Hurbano - Afya kwanza
hello, kwa tatizo lolote la kiafya k**a bawasili, UTI sugu, presha, matatizo ya mifupa, upungufu wa nguvu za kiume, ganzi ,nk karibuni tukuhudumie 0626132487
29/12/2022
Changamoto za mifupa na maungio zinaweza kutibika
Wasiliana nasi tukusaide kwakupatia package maalumu kabisa
Namba +255 0763 176 837
29/11/2022
JE, UNAJUA CHANZO NA DALILI ZA HOMA YA MIFUPA(RHEUMATIC FEVER) JE, NINI MADHARA YAKE?
Homa ya mifupa ni ugonjwa wenye vivimbe ambao unaweza kuendeleza madhara ya vidonda vya koo au homa ya vipele vyekundu(scarlet fever). Vidonda vya koo pamoja na homa ya vipele vyekundu husababishwa na maambukizi ya bakteria wa streptococcus.
Homa ya mifupa huwa ni ya kawaida kabisa kwa watoto wenye umri kuanzia miaka 5-15, ingawa inaweza kuendelea kwa watoto wadogo na kwa watu wakubwa pia.
NUKUU: Homa ya mifupa inaweza kusababisha uharibifu wa kudumu kwenye moyo, pamoja na kuharibiwa kwa vali za moyo au moyo kushindwa kufanya kazi. Matibabu ya asili yanaweza kuondoa hali ya uvimbe, kupunguza maumivu pamoja na dalili zingine na kuzuia hali ya kuonekana kwa homa ya mifupa.
Je, Dalili Zake Zinakuwaje?
Dalili za homa ya mifupa hutofautiana. Unaweza kuwa na dalili chache, nazo zinaweza kubadirika wakati wa kipindi cha ugonjwa. Mwanzo wa homa ya mifupa mara nyingi hutokea kwa muda wa siku 2 hadi wiki 4 baada ya kuwa na vidonda kwenye koo.
Dalili za homa ya mifupa ambazo hutokana na uvimbe kwenye moyo, jointi za mifupa, ngozi au mfumo wa kati wa neva za fahamu, zinaweza kuwa pamoja na;
• Homa
• Maumivu kwenye jointi zinzohamia kwenye jointi zingine
• Jointi kuvimba na kuwaka moto kabisa na kisha kuonekana nyekundu
• Kifua kuuma
• Kunung’unika kwa moyo
• Uchovu
• Maumivu makali kwenye jointi za mifupa ambayo mara nyingi huwa kwenye magoti, viwiko na kiunoni.
• Kutokwa na vipele vidogo k**a vivimbe vidogo kwenye ngozi visivyokuwa na maumivu, nk.
Je, Nini Visababishi Vyake?
Homa ya mifupa inaweza kutokea baada ya maambukizi ya bakteria kwenye koo kuonekana yanayojulikana k**a, “ streptococcus”. Kundi la maambukizo ya streptococcus ya koo husababisha vidonda vya koo au homa ya vipele vyekundu. Kundi la maambukizo ya streptococcus ya ngozi au sehemu zingine za mwili husababisha homa ya mifupa kwa nadra sana.
Kiunganishi kati ya maambukizi ya koo na homa ya mifupa huwa hakiko wazi sana, lakini huonekana kwamba, bakteria hushambulia mfumo kinga wa mwili. Bakteria wa koo huwa wana protini inayofanana na ile inayokuwa kwenye tishu fulani za mwili. Kwahiyo seli za mfumo kinga wa mwili ambazo zingeweza kulenga bakteria, huweza kuzifanya tishu za mwili kuwa k**a ndio mawakala wa maambukizi, hasa tishu za moyo, jointi, ngozi pamoja na neva za mfumo kati wa fahamu. Majibu ya mfumo kinga wa mwili hutokea katika uvimbe.
NUKUU: K**a mtoto akipata matibabu haraka kwa kutumia dawa nzuri za asili ili kuondoa bakteria wanaokuwa kwenye koo na kufuata maelezo yote ya matibabu k**a alivyoandikiwa, basi homa ya mifupa hupata nafasi ndogo sana ya kuendelea. K**a mtoto ana tukio moja au zaidi ya shambulio la vidonda vya koo au homa ya vipele vyekundu ambavyo huenda havikutibiwa kikamilifu, basi anaweza kuendelea kupatwa na homa ya mifupa.
Je, Madhara Yake Yanakuwaje?
Uvimbe uliosababishwa na homa ya mifupa unaweza ukadumu kwa muda wa wiki chache au miezi kadhaa. Hata hivyo, uvimbe husababisha madhara ya muda mrefu.
Ugonjwa homa ya moyo huwa ni uharibifu kamili kwenye moyo ambao husababishwa na homa ya mifupa. Mara nyingi hutokea miaka 10-20 baada ya ugonjwa halisi. Matatizo huwa yanakuwa kwenye vali za moyo kwenye vyumba viwili upande wa kushoto, lakini vali zingine zinaweza kuathiriwa. Uharibifu unaojitokeza unaweza kuwa kwenye;
• Vali kuwa finyu na hivyo kupunguza mtiririko wa damu(Valve stenosis)
• Damu kuvuja kwenye vali za moyo(Valve regurgitation)
• Misuli ya moyo kudhoofika na kuathiri uwezo wake wa kusukuma damu
Je, Unawezaje Kuuzuia Ugonjwa Huu?
Njia pekee ya kuzuia homa ya mifupa ni kutibu haraka maambukizi ya vidonda vya koo au homa ya vipele vyekundu kwa kutumia dawa za antibiotic.
Tiba yake
tuna dawa nzuri kabisa zenye uwezo wa kuondoa tatizo hili kwa urahisi, nazo ni Anthroextra na gluzo joint
29/11/2022
Uzito Mkubwa ni chanzo Cha matatizo au ni kichocheo Cha matatizo ya mifupa
Ili kuweza kupunguza uzito hakikisha unafata mfumo mzuri Wa ulaji
Nipigie nijusaidie kukuelekeza mfumo utakao kusaidia kupunguza uzito 0763 176 837
29/11/2022
Gout ni aina ya arthritis ambayo inasababishwa na uric acid nyingi sana katika damu, maumivu yake ni ya ghafla na makali sana katika baadhi ya viungo na zaidi kidole gumba, kinakua kinawaka moto hata hutaki shuka liguse...
Karibu uondoe changamoto hiyo kwani tiba inapatikana
0763 176 837
11/11/2022
JE UNASUMBULIWA NA MATATIZO YA MIFUPA IKIWEPO MAUMIVU MAKALI YA MAGOTI (OSTEOPOROSIS)
Ni ugonjwa ambao husababishwa na maambukizo ya bacteria katika mfupa na misuli inayozunguka mfupa bacteria hao ni (staphylococci).
Bacteria hao huanza kuozesha mfupa ba misuli inayozunguka mfupa na Mara nyingi mgonjwa hulalamika MAUMIVU makali ya miguu ama MAGOTI yanauma na Mda mwingine hupelekea mfupa kupasuka au kuvunjika au mfupa na tishu zinazoshikilia mfupa kupata majipu na k**a ukichelewa tiba kuna uwezekano mkubwa
wa kupata ulemavu.
Mara nyingi tatizo hili la mifupa hutokea ktk uti wa mgongo(mgongo kupinda na kuuma Mara kwa Mara),MAGOTI kuuma,nyonga na kifuani.
SABABU ZINAZOSABABISHA MATATIZO YA MIFUPA (OETEOPOROSIS)
Ulevi kupita kiasi
2.magonjwa ya figo.
3.upungufu wa hormone za estrogen hii ni kwa wanawake hasa wale wenye (MENOPAUSE) kikomo cha hedhi
4.upasuaji na kuondolewa (ovaries) mayai ya uzazi kwa wanawake
5.ANOREXIA uzito mdogo kupita kias APA ni kwa wale wanaopenda sana kujinyima kula kupita kiasi wakikwepa kunenepa sana na kufanya mazoez kupita kiasi.
6.uvutaji sigara
7.kutofanya mazoez ya viungo vya mwili.
8. Baadhi ya madawa yenye kemikali k**a chemotherapy, steroids, proton pump inhibitor na ant-seizure medication.
KINGA ZA MATATIZO YA MIFUPA.(OSTEOPOROSIS)
Mara nying tunasema kinga ni bora kuliko tiba ili usipate tatzo hili Fanya yafuatayo:
∆epuka matibabu yeye kutumia kemikali
∆zingatia rishe bora haaa utotoni pia pendelea kula vyakula vya asili vyenye madini yakutosha yanayoimarisha MIFUPA.
∆Acha au punguza matumizi ya pombe
∆Fanya mazoez ya kutosha na kunywa maji ya kutosha
ATHARI
ZINAZOSABABISHWA NA TATIZO HILI.
~ Mifupa kuvunjika kwa urahisi.
~kupinda mgongo wakati wa uzeeni.
~ MAUMIVU makali ya Mifupa hasa ktk uti wa mgongo,mabegani,kifuani na ktk nyonga.
MATIBABU YA OSTEOPOROSIS.
1: kula kwa wingi vyakula vya vitamini D na vyenye madini ya calcium k**a maziwa, ubuyu,n.k
2:tumia dawa zinazosaidia kukupatia madini ya calcium ya kutosha na itakayoweza kuimarisha Mifupa
3:mafuta ya N**i ni mazuri kwa kuimarisha Mifupa
4:tumia dawa asili zinazofanya homoni za estrogens kuwa sawia kwa wanawake.
5: tumia mafuta ya samaki na samaki wa maji baridi kwa wingi upate fatty acids.
Je wewe,ndugu,wazazi,jamaa na marafiki ni miongoni mwa wale wanaosumbuliwa na TATIZO la mifupa kwa muda mrefu na umetumia dawa nyingi umeshindwa kupona?? Haujachelewa Bado pata tiba sahihi ya kumaliza TATIZO lako
ASANTENI
Wasiliana nasi kwa Namba 0763176837
11/11/2022
*OFFA MAALUMU KWA WAGONJWA WA MIFUPA* .
Kwa wagonjwa ambao dose Yao ni _laki mbili na elfu 80_ basi kwa Sasa wataipata *kwa laki mbili na elfu 20.* Kwa wagonjwa ambao dose ya _ni laki Tatu na nusu kwa_ Sasa wataipata kwa *laki tatu kamili kwa* wagonjwa ambao dose Yao ni _laki nne na elfu 65_ wataipata kwa *laki nne na elfu 20.* _Offer hii ni limited Yani inaisha tarehe 10-20 mwezi wa 11 2022 .Tumia offer hii kuanza dose Asante sana .piga namba 0763176837 kuweka oda_ .
11/11/2022
Kwenye mgongo kuna uti wa mgongo ambao umetengenezwa kwa pingili za uti wa mgongo.
Kati ya pingili na pingili ya uti wa mgongo kuna disc ambayo ndiyo cartilage yenyewe yaani gegedu
Hiyo disc(cartilage) ndani yake kuna uteute ambao husaidia mjongeo wa mgongo
Hiiyo disc(cartilage) kazi yake ni kuzuia pingili zisisagane kwenye uti wa mgongo
HATUA ZA PINGILI ZA UTI WA MGONGO KUSAGANA
1. Disc kuwa dhaifu:
hapa virutubisho vinakuwa vimepungua na kufanya disc kuwa laini
2. Disc kutuna(disc bulger) ili uteute utemwe:
hapa disc inakuwa imebonyezwa kwa sababu ya mgandamizo WA pingili za mgongo ambapo huathiri Mishipa ya fahamu
3. Ute kutemwa kutoka kwenye disc:
Hapa uteute unaotemwa unasababisha kuathiri Mishipa ya fahamu
4. Disc kuwa nyembamba na Kulika kabisa
5. Pingili kugusana kabisa na kuanza kusagana au kupishana.
Wengi wanaopata shida ya mgongo wanapata maumivu makali Sana kwa sababu Mishipa ya fahamu inaathiriwa na disc bulge au Ute unaotemwa.
Ikiwa una chamgamoto hiyo au unamjua mtu mwenye changamoto ya pingili kusagika wasiliana nasi tumsaidie. Piga simu namba 0763176837
# suluhisho lipo
# furaha yako,furaha yetu
11/11/2022
Bado Unaweza Fanya Choice Yani Chaguzi Utumie Chakula K**a Dawa Now Au Utumie Dawa K**a Chakula Maisha Yako Yote Anza Now Kujali Afya Manya Mazoezi, Kula Vizuri K**a Unauzito Mkubwa Punguza Maana Magonjwa Yasioyo Ambukizana Mengi Pressure, Sukari Na Utakula Dawa Kwa Maisha Yako Yote Kipi Garama
Now Jali Afya Yako
26/10/2022
AFYA: JE, WAJUA CHANZO, DALILI NA TIBA YA TATIZO LA MIGUU KUWAKA MOTO?
- Tatizo hili huletwa na kudhoofika au kuumia kwa neva za pembezoni mwa mwili. Moja ya dalili ni mtu kuhisi ganzi
- Kitaalamu tatizo hili hujulikana kwa jina la 'Peripheral Neuropathy'.
Kupata Ushauri, Kinga na Tiba, piga +255763176837
26/10/2022
Mokodo na Afya ya mifupa na maungio bila upasuaji.
📞 0763176837
Maumivu ya joint ni tatizo linalosumbua watu wengi kwa sasa kutokana na mabadiliko ya mitindo ya Maisha.
Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu sababu ya maumivu makali wanayoyapata..
Pia limewaondolea watu uwezo wa kushiriki kwenye michezo na shughuli zingine za kujenga uchumi na wengine wengi kupata ulemavu wa maisha sababu ya kuwa na tatizo kwa muda mrefu sana na kulichukulia kawaida kwa kutumia dawa za maumivu (ant pains)
Na changamoto hii endapo isipotatuliwa mapema inaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele.
Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.
Wengine wamekuwa wakipata tiba za kutuliza maumivu na baada ya muda mfupi tatizo linarudi tena.
K**a wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo,usiwaze tena. Nina habari njema kwako.
Habari njema nikwamba unauwezo wa kutumia dawa asili zitokanazo na virutubisho lishe (food suppliments) ambazo zimewasaidia wengi kutibu matatizo yao yaliyo wasumbua kwa muda mrefu sana
karibu tukuhudumie sasa ASANTE.
📞 0763176837
26/10/2022
CHANZO CHA MAUMIVU YA KIUNO /MGONGO NA TIBA YAKE
✍🏻Maumivu ya kiuno yamekuwa ni tatizo la kawaida na siyo kwa watu wenye umri mkubwa, bali hata kwa vijana. Hali hii imewa tishio kubwa na mara nyingine kutofahamika Chanzo ni nini.
✍🏻Leo tutaona baadhi ya sababu na vyanzo vikuu vya tatizo hilo;
1️⃣MAUMIVU YA MGONGO/KIUNO
✍🏻Katika maisha ya binadamu mara moja moja hukutana na huu ugonjwa wa kuumwa na kiuno hutegemeana na ukubwa wa tatizo kuna unao weza kuuma kwa mda na mwingine kuumwa kabisa na kua ni ugonjwa wake kias cha kushindwa kutembea sababu ni nyingi kutegemeana na chanzo cha tatizo.
2️⃣KUNYANYUA VITU VIZITO
✍🏻Mara nyingi watu haswa wakina mama wanakua ni wahanga wa huu ugonjwa wa mgongo bila kujua tatizo hulisababisha kwa kunyanyua vitu vizito mfano ndoo huku akiwa ameinama na kusababisha misuli ya kiuno kuvuta
3️⃣MISULI KUUMA
✍🏻Hutegemeana na sababu ila mfano wa hapo juu unapo nyanyua vitu vizito vibaya mfano ndoo kubwa ya maji ukiwa wima una pelekea maumivu ya pingili za uti wa mgongo kwa sababu hiyo misuli ya mgongo hujiminya na kua midogo kulinda uti wa mgongo na unapata maumivu makali.
4️⃣PINGILI ZA UTI WA MGONGO
✍🏻Katika uti wa mgongo kuna pingili 33 na kila moja ikifanya kazi yake sasa katika hizo pingili zipo k**a donati na huwa zinazungukwa na mafuta pindi inapo jisugua kwa kukosa mafuta husababisha maumivu kushuka mpaka miguuni kwa maumivu.
Wasiliana nasi kupitia namba 0763176837
26/10/2022
TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA WASUMBULIWAO NA
MAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)?
MSHAURI: Whatsapp +255626132487
➡▪Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti
Tatizo hili huweza humpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kuk**ata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.
Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu na mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa na kuruka.
SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA (mifupa kwa ujumla)
1.Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
2.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
3.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
4.mawazo (stress).
5.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya mto.
MADHARA YA MAUMIVU HAYO NI K**A YAFUATAYO;
1.Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
2.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
3.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
4.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.
Habari njema ni kwamba baada yakufanya utafiti wa kina kwa mda mrefu sasa tiba imepatikana,tiba ya uhakika na ya haraka
Kwa matibabu ya haraka na sahihi wasiliana nasi,0763176837
Whatsap https://wa.me/c/255763276837
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
ILALA BOMA
Dar Es Salaam