Leegab Urembo Cosmetics Design company

Leegab Urembo Cosmetics Design  company

Share

Tunauza bidhaa zote za UREMBO Bei ya Jumla na Rejareja

BIDHAA NYINGINE KWA BEI NAFUU

17/09/2024

ACID MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA KATIKA VIPODOZI TUNAVYOVITUMIA
TUTAENDA KUONA MAMBO 3
1 AINA YA ACID
2.FAIDA NA MADHARA YA KILA MOJA
3.MATUMIZI SAHIHI YA KILA MOJA

1.AINA ZA ACID
1A. ALFA HYDROXY ACID(AHA)
Hii ni mojawapo ya acid inayopatikana katika vipodozi vingi tunavyovitumia na zipo aina nyingi za AHA ;

Lactic acid( mara nyingi inapatikana kwenye maziwa na mboga za majani)
Glycolic acid ( inapatikana katika miwa)
Malic acid( kwenye apple)
Citric acid( kwenye vyakula vyenye asili ya limao chungwa)
Tartaric acid( inapatikana kwenye zabibu)

NB AHA maarufu zaidi ni lactic acid na glycolic acid) most common

FAIDA ZA AHA AU MATUMIZI YAKE AU AHA INASAIDIA NINI?

1. KUONDOA SELL ZILIZOKUFA ( EXFOLIATION)

2.KUPUNDUZA AU KUONDOA ALAMA NYEUSI K**A MELASMA , AGE SPORTS AND SUN DEMAGE

3.INAONDOA AU KUPUNGUZA ALAMA ZA KUZEEKA KWA NGOZI K**A VILE VIMSTARI NA MAKUNYAZI

4.ONDOA CHUNUSI , hii ni kwa kuondoa ngozi ikiyokufa na kusababisha kuziba kwa tundu za kutolea uchafu hivyo kusababisha chunusi. AHA ni nzur sana kuzubua matundu ya kutolea uchafu

5 . INAFANYA NGOZI KUWA NYORORO NA LAINI. Inaondoa mikwaruzo kwenye ngozi

UNAWEZA KUJIUNGA KWENYE GROUP LETU LA AGELESS SKIN SOLUTION LINK HAPO CHINI

31/08/2024

TONER NI NINI?
TONER ni bidhaa ya ngozi inayopakwa Mara tu baada ya kusafisha ngozi

KWANINI TUNAPAKA TONER
1.Tuna paka toner ili kusafisha ngozi ya ndani kwani toner huwa nyembamba mno na rahisi kupenya ndani ili kuondoa uchafu wowote uliziba vitundu vya ngozi
2.Toner ndio huondoa sumu na mabaki yyt yalioachwa na cleanser au sabuni KATIKA ngozi
3.toner ndio kitu pekee chenye kuhakikisha NGOZI ni safi hivyo kuruhusu chochote unachopaka hakikutani na mabaki yyt
4.Toner ndio husawazisha kiwango Cha asidi ya asili katika NGOZI(PH)
5.Toner hupunguza ukubwa was vishimo katika NGOZI K**a vimetanuka,
6.Toner hufanya NGOZI kuwa laini mno

NB: TONER NDIO MLINZI WA NGOZI NA NDIO HUTUMIKA KUKUSANYA SUMU ZOTE NA KUZIONDOA NDANI YA NGOZI.
KARIBU TUKUPATIE TONER KULINGANA NGOZI YAKO

AINA ZA TONER
Tutazungumzia aina tatu za TONER

1. Hydrating Toner
• Hii ni aina ya Toner inasaidia sana kwa wale watu ambao uso hupauka baada ya kuuosha, uso ukak**aa, wale wenye ngozi kavu pia wenye sensitive skin

• Husaidia kuupa uso unyevu na kuruhusu products utakazotumia baada ya toner kufanya kazi kwa haraka na urahisi zaidi.

• Aina hii ya Toner unaweza kutumia kila siku (asubuhi na jioni)

2. Exfoliating Toner
• Hizi mara nyingi zinakua na active ingredients k**a AHA & BHA
• Inasaidia kutoa ngozi iliyokufa (dead skin calls)
• Inasaidia kuzibua uchafu kwenye pores
• Zinawafaa sana watu wenye ngozi za mafuta,chunusi na vipele.

MATUMIZI: Mara 2 hadi 3 kwa week.

3. Treatment Toner
• Hizi ni zile toner ambazo zinakua na Active ingredients ya kutibu kitu fulani mfano makovu, fine lines & wrinkles, vipele etc
• Hizi zinafaa ngozi zote kutokana na shida yako

MATUMIZI: Inategemea na malekezo ya kwenye product

NB: TONER NDIO MLINZI WA NGOZI NA NDIO HUTUMIKA KUKUSANYA SUMU ZOTE NA KUZIONDOA NDANI YA NGOZI.

Photos from Leegab Urembo Cosmetics Design  company's post 13/04/2022

35000TSH

GAUNI OUALITY SANA

DIFFERENT SIZE

CALL 0659322657

WHATUP 0764947519

TUNAFANYA DELIVERY DAR NA MKOANI

NB UAMINIFU NDIO SIRI YA MAFANIKIO

KUONA BIDHAA ZAIDI WHATUP GROUP👇👇👇👇

https://chat.whatsapp.com/ILYsE9rFIJiLja7GJUYGEG

29/03/2022

38,000/= TSH COTTON NZITO
M- XXL

24/03/2022

55,000/= TSH

24/03/2022

55,000/= Tsh

24/03/2022

15000/=TSH

24/03/2022

15000/=Tsh

24/03/2022

15000/= TSH

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Dar Es Salaam