Afya na urembo

Afya na urembo

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya na urembo, Health/Beauty, Sarah jimmy, Dar es Salaam.

Photos from Afya na urembo's post 13/05/2020

Sona beauty soap

1: sabun inang'arisha ngoz
2: inaondoa mikunjo ya ngoz
3: Inaua bacteria
4: inaondoa chunusi
5: Inaondoa mafuta kwenye ngoz
6: Inaondoa ukurutu

https://api.whatsapp.com/send?phone=255718212914

05/04/2020
Photos from Afya na urembo's post 18/02/2020

KWA NGOZI NZURI YENYE KUNAWIRI,LAINI NA NYORORO.TUMIA SOD CREAM NA BAMBOO SOAP.KWAPAMOJA VINASAIDIA SANA KULAINISHA NGOZI,KUINAWIRISHA,KUONDOA MADOA,MIKUNJO,MAKUNYAZI NA MICHIRIZI.MATUMIZI YA MDA MREFU YATAKULETEA MATOKEO MAZURI ZAIDI.

CREAM 18,000
SABUNI 12,000

wa.me/255718212914
BONYEZA LINK KUJA WhatsApp
https://chat.whatsapp.com/FwDNpkuw4IL23vRbNgLXw2

Photos from Afya na urembo's post 06/02/2020

*LONGRICH WINE*
🔹Ni kinywaji kizuri cha kuburudisha kilichotengenezwa kiasilia
🔹Ukiachilia mbali kwamba Ni wine...ila dawa pia yenye Virutubisho vingi kwa afya ya mwili wako
🔹Inaongeza kinga ya mwili wako
🔹Inatoa sumu mwilini/detox
🔹 Inasaidia uyeyushaji wa chakula mwilini/metabolism hivyo Husaidia kupata choo pia
🔹Husaidia kutoa kitambi na kusaidia kubalance mwili usiongezeke
🔹Huondoa Maumivu ya tumbo la period na Maumivu ya mwili.
🔹Husaidia kuongeza nguvu za kiume kwa wanaume na kufanya mbegu za kiume zenye afya(kwa walio na sperms dhaifu)
🔹Huleta hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
🔹Hii wine yenye faida tele

🔹Ina Alcohol 38%
Unaweza changanya na maji wakati ukitumia

🍷🍷
Tufurahie wine yenye faida tele. https://api.whatsapp.com/send?phone=255718-212914

04/02/2020

JE WEWE NI MUAJIRIWA AU UMEJIAJIRI,MWANAFUNZI AU MAMA WA NYUMBANI ILA UNATAMANI NA UNGEPENDA KUMILIKI BIASHARA YAKO YA PEMBENI IKUONGEZEE KIPATO?

NTUMIE MSG WhatsApp UPATE UFAHAMU ZAIDI KUHUSU LONGRICH,KAMPUNI PEKEE TANZANIA YA VIPODOZI NA VIRUTUBISHO VYA AFYA ITAKAYOWEZA KUKUPA FURSA YA KUANZISHA NA KUMILIKI BIASHARA YAKO MWENYEWE.KUJIUNGA NI BUREE,UTAPATA MAFUNZO BURE PIA.

BONYEZA LINK K**A UPO SERIOUS NA UNATAMANI KUJIUNGA....NAHITAJI WATU WALIOPO TAYARI KUJIUNGA TU.
BONYEZA LINK UJE WhatsApp

api.whatsapp.com

Photos from Afya na urembo's post 04/02/2020

JE WEWE NI MUAJIRIWA AU UMEJIAJIRI,MWANAFUNZI AU MAMA WA NYUMBANI ILA UNATAMANI NA UNGEPENDA KUMILIKI BIASHARA YAKO YA PEMBENI IKUONGEZEE KIPATO?

NTUMIE MSG WhatsApp UPATE UFAHAMU ZAIDI KUHUSU LONGRICH,KAMPUNI PEKEE TANZANIA YA VIPODOZI NA VIRUTUBISHO VYA AFYA ITAKAYOWEZA KUKUPA FURSA YA KUANZISHA NA KUMILIKI BIASHARA YAKO MWENYEWE.KUJIUNGA NI BUREE,UTAPATA MAFUNZO BURE PIA.

BONYEZA LINK K**A UPO SERIOUS NA UNATAMANI KUJIUNGA....NAHITAJI WATU WALIOPO TAYARI KUJIUNGA TU.
BONYEZA LINK UJE WhatsApp https://api.whatsapp.com/send?phone=255718212914

Photos from Afya na urembo's post 24/01/2020

KWANINI UNAHITAJI KUTUMIA GREEN TEA????

1.Inapunguza risk ya kupata kansa.

2.Inaondoa mafuta mabaya mwilini(bad cholestrol)

3.Ni Tiba nzuri KWA wenye shidaa ya kupata choo kigumu. Ambayo inapelekea mtu kupata BAWASIRI ( vinyama vinavyoota kwenye njia ya haja kubwa).

4.Inasaidia kutokupata BAWASIRI ( vinyama vinavyoota kwenye njia ya haja kubwa).

5. Inasaidia kupunguza kitambi na uzito mwili mzima.

6. Inasaidia kukupa HEDHI kwa wale ambao hawaoni HEDHI kabisa na kupunguza maumivu ya tumbo la HEDHI.

7. Inaufanya mwili usizeeke haraka..(anti aging)

8.Inapunguza Asilimi Kubwa za Kuweza kupata Kisukari.
(zipo TeaBags 15 ndani.Teabag moja unaweza itumia hadi Siku mbili, Box Moja Linaweza Tumika Mwezi Mmoja)

25,000/=

Call/WhatsApp
0718-212914
Bonyeza Link Kuna WhatsApp
https://api.whatsapp.com/send?phone=255718212914

Photos from Afya na urembo's post 23/01/2020

VITU VINAVYOHARIBU NGOZI ZETU
Ngozi zetu zimeundwa kwa chembe ndogo ndogo zinazoitwa seli, ambazo ni viumbe hai; yaani huzaliwa, hukua na kufa. Seli za zamani zinakufa na seli mpya zinazaliwa kila siku. Huu ni utaratibu wa kawaida na hutokea kila siku katika maisha yetu, na ni mwili wenyewe ndio unaoendesha na kusimamia utaratibu huu. Ukiacha huo utaratibu wa kawaida wa seli za ngozi kuzaliwa, kukua na kufa kuna vitu vingine kutoka kwenye mazingira ambavyo huathiri utaratibu huo na kupelekea kudhoofika au kufa kwa seli zetu. Vitu hivyo vikitokea kwa kiasi kidogo hudhoofisha seli zetu, lakini vikiondolewa seli zetu hujijenga upya na kurudia hali yao ya kawaida. Vikitokea kwa kiasi kikubwa au kuendelea kuwepo kwa muda mrefu huzidhoofisha zaidi seli zetu na kuziua kabisa.
Vitu hivyo ni
i. Msongo wa mawazo
ii. Jua kali
iii. Ukosefu wa mlo mzuri
iv. Kutokunywa maji ya kutosha
v. Kujichubua
vi. Umri mkubwa
vii. Uchafu
viii. Vipodozi visivyo salama
ix. Magonjwa na maambukizi
x. Kujeruhiwa
Matokeo yake ni ngozi kuharibika, kuwahi kuzeeka au kupoteza uzuri wake.
Tunaweza kutunza ngozi zetu ili ziwe nzuri na zidumu na uzuri wake kwa Kupumzisha mwili na akili zetu kiasi cha kutosha, kuepuka jua kali, kupata mlo kamili, kunywa maji ya kutosha, kutojichubua, Kusafisha vizuri ngozi zetu na kuondoa uchafu wote, Kutumia vipodozi bora na salama, Kuwa makini ili tusipate majeraha na kujikinga vizuri dhidi ya magonjwa na maambukizi.

TUMIA BIDHAA SALAMA KWA NGOZI YAKO

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Website

Address


Sarah Jimmy
Dar Es Salaam