Bf suma official tz

Bf suma official tz

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Bf suma official tz, Health/Beauty, Mlimani city, Dar es Salaam.

1:magojwa ya wanawake :2;magojwa ya watoto;3magojwa ya wazee:mifupa,maumivu ya mgongo,na miguu kuwaka Moto N.k 4:magojwa ya kinywa 5:magojwa ya macho; 7:ugumba,uvimbe,bawasiri ,hedhi

25/06/2022

piga simu upate huduma haraka 0766862954

25/06/2022

0766862954 piga simu upate huduma

20/05/2022
Photos from Bf suma official tz's post 20/05/2022

+255754053905/CALL OR WHAT'S UP
IJUE KAZI YA X-POWERMAN CAPSULES.

Ni bidhaa yenye mchanganyiko wa hali ya juu ya virutubisho vinavyo boresha afya ya uzazi kwa mwanaume

VIUNGO
* EPIMEDIUM -ni kirutubisho kinachoongeza hamu ya tendo la ndoa,, kinasaidia kuchelewa kufika kileleni na kuongeza uwezo wa s***m kurutubisha yai

* MACA -Inaongeza nguvu kwa mwanaume na kusimama kwa uume

FAIDA ZAKE

* Ina mchanganyiko wa kipekee wa vyakula vya asili vinavyoongeza ufanisi katika tendo la ndoa

* Inamuongezea mwanaume uwezo wa kufanya tendo la ndoa bila madhara yoyote

* Inasaidia kumuongezea mwanaume hali ya kujamiana

* Kuongeza wingi na ubora wa manii

* Inaondoa uchovu na msongo wa mawazo

* Inaboresha mzunguuko wa damu kwenye uume hali inayosaidia uume kusimama vizuri zaidi

Mwenye changomoto ya kutofika kileleni,kumaliza haraka.

14/05/2022

SABABU YA KUTOKA NA MABONGE YA DAMU WAKATI WA HEDHIKwa asili, wanawake wengi huwa wanapatwa na hali hii ya mabonge wanapokuwa hedhini, ni jambo ambalo huwastusha wengi na hutufanya kuwa na maswali k**a vile •Kwa nini mwanamke anatokwa na damu iliyoganda wakati wa hedhi?•Ni kipi hasa husababisha damu kuganda wakati wa hedhi?Leo nipo kwa ajili ya majibu.~~Kwa ujumla, chanzo cha kuganda kwa damu wakati wa hedhi yako hutokana na kushindwa kutoka kwa ute wenye kemikali unaozuia kuganda kwa damu kibaolojia huitwa anticoagulants...... ambapo kazi ya ute huu ni kuukinga ukuta wa kizazi usiharibike. Wakati wa hedhi, ute mzito unakuwa kwenye ukuta wa kizazi huanza kutoka. Ute huu unaokuwa na kemikali huanza kuachiliwa ili kuzuia damu isigande wakati wa hedhi. Wanawake wengi wanaotokwa na damu ya hedhi muda mrefu hutoka na damu yenye mabonge kwa sababu damu inayotoka kwenye ukuta wa mfuko wa kizazi(uterus) hutoka kwa kasi kuliko ute wenye kemikali ya kuiyeyusha isigande. Hali hii ndio husababisha damu kuganda na hedhi kutoka na mabonge ya damu kwa muda mrefu.Visabibishi vya kupungua kwa ute huu (anticoagulants) ni uwepo wa tatizo katika kizazi mfano.1. Uvimbe Katika Kizazi (Uterine Fibroids)Uvimbe mmoja au zaidi ambao huwa sio saratani, kwa kawaida huota ndani ya kizazi cha mwanamke. Hata hivyo kwa kuwa sio saratani, huwa havionyeshi kuwa vimetulia tu. Dalili za kawaida anazozipata mwanamke mwenye uvimbe aina ya fibroids ni k**a ifuatavyo:•Maumivu ya tumbo chini ya kitovu•Maumivu wakati wa tendo la ndoa•Kutokwa na damu ya hedhi muda mrefu•Tumbo kujaa gesi ama kukosa choo2. Matumizi ya njia za Kisasa za Uzazi Wa MpangoDhumuni kuu la njia za kisasa za Uzazi wa mpango ni kuvuruga mpangilio wa homoni za mwanamke. Kivurugika kwa homoni hauharibu tu ukomavu wa mayai bali huharibu vichochezi vya homoni hasa oestrogens na progesterone ambazo ni muhimu katika kuzalisha ute, mayai na ujauzito kwa ujumla. JICHUNGUZE Piga simu 0754053905

14/05/2022

Kumekua na hofu na imani za kishirikina kwamba huenda watu hao wamerogwa au wametegewa kitu cha kishirikina ndio maana wamekufa lakini mambo yote hayo hayana ushahidi.

Kitaalamu kuna sababu kadhaa ambazo zinaweza kuleta kifo wakati wa tendo la ndoa na mara nyingi huhusisha mfumo wa moyo k**a ifuatavyo.

Magonjwa ya moyo; kuna wachezaji kadhaa wameshawahi kufia uwanjani wakati wa kucheza mpira, vifo hivi havina tofauti na vifo ambavyo vinatokea wakati wa tendo la ndoa.

Magonjwa ya moyo kitaalamu k**a cardiomyopathies ndio yanayoongoza kwa vifo vya ghafla kwa vijana mpaka watu wazima hasa wakati wa mazoezi makali, magonjwa haya huja na kuvimba sehemu za ndani au chemba za moyo na kufanya ubadilishaji wa damu kutoka kwenye moyo kwenda sehemu zingine za mwili kua mgumu sana.

Vyanzo vya magonjwa haya hua ni kurithi kwa mzazi mmoja, ulevi wa kupitiliza, kuugua presha kwa muda mrefu, unene na magonjwa ya sukari,matumizi ya baadhi dawa za saratani,madhara ya ujauzito, madawa ya kulevya k**a co***ne na kadhalika.

Dalili za magonjwa haya ni kuumwa kifua, kupumua kwa shida na kufa ghafla, mara nyingi magonjwa haya yanakua hayana dalili kabisa na mtu anaweza kukutwa na ugonjwa huu wakati wa vipimo vingine vya magonjwa mengine au uchunguzi baada ya kifo cha ghafla.

Magonjwa haya hayatibiki kabisa lakini kuna dawa malimbali za kupunguza makali au kubadilisha moyo kwa watu wenye uwezo huo.

dawa za kuongeza nguvu za kiume; Dawa maarufu kabisa inayotumika kutibu nguvu za kiume ni vi**ra kitaalamu k**a sedenafil citrate, dawa hii inatakiwa iandikwe na kutumika chini ya uangalizi wa daktari na kwa lugha rahisi sio kila mtu anafaa kutumia dawa hii.

Vi**ra inafanya kazi kwa kutanua mishipa ya mwili ili kusukuma damu nyingi sana kwenye uume lakini faida hii inaambatana na madhara ya kushuka kwa presha ya damu, kitu hiki ni hatari sana kwa watu wenye presha ya kushuka na magonjwa mbali mbali ya moyo kwani hawezi kuvumilia tatizo hili na huweza kupelekea kifo cha ghafla kwa muhusika

14/05/2022

ugumba ni nini?

hii ni hali ya wapenzi au mke na mume kutopata ujauzito baada ya kushiriki ngono mbili kinga kwa muda wa mwaka mmoja mfululizo. ugumba unaweza kua primary infertility yaani mtu hajawahi kubeba mimba kabisa tangu azaliwe au secondary infertility yaani mtu ambaye amewahi kuzaa lakini kwa sasa ameshindwa kubeba ujauzito. utafiti uanonyesha katika kila ndoa tano au mahusiano matano ya kimapenzi basi uhusiano mmoja una matatizo ya uzazi ya kushindwa kuzaa.

hali hii imekua ikiongezeka kadri miaka inavyosonga mbele kwa sababu mbalimbali k**a mionzi ya mawasiliano yaani wi-fi , magonjwa mapya ya binadamu na kadhalika. kwa wanawake utafiti mpya unasema uwezo wao wa kubeba mimba unaanza kupungua baada ya miaka 30 ya umri kutokana na kuanza kuishiwa nguvu kwa viungo vya uzazi. ugumba una vyanzo vingi sana ambavyo vingine havifahamiki mpaka leo lakini hebu tuone vyanzo muhimu vya ugumba.

utoaji wa mimba;Huenda hichi ndio kitakua chanzo kikuu cha ugumba miaka ijayo kwani siku hizi kila karibia kila mwanamke ana sababu za kutoa mimba, utoaji wa mimba una hatari nyingi ambazo huweza kuleta ugumba k**a kuoza au kuharibika kwa kizazi baada ya kushambuliwa na bakteria, makovu yanayoletwa na vifaa vinavyotumika kutoa mimba kwenye mfuko wa uzazi na mlango wa uzazi huweza kusababisha ugumba usiotibika.

matatizo ya vizaalishaji vya mayai [ovari]; ovari ni kiungo ambacho kinatoa yai moja kila mwezi ili liweze kurutubishwa na mbegu ya mwanaume lakini kuna magonjwa ambayo yanaweza kusababisha ovari hiyo ikaugua na kushindwa kutoa mayai, mwanamke ana ovari mbili lakini moja ikiuugua tu na nyingine haifanyi kazi mfano ugonjwa wa ovarian cyst.

matatizo ya mirija ya uzazi; ovari zimeunganishwa kwenye mirija ambayo hupitisha mayai kwenda kwenye mfuko wa uzazi..wakati mwingine mirija hiyo huziba kwa sababu mbalimbali hivyo mayai hushindwa kupita na kusababisha ugumba.mfano ugonjwa wa endometriosis, upasuaji na peritonitis.

0754053905

14/05/2022

MASUNDOSUNDO, MALENGELENGE, VINGWARU NA VIPELE LAINI NA VIDOGO SEHEMU ZA SIRI
Ukiwa mzima mshukuru Mungu mara mia mia, sisemi ukiwa sio mzima usimshukuru Mungu la hasha ila ninataka kuonyesha msisitizo ya kwamba kuna watu wanateseka na mardhi ya kila aina MASUNDOSUNDO, MALENGELENGE, VINGWARU NA VIPELE LAINI NA VIDOGO SEHEMU ZA SIRI
Ukiwa mzima mshukuru Mungu mara mia mia, sisemi ukiwa sio mzima usimshukuru Mungu la hasha ila ninataka kuonyesha msisitizo ya kwamba kuna watu wanateseka na mardhi ya kila aina ile hali wewe mzima kabisa wala huoni sababu ya kumshukutu Mola wako.

Leo ningependa kuongelea habari ya , laini na sehemu za siri, ni vitu vidogo lakini mara nyingi vinaleta usumbufu hadi wengine kuanza kudhania wameathirika, kumbe sio. Kumbuka ili kujua umeathirika na lazima uwe umepima. Tabia ya kujipima wenyewe haifai na ni hatari sana. Kuna watu wanaota vinyama laini vidogovidogo kwenye sehemu za siri yaani nfano kichwa cha uume, mashavu ya uke, ndani kwenye mirija ya mkojo, maeneo yanayozunguka haja kubwa, kwenye makoo na mdomoni. Aidha wengine wanaota vipele vidogo vidogo sehemu mbalimbali za siri vinavyopasuka na kuacha maji mnato ivi na kisha kuunda kidonda cha wastani. Usikae na ugonjwa onana na madaktari au washauri wa afya ili uweze kuanza safari ya matibabu.
Piga simu 0754053905

14/05/2022

naweza kuziona dalili za ujauzito baada ya tendo la ndoa?

Kabla ya kulijibu swahi hili inapasa kujuwa mabadiliko ya mwili wako kabla ya ujauzito ama kabla ya kushiriki tendo la ndoa. Kwanza zingatia mabo haya kabla ya kushiriki tendo la ndoa:-

Jeoto la mwili wako. Hakikisha unatambuwa vyema k**a mwili wako joto lake lipo kiasi gani. Na hakikisha unaweza kutofautisha kati ya joto la homa na joto la kawaida.

Zingatia majimaji ya kwenye uke wako. Zingatia k**a uke wako upo katika majimaji ama upo mkavu. Pia angalia rangi za mashavu ya uke.

Zingatia tarehe zako. Kabla ya kushiriki tebdo la ndoa hakikisha tarehe zako unazifahamu vyema, pamoja na siku zako za hatari ni lini.



Je nitazijuaje sasa hizo dalili baada ya kuzingatia mambo hayo?

Kujuwa k**a umebeba mimba ama laa inaweza kuchukuwa hata wiki moja kuona mabadiliko kwenye mwili wako, mabadiliko haya yataweza kukuambia kwamba huwenda umebebe mimba. Ila pia kuna baadhi ya waanwake wanaweza kuyana mabadiliko hayo mapema kabisa. Ila tambuwa kuwa mabadiliko hayo yote yanaweza kuwa ni vyanzo vya sababu zingine na si ujauzito.

14/05/2022

Tiba ya ugumba kwa mwanamke kupitia mimea.

Programu hii imeanzishwa mahususi ili kutatua changamoto ya wanawake kutokushika mimba kutokana na matatizo mbalimbali ya kiafya k**a

Kuvurugika kwa homoni za uzazi (hormonal imbalance)
Uvimbe kwenye mfuko wa mayai (ovarian cyst)
Uvimbe kwenye mfuko wa mimba (fibroids)
Kulegea kwa kizazi
kuchelewa kupevuka kwa mayai na
uzalishaji hafifu wa mayai ya uzazi
Hivo hakikisha mpaka umetutafuta uwe umeshafanya vipimo hospitali ili kujua chanzo cha kutoshika ujauzito, tunashauri wenza wote mke na mume kufanya vipimo maana wote wanaweza kukutwa na matatzo ya kiafya. Baada ya zoezi la upimaji fika ofsini kwetu uonane na muhudumu ili uanze dozi yako haraka iwezekanavyo. Naamini nawe unapenda kufikia malengo yako mazuri ya kupata mtoto k**a hawa wagonjwa wa hapa chini walivofanikiwa kupitia dawa zetu, soma shuhuda zao hapa chini.

Huduma zetu zinajumuisha ushauri wa bure pamoja na virutubisho viwili, hapa chini ni maelezo kwa kifupi ya utafiti wa tiba na virutubisho hivi viwili vya kusawazisha homoni za k**e vilivyotengenezwa kwa mimea:
Zinc capsules

Kwa wanawake, MADINI YA ZINC yanahusika katika ukuuaji wa yai (oocyte). K**a mwanamke atakuwa na upungufu wa zinc, yai halitakomaa vizuri na utolewaji wa yai (ovulation) utazuiliwa , na kusababisha ugumba. Kiwango cha zinc cha kutosha kunamwezesha mwanamke kutumia estrogen na progesterone vizuri. hakikisha unapata virutubisho kutoka kwenye vyanzo vilivyothibitishwa.
Wasiliana 0754053905

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Mlimani City
Dar Es Salaam