Afya yako 3
helping people to live healtheir and look better
21/06/2020
Je, wewe ni muhanga na changamoto hizo? Wasiliana nasi kwa 0683606394
30/05/2020
28/05/2020
JE WEWE UNATOA HARUFU MBAYA MDOMONI? AU UNAMFAHAMU MTU MWENYE MATATIZO YA MENO? USISUBILI MPAKA TATIZO LIWE KUBWA.
FOREVER BRIGHT TOOTH GEL The best product kwa ajili ya kuondoa harufu mbaya mdomoni, ina mchanganyiko wa asali, inasaidia kuua bacteria na vijidudu vyote vya mdomoni.
Faida za Forever BRIGHT.
1.Inaondoa harufu mbaya mdomoni.
2.Kuzuia meno yasitoboke.
3.Husaidia kusafisha fizi na kuzifanya tishu zake ziwe na afya.
4.Kuzuia meno yasitoe damu.
5.Husaidia sana wenye mafindo findo.
6.Husaidia Sana kuondoa gesi tumboni, ni bidhaa ya pekee isiyokuwa na Kemikali Fluoride, ina asali na mchanganyiko wa aloe vera.
Pia inatumika K**a huduma ya kwanza ukiungua jipake sehemu uliyoungua kwa sababu ina mchanganyiko wa asali ndani yake.
Tumbo likijaa gesi meza kidogo. Mimi mwenyewe ni mtumiaji mkubwa wa hii bidhaa, na imenipa matokeo mazuri mimi na watu mbali mbali waliotumia bidhaa hii.
Kwa maelezo zaidi:
WhatsApp au piga 0744606272
●●☆☆ UNAYAJUA MADHARA YA KUTOONDOA SUMU KATIKA MWILI?.
☆☆Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao. Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.
VYANZO VYA SUMU
Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;
1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe sahihi na diet nzuri
5.Matumizi ya madawa makali
6.Uzito mkubwa
7.Mitindo ya maisha
8.Njia za uzazi wa mpango za kisasa
DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI
1.Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi,vipele
2.kuwa na uzito wa kupindukia
3.kutokupata choo au choo kigumu
4.kukosa usingizi Na kujihis kuchokachoka
5.Kiichwa kuuma
6.Kupata miwasho
7.Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti
8.kuwa na hasira mara kwa mara.
9.Tumbo kujaa gesi
MADHARA YAKE
1.kuondoa hamu ya tendo la ndoa
2.maumbikizi ya figo
3.Maumbikizi ya Ini
4.Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5.hupelekea uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke
6.Hupelekea matatizo ya pressure
7.Mvurugiko wa homoni
●●☆SULUHISHO LA KUDUMU.
●☆FAIDA YA BIDHAA YETU YA ALOE VERA GEL MAALUM KWA TATIZO HILI
• Huondoa sumu na uchafu katika Mwili .
•Huongeza Kinga ya Mwili kwa asilimia kubwa sana
•Husaidia kubalance presha
•Husaidia kubalance kiwango cha sukari katika Mwili.
•Hudhibiti virusi Na bacteria
•Huondoa uvimbe wa ndani Na nje.
•Husaidia katika kurekebisha mfumo wa mmengenyo wa Chakula.
•Husaidia katika kuondoa matatizo ya upataji choo kigumu au mtu anayekosa choo.
•Husaidia katika kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu na upumuaji katika Mwili.
• Husaidia katika kuimarisha mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke pale atakapoitumia na Bidhaa zetu nyingine.
• Husaidia kuongeza virutubisho na kuupa Mwili afya na kulainisha Ngozi na kuifanya Ngozi kuwa ng'avu na laini.
•Huondoa uchovu Na kuupa nguvu Mwili
Kwa yeyote anayehitaji hii program ya kuboresha na kuimarisha afya yake
26/05/2020
Usambazaji Wa damu ni Wa muhimu sana katika organ zote za mwili ingawa umuhimu zaidi upo kwenye moyo na ubongo-ambazo ni organi muhimu mwili wote unapoegemea.
Ginkgo ni ya muhimu sana sehemu ambazo kuna matatizo au kasoro za mzunguko Wa damu katika ubongo ikisaidia kuondokana na matatizo au maambukizi yote ya ubongo.
Ginkgo inasaidia mishipa ya damu kutanuka hivyo kuruhusu damu kwa kiasi kikubwa kuzunguka na kutokana na hilo hii husaidia kupunguza presha ya damu.
Umuhimu:-
1:kusaidia kuimarisha mzunguko Wa damu katika ateri na veini hivyo kusaidia kupunguza kasoro k**a mzunguko kuwa mdogo kwa watu k**a waliozeeka k**a kuongeza kumbukumbu,kasoro katika ufikiri,kizunguzungu,kelele katika masikio na kichwa kuuma.
2:Inasaidia kutibu au kuondoa ugonjwa Wa claudication-miguu kuuma wakati Wa kutembea au kufanya mazoezi.
3:Inasaidia kuzuia damu kutoka katika jeraha (blood clotting) hii husaidia kuzuia baadhi ya magonjwa ya moyo.
Faida zake:-
👉🏼kuongeza ufanisi Wa ubongo.
👉🏼kuongeza au kuimarisha mzunguko Wa damu mwilini.
👉🏼kuongeza kumbukumbu.
👉🏼kuimarisha kinga ya mwili.
👉🏼kupambana na sumu pamoja na kemikali mwilini.
👉🏼inazuia aleji au kuwasaidia wenye aleji
👉 Husaidia kuboresha tendo la ndoa kwa kuongeza nguvu na hamu ya mapenzi
👉 Husaidia kuondoa msongo wa mawazo
👉 Huimarisha afya ya macho na kusaidia kuona vizuri.
Wasiliana nasi kwa Watsapp/ Sms/ piga 0683606394
*YAFAHAMU MADHARA YA KUWA NA UZITO MKUBWA NA JINSI YA KUTHIBITI* 0744606272
Shirika la Afya Duniani (WHO), limeonya kuhusu ongezeko la watu wenye unene wa kupitiliza, huku wakitaja hiyo kuwa ni sababu kuu ya kuwapo kwa watu wengi wenye maradhi ya moyo, kisukari na ini.
Pamoja na watu hawa kuhitaji kufanya mazoezi ili kupunguza uzito wa miili yao, wataalamu wa chakula na lishe wanashauri kufanya mazoezi, kula vyakula kulingana na kundi lako la damu na aina ya vyakula unavyopaswa kula.
*NAMNA YA KUPIMA UZITO WAKO.*
Je unafahamu BMI yako?
Body Mass Index (BMI) ni kipimo kinachotumia urefu na uzito wako kujua K**a una uzito sahihi unaotakiwa kiafya.
Kujua kipimo ya BMI unachostahili kuwa nacho ,unachukua herufu wako kwa kipimo cha mita
*urufu kwa mita *24.9
Ikiwa BMI yako ni:
* Chini ya 18.5- una underweight.
* Kati ya 18.5 na 24.9 - una uzito sahihi kwa afya .
* Kati ya 25 na 29.9 - una overweight.
* Kutoka 30 Na zaidi -una uzito uliopitiliza.
*MADHARA YA KUWA UZITO MKUBWA*
Ukiwa na uzito mkubwa madhara yafuatayo huweza kujitokeza;
1.Matitizo kwenye figo
2.Uwepo wa michirizi
3.Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
4.Kuharibu mfumo mzima wa upumuaji
5.Kuharibu ini
6.Hupelekea uwezekano wa kupata kisukari,tatizo la presha na kwenye guot.
7.Hupelekea changamoto kwenye mfumo wa moyo
8.Hupelekea kuleta shida kwenye mfumo wa ubongo
9.Hupunguza kasi ya kuishi
10.Huleta shida kwenye mmeng'enyo wa chakula
11.Maumivu kwenye viungo k**a vile magoti,kiuno nk
12.Kuongeza kiwango cha mafuta mwilini.
pata program mapema kuepukana na madhara makubwa unayoweza kukutana nayo. *0744606272
13/05/2020
FOREVER LIVING ALOE VERA GEL ina asilimia 96% ya aloe. Hii inathibitisha uwezo wake mkubwa wa kuboresha afya yako kutokana na virutubisho vitokanavyo na mmea wa AloeVera.
FAIDA ZA KUTUMIA ALOE VERA GEL
~ Huongeza kinga ya mwili ambayo husaidia kukinga mwili na magonjwa hatari.
~ Husaidia kupata mmeng'enyo mzuri wa chakula mwilini na kutatua tatizo la kukosa choo (constipation)
-Husaidia kwa watu wenye vidonda vya tumbo.
~ Husaidia kupata afya nzuri ya ngozi na nywele
~ Huondoa sumu (toxins) mwilini.
~ Huongeza nguvu mwilini (more energy).
~ Husaidia kupata afya ya nywele, kucha na mwili mzima kutokana na virutubisho vyake.
Kwa mahitaji ya bidhaa na maelezo zaidi, WhatsApp, sms au piga simu +255 683606394
12/05/2020
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Victoria/makumbusho
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 12:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |