Joyce's Afya Tz

Joyce's Afya Tz

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Joyce's Afya Tz, Health/Beauty, Mwenge, Dar es Salaam.

FOREVER LIVING COMPANY is here to make sure you are healthy all the time though our products having high quality by being a proven with biggest organizations of food in the world �

02/08/2021

NIAMBIE K**A HUYU NI WEWE?

1.✍️ Unawahi kufika kileleni mapema. Chini ya dakika saba.

2.✍️Unashindwa kurudia tendo kwa mara ya pili au zaidi.

3✍️.Uume Unashindwa kusimama au unasimama ukiwa legelege kwa mara ya pili au zaidi

4.✍️Unashindwa kumpa mwanamke mimba Kutokana na uchache au udhaifu wa mbegu (shahawa)

5.✍️Unapata maumivu kwenye korodani au misuli ya UUME baada ya tendo

6.✍️Unakosa hamu ya kufanya mapenzi au hamu ya kurudia tendo baada ya kufanya kwa mara ya kwanza

7. Umeathirika na Punyeto ulizopiga zani au Sasa na uume umekosa Nguvu.

8.Umetumia Dawa nyingi na virutubisho lakini hujapata matokeo, umekosa Uaminifu kwenye dawa. Tutakusaidia.

Wasiliana nasi Sasa tukupatie Tiba uweze Kumudu tendo. Tiba zetu ni asili.
Hapa kwetu ndo mwisho wa tatizo.

Kwa msaada zaidi tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp number 0694397350 au piga simu usaidiwe mapema

28/07/2021

NIAMBIE K**A HUYU NI WEWE?

1.✍️ Unawahi kufika kileleni mapema. Chini ya dakika saba.

2.✍️Unashindwa kurudia tendo kwa mara ya pili au zaidi.

3✍️.Uume Unashindwa kusimama au unasimama ukiwa legelege kwa mara ya pili au zaidi

4.✍️Unashindwa kumpa mwanamke mimba Kutokana na uchache au udhaifu wa mbegu (shahawa)

5.✍️Unapata maumivu kwenye korodani au misuli ya UUME baada ya tendo

6.✍️Unakosa hamu ya kufanya mapenzi au hamu ya kurudia tendo baada ya kufanya kwa mara ya kwanza

7. Umeathirika na Punyeto ulizopiga zani au Sasa na uume umekosa Nguvu.

8.Umetumia Dawa nyingi na virutubisho lakini hujapata matokeo, umekosa Uaminifu kwenye dawa. Tutakusaidia.

Wasiliana nasi Sasa tukupatie Tiba uweze Kumudu tendo. Tiba zetu ni asili na zinatoa matokeo haraka na kutibu tatizo kabisa. Tuambie tatizo lako sio zile unaambiwa ooh chukua tena chukua tena huku ukipoteza pesa nyingi bila matokeo.
Hapa kwetu ndo mwisho wa tatizo.

kwa mawasiliano zaidi tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp number 0694397350 au piga simu usaidiwe mapema

24/07/2021

NIAMBIE K**A HUYU NI WEWE?

1.✍️ Unawahi kufika kileleni mapema. Chini ya dakika saba.

2.✍️Unashindwa kurudia tendo kwa mara ya pili au zaidi.

3✍️.Uume Unashindwa kusimama au unasimama ukiwa legelege kwa mara ya pili au zaidi

4.✍️Unashindwa kumpa mwanamke mimba Kutokana na uchache au udhaifu wa mbegu (shahawa)

5.✍️Unapata maumivu kwenye korodani au misuli ya UUME baada ya tendo

6.✍️Unakosa hamu ya kufanya mapenzi au hamu ya kurudia tendo baada ya kufanya kwa mara ya kwanza

7. Umeathirika na Punyeto ulizopiga zani au Sasa na uume umekosa Nguvu.

8.Umetumia Dawa nyingi na virutubisho lakini hujapata matokeo, umekosa Uaminifu kwenye dawa. Tutakusaidia.

Wasiliana nasi Sasa tukupatie Tiba uweze Kumudu tendo. Tiba zetu ni asili na zinatoa matokeo haraka na kutibu tatizo kabisa. Tuambie tatizo lako sio zile unaambiwa ooh chukua tena chukua tena huku ukipoteza pesa nyingi bila matokeo.
Hapa kwetu ndo mwisho wa tatizo.
Kwa msaada zaidi tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp number 0694397350 au piga simu usaidiwe mapema

08/07/2021

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
1)Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.

2)Kuhisi harufu mbaya, kichefuchefu mara tu baada ya Kimwaga mbegu za Kiume.

3)Mwili kuchoka sana baada ya tendo la Ndoa huambatana na usingizi mzito.

4)Kuhisi maumivu kwenye korodani baada ya kumaliza tendo la ndoa.

5)Mwili kukinai na kuhisi ganzi mwili nzima.

Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume k**a umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na K**a unamfaham mtu mwenye Changamoto hizo usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho?

Jaribu kuangalia performance yako ya tendo kwa miaka mitatu iliyopita.Alafu lingalisha na performance yako ya sasa, utagundua tofauti kubwa.

Tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda wassap 0694397350 au piga simu usaidiwe haraka

03/05/2021

*MAMBO MUHIMU KATIKA SUALA ZIMA LA MBEGU ZA KIUME.*
1- UWINGI WA MBEGU ZA KIUME:
Mbegu za kiume katika kila tendo kamilifu moja linalofanywa zinatakiwa zisispungue milioni 200. Kiasi hiki huwezi kukijua kwa macho yako. Lakini ikiwa utatoa shahawa kidogo, kuna
uwezekano wa kuwa na mbegu za kiume chache. Ingawa sio mara zote utoapo shahawa chache basi humaanisha una mbegu chache. Mshindo dhaifu au kufika kileleni kirahisi rahisi ni mojawapo ya dalili ya kwamba mbegu
unazotoa sio nyingi, inaweza kuwa na maji mengi badala ya kuwa na mbegu nyingi.

2- UZITO WA MBEGU ZA KIUME NA UWEZO WA
KUCHELEWA KUYEYUKA
Shahawa/majimaji ya mbegu huwa na mbegu za kiume, na shahawa ni majimaji
yanayobeba mbegu za kiume, kazi ya shahawa ni kusafirisha kwa usalama mbegu za kiume mpaka kulifikia yai. Sasa ikiwa shahawa zitakuwa nyepesi (zinayeyuka haraka) basi maana yake kwa haraka sana baada ya kutoka uumeni shahawa na mbegu za kiume zinatengana, na hivyo kuathiri uwezo wa mbegu kusafiri haraka na kulifikia yai.

Mfano mdogo ni kwamba k**a ukishafanya
kitendo cha ndoa na kisha muda huohuo mbegu za kiume kuanza kuchuruzika kutoka nje ya uke hata k**a mwanamke amelala basi hiyo ni dalili mojawapo ya mbegu kuwa nyepesi na hivyo kuweza kuathiri uwezo wa kutungisha mimba. Kunaweza kuwa na matatizo mengine
ya uko kutoweza kushikilia vizuri mbegu za kiume pia, hiyo nayo inaweza kuwa sababu.

3- UWEZO WA KUOGELEA KWA KWENDA MBELE
Mbegu za kiume zenye afya bora zinakichwa kikubwa kilichochongoka na mkia mrefu unao anza mkubwa kichwani na kuishia mdogo kabisa mkiani, sifa hizi zinazipa mbegu uwezo wa wa kuogelea kwenda mbele katika mstari mnyoofu, ikiwa mbegu ya kiume itasafiri
katika mstari wa zigzig au maumboumbo basi inapoteza uwezo wa kufika haraka kuliwahi yai.

Hii ni kwa sababu zinachoka. Mbegu zinazoenda katika mstari mnyoofu zinawahi kufika kwa kuwa safari inakuwa fupi. Mfano mzuri ukisafiri na nedge toka Mwanza hadi Dar na Mwingine Asafiri na Train na mwingine na Bas utakuta wanafika muda tofauti na pia wanakuwa wamesafiri umbali tofauti kabisa. Ndivyo ilivyo kwa mbegu zinazoogelea kwa
mwendo wa nyoka na zile zinazoogelea kwa kwenda mbele moja kwa moja.

4- UWEZO WA KUISHI
Mbegu bora inafaa iishi sio chini ya masaa 72 tangia itoke kwa mwanaume na kuingia kwa
mwanamke, maisha mafupi ya mbegu yanaifanya mbegu kuwa na wakati mgumu wa kuliwahi yai ili kulitungisha mimba.

5- RANGI
Kawaida shahawa zenye mbegu bora zina rangi nyeupe inayoelekea kwenye gray na kwa wazee inakuwa nyeupe inaelekea njano – Sasa huwezi ona rangi hii mara kwa mara kwa sababu mbalimbali za kiafya, chakula na hali
ya hewa. Lakini kwa watu wazima miaka 40 kwenda juu ni kawaida sana mara nyingi kuonekana nyeupe/njano.

DALILI ZA MTU ALIYE NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
1. Uume kusinyaa na kuwa k**a wa mtoto
2. Uume kurudi ndani
3. Uume kusimama ukiwa legelege
4. Kufika kileleni haraka wakati wa tendo la ndoa.
5. Kushindwa kurudia raundi nyingine kwa uharaka baada ya raundi ya kwanza.

K**a una dalili hizo hapo juu, unatakiwa kuwa makini na kuanza kutafuta tiba kabla mambo hayajaharibika sana. Unapokaa na tatizo siku nyingi bila kulitibu unasababisha tatizo hilo kuwa kubwa na sugu mwilini.

Ziko dawa aina nyingi ambazo husemkana kutibu matatizo haya ya nguvu za kiume, lakini nakushauri kabla ya kuanza kutumia dawa ni vema ukatambua chanzo cha tatizo lako, kisha ukatibu chanzo na baada ya hapo ukafuata taratibu nzuri za maisha. Epuka kutumia madawa hovyo iwe dawa ya asili au dawa ya kisasa, hii ni hatari sana kwa afya yako na unaweza kufikiri unatibu tatizo kumbe ndiyo unaliongeza kabisa.

K**a tujuavyo matatizo haya huathiri misuli na mishipa ya uume, hivyo ni bora kutafuta tiba bora ya kuimarisha misuli hii. K**a kawaida misuli hutibiwa kwa mazoezi na si vinginevyo. Unaweza kutumia dawa za kunywa au kumeza hadi uk**aliza madawa yote lakini tatizo lako liko pale pale, sababu ni kuwa misuli ya uume imelegea na inapaswa kuimarishwa kwa mazoezi maalum ya mosuli hiyo.

TIBA YA MAZOEZI NA KULA MATUNDA KWA MTU ALIYE ATHIRIKA NA PUNYETO.
Tiba ya mazoezi ya misuli ya uume na kula matunda ni tiba bora na ya uhakika kabisa kwa mtu aliye athiriwa na punyeto. Tiba hii hufanya mambo yafuatayo:

A) Kuongeza wingi wa mbegu za kiume na kuzifanya kuwa imara na zenye kasi inayotakiwa.
B) Kuimarisha mishipa na misuli ya uume ulio
legea na hivyo kuurejeshea uwezo wake wa asili
C) Hutibu tatizo la uume kurudi ndani na kuwa k**a wa mtoto mdogo
D) Humaliza tatizo la kusimama kwa uume
ukiwa legelege
E) Hutibu na kuponya kabisa tatizo la kufika
kieleleni haraka.
F) Huongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa hata baada ya raundi ya kwanza.

K**a una tatizo hilo wasiliana nasi sasa kwa Whatsap 0765010574 ili upate kujiunga na tiba hii ya ukweli na uhakika iliyokwisha saidia wengi wenye tatizo hili.

NB: Usikae kimya ndugu, wengine wanapona.
Karibu uondoe stress na aibu hiyo ya kudharirika mbele ya mke/mpenzi wako.

01/04/2021

MAMBO 10 YANAYO PELEKEA KUNYONYOKA NYWELE (KIPARA) NA JINSIA YA KUZUIA
Posted by mik-dadi | Nov 19, 2017

Mambo 10 yanayo pelekea kunyonyoka nywele (KIPARA) na jinsia ya kuzuia
Siku hizi ni jambo la kawaida sana kuona vijana wa umri wa miaka 20 hadi 35 wakiota Upara. Na wengi tunaamini kuwa Upara ni ishara ya busara ama kufanikiwa kimaisha. Leo katika makala hii utaweza kufahamu nini chanzo cha upara katika umri mdogo na ni nini tiba yake. ningependa kukuhakikishia mapema kuwa tiba ipo na haina gharama yoyote.

kikawaida kwa binadamu yeyote iwe mwanamke ama mwanaume huanza kupoteza nywele kichwani kwa kasi kuanzia miaka ya 50 na kuendelea kutoka na kuchoka kwa mwili. Ni swala linalokasirisha sana kwa kijana mdogo kuota upara angali bado unazihitaji nywele.

Zifutazo ni sababu kwa nini nywele zako zinanyonyoka.

1.✍️ Stress
Kila aina ya physical and emotional pain inaweza kusababisha kunyonyoka kwa nywele. . Ajali ya gari au kufanyiwa upasuaji vinaweza kukusababishia stress ambayo itakuletea kunyonyoka kwa nywele zako. Emotional stress hazisababishi kunyonyoka kwa nywele lakini inaweza kutokea pale unapokuwa katika wakati mgumu kisaikolojia k**a vile kumpoteza mtu wako wa karibu kutokana na kifo au kuachwa kimapenzi. Hata hivyo,. Baada ya wakati huo mgumu, nywele zako zitaanza kuota tena baada ya miezi sita.

2. ✍️Homoni
Kunyonyoka kwa nywele kunaweza kuwatokea wanawake w alio katika menopause kutokana na kuadilika kwa viwango vya homoni. Inaweza kutokea pia kwa wanawake wanaotumia vidonge vya uzazi wa mpango hususani wanapokuwa wana ahirisha mara kwa mara zoezi la kutumia vidonge hivyo. Unashauriwa k**a unatumia vidonge kwa uzazi wa mpango, basi hakikisha unazingatia ratiba na usiahirishe hata mara moja.

3. ✍️Ukosefu wa Protini au Hamirojo
Ukosefu wa protini unaweza kudhoofisha ukuaji wa nywele au kusababisha kunyonyoka kwa nywele kabisa na hatimaye kuwa na kipara kabisa.

4. ✍️Ujauzito
Ujauzito ni miongoni mwa mambo yanayo leta physical stresses and there are also na pia huleta mabadiliko ya homoni. Kunyonyoka kwa nywele hutokea baada ya kujifungua.

5.✍️ Kurithi
If any of your parents at some time started to lose hair, it is very possible for the same thing to happen to you.
K**a mmoja kati ya wazazi wako au babu zako wa upande wa baba au mama aliwahi kuwa na tatizo la kunyonyoka nywele au kuwa na kipara kabisa, basi kuna uwezekano mkubwa sana kwa jambo hilo kutokea kwako pia kwa sababu za urithi. Hakuna maelezo yoyote ya kitabu kuhusu jinsi ya kukinga suala hili , hata hivyo unaweza kujaribu kutumia vyakula na dawa mbalimbali bila kujali sababu iliyo fanya unyonyoke nywele au kuwa na kipara.

6.✍️ Vinasaba vya kiume
Tafiti mbalimbali za kisayansi zinaonyesha kuwa, wanaume wengi wana anza kuonyesha dalili za kunyonyoka mwele wakiwa na umri wa kuanzia miaka sitini ( 60) na kuendelea. So k**a wewe ni mwanaume mwenye umri wa kuanzia miaka 60 na kuendelea na nywele zako zimeanza kuonyesha dalili za kunyonyoka, huna haja ya kupanic wala kutafuta tiba, kwani suala hilo ni la kawaida kabisa kwa wanaume wenye umri wako.

7. ✍️Anemia
Anemia husababishwa na ukosefu wa madini ya chuma katika damu. Watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili (anemia ). Hata hivyo, ili kupambana na tatizo hili unachotaiwa kufanya ni kuzingatia matumizi ya vyakula vyenye madini ya chuma katika mlo wako.

8. ✍️Matumizi ya vitamin A kupita kiasi.
Malimbikizo ya vitamin A mwilini husababisha kunyonyoka kwa nywele. Hata hivyo kunyonyoka kwa nywele kunako sababishwa na malimbikizo ya vitamin A mwilini huwa ni kwa muda tu. Nywele zako zitarejea katika hali yake ya kawaidautakapo punguza matumizi ya vyakula vyenye vitamin A kwa wingi kupita kiasi kwa sababu mwili wako utaweza kubalance vitamin zote mwilini.

9. ✍️Kupunguza uzito kwa haraka.
Kupungua uzito kwa haraka kunaweza kukufurahisha. Lakini hata hivyo, hii inaweza kukusababishia kunyonyoka kwa nywele kutokana na stress zilizo sababishwa katika mwili wako.

10. ✍️Matatizo kwenye tezi aina ya thyroid ( Thyroid Gland )
Thyroid gland ina husika na michakato mbalimbali katika mwili wa mwanadamuikiwemo ukuaji wa nywele. K**a tezi hii haizalishi homoni za kutosha, inaweza kusababisha kunyonyoka kwa nywele. Ukiwa katika situation hii, unashauriwa kumuona daktari kwa ushauri zaidi.

SULUHISHO
👇👇👇👇
Tumaneno afya jamii watsap no 0765010574 au Piga simu

19/03/2021

MADHARA YA KUWA NA KITAMBI NA UZITO MKUBWA!!

Ukiwa na uzito mkubwa na kitambi itasababisha madhara yafuatayo;
1.Kwa wanaume upungufu wa nguvu za kiume, asilimia kubwa uume husinyaa unarudi ndani unakua mdogo.
2.kwa wanawake matatzo ya Mfumo wa uzazi hormones zinavurugika.
3. uwezo wako wa kufikiria hupungua. IQ yako itakuwa miaka 10 nyuma kwa kufikiri.
4. Tatizo ya fibroids kwa wanawake
5. Tatizo la hormonal imbalance kwa wanaume na wanawake
6. Magonjwa sugu k**a vile kisukari, shinikizo la damu, matatizo ya figo, ugonjwa wa moyo, matatizo ya tezi dume.
7.Ugumba kwa wanawake na mwanaume
8. Muonekano mbaya ,kila nguo unayoivaa haikupendezi hadi inakua kero.

Kumbuka umepambana Sana kuijenga future yako. Lakini unapokua na kitambi au uzito mkubwa hautoifurahia hiyo future. Utaanza kuhudhulia Clinic za gharama kubwa kwa ajili ya matatizo ya Presha, kisukari, stroke na upungufu wa nguvu za kiume. Kwa Nini usubirie matatizo yote hayo yakufike wakati suluhisho salama lipo?

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda WhatsApp number 0765010574 au Piga Simu usaidiwe Mapema.

17/03/2021

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!

~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.

CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali

SULUHISHO
Tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda wassap 0765010574 au piga simu usaidiwe mapema

17/03/2021

FOREVER A BETA CARE
Ni kirutubishoa ambacho kina vitamin A (Beta-carotine) napia kuna madini ya Selenium ambayo ni antioxidant. Antioxidant ni uwezo wa kupambana na free radicals. Kemikari zitokanazo na vyakula, hormones na uchafuzi wa mazingira ambazo zinaharibu chembecheme hai za mwili. A Beta Care ya Forever ina Vitamin A inayotolewa katika mfumo wa beta-carotene ambayo inameng'enywa katika utumbumbo mdogo na kutoa vitamin A pindi inapo itajika hivyo kuzuia athari ya kuzidi mwilini kwakuwa ikizidi ni sumu. A pia ni Antoxidant nzuri inajulikana Sana kwa kuboresha macho kuona vizuri na kuondoa mikunjo kwenye ngozi, # Vitamin E inaboresha ngozi, kuondoa athari za menopause k**a vile hot flushes (kurekebisha Jojo mwilini), kusaidia maradhi ya sickle cell enemia uboresha ufanyaji kazi mzuri wa chembe chembe nyeupe za damu, huzuia damu kuto kuganda na matatizo yatokanayo na osteo-arhritis.
Selenium huondoa sumu inafanya kazi vizuri ikiwa na beta-carotene na vitamin E, usaidia kuboresha afya kwa kinababa katika kuongeza mbegu za kiume na kuzuia Cancer prostate.

Faida:
1.kuondoa mikunjo na kuzeeka kwa ngozi.

2.Athari za menopause k**avile hot-flushes

3.Kuboresha kazi za moyo na ngozi

4.Inawasaidia wenye matatizo ya Moyo

5.Inaondoa sumu mwilini na kuzuia athari za free radicals
6.inawasaidia wanaume kuongeza mbegu na kuwsaidia kuwalinda na kansa ya tezi dume (prostate cancer)

7.Inawasaidia wenye sickle cell anemia-kupungukiwa kwa chembe chembe hai nyeupe.

Je umeona umuhimu wa kutumia hii bidhaa?
Tuwasiliane +255765010574 kwa kutuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda wassap au piga simu usaidiwe mapema

15/03/2021

FAHAMU ATHARI YA TATIZO LA KUTOPATA CHOO (Constipation) NA JINSI YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

(WhatsApp 0765010574)

Choo Kigumu Ni haja kubwa inayopatikana isiyozidi mara tatu katika wiki au haja kubwa inayoleta shida kutoka kwake na utokaji wake ni mithili ya mavi ya mbuzi (uyabisi) hata k**a inapatikana kila siku. Hali hii inaposhamiri muathirika hupata choo si zaidi ya mara tatu katika kipindi cha mwezi mmoja. Ni moja miongoni mwa matatizo katika mfumo wa kusaga chakula yanayowakumba watu wengi si hapa kwetu Tanzania au Afrika tu bali dunia nzima kwa jumla. Shida ya kupata choo ni hali inayowakabili watu mbalimbali.

CHANZO CHA TATIZO LA KUTOPATA CHOO (Constipation)
Tatizo hili husababishwa zaidi na ulaji mbovu wa vyakula na kutokujizoesha kujisaidia mara kwa mara pia kula vyakula vilivyokobolewa na matumizi mabaya ya dawa na magonjwa mengine pia na mabadiliko ya homoni mwilini ndio chanzo cha tatizo.

DALILI ZA TATIZO HILI LA KUTOPATA CHOO
Dalili za tatizo hili ni k**a ifuatavyo ÷
👉kupata Homa kali
👉kutapika na kupata vidonda nnje ya haja kubwa
👉kutumia nguvu na Muda mwingi kupata choo
👉ulimi kuwa na utando mweupe na hutoa harufu mbaya
👉kukosa hamu ya kula na tumbo kujaa gesi
👉kutetemeka kwa kuhisi baridi.

MADHARA YA KUKOSA CHOO
Kuna madhara makubwa iwapo hutaamua kupata tiba kwa kupuuzia na kuona ni tatizo la kawaida, madhara hayo ni ÷
👉KUPATA SARATANI YA UTUMBO
👉FIGO KUSHINDWA KUFANYA KAZI VIZURI
👉KUPATA PRESHA NA KUPATA UGONJWA WA INI
👉KUPATA MAGONJWA YA MOYO NK

Usisubiri tatizo liwe sugu na hayo Madhara yakupate itakugharimu Sana, anza utatuzi Mapema.

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda WhatsApp number 0765010574 au Piga Simu usaidiwe Mapema

14/03/2021

JE UNASUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO?

Vidonda vya tumbo ni michubuko au vidonda vinavyoweza kutokea sehemu yoyote katika mfumo wa usagaji wa chakula ( digestive system) ambapo kitaaalam vinaweza kugawanyika katika aina NNE
1. Throat ulcers,( kwenye koromeo)
2. Gastric ulcers( tumboni))
3.Doudenal ulcers ( utumbo mwembamba
4.colon ulcers (utumbo mpana)

SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO
1. Helicobacter phlory huyu ni bacteria ambae kwa asilimia kubwa husababisha vidonda vya tumbo kwa kuharibu kuta za tumbo( layers) na kusababisha vidonda .
Lakini pia kuna mazingira ambayo yanaweza kufanya mtu akaugua vidonda vya tumbo k**a
▪️stress's
▪️kutozingatia mda wa kula
▪️kula vyakula vyenye Acid
▪️uvutaji wa sigara
▪️unywaji wa pombe
▪️madawa ya hospitalin (Antibiotics)
Na wengi huwa wnapata maumivu makali sana baada ya kuungua vidonda vya tumbo

Suluhisho sahihi la vidonda vya tumbo Ni virutubisho asilia vyenye uwezo wa kuboresha Mfumo mzima wa tumbo, kuongeza Kinga ya mwili na kuondoa mazingira ya kuzaliana bakteria wabaya.

Tuma ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp namba 0765010574au piga sim usaidiwe Mapema.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mwenge
Dar Es Salaam