nimabeauty_tz

nimabeauty_tz

Share

ONLINE BEAUTY STORE
📍Daily skin&Bodycare#tips
📍 US 🇺🇸 ,UK 🇬🇧 ,SK 🇰🇷 & SA 🇿🇦

14/08/2023

Your loved❤️

14/08/2023
Photos from nimabeauty_tz's post 28/05/2022

______ .

27/05/2022

______Goodmorning loves. 🥰🥰

😊Basi paka iyo sunscreen Kabla hujatoka.

😊Paka iyo sunscreen K**a uta shinda ndani.

😛Si Tuliambiana tuzibebe Kwenye vile vipochi VYETU kwaajili ku re apply Basi K**a umesahau kupaka ukifika ofisini break ya kwanza kapake Basi.

🥰Hakikisha Ni broad spectrum su screen with SPF 30 and above.

😛Nakama huna Fanya kunicheki ,tuyajengeeee😂😂 __ #0752214310

🥂

20/05/2022

Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa

✓kusali na kuomba,
✓pamoja na kushukuru,
✓haja zenu na zijulikane na Mungu.

Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.

Flp 4:6‭-‬7 SUV

13/05/2022

____How often do you .!?

12/05/2022

Tiam vita B3 source serum

Hii ni serum inapakwa baada ya toner, maalumu kwa ajili ya chunusi na madoa, iko na mchanganyiko wa ingredients mbili nzuri sana niacinmide na alpha arbutin.

1. Niacinmide

Faida za kutumia niacinamide
🗨️Kubalance na kucontrol oil production
🗨️Kutreat acne
🗨️Kutreat anti-inflammatory

2.Alpha arbutin

Faida ya kutumia
🗨️inafanya ngozi kuwa na rangi moja
🗨️inang’arisha ngozi kwa usalama kabisa
🗨️inapunguza level ya sun damage kwenye ngozi (sun spot)
🗨️inapunguza red blemish
🗨️inapunguza Age spot
🗨️inapunguza hyperpigmentation

Available for 70,000
#0752214310

02/05/2022

_____THE IS NOT .🥂

30/04/2022

#0752214310

28/04/2022

💁SASA HII MELANIN NI NINI HASA..!???

💁Melanin ni pigment kwenye ngozi ambayo inasaidia ngozi zetu au nywele kuwa na rangi.(Ni kitu muhumu Sana)

Hii inamaana mtu akiwa mweupe melanin zake ni chache kuliko yule mweusi.

💁Sasa Tunapoongelea urembo wa ngozi zetu melanin inachukua nafasi kubwa sana katika kutupa mwonekano mzuri.

SASA INAKUWAJE MELANIN HII HII INALETA MABAKA USONI.

💁Unapoungua na jua utaona zile sehemu ambazo jua limekuchoma kweli kweli zimekuwa nyeusiiii eg. Shingoni,usoni mgongoni,MIKONONI etc.

Hii ni kazi ya melanin sasa.

💁Unapochomwa jua inajitengenezwa kwa wingi zaidi ili kuilinda ngozi yako isidhurike na jua lakini katika kufanya hivyo inakupa ngozi ya rangi mbili mbili.
Na hapa ndo mtu anaanza kujiona mbona nimefifia,mbona ninarangi mbili usoni na shingoni.!?

🥰We love our melanin kwa kazi kubwa inayofanya lakini pia tunataka kuwa na rangi moja Mwili mzima .

💁NA HAPA NDIPO UMUHIMU WA KUTUMIA SUNSCREEN UNAPOKUJA ILI KUKINGA NGOZI DHIDI YA MIONZI YA JUA HIVYO KUFANYA MELANINI IZALISHWE KATIKA KIWANGO KINACHO HITAJIKA TUU.


# skinlovers tz # mrembotz #

22/04/2022

___14. Philippians 4:6-7

Do not be anxious about anything, but in every situation, by prayer and petition, with thanksgiving, present your requests to God. And the peace of God, which transcends all understanding, will guard your hearts and your minds in Christ Jesus.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Online
Dar Es Salaam