Afya Kwanza

Afya Kwanza

Share

Bidhaa zetu hazina KEMIKALI YA HAINA YOYOTE(Asili)..Hutibu tatizo kuanzia kwenye mzizi wa Tatizo lenyewe. KARIBU TUKUHUDUMIE.

16/02/2021

VIDONDA VYA TUMBO

```Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ni mfumo katika mwili unaohusika na umeng'enyaji wa chakula mpaka kuwa katika hali inayoweza``` ```kusharabiwa na mwili.```

Sehemu kuu ```zinazohusika katika umeng'enyaji huo ni kinywa, umio 'Esophagus', mfuko wa tumbo 'Stomach',``` ```ini``` , ```mfuko wa nyongo, utumbo mwembamba, kongosho, utumbo mpana na puru (Rectum``` )

Mfumo wa mmeng'enyo wa ```chakula hasa kuta za umio, tumbo na utumbo mwembamba hupata mmomonyoko ambao husababishwa na asidi inayotumika kumeng'enya chakula``` ```inaposhambulia kuta``` ```hizo. Kitaalamu hali hii hutambulika k**a ('Peptic ulcers)```

```Vidonda vya mfumo wa umeng'anyaji chakula vikiwa kwenye tumbo tunaita vidonda vya tumbo (Gastric ulcer) vikiwa katika duodenum tunaita 'Duodenal ulcer' na vikiwa katika esophagus tunaita (Esophageal ulcer)
``` ```
```SABABU ZA``` ``VIDONDA VYA``` ```TUMBO``````

```_Bakteria aina ya Helicobacter pylori 'H.pylori' & Non-Steroidal Anti Inflammatory Drugs 'NSAIDs' ndio visababishi vikuu.

Bakteria H.pylori_``` ```wanahusika sana kwa angalau nne ya tano ya vidonda vya tumbo 'Gastric ulcers' & 95% ya 'Duodenal ulcers' ambapo NSAIDs husababisha 20% ya 'Gastric ulcers' na 5% ya 'Duodenal ulcers'

Bakteria H.pylori husababisha kupitia``` ```vyakula na maji. Pia hupatikana kwenye mate ya binadamu hivyo inaweza kusambazwa mdomo kwa mdomo wakati mkila denda/kunyonyana``` midomo.

```Bakteria H.pylori huishi kwenye kuta za utumbo na hutengeneza vimeng'enya 'Enzyme' iitwayo 'Urease' inayopunguza athari za asidi kwenye utumbo.

Utumbo hutaka kufidia``` kiasi cha asidi ```kinachopotea kwa kutengeneza zaidi na husababisha kukwangua kuta za utumbo.

Non-Steroidal Anti Inflammantory Drugs``` ' ```NSAIDs' ni dawa za kutuliza maumivu ya kichwa, maumivu ya hedhi, kushusha homa na kuondoa maumivu madogo madogo mfano Aspirin, Ibuprofen,Diclofenac & Meloxicam. Dawa``` hizi hupunguza uwezo wa kuta za tumbo na ```kufanya uwe rahisi kushambuliwa na asidi za tumboni hivyo kusababisha vidonda.

Chembe za urithi 'Genetics': Idadi kubwa ya watu wenye vidonda vya tumbo wana ndugu``` ```wa karibu wenye vidonda``` ```pia, hii huwafanya wataalamu kufikiria``` ```kuwa chembe za urithi``` ```zinahusika pia.```

```Uvutaji sigara/tumbaku: Wavutaji wa sigara wako katika hatari ya kupata vidonda vya tumbo ikilinganishwa na wasiovuta.

Matumizi ya pombe/vilevi: Walevi wako katika hatari zaidi ya kupata vidonda vya tumbo ikilinganishwa na``` ```wasiotumia``` ```vileo/pombe``` .

```Msongo wa mawazo 'Mental stress': Msongo wa mawazo hausababishi vidonda moja kwa moja ila hufanya hali kuwa``` ```mbaya``` ```zaidi kwa``` ```wagonjwa.```

```DALILI ZA VIDONDA VYA``` ```TUMBO```

```Hata hivyo ni mara chache sana mtu kuugua vidonda vya tumbo na kutoonyesha dalili.Zifuatazo``` ```zinazotokea kwa``` ```wagojwa wengi:-```

=> ```Maumivu ya``` ```tumbo na huwa makali zaidi pale asidi inapopita``` ```juu ya vidonda.```

```Maumivu yanaweza anzia kwenye kitovu na kupanda juu hadi katikati ya kifua 'Epigastric pain``` '

```Maumivu yanaweza kuongezeka unapokuwa njaa. Pia yanaweza kuwa makali wakati wa usiku kwenye mida ya kulala, yanayoweza kupunguzwa kwa kula chakula kidogo``` .

=> ```Kushindwa kumeza vizuri chakula.

=> Chakula kukwama k**a kinataka kurudi``` mdomoni.

=> ```Kujisikia vibaya baada ya``` ```kula``` .

=> ```Kupungua uzito.```

=> ```Kukosa hamu ya kula.```

```DALILI ZA HATARI```

=> ```Kutapika damu.```

=> ```Kupata choo kikubwa cheusi au chenye damu nzito.
```
=> ```Kichefuchefu & kutapika.```

WASILIANA NASI;
0622349692

14/02/2021

CHANGAMOTO YA TUMBO KUJAA GESI.

Tatizo la kujaa gesi tumboni kwa kitaalamu linaitwa bloating.Hutokea pale ambapo hewa au maji hujaa katika mfumo wa chakula na kupelekea tumbo kuhisi k**a limebana,kujaa au hisia za kushiba sana. Muda mwingine huambatana na maumivu makali, kubeua (bleaching) kutoa hewa kwa njia ya Haja kubwa na tumbo kuunguruma.
VISABABISHI;
1.Hewa
•Hiki ni kisababishi Kikuu hasa baada ya kula.Gesi hujaa tumboni pale ambapo chakula kisichomeng'enywa kuvunjwa kwa lazima au kumeza hewa nyingi kipind unakula au kunywa.
•Kumeza hewa nyingi huletwa na mtu kula harakaharaka,Uvutaji wa sigara na utafunaji wa bigijii.

•Mara nyingi hewa hii hutoka kwa njia ya hewa (kubeua) Au kwa njia ya Haja kubwa.
2.Sababu za kiafya
•Kuongezeka uzito
•Kiungulia

•Magonjwa k**a Inflammatory bowel disease yan kuvimba kwa utumbo au mfumo wa kumengenya chakula.

•Uwingi wa homoni hasa kwa wanawake
•Na magonjwa mengine ya ufahamu k**a Sonona na magonjwa yanayosababisha mabadiliko katika kula *Eating disorders*
NB: Kuna magonjwa mengine mengi ya mfumo wa chakula yanayoweza kusababisha hali ya kujaa tumbo
Nini nifanye nikihisi kujaa tumbo

1.Mabadilko ya mfumo wa maisha.
•Unaweza punguza uzito wako kwa kuangalia vyakula unavyokula na kufanya mazoezi.
•Kupunguza au kuuacha kutafuna bigijii
•Punguza unywaji wa vinywaji vilivyosindikwa yaani Soda, juice zilizotengenezwa viwandani.
•Punguza ulaji wa vyakula vinavyotoa gesi k**a maharage
•Kula chakula vizuri kwa utaratibu kwa kutafuna MPAKA kilainike.
•Masaji tumbo angalau dakika 15 mara MBILI kwa siku.

Kwa mawasiliano:
0622 349692

09/02/2021

SABABU ZA MWANAMKE KUTOKUSHIKA MIMBA (INFERTILITY)

Kwa kawaida mwanamke anatakiwa apate ujauzito ndani ya mwaka mmoja baada tu ya kuolewa au kuanza uhusiano. Tunategemea baada ya miaka miwili hadi mitatu baada ya kupata mtoto apate mwingine labda k**a hajaamua yeye pamoja na mumewe. Ujauzito unapatikana baada ya kufanya tendo la ndoa kwa ukamilifu, yaani katika kipindi ambacho mwanamke anaweza kupata ujauzito (siku za hatari). Swala hili pia linaangalia kwa upande wa pili wa mwanaume ambaye pia tunategemea ana uwezo huo wa kumpa mwanamke mimba kwa kuwa na mbegu zenye ubora na nyingi, pia awe na nguvu za kutosha za kufanya tendo ili mwezi wake apate ujauzito. (Kuhusu mwanaume tayari somo lake). ZIPO AINA MBILI ZA KUTOSHIKA MIMBA (INFERTILITY)
1️⃣AINA YA KWANZA (PRIMARY INFERTILITY)
Hii ni kwa wale ambao mke na mume hawakuwai kubahatika kupata mtoto hata mmoja tangu waoane au wawe kwenye mahusiano ili hali wanakutana kimwili bila kutumia kinga yoyote Ile.
2️⃣AINA YA PILI (SECONDARY INFERTILITY)
Hii ni kwa wale ambao mke na mume walishazaa mara moja Lakini hawafanikiwi kupata mtoto mwingine ili hali wanakutana kimwili bila kutumia kinga yoyote.
Vitu vinavyosababisha mwanamke kushindwa kupata mimba ni:-
•Kutokuwa na uwiano mzuri wa homoni (Hormonal Imbalance)
•Ovaries kushindwa kutoa mayai
•Kuziba kwa mirija ya uzazi
•Mirija ya uzazi kujaa maji
•Uvimbe katika kizazi (uterine fibroid)
•Magonjwa k**a vile PID, kisonono kisukari nk
•Kuwa na msongo wa mawazo
•Utoaji wa mimba (Abortion)
•kuwa na uzito kupita kiasi (over-weight)
•Matumizi ya pombe, bangi, sigara, ulevi kupindukia
•Matumizi ya madawa
•Endometriosis

Hii ni hali ambayo seli za ndani ya mfuko wa uzazi huanza kuota nje ya fuko hilo au hata sehemu nyingine.
Tatizo hili unaweza kukabiliana nalo Kwa kutumia virutubisho lishe.
Waweza kuwasiliana nasi kwa namba 0622349692

09/02/2021

💥💥 ?

Ugonjwa wa kuota nyama au kinyama sehemu ya haja kubwa na kutopata choo kikubwa....

:-
✅Kansa ya utumbo..
✅Bawasili(nyama sehemu ya ajakubwa)
✅Kifo
✅Tumbo kujaa gesi
✅Vidonda vya tumbo..
✅Kupoteza nguvu za kiume au ugumba kwa wanawake..

💎Kati ya changamoto ya kiafya inayo wakumba watu wengi ,ni kutopata choo na kupata choo kigumu k**a cha mbuzi,na usidhani ni kawaida kutopata choo kwa muda wa siku 3 hadi week,kumbe ni tatizo kubwa linaloweza kusababisha magonjwa k**a ...
✅Kansa ya utumbo.
✅Kuota kinyama sehemu ya haja kubwa(Hemorrhoids).
✅Vidonda vya tumbo(ulcers) na
✅Kutoa harufu mbaya na kali upopumua.

💎WATU wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba na hata wakienda hospital kupatiwa tiba ugonjwa uu huweza kuwarudia tena.

💥

💎Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.
💎ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles.
💎Tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50

💥•
💎Kuna Aina mbili za bawasiri

(A) .
💥Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili.Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa

(B)
💎Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS

💥•
💎chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
✅KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE.
✅ KWA MUDA MREFU
✅TATIZO LA KUTOPATA CHOO.
✅MATATIZO YA UMRI.
✅KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
✅UZITO KUPITA KIASI.
✅MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU.
✅VYAKULA VYENYE MAFUTA KWA WINGI.
✅VINYWAJI VIKARI K**A POMBE,KAHAWA.
✅KUTOKULA VYAKULA VYA NYUZI NYUZI.
✅KUTOKUNYWA MAJI YA KUTOSHA.
✅VYAKULA VYA NGANO,WANGA NA VILIVYOKOBOLEWA.
✅KUTOFANYA SHUGHULI YOYOTE BAADA YA KULA.
✅VAKULA VYENYE MAFUTA KWA WINGI

💥 .
✅Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa.
✅kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia.
✅kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa.
✅kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo.
✅√kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana.
✅√ Kuhisi moto wakati wa kujisaidia.
✅√ Kutopata choo kwa siku 2 na kuendelea.
✅√ Tumbo kujaa gesi na kujisaidia hewa.
✅√ Kuhisi maumivu ukikaa.
✅√ Kusinzia baada tu ya kula
✅√ Tumbo kuunguruma.
✅√ Kujamba kila wakati.
✅√ Kukosa hamu ya kula

💥• .
✅kupata upungufu wa damu (anemia)
✅Kupata tatizo la kutokuweza kuhimili choo.
✅kupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake.
✅kuathirika kisaikolojia
✅kukosa hamu ya ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali.
✅Kupasuka kwa utumbo na kusababisha kifo.
✅Kitambi na uzito uliopindukia.
✅Kansa ya Utumbo.
✅Kukosa uwezo wa kubeba mimba.

💥

💎Kwa kawaida katika hospitali zetu ,Bawasiri hutibiwa kwa kukata vinyama vinavyo ota katika sehemu ya hajakubwa.

K**a unatatizo hili la karibu tukusaidie kabla hujaenda kufanyiwa upasuaji, maana tiba tuliyonayo ni salama ya vidonge ambavyo havina KEMIKALI na HULETA majibu mazuri kwa Kuna shuhuda nyingi Sana za watu waliopona kupitia bidhaa hii ya



WASILIANA nami
0622349692

09/02/2021

TATIZO LA FIZI KUVIMBA NA KUTOA DAMU LINASABABISHWA NA AFYA YA KINYWA HASA KUTOPIGA MSWAKI VZURII,HII HUSABABISHA BACTERIA KATIKA KINYWA NA KUANZA KUSHAMBULIA FIZI.

HATMA YA BACTERIA KUSHAMBULIA FIZI
1.Fizi kuvimba
2.Fizi kutoa damu
3.Harufu mbaya ya KINYWA zaid ya bacteria kuna visababishi vingine ambavyo vinaweza lets matatizo katika FIZI k**a,
:Ukosefu wa vitamin B na C katika mwili ambapo vitamin C kutumia katika kutengeneza meno na FIZI
:Vimelea vya fungus na virus
:Kipindi cha ujauzito ambapo huwa ni nadra

NINI CHA KUFBAYA KUZUIA FIZI KUVIMBA NA KUTOA DAMU
1.Hakikisha afya nzuri ya KINYWA na FIZI kwa kupiga mswaki sahihi na kwa wakati hasa baada ya mlo
2 Kutumia vitamin C (inayopatikana katika matunda aina ya citrus yan jamii ya machungwa ,mananasi) na supplement ZAKE.
3.Kuwa na mazoea ya kuonana na daktari wa KINYWA angalau mara moja kwa mwaka.

Nini kifanyike K**A MATIBABU ya FIZI kuvimba na kutoa damu

Tumia Dr TS kwa Afya ya KINYWA.
Tupigie kupitia 0622349692

04/02/2021

*Dr Cow*
0622349692
Je una mtoto ambaye:
👉👫Anasumbua kula?
👉👫Ana nywele nyepesi k**a mgonjwa??
👉👫Ana matatizo ya meno kuota??
👉👫Ana mifupa laini ambayo rahisi kuvunjika??
👉👫Mtoto ambaye hakui kwa haraka k**a inavyotakiwa???
👉👫Anayeumwa mara kwa mara kikohozi na mafua???
👉👫Ana matege??? Jibu ni kwamba mtoto huyo ana upungufu wa madini hasa ya calcium

Sasa kwakua tunajua watoto hawapendi vyakula, ambapo vyakula hivyo vina virutubisho vizuri ikiwemo madini ya calcium ambayo ni muhimu sana katika suala zima la ukuaji wao.

Bf suma kwa kujua hilo inakiletea bidhaa inayoitwa *DR COW* maalum kwa watoto na wamama wanaonyonyesha kwa ajili ya kuongeza calcium mwilini mwake.
Dr cow ipo kwenye mfumo wa candy ambao watoto wengi sana wanapenda na ilivyo k**a p**i, mtoto akionja tu anaweza kula vingi sana. Mtoto anatakiwa ale 4 tu ambapo kula hivyo vinne ni sawa sawa na mtoto aliyekunywa maziwa ml 200. Mtoto akianza kutumia hii bidhaa hata magonjwa yatamkalia mbali.

*Dr cow inasaidia sana watoto na mama mjamzito.*
Wasiliana nasi 📲📲 0622349692

01/02/2021

BAWASILI(HEMORRHOID)
ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa Damu ya ndani na ya nje ya sehemu ya haja kubwa. Wakati mwingine mishipa hiyo inaweza kupasuka na kuvuja damu chini ya haja kubwa na kusababisha kutoka kinyama au uvimbe sehemu ya haja kubwa. Tatizo hilo huathiri watu wote ila zaidi huathiri watu wazma.
KUNA AINA MBILI ZA BAWASILI
1.BAWASILI YA NDANI
-Ni aina ya Bawasli ambayo hutokea ndani ya mfereji wa hajakubwa na huwa haimbatani na maumivu yoyote yale na watu wengi hushindwa kujua kua wanatatizo hili.
2.BAWASILI YA NJE
Hii hutokea eneo la mwisho la mfereji wa hajakubwa na huwa inaambatana na maumivu makali na kuwasha kwa ngozi eneo la tundu.
CHANZO CHAKE :
-kufanya mapenzi kinyume na maumbile
-Kuhara kwa muda mrefu
-Tatizo la kutopata choo
-Uzito mwili uliopitiliza
-Kukaa kitako kwa muda mrefu
-Matumizi ya vyoo vya kukaa kwa muda mrefu
DALILI ZAKE :
•ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
•kupata maumivu wakati wa kujisaidia
•kutokea uvimbe katika tundu la haja kubwa
•kinyesi kuwa na Damu na kunuka harufu mbaya sana.
MADHARA YAKE :
√kupata upungu wa Damu
√kutokwa na Damu nyingi
√kupata tatizo la kutokuhimili choo
√kupata UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
√kuondoa hamu ya tendo la ndoa hasa kwa wanawake
√kukosa hamu ya kufanya kazi kutokana na maumivu makali
√kuathirika kisaikolojia
K**A UNASUMBULIWA NA ILI TATIZO WASILIANA:
0622349692

30/01/2021

PELVIC INFLAMMATORY DESEASE'(P.I.D

PID NI NINI?
ni maambukizi katika via vya uzazi,maambukizi haya huwa sugu na huchukua mda kupona endapo atashindwa kujitibia kwa muda muafaka

VISABABISHI
ugonjwa huu husababishwa
*kufanya ngono bila kinga
*kusafisha kizazi mara kwa mara
*matumizi ya kemikali kujisafishia ukeni mfano sabun n.k
*matumizi ya njia ya uzazi wa mpango mf. kitanzi
*kutoa mimba
*matumiza ya antibiotics ya mara kwa mara ambayo kimsingi huua bakteria wanaolinda uke kushambuliwa na magonjwa

DALILI
Baadhi ya wanawake dlili huwa mbaya na wengine huwa za kawaida
*kuwashwa sehemu za siri
*uke kutoa harufu mbaya
Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
*Sehemu za uke kuwa laini sana
*Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
*Kukosa hamu ya tendo la ndoa

*hedhi kuvurugika
*Kutokwa majimaji ukeni yasiyo ya kawaida hasa yenye rangi ya njano na kijani
*Maumivu wakati wa choo,kukojoa
*Homa, uchovu, kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
*Wakati mwingine kutokwa usaha

MADHARA
*Ugumba
*Kansa ya shingo ya kizazi
*Mirija ya uzazi kuziba
*Kujaa maji kwenye mirija ya uzazi
*Kukosa ute wa ovulation unaoashiria siku za hatari
*Majeraha kwenye kizazi

TIBA
Zipo tiba nyingi hospitali za matatizo haya.Ila wanawake wengi wanaripotiwa kujirudiarudia kwa tatizo hili kila mara na kuleta maudhi. Hivyo tunakushauri kutumia TIBA LISHE (SAYANSI YA VYAKULA) ILI KUTOKOMEZA KABISA TATIZO HILI LISIJIRUDIE TENA.

WASILIANA NASI:
0622_349692

28/01/2021

"Tibu tatizo la U.T.I sugu na FANGASI UKENI ili uweze kupanga uzazi salama Mwaka 2021.
K**a mwanamke una changamoto hizi basi huu ndo muda sahihi wa kutatua. Tupigie 0622_349692

27/01/2021

PELVIC INFLAMMATORY DESEASE'(P.I.D

PID NI NINI?
ni maambukizi katika via vya uzazi,maambukizi haya huwa sugu na huchukua mda kupona endapo atashindwa kujitibia kwa muda muafaka

VISABABISHI
ugonjwa huu husababishwa
*kufanya ngono bila kinga
*kusafisha kizazi mara kwa mara
*matumizi ya kemikali kujisafishia ukeni mfano sabun n.k
*matumizi ya njia ya uzazi wa mpango mf. kitanzi
*kutoa mimba
*matumiza ya antibiotics ya mara kwa mara ambayo kimsingi huua bakteria wanaolinda uke kushambuliwa na magonjwa

DALILI
Baadhi ya wanawake dlili huwa mbaya na wengine huwa za kawaida
*kuwashwa sehemu za siri
*uke kutoa harufu mbaya
Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
*Sehemu za uke kuwa laini sana
*Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
*Kukosa hamu ya tendo la ndoa

*hedhi kuvurugika
*Kutokwa majimaji ukeni yasiyo ya kawaida hasa yenye rangi ya njano na kijani
*Maumivu wakati wa choo,kukojoa
*Homa, uchovu, kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
*Wakati mwingine kutokwa usaha

MADHARA
*Ugumba
*Kansa ya shingo ya kizazi
*Mirija ya uzazi kuziba
*Kujaa maji kwenye mirija ya uzazi
*Kukosa ute wa ovulation unaoashiria siku za hatari
*Majeraha kwenye kizazi

TIBA
Zipo tiba nyingi hospitali za matatizo haya.Ila wanawake wengi wanaripotiwa kujirudiarudia kwa tatizo hili kila mara na kuleta maudhi. Hivyo tunakushauri kutumia TIBA LISHE (SAYANSI YA VYAKULA) ILI KUTOKOMEZA KABISA TATIZO HILI LISIJIRUDIE TENA

27/01/2021

BAWASIRI (HEMORRHOID)
ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa Damu ya ndani na ya nje ya sehemu ya haja kubwa. Wakati mwingine mishipa hiyo inaweza kupasuka na kuvuja damu chini ya haja kubwa na kusababisha kutoka kinyama au uvimbe sehemu ya haja kubwa. Tatizo hilo huathiri watu wote ila zaidi huathiri watu wazma.
KUNA AINA MBILI ZA BAWASILI
1.BAWASIRI YA NDANI
-Ni aina ya Bawasli ambayo hutokea ndani ya mfereji wa hajakubwa na huwa haimbatani na maumivu yoyote yale na watu wengi hushindwa kujua kua wanatatizo hili.
2.BAWASIRI YA NJE
Hii hutokea eneo la mwisho la mfereji wa hajakubwa na huwa inaambatana na maumivu makali na kuwasha kwa ngozi eneo la tundu.
CHANZO CHAKE :
-kufanya mapenzi kinyume na maumbile
-Kuhara kwa muda mrefu
-Tatizo la kutopata choo
-Uzito mwili uliopitiliza
-Kukaa kitako kwa muda mrefu
-Matumizi ya vyoo vya kukaa kwa muda mrefu
DALILI ZAKE :
•ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
•kupata maumivu wakati wa kujisaidia
•kutokea uvimbe katika tundu la haja kubwa
•kinyesi kuwa na Damu na kunuka harufu mbaya sana.
MADHARA YAKE :
√kupata upungu wa Damu
√kutokwa na Damu nyingi
√kupata tatizo la kutokuhimili choo
√kupata UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
√kuondoa hamu ya tendo la ndoa hasa kwa wanawake
√kukosa hamu ya kufanya kazi kutokana na maumivu makali
√kuathirika kisaikolojia
K**A UNASUMBULIWA NA ILI TATIZO WASILIANA:
0622349692

27/01/2021

TATIZO LA TEZI DUME KWA NJIA RAHISI NA SALAMA BILA KUFANYIWA UPASUAJI

TEZI DUME NI NINI?

👉Tezi dume ni TEZI ambalo kila mwanaume analo.
👉Tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo linalozunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume.
👉Kadiri umri unavozid kuongezeka TEZI DUME nalo huongezeka ambapo huweza kuwa uvimbe tu au saratani (Cancer)

KUNA AINA TATU ZA MATATIZO YA TEZI DUME

●Maambukizi ya bacteria kwenye TEZI dume

●Kuvimba kwenye TEZI dume

●Saratani ya TEZI dume

DALILI ZA KUVIMBA AU SARATANI (CANCER) YA TEZI DUME

♦️Kukojoa mara nyingi hasa nyakati za usiku
♦️Kulazimisha mkojo kutoka hasa pale unapohisi kibofu cha mkojo kimejaa
♦️Mkojo kutoka polepole na kuwa wa kukatika katika
♦️Mkojo hushindwa kutoka hata pale unapohisi kukojoa
♦️Mkojo kuendelea ktoka kidogo kidogo hiyo huchafua nguo za NDANI
♦️Kibofu cha mkojo kutoisha mkojo
♦️Kukojoa zaid ya mara 5,6 mpaka 10 kwa usiku mmoja

👉Vile vile kuvimba kwa TEZI DUME kunaweza kuwa DALILI moja wap ya saratani (cancer) ya TEZI dume.

KUMBUKA

Wataalamu wanasema TEZI DUME ni saratani (cancer) ya pili kuua duniani.

Pia matatizo ya TEZI dume huwapata sana mwanaume wenye umri kuanzia makali 40,45 na kuendelea.

Vile vile K**A katika familia au yko KUNA mtu aliewahi Ugua TEZI DUME basi huwa inaendelea kutokea kwa wengine.

MADHARA YATOKANAYO NA KUVIMBA AU SARATANI YA TEZI DUME

TEZI DUME ikivimba au saratani ya TEZI dume husababisha;

•Kukosa mkojo au kushindwa Kukojoa kabisa

•Madhara kwenye kibofu cha mkojo

•Mkojo kurudi kwenye figo hivyo kuharibu figo kwa kutokukojoa mkojo WOTE kunaweza kusababisha mawe kwenye kibofu cha mkojo.

MATIBABU

KUNA MATIBABU ya AINA tofauti tofauti ya matatizo ya TEZI DUME ambayo ni

DAWA

Dawa hizi hupewa mgonjwa ili kutuliza Athari za matatizo ya TEZI dume
•Lakin husababisha mwanaume kuwa na maziwa

•Husabisha upungufu wa nguvu za kiume

•Humfanya mhusika kuwa tegemezi wa madawa

MAZOEZI

Haya hufanya damu ipite kwa wingi kwenye mishipa .

-Huchkua mda mrefu
-Matokeo kidogo

UPASUAJI

Hii ufanyiwa UPASUAJI wa kuondoa uvimbe katika UPASUAJI ambapo:

Zaidi ya 15% hupoteza maisha
17%hupoteza nguvu za kiume
15% hupata magonjwa ya moto

ATHARI MBAYA ZA UPASUAJI

-KUKOJOA DAMU KWA MUDA MBEGU

-KUTOWEZA KUZUIA MKOJO KWA KIPINDI KIREFU

-KUVAA MPIRA WA MKOJO MPAKA DAMU ITAPOKATIKA

-KURUDIA UPASUAJI BAADA YA MIAKA KADHAA

-MANII (SHAHAWA) KURUDI KWENYE KIBOFU CHA MKOJO HII HUTOKEA KWA 70% YA WANAUME WANAOFANYIWA UPASUAJI

-KWA MANII KURUDI KWENYE KIBOFU HUSABABISHA MWANAUME KUWA MGUMBA ,PIA ITAKUBIDI KUFANYIWA UPASUAJI MWINGINE WA KUTOLEWA MANII KWENYE KIBOFU CHA MKOJO.

WASILIANA NASI KWA O622-349692...WHATSAPP 0658591224 KWAUSHAURI ZAIDI NA HUDUMA UONDOKANE NA MATATIZO YA TEZI DUME.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
119234