Mimea asilia

Mimea asilia

Share

matibabu na ushauri wa tiba asilia

19/06/2023

KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUPOTEZA HAMU NA KIBAMIA.

Upungufu wa Nguvu ni hali ya kushindwa kufanya tendo kwa ufasaha/kikamililifu, hushindwa kusimama vizuri, kuwa legevu na huwahi kufika kileleni . Tendo huhusisha utulivu wa akili, mfumo wa homoni testosterone ambazo humfanya mwanaume kuwa na hamu ya tendo maradufu; Tafiti zinaonyesha kuwa kati ya waanau-me 10 basi 4 kati yao wanasumbuliwa na changamoto hii upungufu wa nguvu na kibamia. Kwa ujumla hali hii husababishwa na kutokuwa sawa kiafya.

Vipo viashiria mbalimbali vinavyoweza kuonyesha kuwa kuna upungufu. Miongoni mwa vitu hivyo ni; Kukosa hamu ya tendo.
askari hasimami sawa-sawa, au anasimama kwa muda mfupi na Kuwahi kufika kileleni na kukosa hamu ya kurudia tendo, Mwili kuchoka na kujisikia usingizi mzito baada ya kufanya tendo.

Kuna maradhi kadhaa, tabia na mtindo wa maisha, pia aina ya vyakula tunavyokula vinavyoweza kupelekea shida ya upungufu . Baaadhi ya maradhi na tabia hizo ni; Maradhi ya U.T.I sugu, Tumbo kujaa gesi, Kupiga masta, Vidonda vya tumbo, Maradhi ya kisukari, Presha ya kupanda na presha ya kushuka, Matumizi ya madawa ya kulevya, Kutokupata choo vizuri Uzito mkubwa/uliopitiliza, Saratani ya tezi dume, Vyakula vyenye mafuta mengi, Na maumivu ya kiuno na mgongo.
,ARRABELA 1, ni da-wa ya mimea, inayotibu tatizo la nguvu kwa kushughulika na mfumo wa uzalishaji wa homoni. Dawa hii pia huboresha mzunguko wa damu kwenye mishipa ya askali
Pia dawa ya ARRABELAH 2 Kwa wale wenye vibamia.

WASILIANA nasi kwa kupiga: +255768539527.

18/06/2023

KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUPOTEZA HAMU NA KIBAMIA.

Upungufu wa Nguvu ni hali ya kushindwa kufanya tendo kwa ufasaha/kikamililifu, hushindwa kusimama vizuri, kuwa legevu na huwahi kufika kileleni . Tendo huhusisha utulivu wa akili, mfumo wa homoni testosterone ambazo humfanya mwanaume kuwa na hamu ya tendo maradufu; Tafiti zinaonyesha kuwa kati ya waanau-me 10 basi 4 kati yao wanasumbuliwa na changamoto hii upungufu wa nguvu na kibamia. Kwa ujumla hali hii husababishwa na kutokuwa sawa kiafya.

Vipo viashiria mbalimbali vinavyoweza kuonyesha kuwa kuna upungufu. Miongoni mwa vitu hivyo ni; Kukosa hamu ya tendo.
askari hasimami sawa-sawa, au anasimama kwa muda mfupi na Kuwahi kufika kileleni na kukosa hamu ya kurudia tendo, Mwili kuchoka na kujisikia usingizi mzito baada ya kufanya tendo.

Kuna maradhi kadhaa, tabia na mtindo wa maisha, pia aina ya vyakula tunavyokula vinavyoweza kupelekea shida ya upungufu . Baaadhi ya maradhi na tabia hizo ni; Maradhi ya U.T.I sugu, Tumbo kujaa gesi, Kupiga masta, Vidonda vya tumbo, Maradhi ya kisukari, Presha ya kupanda na presha ya kushuka, Matumizi ya madawa ya kulevya, Kutokupata choo vizuri Uzito mkubwa/uliopitiliza, Saratani ya tezi dume, Vyakula vyenye mafuta mengi, Na maumivu ya kiuno na mgongo.
,ARRABELA 1, ni da-wa ya mimea, inayotibu tatizo la nguvu kwa kushughulika na mfumo wa uzalishaji wa homoni. Dawa hii pia huboresha mzunguko wa damu kwenye mishipa ya askali
Pia dawa ya ARRABELAH 2 Kwa wale wenye vibamia.

WASILIANA nasi kwa kupiga: +255768539527.

Mimea asilia matibabu na ushauri wa tiba asilia

02/06/2023

Nyote mnakaribishwa sana. +255768539527.

02/06/2023

Wakati nakutana na huyu Kaka aliniambia kuwa ana mpenzi wake anampenda wapo vizuri tu hivyo k**a tunaanzisha mahusiano basi mimi nitakua mchepuko tu.

Wakati huo mimi nilikua na mtu wangu hivyo sikua na hisa nilitaka tu mtu wa kunikata kiu, si k**a mchumba wangu alikua haniridhishi, hapana, alikua vizuri tena sana sema nilitaka tu kuwa na mtu mwingine sikua na sababu ya maanaa.

Mahusiano yalianza na kweli alikua ananijali hasa kwa simu na kuongea tukawa tuko vizuri, bila kujijua nikajikuta nabadilika na mchumba wangu akajua, alikuta meseji nachat na huyu Kaka, akaniuliza nikakataa mwisho nikakubali kuwa nilipitiwa nikaomba msamaha.

Nilijua hatanisamehe wala sikujali, lakini cha kushangaza alinisamehe na kutaka tuanze upya. Kitendo cha kusamehewa kilinitia kiburi, nikawa namjivu vibaya, sitaki kuongea naye na vituko kibao.

Alimtafuta rafiki yangu kutaka kuongea na mimi ila nilijifanya kukasirika kuwa hana siri na kanidhalilisha kwa marafiki zangu. Nilimuambia tuachane, hakukubali, alimtafuta dada yangu mwisho alimtafuta mpaka Mama yangu kitu ambacho kilizidi kunikasirisha, nilimtukana sana mwisho nikamblock kila sehemu.

Nikamchunia na kuwa bize mwanaume mpya ambaye nilikua namsimulia kila kitu tunacheka na wakati mwingine Mchumba wangu akipiga simu nilikua nampe yeye aongee naye, hakua anamtukana ila alimuambia asinisumbue, jinsi mwanaume alivyokua analia kuomba msamaha ndiyo nilijikuta nazidi kumchukia na kmfanyia vituko.

Mwisho alikubalia kuachika, kwakua alichanganyikiwa sana baada ya kuachana na mimi kwao walimtafutia mwanamke mwaka jana mwezi 12 akaoa, niliumia kidogo lakini si sana. Shida inakuja huyu mwanaume niliyenaye, wiki iliyopita nilisikia kuwa anataka kuoa kamvalisha pete mchumba wake.

Nimemuuliza amenikubalia na kuniambia nikweli anaoa mwezi 8. Kaka nashindwa nifanye nini, anawezaje kuoa wakati mimi nilishaachana na mchumba wangu kwaajili yake, ni kweli aliniambia ana mtu lakini sikujua k**a nitaumia hivi nikisikia anaoa.

Natamani kumpigia simu mchumba wake kuwa niko na mwanaume wake hata akiolewa ajue tuko wawili, niambie Kaka nitakua nimefanya sawa au nifanye nini? Mwanaume anaoa lakini bado anakuja kwangu na haonyeshi kujali wakati mimi nishampenda!

31/05/2023

Nyote mnakaribishwa sana. +255768539527

31/05/2023

Kaka, naomba unisaidie. Kuna kaka tunafanya naye kazi, ni rafiki yangu na tumezoeana sana. Yeye ni mume wa mtu na mimi nimeolewa.

Sasa kuna siku hapa kazini kulikuwa na mtu aliyekuwa anapitisha nguo, nikaomba aninunulie. Lilikuwa ni gauni na suruali, basi akatoa hela na kuninunulia k**a rafiki.

Jana nikawa nimezivaa nyumbani kwangu kwa kuwa si nguo za ofisini, nikapiga picha na kumtumia kupitia WhatsApp kumuonyesha jinsi nilivyokuwa nimependeza.

Akanijibu, "Una shape nzuri sana, mavazi ya kazini yanaficha uzuri wako. Natamani niwe nakuona hivyo kila siku nione na vilivyo ndani, nitakununulia vingine nione!" Mimi nikamjibu tu na kiemoji cha kucheka kuonyesha naona aibu.

Kwangu sikua na kitu kibaya, basi sikufuta hizo meseji. Mume wangu aliziona na akaniambia nikiwa na uhusiano na huyo kaka, la sivyo atanacha. Mimi nilikataa, tukagombana na mume wangu akaniambia kuwa hataki kuendelea tena na mimi.

Kaka, sasa hivi mume wangu ameondoka na hataki kusikia chochote kuhusu mimi. Nimejaribu kushirikisha watu, lakini kila mtu ananiambia nikubali tu kuwa nachepuka. Kaka, hivi hapo kosa langu mimi ni nini? Naomba ushauri wako, kaka nimekosea nini hapo au ni yeye tu alikua na visirani vyake!

MIMI; Nisaidieni amekosea au ni sisi wanaume na visirani vyetu!

Mimea asilia matibabu na ushauri wa tiba asilia

30/05/2023

Karibu sana Kwa huduma +255768539527

15/05/2023
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Magomeni
Dar Es Salaam
KIZINGO