Ngozi_safi

Ngozi_safi

Share

afya ya yako

11/07/2023

ukianza kutunza ngozi yako jambo muhimu ni kujua aina ya ngozi uliyonayo,ntaelezea aina tano muhimu kuzifahamu na tabia zake.
1)Normal skin
-hii wanaita a balanced skin
ni ngumu kupata chunusi because its balances ,haina mikunjo,sio kavu .nk
2)dry skin -hii ngozi ina uwezo mdogo wa kutunza mafuta -mara nyingi inakua kavu na mtu anapauka kirahisi sana
-mara nyingi inahitaji unyevu na haiendani na baridi kabisa
3)oily skin
-aina hii ya ngozi ina mafuta mengi
-ina changamoto zinazoambata na kua na mafuta mengi k**a chunusi -inahitaji mtindo mzuri wa maisha kukabiliana nayo.
4)combination skin
inaweza kuwa mchanganyiko wa oily na dry au dry and normal skin kwa mfano, mashavu sio oily ila paji la uso na kidevu unakua oily
5) sensitive skin
hii ngozi ina tabia za oily or dry ila pia ina ambatana na wekundu na muwasho usoni.

Bidhaa nzuri za kutunza ngozi yako utazipata kwetu haijalishi umeshatumia bidhaa gani njoo tukupe ushauri na upate suluhisho.

Piga au whatsapp 📞0719168102

11/07/2023

Mara nyingi watu wanahangaika kubadilisha vipodozi mara kwa mara bila MAFANIKIO ya kupona chunusi
Hii ni sababu kuwa chunusi ni tatizo linaloanzia ndani
Ni ngumu kupona chunusi kwa vipodozi vya kupaka tu
ngozi_safi tunarudisha muonekano wa ngozi yako
Wasiliana nasi kwa au WhatsApp 📞 0719168102
Reposted from

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Sinza
Dar Es Salaam
16102