Elimika kwanza.
Virutubisho, Tiba Lishe na Ushauri.
25/09/2021
*DALILI ZA MVURUGIKO WA HORMONES*
__________________________________________________
_____________________________________
➖Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
_____________________________________
➖Tanzania -Dar -es-salaam
_____________________________________
➖Doctor Kaimu.
_____________________________________
➖(+255 710 672 417)
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________
____________________________________
Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mil i yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele. Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:
__________________________________________________
*JE ZINAKUHUSU CHANGAMOTO HIZI JIBU KWA NAMBA MFANO 1 AU 2.*
__________________________________________________
*{1}-Ukavu ukeni*
*{2}-Maumivu wakati wa tendo la ndoa*
*{3}-Kutoa jasho usiku*
*{4}-Maumivu chini ya kitovu wakati hedhi*
*{5}-Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa*
*{6}-Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)*
*{7}-Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi*
*{8}-Uchovu wa mara kwa mara*
*{9}-Hasira za mara kwa mara*
*{10}-Kukosa usingizi*
*{11}-Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara*
*{12}-Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula*
*{13}-Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe*
*{14}-Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele*
*{15}-Maumivu ya viungo*
*{16}-Upungufu wa nywele kichwani.*
*{17}-Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)*
*{18}-Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)*
*{19}- Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea*
*{20}-Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi*
*{21}-Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini*
*{22}-Kusinyaa na kupauka kwa ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango*
*{23}-Maumivu ya kichwa mara kwa mara*
*{24}-Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)*
*{25}-Kutokupata choo kwa wakati*
*{26}- Misuli hudondoka*
_____________________________________
➖Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
_____________________________________
➖Tanzania -Dar -es-salaam
_____________________________________
➖Doctor Kaimu.
_____________________________________
➖(+255 710 672 417)
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________
_____________________________________
```Bonyeza hii link itakuleta *INBOX* Whatsapp moja kwa moja```
⤵️⤵️
_____________________________________
https://wa.me/255710672417
_____________________________________
24/09/2021
_____________________________________
CHANZO CHA MWANAMKE KUOTA NDEVU NA TIBA YAKE
_____________________________________
➖Doctor Kaimu.
_____________________________________
➖(+255 710 672 417 )
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________
✔️Mwanamke Kabiliana na Tatizo la Kuota Ndevu kwa Kufanya Haya
_____________________________________
✔️Wasichana wanapoota ndevu nyingi hukabiliwa na changamoto za kisaikolojia na ulimbwende. Mitazamo na mila nyingi za kijamii katika bara la Afrika, bado zinakumbatia unyanyapaa wa wazi au wa kificho kwa wasichana wanaoota ndevu nyingi. Msichana mwenye ndevu nyingi anavuta hisia na macho ya wanaume na wanawake wenzake pia kiasi kwamba anatazamwa kwa namna ambayo wakati mwingine inamnyima raha. Wakati mwingine wanaume hawapendi kuoa wasichana wenye ndevu nyingi kutokana na mwonekano unawafanya wasichana hao kuwa k**a wanaume.
_____________________________________
✔️Katika hali ya kawaida msichana anatazamiwa asiwe na nywele nyingi kwenye kidevu, juu ya mdomo wake, kifuani, tumboni na mgongoni. Na hata akiwa nazo basi ziwe malaika zisizokuwa na rangi nyeusi iliyokolea na kuwa ngumu k**a za wanaume.
_____________________________________
✔️Mwanamke anapokuwa na nywele nyingi sehemu hizo humaanisha kuwepo kwa hitilafu za kijenetiki au dosari za ulinganifu wa vichocheo vya jinsia mwilini mwake. Wasichana wengine maumbile yao yanayotokana na vinasaba yanawafanya wawe na nywele nyingi mwilini, hali hii kitabibu hujulikana k**a ‘hypertrichosis’.Dosari za ulinganifu wa vichocheo vya kijinsia kwa wasichana zinaweza kusababishwa na:-
_____________________________________
✔️(1) Kuzalishwa kwa wingi kwa vichocheo vya ujinsia toka katika mifuko ya mayai.
_____________________________________
✔️(2) Uvimbe katika mifuko ya mayai (ovarian tumors)
_____________________________________
✔️(3) Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango zenye vichocheo pia zinaweza kuwa chanzo cha tatizo hili kwa baadhi ya wasichana. Dawa hizi husababisha ongezeko la vichocheo bandia vya ujinsia kuwa vingi katika mwili wa msichana.
_____________________________________
✔️(4) Matumizi ya dawa na vipodozi vyenye viambato vya dawa k**a testosterone na steroid zingine pia husababisha tatizo hili endapo dawa hizi zitatumiwa kwa muda mrefu.
_____________________________________
✔️(5) Uvimbe wa tezi ya Adrenali iliyo juu ya figo pia unaweza kusababisha tatizo hili
_____________________________________
✔️(6) Unene wa kupindukia (obesity) kwa wasichana pia unaweza kusababisha ongezeko la kichocheo cha kiume (Androgen) mwilini mwa msichana kutokana na nyama zenye mafuta mengi kugeuza kichocheo cha k**e cha estrogen kuwa kichocheo cha kiume cha androgen. Androgen inapokuwa nyingi mwilini husababisha msichana kuwa na tabia za kiume ikiwa ni pamoja na kuota ndevu na kuwa na sauti nzito.
_____________________________________
✔️(7) Matumizi makubwa na holela ya baadhi ya dawa zenye kemikali k**a vile Danazol, Cyclosporin na zingine pia husababisha tatizo hili.Ni vizuri kwa wasichana kuepuka matumizi ya dawa bila kupata ushauri wa kitabibu.
_____________________________________
✔️(8) Ikumbukwe kuwa wakati mwingine kunakuwepo na hali ya ulinganifu wa vichocheo vya ujinsia mwilini k**a kawaida, lakini tatizo likawa ni mwitikio wa hali ya juu wa nywele (oversensitivity) kwa kiasi cha kawaida cha kichocheo cha kiume kilichoko mwilini mwa msichana (androgen).Katika hali hii, msichana pia anaweza kuwa na nywele nyingi mwilini kuliko kawaida.
_____________________________________
Dalili zinazo ambatana na kuota ndevu kwa msichana
_____________________________________
• Kuota chunusi nyingi. _____________________________________
• Kutokupata damu ya hedhi k**a kawaida. Wakati mwingine msichana hupata damu pungufu sana, kutoiona kabisa au kupata hedhi yake bila mpangilio maalumu. _____________________________________
• Matatizo mengine yanayosababisha ndevu kuota kwa wingi pia yanaweza kusababisha ugumba (kushindwa kupata ujauzito na kuzaa watoto). _____________________________________
• Kusinyaa kwa matiti na mfuko wa mji wa mimba. _____________________________________
• Kututumuka na kunenepa kwa kinembe kuliko kawaida (enlargement of the cl****is). _____________________________________
• Kuwa na sauti nzito na wakati mwingine kisanduku cha sauti (Adam’s apple) hunenepa k**a cha wanaume. _____________________________________
• Mtawanyiko wa nywele mwilini huwa k**a wa kiume, pamoja na ndevu msichana huota nywele kifuani, tumboni, mapajani, mgongoni, miguuni na mikononi kwa wingi. Wengine pia huota nywele nyingi kwenye makalio na kuzunguka sehemu ya njia ya haja kubwa na hali hii ya msichana kuwa na nywele nyingi mwilini, hujulikana k**a “hirsutism”.
_____________________________________
Jinsi msichana anavyoweza kukabiliana na tatizo la ndevu
_____________________________________
• Kwanza kabisa msichana anatakiwa kuelewa kuwa kuota ndevu sio dhambi na wala si kosa, hivyo basi ndevu zisiwe chanzo cha msongo wa mawazo. _____________________________________
• Msichana asiache ndevu zikawa ndefu k**a za wanaume kwani zinavuta hisia za watu kumwangalia angalia kiasi kwamba zinaweza kusababisha matatizo ya kisaikolojia. Ndevu zikatwe na kuwa fupi kadri inavyowezekana kwa wakati wote. Mkasi au cream ya kuondoa nywele inaweza kutumika kwa lengo hili. Ile dhana ya wanawake wengi kwamba ndevu zikinyolewa zinaongezeka maradufu haina ukweli wowote wa kisayansi.
_____________________________________
• Ni bora wasichana wakajiepusha na matumizi ya vipodozi vyenye viambato vyenye dawa za magonjwa ya ngozi.
_____________________________________
• Ndevu zising’olewe kwa vidole, hii inaweza kusababisha uambukizo wa bakteria katika ngozi kwa urahisi na kuleta matatizo ya kiafya.
_____________________________________
• Wasichana waepuke matumizi ya dawa zenye steroid bila kupata ushauri wa kitaalamu toka kwa wahudumu wa afya na maswala ya tiba.
_____________________________________
• Kufanya mazoezi ya mwili na kudhibiti unene wa mwili pia husaidia katika udhibiti wa tatizo hili.
_____________________________________
• Endapo nywele zimetapakaa kwa wingi miguuni na mikononi na kuleta muonekano wa kiume ni bora kuvaa nguo ndefu zinazofunika mwili vizuri ili kuepuka msongo wa kisaikolojia ambao unaweza kutokea kutokana na mtazamo hasi wa kijamii.
_____________________________________
• Wakati wote jivunie kuwa msichana, usikubali kitu
chochote kikuondolee hisia zako za kuwa msichana kamili. Afya ya mwili na roho huanza na afya ya akili. Jitambue, jipende, jiheshimu na jiamini kwani wewe ni msichana k**a walivyo wasichana wengine.
_____________________________________
➖Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
_____________________________________
➖Tanzania -Dar -es-salaam
_____________________________________
➖Doctor Kaimu.
_____________________________________
➖(+255 710 672 417)
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________
_____________________________________
```Bonyeza hii link itakuleta *INBOX* Whatsapp moja kwa moja```
⤵️⤵️
_____________________________________
https://wa.me/255710672417
__________________________________________________________________________
CHANZO CHA MWANAMKE KUOTA NDEVU NA TIBA YAKE
_____________________________________
➖Doctor Kaimu.
_____________________________________
➖(+255 710 672 417 )
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________
✔️Mwanamke Kabiliana na Tatizo la Kuota Ndevu kwa Kufanya Haya
_____________________________________
✔️Wasichana wanapoota ndevu nyingi hukabiliwa na changamoto za kisaikolojia na ulimbwende. Mitazamo na mila nyingi za kijamii katika bara la Afrika, bado zinakumbatia unyanyapaa wa wazi au wa kificho kwa wasichana wanaoota ndevu nyingi. Msichana mwenye ndevu nyingi anavuta hisia na macho ya wanaume na wanawake wenzake pia kiasi kwamba anatazamwa kwa namna ambayo wakati mwingine inamnyima raha. Wakati mwingine wanaume hawapendi kuoa wasichana wenye ndevu nyingi kutokana na mwonekano unawafanya wasichana hao kuwa k**a wanaume.
_____________________________________
✔️Katika hali ya kawaida msichana anatazamiwa asiwe na nywele nyingi kwenye kidevu, juu ya mdomo wake, kifuani, tumboni na mgongoni. Na hata akiwa nazo basi ziwe malaika zisizokuwa na rangi nyeusi iliyokolea na kuwa ngumu k**a za wanaume.
_____________________________________
✔️Mwanamke anapokuwa na nywele nyingi sehemu hizo humaanisha kuwepo kwa hitilafu za kijenetiki au dosari za ulinganifu wa vichocheo vya jinsia mwilini mwake. Wasichana wengine maumbile yao yanayotokana na vinasaba yanawafanya wawe na nywele nyingi mwilini, hali hii kitabibu hujulikana k**a ‘hypertrichosis’.Dosari za ulinganifu wa vichocheo vya kijinsia kwa wasichana zinaweza kusababishwa na:-
_____________________________________
✔️(1) Kuzalishwa kwa wingi kwa vichocheo vya ujinsia toka katika mifuko ya mayai.
_____________________________________
✔️(2) Uvimbe katika mifuko ya mayai (ovarian tumors)
_____________________________________
✔️(3) Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango zenye vichocheo pia zinaweza kuwa chanzo cha tatizo hili kwa baadhi ya wasichana. Dawa hizi husababisha ongezeko la vichocheo bandia vya ujinsia kuwa vingi katika mwili wa msichana.
_____________________________________
✔️(4) Matumizi ya dawa na vipodozi vyenye viambato vya dawa k**a testosterone na steroid zingine pia husababisha tatizo hili endapo dawa hizi zitatumiwa kwa muda mrefu.
_____________________________________
✔️(5) Uvimbe wa tezi ya Adrenali iliyo juu ya figo pia unaweza kusababisha tatizo hili
_____________________________________
✔️(6) Unene wa kupindukia (obesity) kwa wasichana pia unaweza kusababisha ongezeko la kichocheo cha kiume (Androgen) mwilini mwa msichana kutokana na nyama zenye mafuta mengi kugeuza kichocheo cha k**e cha estrogen kuwa kichocheo cha kiume cha androgen. Androgen inapokuwa nyingi mwilini husababisha msichana kuwa na tabia za kiume ikiwa ni pamoja na kuota ndevu na kuwa na sauti nzito.
_____________________________________
✔️(7) Matumizi makubwa na holela ya baadhi ya dawa zenye kemikali k**a vile Danazol, Cyclosporin na zingine pia husababisha tatizo hili.Ni vizuri kwa wasichana kuepuka matumizi ya dawa bila kupata ushauri wa kitabibu.
_____________________________________
✔️(8) Ikumbukwe kuwa wakati mwingine kunakuwepo na hali ya ulinganifu wa vichocheo vya ujinsia mwilini k**a kawaida, lakini tatizo likawa ni mwitikio wa hali ya juu wa nywele (oversensitivity) kwa kiasi cha kawaida cha kichocheo cha kiume kilichoko mwilini mwa msichana (androgen).Katika hali hii, msichana pia anaweza kuwa na nywele nyingi mwilini kuliko kawaida.
_____________________________________
Dalili zinazo ambatana na kuota ndevu kwa msichana
_____________________________________
• Kuota chunusi nyingi. _____________________________________
• Kutokupata damu ya hedhi k**a kawaida. Wakati mwingine msichana hupata damu pungufu sana, kutoiona kabisa au kupata hedhi yake bila mpangilio maalumu. _____________________________________
• Matatizo mengine yanayosababisha ndevu kuota kwa wingi pia yanaweza kusababisha ugumba (kushindwa kupata ujauzito na kuzaa watoto). _____________________________________
• Kusinyaa kwa matiti na mfuko wa mji wa mimba. _____________________________________
• Kututumuka na kunenepa kwa kinembe kuliko kawaida (enlargement of the cl****is). _____________________________________
• Kuwa na sauti nzito na wakati mwingine kisanduku cha sauti (Adam’s apple) hunenepa k**a cha wanaume. _____________________________________
• Mtawanyiko wa nywele mwilini huwa k**a wa kiume, pamoja na ndevu msichana huota nywele kifuani, tumboni, mapajani, mgongoni, miguuni na mikononi kwa wingi. Wengine pia huota nywele nyingi kwenye makalio na kuzunguka sehemu ya njia ya haja kubwa na hali hii ya msichana kuwa na nywele nyingi mwilini, hujulikana k**a “hirsutism”.
_____________________________________
Jinsi msichana anavyoweza kukabiliana na tatizo la ndevu
_____________________________________
• Kwanza kabisa msichana anatakiwa kuelewa kuwa kuota ndevu sio dhambi na wala si kosa, hivyo basi ndevu zisiwe chanzo cha msongo wa mawazo. _____________________________________
• Msichana asiache ndevu zikawa ndefu k**a za wanaume kwani zinavuta hisia za watu kumwangalia angalia kiasi kwamba zinaweza kusababisha matatizo ya kisaikolojia. Ndevu zikatwe na kuwa fupi kadri inavyowezekana kwa wakati wote. Mkasi au cream ya kuondoa nywele inaweza kutumika kwa lengo hili. Ile dhana ya wanawake wengi kwamba ndevu zikinyolewa zinaongezeka maradufu haina ukweli wowote wa kisayansi.
_____________________________________
• Ni bora wasichana wakajiepusha na matumizi ya vipodozi vyenye viambato vyenye dawa za magonjwa ya ngozi.
_____________________________________
• Ndevu zising’olewe kwa vidole, hii inaweza kusababisha uambukizo wa bakteria katika ngozi kwa urahisi na kuleta matatizo ya kiafya.
_____________________________________
• Wasichana waepuke matumizi ya dawa zenye steroid bila kupata ushauri wa kitaalamu toka kwa wahudumu wa afya na maswala ya tiba.
_____________________________________
• Kufanya mazoezi ya mwili na kudhibiti unene wa mwili pia husaidia katika udhibiti wa tatizo hili.
_____________________________________
• Endapo nywele zimetapakaa kwa wingi miguuni na mikononi na kuleta muonekano wa kiume ni bora kuvaa nguo ndefu zinazofunika mwili vizuri ili kuepuka msongo wa kisaikolojia ambao unaweza kutokea kutokana na mtazamo hasi wa kijamii.
_____________________________________
• Wakati wote jivunie kuwa msichana, usikubali kitu
chochote kikuondolee hisia zako za kuwa msichana kamili. Afya ya mwili na roho huanza na afya ya akili. Jitambue, jipende, jiheshimu na jiamini kwani wewe ni msichana k**a walivyo wasichana wengine.
_____________________________________
➖Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
_____________________________________
➖Tanzania -Dar -es-salaam
_____________________________________
➖Doctor Kaimu.
_____________________________________
➖(+255 710 672 417)
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________
_____________________________________
```Bonyeza hii link itakuleta *INBOX* Whatsapp moja kwa moja```
⤵️⤵️
_____________________________________
https://wa.me/255710672417
_____________________________________
06/09/2021
GEREJI YA NDOA
[+255 710 672417 ]
_____________________________________
JEE hauna furaha na ndoa yako ?
______________________________________________
JEE unashindwa kufanya tendo la ndoa vizuri?
______________________________________________
JEE Unashindwa kwenda muda mrefu ?
______________________________________________
JEE Unashindwa kurudia tendo la ndoa ?
______________________________________________
JEE Maumbile yako madogo sana?
______________________________________________
JEE Hauwezi kufikisha kileleni mkeo?
______________________________________________
JEE unatatizo lolote kwenye ndoa yako ?
_________________________________________
piga simu / tuma meseji/ Njoo WhatsApp , nitakusaidia BURE kabisa
+255 710 672 417
_____________________________________
30/08/2021
_____________________________________
*Jiunge nasi Kwa Farida ZA Bure kupata elimu ya kila ungonjwa na dawa bure *
```Bonyeza link```
👇🏿
https://chat.whatsapp.com/D6c4UpRpZu0ARWUMsq3pjC
_____________________________________
25/08/2021
____________________________________
*Je Umekuwa ukiteseka kwa mda mrefu sana kutokana na changamoto ya Kuwahi Kumwaga Haraka?.*
____________________________________
Call & sms & WhatsApp
+255 778 351 439
____________________________________
Na kwasasa upo katika hatua za kutafuta suluhisho ila bado unahofia k**a suluhisho hilo linaweza kutatua tatizo lako kwa asilimia 100%. Au umeshajaribu njia mbali mbali ila zote zikagonga mwamba na kuambulia patupu?
____________________________________
K**a huyu ni wewe sitakushangaa maana inawezekana ulifanya kosa ambalo wanaume wengi hulifanya wanapo taka kutatua tatizo hilo na mbaya zaidi kosa hili ndilo linalowafanya wasipate matokeo wanayoyataka.
______________________________________
Na kosa linalofanywa ni Kule Kukimbilia Kutibu Tatizo Kabla Ya Kugundua Chanzo Cha Tatizo . Je unajua chanzo cha tatizo lako ni nini?. K**a hujui basi umefanya hilo kosa ndio maana umekosa kupata matokeo sahihi.
______________________________________
K**a bahati tumekuandalia SOMO maaalumu litakalo kusaidia kugundua chanzo cha tatizo lako. Na hapo hapo tutakuelekezea kutokana na chanzo cha tatizo lako vitu gani ufanye ili kuimaliza changamoto hii moja kwa moja.
____________________________________
SOMO HILI NI BURE. Wasiliana nami kwenda namba ........ Au tuandikie ujumbe WhatsApp wenye neno SOMO.
_____________________________________
Contact us
_____________________________________
Call & sms & WhatsApp
+255 778 351 439
____________________________________
29/07/2021
JEE hauna furaha na ndoa yako ? JEE unashindwa kufanya tendo la ndoa vizuri? JEE Unashindwa kwenda muda mrefu ? JEE Unashindwa kurudia tendo la ndoa ? JEE Maumbile yako madogo sana? JEE Hauwezi kufikisha kileleni mkeo? JEE unatatizo lolote kwenye ndoa yako ?
Piga simu / tuma meseji/ Njoo WhatsApp , nitakusaidia BURE kabisa.
*+255 778 351 439*
29/07/2021
JEE hauna furaha na ndoa yako ?
JEE unashindwa kufanya tendo la ndoa vizuri?
JEE Unashindwa kwenda muda mrefu ?
JEE Unashindwa kurudia tendo la ndoa ?
JEE Maumbile yako madogo sana?
JEE Hauwezi kufikisha kileleni mkeo?
JEE unatatizo lolote kwenye ndoa yako ?
+255 778 351 439 piga simu / tuma meseji/ Njoo WhatsApp , nitakusaidia BURE kabisa
Kwa mawasiliano
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Temeke
Dar Es Salaam