nzuri
Tatizo la ngozi hutokea pale tunapokutana na changamoto za kawaida katika maisha ya kila siku k**a vile vyakula,matumizi ya vipodozi na mtindo wa maisha kwa ujumla...tatizo huwa haliishi kwa sababu hutibiwa nje tuu sehemu inayoonekana,na sio chanzo cha tatizo yaani ndani, .
🍇🍇SULUHISHO NI FEMINERGY🍇🍇 FEMINERGY ni bidhaa maalum iliyotengenezwa kwa mimea asilia ya zabibu kwa ajili ya mwanamke yoyote na huanza kutibu tatizo kuanzia ndani mpaka nje,feminergy; .
➡Hutibu tatizo la chunusi usoni kuanzia ndani mpaka nje .
➡Huondoa madhara yatokanayo na uzee(anti aging) .
➡Huondoa madoa meusi na mabaka usoni
➡Hulainisha ngozi iliyokosa moisture na kurudisha hali ya kawaida .
➡Hutibu ngozi iliyoathirika na matumizi ya vipodozi .
➡Huondoa harara na upele na harufu mbaya.
➡ni nzuri kwa wanawake wenye tatizo la kukosa hisia za mapenzi
Pendeza kiasilia pasipo madhara kwa ngozi yako!
Call
*FAIDA ZA KULA TENDE au JUICE na MAZIWA👇🏻*
*.Tende ina kiwango kikubwa cha nyuzinyuzi*
*.Tende hutibu tatizo la kuvimbiwa*
*.Tende huboresha tishu za meno*
*.Tende husaidia kuongeza uzito*
*.Tende husaidia kuupa mwili nguvu na kuondoa uchovu*
*.Tende huboresha macho*
*.Tende hupunguza kiwango cha kolesterol mwilini*
*.Tende husaidia kutibu ainemia*
*.Tende husaidia sana kwenye mambo frani ya watu wazima kula tende punje 10 au zaidi. Tumia na maziwa freshi ya moto glas moja kila siku hasubui na jioni kwa muda wa wiki 2 tu hakika utaona matokeo mazuri*
*.Tende huzuia saratani ya tumbo*
*.Tende huyapa Maziwa virutubisho kwa Mama anayenyonyesha akiwa anakula tende mtoto wake atakua na afya nzuri*
*.Tende huongeza damu*
*.Tende ni nzuri kutumiwa kwa Mama Mjamzito kwa sababu inasaidia sana mama anapopata uchungu wakati wa kujifungua hawezi kupata shida sana atajifungua haraka kwa idhini ya Mwenyezi Mungu.*
*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}*
*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*
➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
*CHANZO CHA BAWASIRI*
➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
➖ Tatizo sugu la kuharisha
➖ Ujauzito
➖ Uzito wa mwili kupita kiasi
➖ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
➖ Kupata haja kubwa ngumu
➖ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
➖ Kunywa pombe
➖ Kula sana nyama nyekundu
➖ Vidonda vya tumbo
➖ Ngiri(Chango/Hernia
➖ Kula sana pilipili
➖ Kunyanyua vitu vizito
*DALILI ZA BAWASIRI*
➖ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
➖ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
➖ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
➖ Kupata kinyesi chenye damu
➖ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
➖ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
➖ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
➖ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
➖ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)
*MADHARA YA BAWASIRI*
➖ Upungufu wa damu mwilini
➖Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
➖ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
➖ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
➖ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
➖ Kupata tatizo la kisaikolojia
➖ Kutopata ujauzito
➖ Mimba kuharibika
Call➖text&sms➖whatsapp👇
SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏
DETOXILIVE ni Bidhaa BORA na ya ASILI iliyotokana na mchanganyiko wa MIMEA na MATUNDA mbali mbali ambavyo vimekua vikitumika kutibu Maradhi SUGU katika nchi mbalimbali Duniani
***Bidhaa HII ni Muhimu sana Kwa kila BINADAMU kutokana na kazi zake MEILINI na KATIKA organs K**a vile FIGO,INI ,MAPAFU,KONGOSHO,Ubongo
1) Inatoa sumu zote mwilini.
2) Inaimarisha ubongo na kutunza kumbukumbu
3) Inaondoa madhara ya pombe kwa wanywaji na kulinda INI na FIGO
4) Inaondoa mafuta yaliyozidi mwilin, baada ya kula hutumiwa Kuzuia kuota vitambi,
5) Inaondoa sukari iliyozid mwilin Na ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu (presha)
6) Inaleta usingizi Mzuri sana
7)Ina ondoa URIC ACID mwilini
8)Inaimarisha UTENDAJI KAZI MZURI na kuzuia madhara kwenye FIGO,INI,KONGOSHO,mapafu
9) Inazuia na kuondosha tatizo la MAWE KWENYE FIGO na KIBOFU cha mkojo
10) Inazuia kuganda Kwa mafuta Tumboni ambayo hupelekea Kitambi
11) NZURI Kwa wenye HOMA YA INI (hepatitis), pia husaidi kukukinga usipatwe na tatizo hilo
NB: Nzuri kwa wagonjwa wa FIGO na INI
kwa mawasiliano
SISI NI NANI?
Kampuni ya BF SUMA ni kampuni ya kimarekani inayojishughulisha na utafiti, uzalishaji na usambazaji wa tiba lishe Afrika.
Bidhaa zake zinatumika kukinga na kutibu maradhi mbalimbali haswa yasiyo ambukizi k**a Kisukari, Presha, Matatizo ya uzazi kwa wanawake na wanaume, matatizo ya mifupa, matatizo katika mmeng'enyo wa chakula k**a Vidonda vya tumbo, bawasiri na kukosa choo au kupata choo kigumu.
Kampuni pia inatoa ajira kwa watu wote wanaohitaji kuwa mawakala wa bidhaa zake popote pale ulipo kwa gharama ndogo tuu ya Tsh. 46000/- tuu ambapo utasajiliwa, utapewa mafunzo na kuanza kazi. wasiliana nasi kwa maelezo zaidi.
WASIFU WA KAMPUNI
Nini maana ya neno BF SUMA?
BF SUMA ni kifupi cha maneno yafuatayo:
B - Bright
F - Future
S - Superior
U - Unique
M - Manufacturers of
A - America
HISTORIA YA KAMPUNI
Mnamo mwaka 1993 BF SUMA walianzia Hongkong {China} k**a kampuni ya kuzalisha madawa ya mifupa na viungo {bones & Joints Pharmaceutical}
Mnamo Mwaka 1995 - BF SUMA k**a kampuni ilipanuka na kufikia hatua ya kupata makazi yake nchini Marekani katika Jiji la Los Angeles na kuyafanya makazi haya kua Makao yake Makuu, kisha kuweka kiwanda cha Kuzalisha Virutubisho Lishe mjini hapo {Food Supplement}
Mnamo mwaka 2000: kampuni ilifanikiwa kupewa Vibali na Vyeti Vya kutambua Ubora wao k**a:- G.M.P {Good Manufacturing Practice} na FDA {Food and Drugs Adminstration} na hapo baadae kampuni tena Ikaendelea Pata Vibali k**a G.L.P {Good Laboratory Practise } na Halal:- kibali cha utambuliz kwa jamii ya kiislamu na imani kuwa halali kwa matumiz.
Mnamo mwaka 2004 - Kwa mara ya kwanza waliweza kufungua tawi lao Afrika ya Magharibi katika nchi ya Benin.
Mwaka 2011 - Kampuni ilisogea hadi Afrika Mashariki nchi jirani ya Kenya
Mwaka 2012 - Waliingia nchini Tanzania na kusajiliwa kisheria na kufanikiwa kupata kibali cha TFDA (TBS Kwasasa).
Makao makuu kwa Tanzania yapo Mlimani City, na kila mkoa una Ofisi ndogo.
Mwaka 2013 - Kampuni iliweza kuingia rasmi nchini Uganda, Ni
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Bagamoyo
Dar Es Salaam