Baghdad tiba lishe

Baghdad tiba lishe

Share

Nawasaidia watu kujenga AFYA bora 🌿 na KIPATO cha ziada 💰 kupitia biashara ya afya.

Jifunze kutumia simu yako kupata kipato popote ulipo.
📩 Niandikie WhatsApp kwa maelezo. +255719736002

05/06/2024

*️⃣MUWASHO UKENI

Fangasi ukeni ni muwasho sehemu ya ndani ya uke ambao unaweza kuambatana pia na kuvimba kwa uke. Maambukizi ya fangasi sehemu za siri imekuwa ni tatizo kubwa sana.

Mambo Yanayoongeza Hatari Ya Kupata Fangasi Ukeni:

➡️Ujauzito.
➡️Kuumwa kisukari.
➡️Kushuka kwa kinga ya mwili kutokana na kuugua magonjwa mbalimbali.
➡️Matumizi yaliyokithiri ya dawa hasa zile za kuua bakteria (antibiotics).
➡️Wanawake wenye umri wa miaka 20-30 wapo katika hatari ya kupata maambukizi haya wakati wale ambao wamekoma hedhi (menopause) na wale ambao hawajaanza kupata hedhi hawako katika hatari kutokana na mazingira au vitu wanavyotumia.
➡️Matumizi ya mara kwa mara ya vidonge vya majira (oral contraceptive pills).
➡️Matumizi ya vilainishi wakati wa kujamiiana husababisha maambukizi pia.
➡️Kuwa na historia ya kupata matibabu ya homoni (hormonal replacement therapy).
➡️Kuvaa nguo za ndani zisizokauka vizuri na kuvaa mavazi yanayoleta sana joto sehemu za siri.
➡️Matumizi makubwa ya mipira wakati wa ngono mfano condoms.

DALILI ZA FANGASI
➡️Kuwashwa sehemu za siri.
➡️Kuhisi maumivu makali wakati wa kujamiiana.
➡️Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri mara baada ya kutoka kufanya tendo la ndoa au kutoka kukojoa (burning sensation).
➡️Kuvimba na kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke (l***a minora).
➡️Kupata vidonda ukeni (soreness).
➡️Kupata maumivu wakati wa kukojoa na 📌kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au kijivu unaoweza kuwa mwepesi, mzito au majimaji.

MADHARA YA FANGASI

➡️kuchelewa kupata mimba
➡️kupata saratani ya shingo ya kizazi

SULUHISHO LIPO📞 0620185250 /0719736002

31/12/2023

JIKINGE NA ONDOA MAGONGWA MENGI KWA KUTUMIA UG CARE PLUS STEM CELL

Je Umekosa Tumaini?

🍏Umeteseka na magonjwa sugu kwa muda mrefu na umekata tamaa ya kupona

🍏Umetumia aina mbalimbali za dawa bila mafanikio

🍏Umeambiwa changamoto ya kiafya unayopitia si ya kupona

🎯Mwili wa Binadamu.

Mwili wa binadamu ni muundo mmoja ulioundwa na mabilioni ya miundo midogo midogo ya seli, tishu, viungo na mifumo. Seli ni msingi wa maisha kwa kuwa kila kiumbehai (binadamu, wanyama na mimea) kimeundwa na seli. Seli ni k**a chumba kidogo ndani ya mwili wa kiumbehai ambayo hukua, hukomaa, hugawanyika au hufa kutokana na jinsi inavyoamriwa na kituo cha amri cha seli (nucleus) ambacho pia huilinda DNA. Mkusanyiko wa seli za aina moja zinazofanya kazi maalumu katika kiumbe hai hutengeneza tishu. Muunganiko wa tishu mbalimbali huunda viungo. Ushirika wa idadi na aina mbalimbali ya viungo vilivyopangwa ili kwa pamoja viweze kufanya kazi fulani mwilini huunda mifumo ya mwili.

🎯Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza
Magonjwa mengi yasiyo ya kuambukiza hutokana na kutokula lishe bora, kutokufanya mazoezi, kutokupata usingizi wa kutosha, msongo wa mawazo, uzito mkubwa, uvutaji sigara, unywaji wa pombe kupita kiasi, umri, jenetiki, uchafuzi wa mazingira, matumizi holela au ya muda mrefu wa madawa, sumu zinazoingia kidogokidogo mwilini kutokana na chakula na vinywaji tunavyotumia, n.k. Hali hii huleta athari hasi kwa seli, tishu, viungo na mifumo ya mwili hivyo kusababisha magonjwa.

🎯Tumaini la magonjwa yasiyo ya kuambukiza lipo. Tiba ya UG CARE PLUS STEMCELL ni jibu lako (Wasiliana nasi kwa kupiga/ Whatsapp +255755559644 ) ili upate suluhisho la kudumu.

🎯Tiba ya Ug Care Plus Stemcell
Tiba ya Ug Care Plus stemcell ni tiba bora ya karne ya 21 iliyotengenezwa kwa kutumia seli shina za mimea. Tiba hii imeleta mapinduzi katika kutibu magonjwa sugu yasiyo ya kuambukiza. Ni tiba ambayo imekuwa ikionyesha matokeo mazuri hata kuliko baadhi ya matibabu tuliyoyazoea ikiwemo yale ya hospitali, virutubisho na mitishamba. Ug Care Plus Stemcell imethibitishwa na TBS na TMDA kuwa ni salama kutumika.

👍UG care plus stemcell hukinga na kutibu ugonjwa na chanzo cha ugonjwa huo kwa kuwa inapoingia mwilini:

🎁Husafisha seli na hivyo kuondoa sumu mwilini

🎁Hukarabati seli zilizochoka au kuharibika

🎁Hurutubisha seli hivyo kuongeza kinga ya mwili

🎁Huzalisha seli mpya.

🎁Hurejesha utendaji mzuri wa seli
Kwa kuwa chanzo cha mwili wa binadamu ni seli, hivyo seli ikipona maana yake tishu, viungo na mifumo ya mwili hupona na kusababisha kuponyesha magonjwa mengi mwilini kwa kutumia tiba hii pekee au na kiambata kimoja kwa baadhi ya magonjwa.

👍UG Care Plus Stemcell inakinga na kupambana changamoto mbalimbali ikiwemo:

🌴Mfumo wa chakula (Vidonda vya tumbo,
🌴kuvimbiwa, kukosa choo, gesi, n.k)
🌴Kisukari
🌴Magonjwa ya njia ya hewa (ikiwemo pumu)
Kiharusi
🌴Aina mbalimbali za uvimbe ikiwemo saratani na goita
🌴Magonjwa ya moyo ikiwemo shinikizo la damu
🌴Magonjwa ya ini
🌴Magonjwa ya figo
🌴Changamoto katika maungio {mgongo, miguu - rheumatoid anthritis, gout, n.k)
🌴Magonjwa ya macho
🌴Changamoto za misuli
🌴Changamoto za mfumo wa uzazi kwa mwanamke na mwanaume (ikiwemo uzazi, tezidume, fibroids, UTI, PID, nk)
🌴Selimundu (sicle cell)
🌴Changamoto za meno
🌴Magonjwa ya ngozi (ikiwemo vitiligo, chunusi sugu, acne keloidalis nuchae, harara, eczema)
🌴Mzio (allergies)
🌴Majeraha na vidonda sugu hata vile vitokanavyo na kisukari na saratani

🌴Upungufu wa madini
🌴Changamoto za udhaifu wa ubongo ikiwemo alzheimer, parkinson, kupoteza kumbukumbu, n.k
🌴Mafuta mabaya mwilini (bad cholesterol)
🌴Kuzeeka kwa ngozi
🌴Upungufu wa kinga mwilini
Na magonjwa mengine mengi (zaidi ya 300)

👍Habari njema ni kuwa, Ug care plus stemcell pekee ni suluhisho kwa kutibu na kuondoa chanzo cha magonjwa yasiyo ya kuambukiza uliyonayo (hata k**a una magonjwa mengi).

👇Wasiliana nasi kwa kupiga/ Whatsapp +255620185250 , Email: [email protected] ili upate suluhisho la kudumu la changamoto ya ugonjwa unaopitia.

24/12/2023

*STEMCELL TECHNOLOGY POWED BY UG CARE PLUS & UG MSTEMCELL*

*KARIBU KATIKA DARASA LA LEO*

*🥑FIGO PART 1🥑*

*KUFELI KWA FIGO*

**Kufeli kwa Figo ni nini?*
🫐Ni hatua ambayo Figo hushindwa kufanya kazi zake ipasavyo.

*Kazi kuu ya figo ni*

🫐 kuchuja na kutoa uchafu,kutoa maji yasiyohitajika na kuhifadhi asidi kwa kiasi kinachohitajika mwilini. Kupungua kwa uwezo wa figo kufanya mojawapo ya kazi hizi ndiko kunasemekana ni kushindwa kwa figo kufanya kazi au kufeli kwa figo.

*Kutambua ugonjwa wa figo*

🫐Kiwango cha *kreatinini* na yurea kwenye damu ndicho huonyesha hali ya figo. Kuongezeka kwa vitu hivi viwili huonyesha kuwa figo hazifanyi kazi vyema. Kuongezeka kwa kreatinini kwenye damu, hata kwa kiwango kidogo mno, kunaweza kuashiria kupungua kwa kiwango
kikubwa cha kazi ya figo. Kwa mfano k**a kiwango cha kreatinine ni 1.6 mg/dl, basi inaashiria kuwa figo hazifanyi kwa asili mia 50% au hata zaidi ya kazi zake.

*Je,figo moja ikishindwa kufanya kazi ina maana zote mbili zimefeli ?*

🫐La! kufeli au kuondolewa figo moja hakuathiri kazi ya figo kwa sababu figo iliyobaki hufanya kazi ya figo zote mbili.

*Aina mbili za ugonjwa wa figo*

1.Ugonjwa sugu wa figo
2.Ugonjwa wa figo wa muda
Inaposemekana Figo kufeli inamaanisha kuwa figo zote mbili zimeshindwa kufanya kazi.

*1.Ugonjwa wa figo wa muda*

🫐Katika ugonjwa huu figo hudhoofika katika muda mfupi kwa sababu ya mwili kutumiwa vibaya. Ugonjwa huu huweza kupona iwapo matibabu sahihi yatazingatiwa. Kwa wagonjwa wengi figo hurudi kufanya kazi yake k**a kawaida.

*2.Ugonjwa sugu wa figo*

🫐Katika ugonjwa huu, figo hudhoofika polepole kwa muda wa miezi au hata kwa miaka mingi. Katika ugonjwa huu, utendaji kazi wa figo huendelea kupungua polepole.Baada ya muda mrefu kazi hupungua kabisa hadi kiwango ambacho ni k**a figo hazifanyi chochote. Kipindi hiki ambapo mgonjwa huwa mahututi huitwa kipindi cha mwisho cha ugonjwa wa figo (ESRD).

*Kufeli kwa figo*

🫐kunatambulika wakati asilimia hamsini (50%) ya kazi zake huwa zimekoma.

*TIBA YAKE*
🫐UG CARE PLUS & UG M itafanya mambo yafuatayo ya kiuponyaji.

1.Itatoa sumu zote kwenye Figo .
2.Itatengeneza Seli mpya kwenye Figo.
3.Itarekebisha Seli zilizochakaa kwenye Figo.
4.Itabadilisha Seli zilizokufa na zenye ugonjwa na kuweka mpya
5.Itahuisha Seli kuziamsha Seli zilizokuwa domant ziamke zianze kufanya kazi.

*🫐HATIMAYE* mgonjwa atakuwa amepona tatizo lake la kufeli kwa Figo.

*KARIBU TUKUHUDUMIE*

*CALL.0620185250*

28/11/2023

Baghdad health care ni suruhisho la matatizo yako yote ya cell mwili.
KARIBU NIKUHUDUMIE

26/11/2023

Namna Pombe Inavyoathiri Uzalishaji wa Mbegu za Kiume

✍🏻Unywaji pombe kupita kiasi ni tabia inayoweza kuharibu vibaya afya ya Uzazi wa mwanamume.

✍🏻Usihadaiwe na msisimko wake wa muda mfupi. Huonekana kutokuwa na madhara, lakini balaa lake ni kubwa sana.

➡️Kwa kifupi pombe inafanya nerves za fahamu zi-relax. Ubongo huwa haulali unafanya kazi masaa 24 uwe sober au tingas. Unapokunywa pombe nyingi, ubongo ukitambua hatari yeyote, unapeleka habari kwenye nerves na una lala ili kuulinda mwili. Wale wanaozima Bar huwatokea hali hiyo.

➡️Tukisema pombe tunamaanisha sumu ya alcohol iliyopo kwenye kinywaji hicho. Kwa vile alcohol ni sumu mwilini, (300ml za alcohol inaweza kukupelekea kifo, au kwenye coma, na kusimamisha mfumo wa upumuaji) unapoitumia pombe huongeza mapigo ya moyo na hivyo usambazaji wa damu mwilini unaongezeka hadi kwenye uume. Ndo maana kwa watumiaji wa pombe ambao hawajachoka hujiona nguvu za kiume zinaongezeka kumbe ni ile sumu inaongeza mapigo ya moyo.

➡️Moyo una misuli yake, kila siku misuli ile inavyotumika kupump moyo huchoka, na hivyo inahitajika dose kubwa zaidi ya alcohol ili kuiamsha zaidi. Hivyo matumizi ya pombe ya muda mrefu, hupoteza uwezo wa tendo la ndoa mpaka pale unapotumia pombe k**a kiamsha hisia. Yaani k**a hajatumia pombe uume hausimami kwa sababu misuli ya moyo imechoka kusukuma damu kila kona ya mwili, ndo maana hata macho ya walevi nayo huishiwa nguvu kwa sababu hiyo.

✍🏻Pombe hupunguza kiwango cha manii/Mbegu za Kiume kwa kupunguza uzalishaji wa homoni ya kiume (testosterone) ambayo ni muhimu kwa uzalishaji wa manii na huduma zingine za kiume.

Zifuatazo ni njia maalum za pombe zinaweza kuhusishwa na na Homon ya testosterone.

Wakati mwili wako unachuja pombe, hupunguza kiwango cha coenzyme fulani ambayo iko kwenye ini. Coenzyme hii ni NAD+, na ni muhimu kwa uzalishaji wa Homon ya testosterone. Unapokunywa pombe mwili wako pia hutoa endofin fulani, zinazoweza kusababisha shida katika kuzalisha Homon ya testosterone.

✍🏻Upo uhusiano wa pombe na cortisol ambayo ni homoni ya mafadhaiko.

✍🏻Testosterone kwa wanywaji sugu inaweza kubadilishwa kuwa estrojeni. Kunywa kupita kiasi kunaweza kuingiliana na uwezo wa mwili wako kupata usingizi bora, na hiyo pia inaweza kusababisha shida na uzalishaji na viwango vya testosterone mwilini mwako.

MATOKEO YAKE;
✍🏻Pombe hulegeza na kuchosha misuli ya;
➡️Pelvic
➡️Mishipa ya uume na mrija wa Urethra
➡️Mishipa ya damu
➡️Huathiri mzunguko wa damu na ufanyaji wa ogani muhimu k**a moyo, ubongo, Ini, Figo ambazo ni muhimu katika kuzalisha Homon na mbegu za kiume.

Acha pombe. Ondoa madhara ya Pombe kwe Mfumo wa Uzazi kwa kutumia ug booster na ug care Piga/WhatsApp 0719736002 au 0620185250

24/09/2023

EMBU TEGA SIKIO

Kwa nini suluhisho/utatuzi wa Stem Cell ni bora kuliko Tiba nyingine na virutubisho vya vyakula?

Stemcell ni seli huru yenye uwezo wa kujigawa na kutengeneza aina mbalimbali ya seli mwilini. Kwa nini tunahitaji StemCell!?

Stem cell inaweza Kuzuia na kushughulikia shida nyingi za kiafya kwa wakati Mmoja.
Kwa sababu tu miili yetu imeundwa na SELI na sio madawa.

Kabla ya matibabu ya stem kugundulika Maisha ya kila binadamu yalianza k**a SELI moja (KIJUSI) iliendelea kuongezeka na kutoa SELI, TISHU, na viungo vingine vyote vinavyounda mwili wa binadamu.

Mwili ni mkusanyiko wa SELI. K**a mtu ni mgonjwa maana yake SELI ni dhaifu au hazifanyi kazi vizuri. Kuanzia umri wa 0 hadi 20 STEM CELL huzalisha SELI lakini uanza kuharibika umri wa miaka 21 kwenda juu kutokana na Kiwango Cha seli kinapungua mwilini umri unavyoenda, pia seli zinachoka ama kuharibika, ama kufa kutokana na matumizi ya Vyakula, Vinywaji, Madawa, Mazingira n.k

Dawa utibu dalili na kushukulikia shida moja kwa wakati pia kusababisha shida nyingine za kiafya kwa sababu ya sumu kujilimbikiza mwilini.

TIBA YA STEM CELL inashughulikia matatizo ya kiafya kwenye chanzo chake, katika kiwango cha seli
STEM CELL (seli shina/ kiini mama) hufanya kazi kwa kawida ya ...

1 Hurekebisah seli zilizoharibika.
2. Hurejesha seli zilizokufa.
3. Hutengeneza seli upya
4. Ukinga seli vizuri.
5. Urejesha utendajikazi wa seli vyema

Hivyo basi stem cell inapambana na kujikinga na
magonjwa k**a:

Kisukari
Magonjwa ya figo
Saratani au Kansa
Kiharusi au Stroke
Vidonda vya tumbo
Mangonjwa ya ini
Magonjwa ya moyo
Magonjwa ya mapafu
Matatizo ya uzazi
Siko seli
Kupoteza kumbukumbu
Asthma/Allergies(Pumu)
Matatizo ya mgongo
Uvimbe wa tumboni
Matatizo ya macho
Tezi dume
Matatizo ya misuli
Na mengine mengi

Kabla mgonjwa hajapewa gharama ya dozi ni vema tukafahamu tatizo lake na lina muda gani

UKITUMIA STEM CELL NDANI YA SIKU 90 NA USIPATE MATOKEO, UTARUDISHIWA GHARAMA ZAKO ZOTE ? +255620185250

24/09/2023

EMBU TEGA SIKIO

Kwa nini suluhisho/utatuzi wa Stem Cell ni bora kuliko Tiba nyingine na virutubisho vya vyakula?

Stemcell ni seli huru yenye uwezo wa kujigawa na kutengeneza aina mbalimbali ya seli mwilini. Kwa nini tunahitaji StemCell!?

Stem cell inaweza Kuzuia na kushughulikia shida nyingi za kiafya kwa wakati Mmoja.
Kwa sababu tu miili yetu imeundwa na SELI na sio madawa.

Kabla ya matibabu ya stem kugundulika Maisha ya kila binadamu yalianza k**a SELI moja (KIJUSI) iliendelea kuongezeka na kutoa SELI, TISHU, na viungo vingine vyote vinavyounda mwili wa binadamu.

Mwili ni mkusanyiko wa SELI. K**a mtu ni mgonjwa maana yake SELI ni dhaifu au hazifanyi kazi vizuri. Kuanzia umri wa 0 hadi 20 STEM CELL huzalisha SELI lakini uanza kuharibika umri wa miaka 21 kwenda juu kutokana na Kiwango Cha seli kinapungua mwilini umri unavyoenda, pia seli zinachoka ama kuharibika, ama kufa kutokana na matumizi ya Vyakula, Vinywaji, Madawa, Mazingira n.k

Dawa utibu dalili na kushukulikia shida moja kwa wakati pia kusababisha shida nyingine za kiafya kwa sababu ya sumu kujilimbikiza mwilini.

TIBA YA STEM CELL inashughulikia matatizo ya kiafya kwenye chanzo chake, katika kiwango cha seli
STEM CELL (seli shina/ kiini mama) hufanya kazi kwa kawida ya ...

1 Hurekebisah seli zilizoharibika.
2. Hurejesha seli zilizokufa.
3. Hutengeneza seli upya
4. Ukinga seli vizuri.
5. Urejesha utendajikazi wa seli vyema

Hivyo basi stem cell inapambana na kujikinga na
magonjwa k**a:

Kisukari
Magonjwa ya figo
Saratani au Kansa
Kiharusi au Stroke
Vidonda vya tumbo
Mangonjwa ya ini
Magonjwa ya moyo
Magonjwa ya mapafu
Matatizo ya uzazi
Siko seli
Kupoteza kumbukumbu
Asthma/Allergies(Pumu)
Matatizo ya mgongo
Uvimbe wa tumboni
Matatizo ya macho
Tezi dume
Matatizo ya misuli
Na mengine mengi

Kabla mgonjwa hajapewa gharama ya dozi ni vema tukafahamu tatizo lake na lina muda gani

UKITUMIA STEM CELL NDANI YA SIKU 90 NA USIPATE MATOKEO, UTARUDISHIWA GHARAMA ZAKO ZOTE ? +255620185250 /wsp

Photos from Baghdad tiba lishe's post 22/08/2023

*Habari je unachangamoto ya ngozi...?*
wangozi
sugu
kwenye ngozi
Kwa vipodozi vikali.
vitiligo
ukitembea juani.
ya ngozi
sehemu za Siri ukinyoa
nyuma ya kisogo ukinyoa
makwapa meusi.
yanachubuka
wanamapunye kichwani.
na kukak**a Kwa ngozi

*KWA MAGONJWA YOTE YA NGOZI KWARIBU UTUMIE UG PROACTIVE ITAKUPONYANGOZI NA KUKUFANYA UWE NA NGOZI NYORORO YENYE UNYEVU UNYEVU*

12/08/2023

TIBA YA UHAKIKA YA UGONJWA WA FIGO

Magonjwa ya figo huwa magonjwa yanayoingia mwilini kimya kimya na hayatoi dalili zozote hadi yafikie hatua ya kuimarika. Mbinu sahihi na bora lakini inayotumika kwa nadra sana ni uchunguzi wa mara kwa mara. Utambuzi wa mapema na kuzuia magonjwa ya figo inaweza kufanyika tu kwa uchunguzi wa kila mwaka. Ni Ugonjwa hatari sana na Wenye madhara makubwa kiafya.

Faida Za Tiba Zetu Za Magonjwa ya Figo

✍🏻 Anti-oxidants, Anti-inflammatories, Vitamins, Madini Huimarisha na kurudisha ufanyaji Kazi wa figo na kukaa sawa.

👉🏿Tiba zitakusaidia hata k**a Figo limefeli, au limeathirika vipi, hata k**a unafanya Dialysis, utakaa sawa 100%.
👉🏿 Huzuia na kutibu Kuvimba uso kunakotokea baada ya figo kupata shida (Nephritic Syndrome)
👉🏿Huimarisha kiwango cha damu mwilini (Hemoglobin Level)
👉🏿 Huimarisha Mfumo wa utoaji Takamwili hasa mkojo
👉🏿Huimarisha mzunguko wa damu kwa wagonjwa wenye Shinikizo la juu la damu
👉🏿Hukinga na kutibu Ugonjwa wa figo unaosababishwa na Kisukari (Diabetic Polyneuropathy) kwa Kuimarisha kiwango cha Sukari Kwenye damu
👉🏿Hukinga na kulinda Mfumo wa mkojo dhidi ya ugonjwa sugu wa UTI sugu ambao pia huathiri
👉🏿Tiba ya ugonjwa wa mawe Na kuvimba kwa tezi dume (BPH) ambavyo huhusishwa na Ugonjwa wa figo
👉🏿Hutibu na kukinga ugonjwa sugu wa figo
👉🏿Tiba zetu huondoa ongezeko la umajimaji wa kreatinini katika damu na figo
👉🏿Hutibu kupungua kwa ukubwa wa figo/kusinyaa kwa figo.
👉🏿 Huongeza uwezo mkubwa wa figo kufanya kazi unaopunguzwa na Matumizi ya dawa holela, kuhara, kutapika, malaria (hasa aina ya falsiparumu), maaambukizo katika damu (sepsis), madawa mengine (ACE inhibitor, NSAID’s)

Kupata Tiba, Piga/WhatsApp 0755559644/0620185250

Photos from Baghdad tiba lishe's post 28/07/2023

Karibu Bagdad health care kwa tiba bora, haujachelewa kurudisha furaha yako.
Kwanza, afya ya wateja wetu ndio kipaumbele chetu.

Tunatoa ushauri na huduma mbalimbali za afya.

Dunia imefika mbali sasa katika teknolojia. Kuwa na imani, Mungu anaponya kwa wakati wake.
Kabla ya kuwasiliana nami moja kwa moja, iko video nimekuandalia ili kuona sayansi mpya ya matibabu kwa matatizo mbalimbali ya afya.

Bofya link hii chini👇 kuangalia video hiyo, kisha unaniambia TAYARI.

https://youtu.be/KMTvzyzpRUM

Piga sim +255620185250

13/07/2023

Ikiwa una PID au UTI sungu, video hii ni kwaajili yako. inawezekana umeteseka sana na tatizo hilo kwa muda mrefu ukitafuta tiba bila mafanikio. Katika video hii utaona teknologia bora ya matibbabu itakayo kuondolea kabiasa tatizo lako. Kwa mawasikiano, piga simu au whatsapp +255620185250

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam