Hekima ya afya 00
ishi maisha ya furaha
FAHAMU KUUSU TEZI DUME 👇👇👇
0752676495
FAHAMU KUUSU TEZI DUME
#0752676495
FAHAMU KUUSU BAWASIRI?👇👇
25/12/2020
Nimewahudumia watu wengi sana ambao sana bawasiri,wengi wao wanasema anapata choo kigumu ila wachache kwa sababu ya ujauzito,k**a ulikua hujui bawasiri ni nini, kwa Nina jingine huwa inaitwa MGOLO au kwa Nina LA kiingereza huitwa HAEMORRHOID au PILES hii ni hali inayotokea pale kinyama kinajitokeza eneo LA Haja kubwa hali hii huambatana na maumivu,muwasho na hata kutoka kwa damu kipindi unapata choo,
Watu wengi niliowahudumia huwa na bawasiri ya nje ambayo kinyama kinatoka.nje kabisa na kinaonekana au bawasiri ya ndani ambapo kinyama kinakuwa bado nje
Watu wengi ninaowahudumia huwa hawajui kuwa tatizo lao ni la mfumo wa chakula na huwezi kutatua BAWASIRI bila kurekebisha mfumo wako wa chakula
Nimewasaidia watu wengi sana kurekebisha mfumo wako wa chakula kwa kutumia na kuondoa kabisa bawasiri bila upasuaji
Usisubiri hadi bawasiri iwe sugu ndio uamue kujitibia
Ushauri,na kuondoa tatizo kabisa bila upasuaji nicheki kwa #0752676495
25/12/2020
#0752676495
KUKOSEKANA KWA UTE KATIKATI YA VIUNGO (JOINTS) - CARTILAGE*
Kajiraba fulani ambako hujulikana kwa jina la kitaalamu k**a “Cartilage” (katileji) ambako hupatikana katikati ya mifupa.
Kuna kitu fulani huwa kinapatikana katikati ya mifupa miwili ya goti la mnyama (ng’ombe, mbuzi) huwa wengi wanapenda kukila kwenye baada ya kuchemshwa au kupikwa. K**a unaijua hii, basi ndio katileji yenyewe.
Katileji inasaidia kuikinga mifupa isiumie.Vilevile inafanya kazi ya kusaidia kuubeba uzito wakati wa kutembea, kuinama, kunyoosha viungo au kukimbia.
Zaidi ya asilimia 85 (85%) ya katileji ni maji, na jinsi umri unavyosonga mbele, maji hayo huwa yana kawaida ya kupungua. Na asilimia 15 niprotini.
Tatizo hili lipo zaidi kwenye sehemu ya magoti. Endapo katileji inakuwa ina tatizo, husababisha maumivu makali hasa unapotaka kusimama au kutembea, vile vile kwenye mabega, au nyonga. Pia inaweza sababisha uvimbe (goti au nyonga au bega kuvimba).
Mtu ambaye katileji yake ina tatizo aidha imelika au kutokuwepo kabisa, anatakiwa kupatiwa vitu au virutubishi ambayo vitasaidia kuirekebisha katileji au kuijaza kwa upya.
*KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU ..
#0752676495
24/12/2020
Je! Wewe ni mmoja Kati ya Watu ambao wamehangaika na tatizo la tezi dume kwa muda mrefu bila mafanikio?
Tezi dume husababishwa hasa ukuaji mbovu wa seli za mwili ambazo hupelekea kuvimba na matumizi ya dawa nyingi hupelekea kinga ya mwili kushuka kwa kasi Sana lakini uwepo wa kilimo biashara husababisha Upungufu mkubwa wa kinga na virutubisho mwilini.
Tuna virutubisho lishe ambavyo vinasaidia kuingiza kinga ya mwili na pia kusaidia Kulinda Tezi dume isipate madhara na isishambuliwe na maradhi na magonjwa na hazina madhara baadaye (side effects)
kwa matatizo k**a hayo tuwasiliane 0752676495 au weka maoni yako (comment) hapo Chini na mapendekezo au ushauri wako.
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii kwa :-
WhatsApp; 0626245025
24/12/2020
KANSA YA UTUMBO NA ENEO LA HAJA KUBWA{Colorectal} NI moja kati ya kansa inayoua watu wengi sana duniani IPO kwenye tatu bora kwa kuua zaidi ya watu million 1.8 duniani
Watu wengi wanaoumwa Kansa hii walianza NA dalili za kawaida kabisa kabla haijawa kansa ila walidharau NA kujikuta tatizo linakua KUBWA sana
Asilimia KUBWA ya watu niliowahudumia wenye Kansa hapo awali walianza kwa kupata choose kigumu au kutokupata choo kabisa au kutopata choo kwa wakati au kupata choo kidogo sana, ikaendelea choo kigumu kikaleta bawasiri, bawasiri akaaa NATO kwa muda mrefu hii ikapelekea kuleta maambukizi ya bacteria wabaya eneo Kunya bawasiri NA kusababisha kansa
Watu wengi hawajui kuwa ukizubaa bawasiri YAKO itasababisha tatizo kubwa sana ambalo NI kansa ya utumbo
Nimewasaidia watu wengi sana kuondokana NA bawasiri,choo kigumu NA gesi tumboni kwa kutumia virutubisho lishe NA bila upasuaji
Wasiliana NA Mimi kwa namba # 0752676495
24/12/2020
TATUA TATIZO LA TEZI DUME KWA NJIA RAHISI NA SALAMA BILA KUFANYIWA UPASUAJI. 0752676495
TEZI DUME NI NINI?
👉Tezi dume ni tezi ambalo kila mwanaume analo.
👉Tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo linalozunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume.
👉Kadiri umri unavyozidi kuongezeka tezi dume nalo huongezeka ambapo huweza kuwa uvimbe tu au saratani. (Cancer)
KUNA AINA TATU ZA MATATIZO YA TEZI DUME
🔵Maambukizi ya bacteria kwenye tezi dume
🔵Kuvimba kwa tezi dume
🔵Saratani ya tezi dume
DALILI ZA KUVIMBA AU SARATANI (CANCER) YA TEZI DUME
🟤Kukojoa mara nyingi hasa nyakati za usiku
🟤Kulazimisha mkojo kutoka hata pale unapohisi kibofu cha mkojo kimejaa.
🟤Mkojo kutoka pole pole na kuwa wa kukatika katika
🟤Mkojo kushindwa kutoka hata pale unapohisi kukojoa
🟤Mkojo kuendelea kutoka kidogo kidogo hivyo kuchafua nguo za nd an I
🟤Kibofu cha mkojo kutoisha mkojo
🟤Kukojoa zaidi ya mara 5, 6 mpaka 10 kwa usiku mmoja
👉Vilevile kuvimba kwa tezi dume kunaweza kuwa dalili Mona wapo ya saratani (Cancer) ya tezi dume
KUMBUKA
Wataalamu wanasema tezi dume ni saratani (cancer) pili kuua duniani.
Pia matatizo ya tezi dume huwapata sana wanaume wenye umri kuanzia miaka 40, 45 na kuendelea
Vilevile k**a katika familia au ukoo kuna mtu aliewahi ugua tezi dume basi huwa inaendela kutokea kwa wengine
MADHARA YATOKANAYO NA KUVIMBA AU SARATANI YA TEZI DUME
Tezi dume ikivumba au saratani ya tezi dume husababisha Ă·
•Kukosa mkojo au kushindwa kukojoa kabisa
•Madhara kwenye kibofu cha mkojo
•Mkojo kurudi kwenye figo hivyo kuharibu figo
•Kwa kutokukojoa mkojo wote kunaweza
kusababisha mawe kwenye kibofu cha mkojo
MATIBABU
kuna matibabu ya aina tofauti tofauti ya matatizo ya tezi dume ambayo niĂ·
DAWA
•Dawa hizi hupewa mgonjwa ili kutuliza athari za matatizo ya tezi dume
•Lakini husababisha homon ya kiume kushuka
•Husababisha mwanaume kuwa na maziwa
•Husababisha upungufu wa nguvu za kiume
•Humfanya mhusika kuwa tegemezi wa madawa
MAZOEZI
•Haya hufanya damu ipite kwa wingi kwenye mishipa
•Huchukua mda mrefu
•Matokeo kidogo
UPASUAJI
Hii hufanyiwa upasuaji wa kuondoa uvimbe
Katika upasuaji ambapoĂ·
Zaidi ya 15% hupoteza maisha
17% hupoteza nguvu za kiume
15% hupata magonjwa ya moto
ADHARI MBAYA ZA UPASUAJI
•Kukojoa damu kwa mda mrefu
•Kutowaza kuzuia mkojo kwa kipindi kirefu
•Kuvaa mpira wa mkojo mpaka damu itakapokata
•Kurudia upasuaji baada ya miaka kadhaa
•Manii (shahawa) kurudi kwenye kibofu cha mkojo
Hii hutokea kwa 70% ya wanaume wanaofanyiwa upasuaji
•Kwa manii kurudi kwenye kibofu husababisha mwanaume kuwa mgumba
Pia itakubidi kufanyiwa upasuaji mwingine wa kutolewa manii kwenye kibofu cha mkojo.
JINSI YA KUTATUA TATIZO LA TEZI DUME BILA KUFANYIWA UPASUAJI NA BILA MADHARA KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE
• ni bidhaa inayoondoa tatizo la tezi dume bila kufanyiwa upasuaji na kwa njia rahisi na salama.
•Pia kuna bidhaa za kupandisha kinga ya mwili na kuondoa saratani ambazo ni and Broken Ganoderma Spores na Yunzhi Essence
Ambazo hizi tunampatia mwenye tatizo la tezi dume ili kuzuia asipate saratani lakini pia kupandisha kinga ya mwili ili aweze kupona kwa haraka.
Wasiliana nasi kwa #0752676495 kupata huduma uondokane na matatizo ya tezi dume
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam