Eternal International Kariakoo

Eternal International Kariakoo

Share

Health wealth peace and love

23/08/2024

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Timmy Brown, Denis Bwoti

21/02/2022

WELCOME

25/02/2020

Eternal soap

25/02/2020

Welcome

26/12/2019

welcome eternal with Pa priss day wachuma

22/12/2019

Basi tunywe au tusinywe !!!
Utakapo kuwa nchi mfano wa Tanzania, wengi hunywa maziwa fresh kwa imani kuwa wanaimalisha mifupa na kupata madini kadha wa kadha, sio Tanzania tu njoo hapa America mtindo ni ule ule kila kifungua kinywa chaenda na maziwa.

Kitu kimoja ambacho hamukuelimishwa maishani ni juu ya maziwa ya MTINDI (maziwa mgando) kuwa ndio maziwa salama na yenye afya zaidi ya maziwa fresh , ni pale tu k**a utajua kuwa maziwa fresh katika usagikaji wake tumboni huchukua mdaa mrefu zaidi ya masaa 53 (hamsini na tatu).

Pili faida za maziwa ya fresh ni chache sana , Narudia kwa maandishi makubwa kuwa FAIDA ZA MAZIWA FRESH NI CHACHE ukilinganisha na faida zipatikanazo kwenye maziwa MTINDI

Hebu tazama kwa ufupi tu faida za maziwa ya MTINDI :-
Na kisha ujitwalie glass yako ya maziwa ya mtindi leo kwa manufaha zaidi.

1-Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia mfumo wa chakula kwa mtoto mdogo kuwa sawa.

2- Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia katika usagaji wa chakula tumboni.

3-Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia kushambulia vijidudu vinavyo jificha tumboni visababishao magonjwa ya tumbo.

4-Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia kupunguza madhara ya bacteria wa vidonda vya tumbo.

5-Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia kuleta nafuu ya maumivu kwa watu wenye vidonda vya tumbo.

6-Unaweza kujipaka maziwa ya mgando kwenye ngozi hasa k**a unashida ya ngozi mfano wa mapunye, miwasho, fungus n.k..

7-Kwa mwanamke mwenye kuhisi miwasho , uchafu , fungus kwenye uke wake anaweza jioshea maziwa ya mtindi kuondoa na kutibu kabisa hali yoyote k**a hizo.

8-Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia kuzuia bacteria wasababishao uvimbe(Saratani) hasa maeneo makuu tumboni, mifupa, ngozi, tumboni n.k..

9-Hufungua choo kwa mtoto mdogo mwenye shida ya choo kwa kipindi kirefu.

10-Hufungua mfumo wa chakula hasa kwa mtu ambaye ameshinda bila kula kwa siku nzima.

Bonus : Tiba ya tumbo linalouma , kichefu chefu, kuhalisha (kuhala) sumu tumboni n.k..

K**a ningeandika faida zote 66 za maziwa ya mgando hapa wenda wote tungechoka kusoma ila yapo makosa haya tunafanya kwenye maziwa hayo na hivyo kuwa hatari zaidi nayo ni tabia ya kuongeza sukari mbichi kwenye maziwa hayo ni makosa kwani hungeuka kuwa sumu badala ya tiba wala afya.

Somo hili lishare zaidi kufikia share 300 nitapata moyo wa kuja na somo pana zaidi ...

22/12/2019

dawa ya meno yenye kaz zaid ya MojaĆ·
1hutibu jino lililotoboka
2maumivu yatumbo
3harufu mbaya mdomon
4fangas aina zote
5sehem uliyojikata (kukata dam na jeraha kuziba)
Michirizi ya aina zotee

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Eternal Kariakoo
Dar Es Salaam
ETERNAL