Yise Products
Hapa utapata taarifa mbalimbali jinsi ya kutunza Nywele zako na bidhaa gani utumie kulingana na uhit
11/02/2021
Shampoo ndio bidhaa namba moja katika safari ya utunzaji nywele fupi au ndefu,zenye dawa au zisizo na dawa.
Lengo kubwa la kutumia shampoo ni kuondoa kero zifuatazo katika Kwenye nywele :-
📌Mba na miwasho
📌Vumbi na uchafu
📌Kutibu ngozi ya kichwa k**a ina vipele au vijeraha vidogo vidogo
📌Kuondoa mlundikano wa uchafu wa mabaki wa futa uliyotumia
Hivyo basi unapochagua shampoo hakikisha inauwezo wa kukabiliana na changamoto hizo na zaidi
Ngozi yako ya kichwa inapokuwa safi inarahisisha ukuaji wa nywele zako.
Yise black soap shampoo ndio suluhisho pekee litakalo maliza shida zote kwenye nywele zako.
Kumbuka Yise black soap shampoo ni shampoo ya asili kabisa salama kwa nywele zako
☘️Inasafisha nywele vizuri
☘️Inaondoa mba na miwasho
☘️Inalainisha nywele .
popote tunatuma Kwa gharama za mteja wetu 📞 0767 233 877/WhatsApp
08/02/2021
Shampoo ni kitu muhimu sana katika safari ya utunzaji nywele zenye dawa na zisizo na dawa.katika utunzaji wa nywele,hatua ya kwanza hakikisha ngozi ya kichwa ni safi haina:-
📌Mba
📌Miwasho
📌Pia isiwe kavu
📌Pia kusiwe na mlundikano wa uchafu wa mapaki ya mafuta.
🌾Hivyo basi unapochagua shampoo hakikisha inauwezo wa kukabiliana na yote hayo niliyotaja hapo juu
🌾Yise black soap shampoo ndio shampoo pekee itakayokusaidia kuondoa kero zote hizo.Bei —— 18000/=Tsh 📞 0767 233 877 au WhatsApp .
🚚Popote tunatuma Kwa gharama za mteja wetu
06/02/2021
Hii “ Hair butter “ ni nzuri mno kwa nywele
•Inasaidia sana kukua kwa nywele
•Inaimarisha nywele
•Inazuia kukatika kwa nywele
•Inanyoosha nywele vizuri hasa ki pili pili
•Inazipa nywele unyevu nyevu unaohitajika kwa nywele
•Inalainisha nywele ngumu vizuri mno
Haina mipaka anatumia mwenye nywele za asili na hata nywele zenye dawa
Nisalama hata kwa watoto
🍃Anza kutumia bidhaa hii sasa, utanishukuru kwa matokeo utakayopata
Bei ni 30000/=Tsh
📞 0767 233 877
Popote tunatuma Kwa gharama za mteja wetu
05/02/2021
Mafuta mazuri sana kwa nywele.Yatakupa matokeo chanya kwa nywele zako na utazipenda sana.
🌿Yanaondoa mba
🌿Yanaondoa miwasho kichwani
🌿Yanarefusha nywele
🌿Yanalainisha nywele
🌿Yanazuia kukatika kwa nywele
🌿Yanarefusha na kujaza nywele Bei yake ni ——— 15000/=
📞— 0767 233 877 au WhatsApp
🚚popote tunatuma kwa gharama za mteja wetu.
03/02/2021
Tumekuongezea bidhaa nyingine za nywele.
📌Sasa tuna bidhaa zifuatazo :-
1.Black soap shampoo 250ml — 18000/=
2.Herbal hair oil 100ml ——15000/=
3.Herbal hair food 200g ——15000/=
4.Hair butter 250g —— 30000/=
5.Hair butter 150g ——20000/=☘️Bidhaa zetu zinatumika kwa nywele asili,pamoja na nywele zenye dawa.
☘️Bidhaa zetu hazina kemikali hatarishi kwa ukuaji wa nywele zako 🚚 Tunatuma popote kwa gharama za mteja wetu
📞 0767 233 877 au WhatsApp.
30/01/2021
Weekend ! 💃🏼💃🏼💃🏼
Umepangaje kuhusu kuhudumia nywele zako.
Tumia bidhaa ambazo zimetengenezwa kwa asili ili kupata virutubisho vinavyohitajika katika nywele zako. Na utafurahia ukuaji wa haraka kwa nywele zako.
Yisenatural muda si mrefu tunaongeza bidhaa nyingine kukurahisishia safari ya utunzaji nywele. Kaa tayari 💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼
29/01/2021
04/12/2020
Wewe mteja wetu usiyependelea mafuta ya maji,basi tumekuletea haya ya MGANDO
📌Yanaondoa mba na miwasho
📌Yanajaza nywele
📌Yanalainisha nywele
📌Yanazuia kukatika kwa nywele
📌Yanarefusha nywele
☘️ k**a bado hujaanza kutumia haya mafuta basi huitendei haki nywele yako 👌🏻
📞 / WhatSApp - 0767 233 877
☘️Utayapata kwa Tsh 15000/=
Popote ulipo yatakufikia
15/10/2020
Tumia yise herbal oil.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 21:00 |
| Tuesday | 08:00 - 21:00 |
| Wednesday | 08:00 - 21:00 |
| Thursday | 08:00 - 21:00 |
| Friday | 08:00 - 21:00 |
| Saturday | 08:00 - 21:00 |