Afyayakodaima_tz

Afyayakodaima_tz

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afyayakodaima_tz, Health/Beauty, Dar es Salaam.

28/02/2023

TAZAMA NAMNA UNAVYOTAKIWA
KUNYANYUA KITU CHA AINA YEYOTE KUTOKA CHINI

Kumekua na ongezeko la watu wenye matatizo ya maumivu
ya mgongo, kiuno,magoti , kifundo cha mguu na kanyagio .

Watu hawa wanakuaga na hitilafu kwenye pingili za mgongo, au kwenye
diski zilizopo kati ya pingili na pingili..

Pamoja na matibabu husika k**a virutubisho ,mazoezi maalum ya mgongo hua tunashauri watu hao wawe wanafanya

mambo kadhaa ambayo yanalinda na kuimarisha afya ya
pingili za mgongo;

Mambo hayo ni k**a kumaintain uzito unaostahili ,kulalia godoro gumu lisilobonyea, kukaa kwenye kiti kwa
kuzingatia ukaaji mzuri kwa afya ya mgongo na
unyanyuaji wa vitu kitaalamu k**a hi clip inavyoonyesha.

sasa tazameni na muwe mnafanya hivo kwa maslahi mapana
ya mgongo wako,Unyanyuaji wa kwanza siyo sahihi unyanyuaji wa Pili ndio sahihi .

Tafadhi washirikishe na wengine kwa
maumivu ya mongo ni makali sana na kwa kumshirikisha ndugu yako na akawa anajali pingili zake kwa kuzilinda
unaweza kua umemuondolea maumivu makali ya mgongo.

Pia Wasiliana nasi kwa ajili ya Huduma
0613460245

16/02/2023

DISC ZINAZOONGOZA KWA KUATHIRIKA NI DISC ZA MGONGO WA CHINI NA DISC ZA KIUNO SABABU YA KUBEBA UZITO WA JUU NA MOVEMENT NYINGI.HII SIYO CHANGAMOTO YA KUISIKILIZIA KESHO UTAAMKAJE MUDA UNAVYOSOGEA HALI INAZIDI KUWA MBAYA ZAIDI

WASILIANA NASI
0621345923

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam