Better Health Care TZ
You're Health is Our Concern ~
Call Us +255655562181 / +255769600821
23/04/2026
"JILINDE NA UPOFU WA KIMYAKIMYA (GLAUCOMA)! - TAMBUA NA TIBU MAPEMA GLAUCOMA๐๏ธโ ๏ธ
โJe, unajua kuwa Presha ya Macho haina dalili za wazi mpaka hatua za hatari?
- Usisubiri kuona "ukungu" au kupoteza uwezo wa kuona pembeni ndipo uchukue hatua.
- โK**a una umri wa miaka 40+, una kisukari, au kuna historia ya ugonjwa huu kwenye familia yako, uko hatarini zaidi!
โข Glaucoma ni adui wa kimyakimya anayeshambulia mishipa ya fahamu ya jicho (Optic Nerve). Isipodhibitiwa, huleta upofu wa kudumu.
โDalili za Mapema:
- โMaumivu ya macho na macho kuwa mekundu.
- โKuona ukungu au mawingu.
- โKichefuchefu na kutapika (kwa presha ya ghafla).
- Macho Kuwasha na kutoka macho.
- Kutoona mbali au karibu.
- Kupungua uwezo wa kuona. n.k.
โ โUsikubali Nuru Yako Ififie! Tunakuletea virutubisho asilia vyenye teknolojia ya hali ya juu. Bidhaa zetu zimeondolewa sumu na kemikali zote, zikiwa na lengo la kusaidia kurekebisha mifumo ya jicho kwa usalama zaidi.
โWasiliana Nasi Leo:
๐ Ofisi zetu zipo Makumbusho, DSM.
๐ Simu: 0769 600 821
๐ฑ WhatsApp: 0655 562 181
โ๐ Tupate: Kinondoni Manyanya na Makumbusho, Dar es Salaam.
๐ Mikoani: Tunatuma popote.
โ โWahi matibabu leo, linda uwezo wako wa kuona kesho!
โ Afya ya macho yako ndiyo nuru ya maisha yako.
11/04/2026
๐ข SURA MPYA YA KUDHIBITI TEZI DUME NA KISUKARI!โ๐ข
โJe, unajua kuwa afya ya tezi dume na kisukari huenda sambamba? Usisubiri dalili ziwe mbaya, chukua hatua sasa kulinda afya yako na kuishi kwa amani.
โGOOD HOPE HEALTH CARE tuko hapa kukupa suluhisho la uhakika kwa kutumia utaalamu wa kisasa na huduma zenye upendo.
โ๐ก๏ธ KWANINI UCHAGUE HUDUMA ZETU?
โ โUtaalamu wa Hali ya Juu:
โ Tunadhibiti Tezi Dume (BPH) bila hofu.
โ โUsimamizi wa Kisukari:
โ Tunakusaidia kurekebisha sukari yako na kuzuia madhara ya muda mrefu.
โ โUshauri wa Kitaalamu:
โ Utapata muongozo wa lishe na mfumo wa maisha unaofaa.
โ"Your Health is our Concern" โ Afya yako ndiyo kipaumbele chetu kikuu.
โ๐ WASILIANA NASI LEO:
โUsikae na maumivu au hofu moyoni. Piga simu sasa au tufuate kwenye mitandao ya kijamii kwa elimu zaidi:
โ๐ Simu: +255 655 562 181 | +255 769 600 821
๐ Tovuti: www.afyabora.com
๐ธ Instagram: .co.tz
๐ต Facebook:
โWahi mapema, Afya yako ni Mtaji wako!
15/12/2025
KUTANUKA AU KULEGEA KWA MISULI YA UKE - - ( Vaginal Laxity).
Kutanuka au kulegea kwa misuli ya uke (Vaginal laxity) ni hali ambapo misuli ya uke inapoteza uimara wake wa kawaida. Ni jambo la kiafya linalowapata wanawake wengi, hasa baada ya mabadiliko fulani ya mwili.
Sababu kuu:-
1. Kujifungua mara nyingi, hasa kwa njia ya kawaida (normal delivery).
2. Kuongezeka kwa umri โ homoni ya estrogen hupungua.
3. Kupungua kwa homoni (hasa baada ya kujifungua au menopause).
4. Kufanya kazi nzito au kubeba mizigo mizito mara kwa mara.
5. Kukohoa kwa muda mrefu au kufunga choo (constipation) โ huongeza presha kwenye misuli ya nyonga.
6. Kukosa mazoezi ya misuli ya nyonga (pelvic floor).
Dalili zinazoweza kuonekana.
- Kutoa hewa ukeni wakati wa Tendo na sauti k**a ya kujamba.
- Kuhisi uke โkuwa mpanaโ kuliko kawaida
- Kupungua kwa msisimko au raha wakati wa tendo la ndoa
- Kushindwa kujizuia mkojo (mkojo kutoka bila kutarajia)
- Hisia ya uzito au kitu kushuka chini ya uke
Muhimu kukumbuka - Si ugonjwa wa aibu, ni hali ya kawaida na inarekebishika
- Epuka kutumia vitu vya kuingiza ukeni visivyo salama (mimea, kemikali n.k.) bila ushauri wa kitaalamu
- Ukiona dalili zinaongezeka au una maumivu/kuvuja damu, muone mtaalamu wa afya.
KWA MSAADA ZAIDI ๐๐๐๐๐
-๐"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0655562181 / 0769600821
ยฐAu Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐๐
http://.wa.me/255655562181
- Pia Waweza Jiunga na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa ๐๐๐ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q
, & Usaidie na Wengine
23/11/2025
JE UNAJUWA NI KWA NINI WATU WENGI HAWAPONI ACID REFLUX ( GERD)?
1. Kutafuta dawa za kupunguza maumivu tu, sio chanzo cha tatizo :- Watu wengi hutumia antacids mara kwa mara, lakini hazitibu chanzo โ zinapunguza dalili tu kwa muda.
2. Kula vyakula vinavyochochea acid bila kujua
Kahawa, chai, pilipili, mafuta mengi, soda, tangawizi nyingi, limao โ watu huendelea kula bila kujua vinaongeza reflux.
3. Kula usiku sana au kulala mara baada ya kula :- Hii ndiyo sababu kubwa watu hawaponi, tumbo halijamaliza kumengโenya.
4. Bacteria H. pylori kutotibiwa _ Watu wengi wana reflux inayoendeshwa na H. pylori, lakini hawajawahi kupima wala kutibu na hawajui hilo.
5. Kupata stress na anxiety mara kwa mara
Stress huongeza ute wa acid na kuathiri mmengโenyo โ wengi hawajui kabisa.
6. Uzito mkubwa kupuuzwa _ Kitambi husukuma juu tumbo na kusababisha acid kurudi juu โ bila kupunguza uzito, dalili hurudi kwa haraka.
7. Kula chakula kingi kwa mara moja
Over eating hufanya acid reflux kuongezeka.
8. Kutokunywa maji ya kutosha
Maji husaidia kupunguza ukali wa acid, watu wengi hunywa chini ya lita 1 kwa siku.
9. Tatizo la Hiatal Hernia halijajulikana
Wengine wanateseka kwa miaka bila kujua wana ngili ya juu (hiatal hernia).
10. Kutotumia tiba ya mimea sahihi kwa muda sahihi _ Wengi huanza dozi, wanapona kidogo, wanakata โ acid hurudi.
Angalizo _ Dawa za kawaida k**a antacids, PPIs (omeprazole, esomeprazole) hufanya kazi kwa:
โข Kupunguza acid muda mfupi
โข Kuzuia uzalishaji wa acid siku chache
Lakini hazitibu chanzo, ndiyo maana ukiacha tu dalili hurudi kwa haraka. .
โข Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.
-๐"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0655562181 / 0769600821
ยฐAu Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐๐
http://.wa.me/255655562181
- Pia Waweza Jiunga na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa ๐๐๐ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q
, & Usaidie na Wengine
08/11/2025
๐๐ผ๐ฝ๐ผ๐ฝ๐ ๐๐๐ ( ๐๐๐ผ๐๐๐ ) ๐๐๐๐ผ๐๐ ๐๐ผ๐ฝ๐ผ๐ฝ๐๐๐๐ผ ๐ผ๐พ๐๐ฟ ๐๐๐๐๐๐ / ๐๐๐๐ฟ.
Call & WhatsApp +255655 562 181 , +255769600821
1. Vyakula na vinywaji fulani
Vyakula vyenye mafuta mengi
โข Chokoleti
โข Kahawa, chai kali, soda
โข Vitunguu na pilipili
โข Nyanya na vyakula vyenye asidi nyingi
โข Pombe
โข ladha za kuongeza kwenye mboga na baadhi ya vyakula zinazo tokana na kemikali.
2. Tabia za kula.
โข Kula chakula kingi kwa mara moja
โข Kulala au kuinama muda mfupi baada ya kula
โข Kula usiku sana
โข Kutokula kwa ratiba maalum
3. Shinikizo tumboni (abdominal pressure)
Unene/uzito kupita kiasi
โข Mimba
โข Nguo zinazobana sana kiunoni
4. Sababu za kitabibu Kulegea kwa LES (valve ya umio wa chini)
โข Hiatal hernia (sehemu ya tumbo inapanda juu ya diaphragm)
โข Maambukizi ya H. pylori au vidonda vya tumbo
โข Matumizi ya dawa k**a aspirin, ibuprofen, au dawa za arthritis
5. Mtindo wa maisha.
โข Uvutaji wa sigara (husababisha valve kulegea)
โข Msongo wa mawazo (stress)
โข Kukosa usingizi au kuchoka kupita kiasi
โข Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.
Je umehangaika sana na madawa mbali mbali ya kutibu ACID REFLUX Bila matanikio? Usihofu tunalo suluhisho la uhakika sana ndani ya wiki moja tu utasahau kuhusu Acid reflux.
-๐"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0655562181 / 0769600821
ยฐAu Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐๐
http://.wa.me/255655562181
- Pia Waweza Jiunga na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa ๐๐๐ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q
, & Usaidie na Wengine
24/10/2025
๐๐๐ก๐ ๐ญ๐ ๐ ๐๐๐ข๐ก๐๐ช๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐๐ข
1. Figo kushindwa kufanya kazi ghafla (Acute Kidney Failure) โ hutokea ghafla kutokana na maambukizi, upungufu wa damu au dawa.
2. Figo kushindwa kufanya kazi sugu (Chronic Kidney Disease) โ huchukua muda mrefu na huendelea polepole.
3. Maambukizi ya figo (Pyelonephritis) โ bakteria hushambulia figo.
4. Mawe kwenye figo (Kidney Stones) โ madini hukusanyika na kuunda mawe.
5. Kisukari cha figo (Diabetic Nephropathy) โ kisukari huharibu mishipa ya damu ya figo.
6. Shinikizo la damu la figo (Hypertensive Nephropathy) โ BP kubwa huharibu figo.
7. Kuvuja damu kwenye figo (Glomerulonephritis) โ figo hushambuliwa na kinga ya mwili.
8. Figo zenye uvimbe wa maji (Polycystic Kidney Disease) โ uvimbe unaokua ndani ya figo.
9. Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) โ yakifika figoni husababisha matatizo makubwa.
10. Kansa ya figo (Kidney Cancer) โ chembe za figo hukua vibaya na kuunda uvimbe mbaya.
๐๐๐๐๐๐ ๐ญ๐ ๐ง๐๐ง๐๐ญ๐ข ๐๐ ๐๐๐๐ข
1. Kuchoka kupita kiasi โ kutokana na damu chache au sumu mwilini.
2. Uvimbaji wa mwili โ hasa usoni, mikononi na miguuni.
3. Mkojo kubadilika โ rangi, harufu au kuwa na povu.
4. Kukojoa mara chache โ au kuacha kabisa kukojoa.
5. Maumivu ya mgongo โ chini ya mbavu, hasa upande mmoja.
6. Kichefuchefu na kutapika โ kutokana na sumu mwilini.
7. Kupoteza hamu ya kula โ mwili ukiwa umechoka.
8. Kuwashwa kwa ngozi โ au ngozi kuwa kavu sana.
9. Kupumua kwa shida โ maji yakijikusanya kwenye mapafu.
10. Kizunguzungu na maumivu ya kichwa โ shinikizo la damu likipanda.
11. Kupungua uzito โ au kukonda bila sababu.
12. Kuchanganyikiwa โ kutokana na sumu nyingi mwilini.
Rekenisha figo zako na kufanya figo zirudi katika hali yake ya kawaida ya kutoa mkojo kwa ufanisi.
๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐A๐๐๐ ๐๐๐๐ & ๐๐๐๐๐๐๐๐
Callโtext&smsโwhatsapp๐
โ Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821
โ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa ๐๐๐ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q
โ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐๐๐ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini
๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐.
๐๐ผ๐ฝ๐ผ๐ฝ๐ ๐๐๐ ( ๐๐๐ผ๐๐๐ ) ๐๐๐๐ผ๐๐ ๐๐ผ๐ฝ๐ผ๐ฝ๐๐๐๐ผ ๐ผ๐พ๐๐ฟ ๐๐๐๐๐๐ / ๐๐๐๐ฟ.
Call & WhatsApp +255655 562 181 , +255769600821
1. Vyakula na vinywaji fulani
Vyakula vyenye mafuta mengi
โข Chokoleti
โข Kahawa, chai kali, soda
โข Vitunguu na pilipili
โข Nyanya na vyakula vyenye asidi nyingi
โข Pombe
โข ladha za kuongeza kwenye mboga na baadhi ya vyakula zinazo tokana na kemikali.
2. Tabia za kula.
โข Kula chakula kingi kwa mara moja
โข Kulala au kuinama muda mfupi baada ya kula
โข Kula usiku sana
โข Kutokula kwa ratiba maalum
3. Shinikizo tumboni (abdominal pressure)
Unene/uzito kupita kiasi
โข Mimba
โข Nguo zinazobana sana kiunoni
4. Sababu za kitabibu Kulegea kwa LES (valve ya umio wa chini)
โข Hiatal hernia (sehemu ya tumbo inapanda juu ya diaphragm)
โข Maambukizi ya H. pylori au vidonda vya tumbo
โข Matumizi ya dawa k**a aspirin, ibuprofen, au dawa za arthritis
5. Mtindo wa maisha.
โข Uvutaji wa sigara (husababisha valve kulegea)
โข Msongo wa mawazo (stress)
โข Kukosa usingizi au kuchoka kupita kiasi
โข Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.
-๐"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0655562181 / 0769600821
ยฐAu Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐๐
http://.wa.me/255655562181
- Pia Waweza Jiunga na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa ๐๐๐ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q
, & Usaidie na Wengine
17/10/2025
๐๐๐ผ ๐๐๐๐ ๐๐๐ผ๐๐ผ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ผ ๐ฟ๐ผ๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ผ๐๐ผ๐๐ ๐๐ผ ๐๐๐๐ฟ๐ ๐๐ผ ๐๐๐๐ผ?
Hizi hapa ndiyo Sababu kuu za Postcoital Bleeding-
Kwa kawaida mtu mwenye hormonal imbalance anaweza kutokwa damu wakati wa tendo la ndoa (s*x) kwa sababu kadhaa zinazohusiana na mabadiliko ya homoni, hasa estrogen na progesterone.
Hapa kuna maelezo ya kina:
๐ง 1. Upungufu wa homoni ya estrogen
Estrogen husaidia kuweka kuta za uke zikiwa nene, zenye unyevu na zenye elastic.
Wakati kiwango chake kimeshuka (k**a kwenye hormonal imbalance, stress, au baada ya uzazi), ukuta wa uke hukauka na kuwa mwembamba.
Hivyo, wakati wa s*x ukuta huu mwembamba huweza kupasuka kirahisi na kusababisha damu kidogo au maumivu.
๐ฉธ 2. Mabadiliko ya homoni kwenye mzunguko wa hedhi.
Wakati mwingine mwili unapata mabadiliko ya ghafla ya homoni kabla au baada ya hedhi.
Hali hii inaweza kufanya mfuko wa mimba (uterus) kutoa damu kidogo wakati wa tendo la ndoa.
Kwa wanawake wenye hormonal imbalance, hii hutokea mara kwa mara bila ratiba maalum.
๐ฟ 3. Uchochezi au uvimbe kwenye shingo ya kizazi (cervix).
Homonal imbalance inaweza kufanya tishu za shingo ya kizazi kuwa nyeti na kuvimba (cervical erosion).
Shingo ya kizazi ikiguswa wakati wa s*x, damu hutoka kwa urahisi.
โ ๏ธ 4. Sababu nyingine zinazochangia ni
Maambukizi ya uke au shingo ya kizazi (yeast, PID, trichomonas, n.k.)
Fibroids au polyps kwenye kizazi.
Matumizi ya vidonge vya kupanga mimba visivyo na uwiano wa homoni.
Stress na usingizi duni, ambavyo pia huharibu uwiano wa homoni.
๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐A๐๐๐ ๐๐๐๐ & ๐๐๐๐๐๐๐๐
Callโtext&smsโwhatsapp๐
โ Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821
โ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa ๐๐๐ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q
โ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐๐๐ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini
๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐.
18/09/2025
UTAJUAJE K**A UNA ACID REFLUX NA MICHUBUKO TUMBONI? - ( Gastric Ulcers).
~ +255655562181 , +255769600821 ~
โข Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. โข Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano na kuacha maumivu makali
โข๐๐ข๐๐ก๐๐๐ฎ๐๐ก๐๐๐ฎ
โข๐๐ข๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐
โข๐๐ฎ๐ฆ๐๐จ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐๐ ๐ ๐๐ฌ๐ข
โข๐๐ฎ๐ฆ๐๐จ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ค๐ ๐ฆ๐จ๐ญ๐จ
โข Kukosa hamu/ufanisi wa tendo la ndoa.
โข Maumivu makali sehemu kilipo kidonda.
โข Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi.
โข Kutapika nyongo.
โขKutapika damu au kupata choo chenye damu..
โข Kukosa hamu ya kula.
โข Kusahahu sahau na kupatwa na hasira bila sababu
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐, (๐๐๐ฉ๐ญ๐ข๐ ๐ฎ๐ฅ๐๐๐ซ๐ฌ).
โข Hali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja kwenye utumbo.
โข Pia ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐, (๐๐๐ฉ๐ญ๐ข๐ ๐ฎ๐ฅ๐๐๐ซ๐ฌ) - huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura.
โข ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐, vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani k**a vile ini au kongosho (pancrease).
โข iwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na H. pylori, kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo (stomach cancer).
โขUSHAURI
Vidonda vya tumbo vinatibika na kupona kabisa tuna product nzuri kwa ugonjwa huu wa vidonda vya tumbo haijalishi umeumwa muda mrefu kiasi ganiโข
๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐A๐๐๐ ๐๐๐๐ & ๐๐๐๐๐๐๐๐
Callโtext&smsโwhatsapp๐
โ Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821
โ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa ๐๐๐ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q
โ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐๐๐ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini
๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐.
27/07/2025
_*DALILI NA MATIBABU YA UGONJWA WA TEZI DUME*_
~ +255769600821 , +255655562181 ~
โข Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume,Jinsi umri unavyo ongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa wa kawaida au saratani.
โข Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume: (1) Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis). (2) Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH). (3) Saratani ya tezi dume.
_*Dalili*_
โข Dalili huonekana baada ya umri wa miaka ya hamsini . Karibu wanaume wote wenye umri wa sabini na themanini huwa na tatizo hili.
โข Dalili huanza polepole na kuzidi jinsi miaka inavyo ongezeka. Dalili hizi ni k**a zifuatazo:-
โข Kukojoa mara nyingi hasa nyakati za usiku. Hii ni dalili ya mapema sana.
Kulazimika, mara nyingi hasa nyakati za usiku,
โข Mkojo kutiririka polepole, kukatikakatika na hutumia nguvu kutoka au Mkojo kushidwa kutoka hata wakati mtu anapohisi kukojoa.
โข Mkojo kuendelea kutoka kidogokidogo baada ya kukojoa, matone ya mkojo huendelea kutoka hata baada ya kukojoa hivyo kulowesha nguo za ndani.
_*Matatizo ya tezi dume iliyotanuka*_
โข Tezi dume ikitanuka sana huleta matatizo mengi kwa wagonjwa wengine hali hii isipotibiwa. Matatizo hayo ni k**a yafuatayo:
โข Mkojo kushindwa kabisa kutoka na kulazimu mgonjwa awekewe kathetra ili kumimina mkojo.
โข Madhara kwenye kibofu na figo .
_*Matibabu ya Tezi Dume.*_
โข Matibabu ya BPH yameganyika katika sehemu mbili, yale yanayofanywa kwa kutumia dawa na yale yanayofanywa kwa kutumia upasuaji mdogo.
โข Matibabu kwa Njia ya Dawa hutumika kwa lengo la kulifanya tezi dume kusinyaa na kupungua ukubwa wake.
โข Upasuaji mdogo husaidia kuondoa dalili za BPH na hufanyika pale ambapo matibabu kwa njia ya dawa yameshindwa kuonesha mafanikio yeyote.
โข Njia nyingine ni tiba ya kutumia mawimbi ya joto (Transurethral microwave procedures, TUMT).
โข Tiba ya kutumia Joto la maji (Water-induced thermotherapy).
โข Madaktari wengi hushauri kuondolewa kabisa kwa tezi dume iwapo itathibitika kuwa mgonjwa ana BPH.
_* Za Upasuaji wa Tezi dumeAina*_
โข Zipo njia nyingi za upasuaji wa BPH, nazo ni pamoja na upasuaji kwa kupitia kwenye mrija wa mkojo (Transurethral surgery, TURP), upasuaji mkubwa wa wazi (Open surgery), upasuaji wa kutumia nishati kuondoa tishu za tezi dume Laser surgery), na upasuaji wa kutumia joto la fibreoptic probe kuchoma tishu za tezi dume (Interstitial laser coagulation).
_*Madhara Ya Upasuaji*_
โข Kukosa uwezo wa kufikia kishindo yani hutoi shahawa (retrogade ej*******on) wazee wengi hulalamika sana baada ya hizi operation hivyo ushauri nasaha lazima utolewe ili mgonjwa ajue nini madhara yake kabla ya operation.
โข Kuziba kwa njia ya mkojo kutoka na kuumia kwa njia hizo wakati wa kitendo hicho.
โข Baada ya upasuaji mgonjwa anapoendelea kupona kovu linaweza kuziba njia ya mkojo.
โข Shida ya kushindwa kudhibiti mkojo usitoke ovyo (Incontinence): Ni kawaida kwa mgonjwa kushindwa kudhibiti kutoka kwa mkojo katika siku za mwanzo baada ya operesheni.
โข Hata hivyo hali hii hujirekebisha baada ya siku kadhaa kupita.
โข Kutokwa na damu katika siku za awali mara baada ya upasuaji kupitia njia ya mkojo: Kidonda kwenye tezi dume kinaweza kuvuja damu ambayo itaonekana katika mkojo.
โข Kuwa mgumba , Ni kawaida Wanaume kuwa wagumba yaani wasioweza kupata watoto. Kwa kawaida, wakati wa tendo la ngono, mbegu za kiume kutoka kwenye korodani huingia kwenye urethra karibu na kijitundu cha kibofu cha mkojo. Wakati wa tendo la ngono, misuli maalum hufunga kijitundu hicho ili kuzuia mbegu zisiingie kwenye kibofu badala yake zielekee kwenye urethra ya katika uume โข โข Hata hivyo, upasuaji wa tezi dume huondoa misuli hiyo na kufanya mbegu kuingia kwenye kibofu cha mkojo badala ya kuendelea kwenye urethra ya uume. Shahawa hizo hatimaye hutolewa nje ya kibofu pamoja na mkojo.
Njia Sahihi.
Matumizi ya Virutubisho yameonekana kuwa njia Sahihi na salama kutokana na uwezo wake wa kupenya ndani ya sell za tezi dume na kuziboresha hali inayofanya tezi iliyovimba kusinyaa na kurudi katika umbo lake la awali bila kuacha madhara yoyote kwa mgonjwa na kufanya aendelee kufurahia maisha k**a zamani
๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐A๐๐๐ ๐๐๐๐ & ๐๐๐๐๐๐๐๐
Callโtext&smsโwhatsapp๐
โ Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821
โ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa ๐๐๐ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q
โ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐๐๐ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini
๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐.
16/07/2025
*"TATIZO LA KUTOPATA CHOO NA TUMBO KUJAA GESI - ( Constipation )".*
โข Hili ni Tatizo la kutopata Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara Chache Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka.
โข Hii ni Kwa Sababu Ya Choo hicho Kuwa Kwenye Muundo K**a tope Jeusi au Vipande Vipande K**a Cha Mbuzi na Kwa Kiwango Kikubwa Kinatawaliwa na Miungurumo isiyokwisha tumboni na Hewa Nyingi Wakati wa Kwenda haja ( *Kujamba Sana* ) Inayo ambatana na Harufu Kali Sana.
*"CHANZO CHA CONSTIPATION NI NINI ?"*
โข Constipation inasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula Kwenye utumbo mdogo ambao una urefu wa takribani mara 10 mpaka 13 ya urefu wa mtu husika , Kwenye Utumbo huo kuna Villars , hivi ni k**a vidole ambavyo muda Wote huwa vinachezacheza ili kumeng'enya chakula.
โข Ila kutokana na sumu tunazoingiza mwilini kila siku kutoka kwenye vinywaji , Chakula , Dawa , Hewa tunzovuta Pamoja na Mafuta tunayokula kwenye vyakula huwa Viaenda kujipachika katikati ya Villars (vidole) na hivyo kusababisha vidole visimame (blocked) hivyo chakula Kinakuwa hakimeng'enywi na kusababisha chakula tunachokula kupitiliza moja kwa moja kwenye utumbo mkubwa K**a Kilivyo na hapo ndio tatizo linapoanzia.
*"MADHARA"*.
โข Tatizo hili la Constipation hupelekea Watu kupata Magonjwa Mengi na Kusababisha Vifo Vingi Sana Kwa Watu Mbali Mbali Mbali na Wengine Bila Kufahamu Chanzo Cha Magonjwa Waliyonayo - Hata Baada ya Vipimo Vya Kimaabala .
โข K**a Unapata Choo Mara Moja(1) Kwa SIKU Na Unakula Mara Tatu (3) Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Yafuatayo:
~Kansa ya Utumbo.
~Uzito uliozidi.
~Bawasir i(Vinyama sehemu ya haja kubwa).
~Maumivu ya Kiuno , Mgongo , Mabega , Kichwa , Misuli.
~Kukosa usingizi(Insomnia)
~Kukosa hamu ya kula (Loss of appetite).
~Tumbo kujaa gesi.
~Vidonda vya tumbo (Ulcers).
~Upungufu wa nguvu za kiume.
~Kushindwa kubeba mimba au kuzaa ( Ugumba ).
~Kupasuka kwa utumbo.
~Ileocecal valve incompetence.
~Kutoa harufu mbaya mdomoni na unapojamba.
~ Msongamano wa Hewa Kwenye Mapafu ( Kubanwa Mbavu na Kukosa Pumzi).
~ Maumivu ya tumbo Mara kwa Mara.
~ Muwasho Njia ya Haja Kubwa .
~ Maumivu ya Koromeo ( Kuhisi Kitu Kinapanda Kooni na Kushuka ).
~ Kiungulia .
~ Magonjwa ya Ngozi.Na Mengine Mengi Sana..
๐ณ Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba Kwa Njia za Kisasa Kabisa na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.
โข Tupigie Sasa Kupitia Namba Zifuatazo - +255769600821 au +255655562181 Ili Kufanya oda Ya Dose Ya Tatizo hili na Utatumiwa Popote Ulipo.
โข Ili Kujiunga na Group letu la whatssapp Fuata Link hii hapa ๐๐๐ https://chat.whatsapp.com/KqQ2iOVSj2XEYv1eZIXcIz
ยฐ Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐๐
https://wa.me/255655562181
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Makumbusho
Dar Es Salaam
67520