Forever healthytz

Forever healthytz

Share

Forever healthy

13/04/2022

Ngiri hujulikana pia k**a “Hernia” kwa Kiingereza. Ugonjwa wa mshipa wa ngiri ni matokeo anayopata mtu kutokana na misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikilia au kubeba viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake. Au kuta hizo kuwa na uwazi na kupelekea viungo hivyo kutoshikiliwa vizuri katika sehemu vinapostahili kuwepo.

Tunaweza kuufahamu zaidi ugonjwa wa ngiri k**a hali inayotokea katika mwili ambapo sehemu fulani ya nyama ya viungo mbalimbali vya mwili hujipenyeza kupitia sehemu iliyo dhaifu ya mwili na kutokeza upande wa pili. Sehemu inayoathiriwa mara nyingi ni maeneo ya tumbo, kokwa, pumbu na kadhalika ambapo baadhi ya viungo vya mwili vilivyomo tumboni hujipenyeza kupitia vitundu vinavopitisha mishipa ya fahamu inayohudumia kokwa (Spesmatic Cord), hivyo baada ya kujipenyeza huteremka hadi ndani ya korodani hali ambayo hukamilisha kuwepo kwa ugonjwa wa mshipa wa ngiri.

Sehemu ambazo Ngiri inaweza kutokea ni pamoja na maeneo ya:
Tumboni
Eneo la kinena
Eneo la paja kwa juu
Eneo ambalo mtu amewahi kufanyiwa upasuaji siku za nyuma
Kifuani n.k.
Ugonjwa huu wa ngiri unawapata watu wa jinsia zote na wa umri wowote.

Kwa ushauri na tiba 0625606218

13/04/2022

Je, ngiri huathiri nguvu za kiume?

K**a ngiri bado ni ndogo. Haiwezi kuathiri chochote katika nguvu za kiume. Hata hivyo, henia ambayo imeshakuwa kubwa inaweza kuathiri nguvu za kiume - - huathiri utendaji wa mishipa ya neva iliyo kwenye uume/korodani na hali ya homoni. Ukosefu wa homoni ya testosterone inaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume. Upasuaji wa ngiri unaweza kusababisha shida katika korodani kufanya uwezekano wa homoni ya testosterone kuwa chini. Hata hivyo, kwa sababu watu wengi wana korodani mbili, hata k**a moja inaweza kuwa na shida, nyingine inaweza kuzalisha viwango vya kutosha vya homoni. Ngiri pia huweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume kutokana na kuharibu mishipa ya neva iliyo kwenye uume.

13/04/2022

saikolojia ina sehemu kubwa katika kufanikisha tendo la ndoa sababu za kupungua nguvu za kiume zimegawanyika katika makundi makuu mawili ni pamoja na sababu za kiafya pamoja na sababu za kisaikolojia

sababu za kisaikolojia ni pamoja na
wasiwasi, msongo wa mawazo, athari za kujichua kwa muda mrefu au kutokuwa na maelewano na mwenza wako. mara nyingi sababu za kisaikolojia hutokea kwa pamoja na zina tegemeana hasa unapo jijua una tatizo la nguvu za kiume hukuletea athari za kisaikolojia, na athari za kisaikolojia hukuongezea tatizo la nguvu za kiume na kushindwa kushiriki tendo la ndoa kikamilifu k**a jinsi inavo takiwa. hivyo kunakuwa na mzunguko wa tatizo

K**a una changamoto hii usisite kuwasiliana nasi kwa msaada na ushauri zaidi

call / sms / whatsapp 0625606218

13/04/2022

KWAKO MWANAUME!
Wenye changamoto ya;
-kuwahi kufika kileleni/kumwaga mapema
-Kushindwa kurudia tendo
-Kukosa hamu ya tendo
-kutoa mbegu chache au dhaifu
-Misuli kulegea ama ulishawahi kujichua na umekumbana na hizo changamoto

Pengine umejaribu dawa mbalimbali bila mafanikio na umeshakata tamaa,sasa nasema kuwa mwanaume tena tumia hii

KUMBUKA:
Hizi sio DAWA ni Virutubisho (SUPPLEMENTS) Zinatatua tatizo moja kwa moja, (SIO BOOSTER).

Kwa ushauri, tiba na maelezo zaidi wasiliana nasi call/ whatsap: 0625606218

13/04/2022

Kwa mawasiliano zaidi na ushauri kuhusu afya +255625606218

Photos from Forever healthytz's post 13/04/2022

Delivery✅

13/04/2022

Kupata matokeo ni uhakika🔥

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Address


Makumbusho Victoria
Dar Es Salaam