Bawasiri na tiba
Pata tiba ya bawasiri bila upasuaji
iliyoweza weza kuwatibu wengi
Pata tiba ya magonjwa yote ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
Wasiliana nasi kupitia 0624114863
15/09/2022
TIBA YA BAWASIRI BILA UPASUAJI.
VINYAMA VINAVYOTOKEA KWENYE SEHEMU YA HAJA KUBWA
📖Mada yetu ya leo itazungumzia tatizo linalowapata watu wengi , wake kwa waume, kwenye sehemu zao za kutolea haja kubwa. Iwapo utapata maumivu kwenye eneo la haja kubwa, ukiona damu au pengine utaona vijinyama vinaning’inia, yaweza kuwa tayari ni mhanga wa tatizo tunalolichambua hivi leo. Mara nyingi dalili hizi hazileti usumbufu mkubwa na huondoka zenyewe bila tiba. Endapo tiba itahitajika, huweza kutolewa na kulimaliza tatizo. Kwa kiswahili, tatizo hili huitwa bawasiri.
👁Bawasiri ni uvimbe unaoota ndani na/au kuzunguka tundu la kutolea haja kubwa.
🌹 *Awali ya yote, tutaona bawasiri ni nini, kisha tutajadili aina zake, sababu ya uwepo wake na mwisho kabisa, tiba ambazo zinaweza kutolewa kuondoa tatizo hilo.*
👁Sehemu ya mwisho ya utumbo mkubwa iitwayo a**l ca**l ina urefu wa kiasi cha sentimeta 4 hivi. Sehemu ya chini kabisa ya a**l ca**l ni tundu la kutolea kinyesi nje ya mwili (mkundu). Sehemu ya juu yake inaungana na re**um ambayo pia ni sehemu ya utumbo mpana.
👁Kuna mtandao wa veni ndogo (mishipa ya damu) kwenye ngozi inayofunika a**l ca**l. Mara nyingine veni hizi hupanuka na kuruhusu damu nyingi na kuzifanya zitune. Veni hizi zilizotuna na tishu zinazozizunguka zinaweza kutegeneza uvimbe kwenye eneo moja au zaidi, na hii ndiyo huitwa bawasiri, kwa kiingereza *piles au pathological hemorrhoids.*
*Kuna Aina Ngapi Za Bawasiri?*
👁Bawasiri za ndani (Internal piles) ni zile zinazotokea kwenye eneo la ndani lililo zaidi ya sentimenta 2-3 kutoka kwenye tundu la kutolea kinyesi – kwenye eneo la juu la a**l ca**l. Bawasiri za ndani kwa kawaida hazina maumivu kwa sababu sehemu ya juu ya a**l ca**l haina nyuzi za neva za maumivu.
👁Bawasiri za nje (Exteranl piles) ni zile zinazotokea kwenye eneo lililo chini yake, eneo la chini la a**l ca**l. Bawasiri za nje zaweza kuwa na maumivu kwa sababu eneo la chini la a**l ca**l lina uwingi wa nyuzi za neva za maumivu.
👁Watu wengine huwa na bawasiri za ndani na bawasiri za nje kwa wakati mmoja.
# # # *CHANZO CHA TATIZO*
~chanzo halisi cha ugonjwa huu ni ongezeko la presha katika utumbo mkubwa. Ongezeko hili la presha linasababishwa na vitu vifuatavyo:
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO AU KUA NA CHOO KIGUMU
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MFUMO MBAYA WA LISHE
👉UJAUZITO
# # # *DALILI ZA BAWASIRI*
👉Ngozi kuwasha katika eneo la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kukosa morali ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBO MKUBWA (CANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,
*TIBA*
NOVEL DE PILE NI KIRUTUBISHO CHA ASILI KINACHOSAIDIA KUPAMBANA NA BAWASIRI,
IMETENGENEZWA KWA VIAMBATA VYA ASILI AMBAVYO NI JAMII YA MALIMAO NA MACHUNGWA (CITRUS FRUITS)
INAONDOA PRESHA KUBWA KWENYE MISHIPA YA DAMU YA SEHEMU YA HAJA KUBWA
PIA UTATUMIA NA VIRUTUBISHO KWA AJILI YA KUREKEBISHA MFUMO WA MMENG'ENYO WA CHAKULA.
HUONDOA MAUMIVU MAKALI NDANI YA MUDA MFUPI SANA,
HUKATA DAMU INAYOTOKA HARAKA,
HUREKEBISHA MMENG'ENYO WA CHAKULA.
HAINA KEMIKALI IMETHIBITISHWA NA MAMLAKA HUSIKA.
Tutafute kwa namba 0624114863 kupata huduma
15/09/2022
Bawasiri ni nini?
Huu ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/Hemorrhoid nk
SABABU YA BAWASIRI
Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni ongezeko la presha kwenye sehemu ya puru(re**um) (ambapo presha hio hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya puru hivyo hupelekea kuonekana kwa Vinyama sehemu ya haja kubwa)
DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI
1.kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
4.kupata kinyesi chenye damu
5.kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
6.Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya
MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI
1.Uzito kupita kiasi(Overweight)
2.Ujauzito
3.Kunyanyua vitu vizito na Mazoezi makali
4.Kukaa sana sehemu eneo moja mda mrefu
5.Kuingiliwa kinyume na maumbile
6. Kupata Choo Kigumu kwa muda mrefu.
Bawasiri ikikaa muda mrefu bila kutibiwa kuna madhara ambayo mgonjwa atayapata kadri siku zinavozidi kwenda
TIBA YA BAWASIRI
NOVEL DE PILE NI KIRUTUBISHO CHA ASILI KINACHOSAIDIA KUPAMBANA NA BAWASIRI,
IMETENGENEZWA KWA VIAMBATA VYA ASILI AMBAVYO NI JAMII YA MALIMAO NA MACHUNGWA (CITRUS FRUITS)
INAONDOA PRESHA KUBWA KWENYE MISHIPA YA DAMU YA SEHEMU YA HAJA KUBWA
PIA UTATUMIA NA VIRUTUBISHO KWA AJILI YA KUREKEBISHA MFUMO WA MMENG'ENYO WA CHAKULA.
HUONDOA MAUMIVU MAKALI NDANI YA MUDA MFUPI SANA,
HUKATA DAMU INAYOTOKA HARAKA,
HUREKEBISHA MMENG'ENYO WA CHAKULA.
HAINA KEMIKALI IMETHIBITISHWA NA MAMLAKA HUSIKA.
Dawa Hizi unazipata kwa 190,000
Tunapatikana ilala boma, Dar es dalaam
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 0624114863
28/08/2022
UGONJWA WA BAWASILI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE.
Bawasiri ni nini
Huu ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/Hemorrhoid nk
SABABU YA BAWASILI
Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni ongezeko la presha kwenye sehemu ya puru(re**um) (ambapo presha hio hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya puru hivyo hupelekea kuonekana kwa Vinyama sehemu ya haja kubwa)
DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI
1.Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.Kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
4.Kupata kinyesi chenye damu
5.Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
6.Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya
7.Kujisikia kupata haja kubwa lakini haitoki
8.Harufu mbaya sehemu ya haja kubwa
9.Maumivu makali na kushindwa kukaa chini vizuri
MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI
1.Uzito kupita kiasi
2.kua na kikohozi kikali
3.Kunyanyua vitu vizito na Mazoezi makali
4.Kukaa sana sehemu eneo moja mda mrefu
5.Kuingiliwa kinyume na maumbile
6.Kupata Choo Kigumu kwa muda mrefu.
7.Mfumo mbaya wa lishe
8.Ujauzito
Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya Tumbo
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni
AINA 2 ZA BAWASIRI
1. BAWASIRI YA NJE
2. BAWASIRI YA NDANI
ATHARI ZA BAWASIRI
1.Upungufu wa damu mwilini
2.Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
3.kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
4.kupungukiwa nguvu za kiume
5.kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
6.Kupata tatizo la kisaikolojia
7.Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)
8.Mwili kudhoofika mwili na kinga kupungua
TIBA YA BAWASILI
Mara nyingi Tiba ilio zoeleka kwa hospital ni upasuaji
Na tiba nyingine za kienyeji ambazo hazikuweza kutoa matokeo
Ila tuna bidhaa ambazo zimewasaidia wengi zenye uwezo wa kutibu chanzo cha bawasili bila upasuaji
Kwa maelezo zaid wasiliana nasi kupitia 0624114863
UGONJWA WA BAWASIRI DALILI, MADHARA NA TIBA YAKE.
Bawasiri ni nini
Huu ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/Hemorrhoid nk
SABABU YA BAWASIRI
Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni ongezeko la presha kwenye sehemu ya puru(re**um) (ambapo presha hio hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya puru hivyo hupelekea kuonekana kwa Vinyama sehemu ya haja kubwa)
DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI
1.kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
4.kupata kinyesi chenye damu
5.kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
6.Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya
MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI
1.Uzito kupita kiasi(Overweight)
2.Ujauzito
3.Kunyanyua vitu vizito na Mazoezi makali
4.Kukaa sana sehemu eneo moja mda mrefu
5.Kuingiliwa kinyume na maumbile
6. Kupata Choo Kigumu kwa muda mrefu.
Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya Tumbo
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni
AINA 2 ZA BAWASIRI
1. BAWASIRI YA NJE
2. BAWASIRI YA NDANI
ATHARI ZA BAWASIRI
1.Upungufu wa damu mwilini
2.Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
3.kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
4.kupungukiwa nguvu za kiume
5.kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
6.Kupata tatizo la kisaikolojia
7.Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)
8.Mwili kudhoofika mwili na kinga kupungua
TIBA YA BAWASILI
Mara nyingi Tiba ilio zoeleka kwa hospital ni upasuaji
Ila tuna bidhaa ambazo zimewasaidia wengi zenye uwezo wa kuondoa bawasili bila upasuaji
Kwa maelezo zaid wasiliana nasi kupitia 0624114863
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 18:00 |
| Tuesday | 08:00 - 18:00 |
| Wednesday | 08:00 - 18:00 |
| Thursday | 08:00 - 18:00 |
| Friday | 08:00 - 18:00 |
| Saturday | 08:00 - 17:30 |