Jua_thamani_ya_afya_yako
tunatoa ushauri juu afya Bora, tiba na lishe
30/06/2022
#0742196066
0742196066
KUNA AINA MBILI ZA BAWASIRI
1️⃣Bawasiri ya nje:
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina to kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.
2️⃣Bawasiri ya ndani:
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.
Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:
•Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
•Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
•Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
•Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.
Bawasiri inatibika bila upasuaji
Tupigie tuweze kukusaidia Kwa tiba mbadala
:
:
:
:
:
:
:
:0742196066
'enyowachakula #
16/02/2022
#0742196066
14/02/2022
#0742196066
12/02/2022
Je wajua ukiacha harufu mbaya mwilini
Kuna harufu mbaya kwenye kichwa ni dalili nyingine ya mfumo wa mmegenyo wa chakula
#0742196066
07/02/2022
#0742196066
05/02/2022
Kwan uteseke piga simu Sasa 0742196066
03/02/2022
Je unachangamoto
0742196066
03/02/2022
0742196066
02/02/2022
# bawasiri
Nipigie Sasa #0742196066
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam