Leegab Urembo Cosmetics Design company
Tunauza bidhaa zote za UREMBO Bei ya Jumla na Rejareja
BIDHAA NYINGINE KWA BEI NAFUU
ACID MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA KATIKA VIPODOZI TUNAVYOVITUMIA
TUTAENDA KUONA MAMBO 3
1 AINA YA ACID
2.FAIDA NA MADHARA YA KILA MOJA
3.MATUMIZI SAHIHI YA KILA MOJA
1.AINA ZA ACID
1A. ALFA HYDROXY ACID(AHA)
Hii ni mojawapo ya acid inayopatikana katika vipodozi vingi tunavyovitumia na zipo aina nyingi za AHA ;
Lactic acid( mara nyingi inapatikana kwenye maziwa na mboga za majani)
Glycolic acid ( inapatikana katika miwa)
Malic acid( kwenye apple)
Citric acid( kwenye vyakula vyenye asili ya limao chungwa)
Tartaric acid( inapatikana kwenye zabibu)
NB AHA maarufu zaidi ni lactic acid na glycolic acid) most common
FAIDA ZA AHA AU MATUMIZI YAKE AU AHA INASAIDIA NINI?
1. KUONDOA SELL ZILIZOKUFA ( EXFOLIATION)
2.KUPUNDUZA AU KUONDOA ALAMA NYEUSI K**A MELASMA , AGE SPORTS AND SUN DEMAGE
3.INAONDOA AU KUPUNGUZA ALAMA ZA KUZEEKA KWA NGOZI K**A VILE VIMSTARI NA MAKUNYAZI
4.ONDOA CHUNUSI , hii ni kwa kuondoa ngozi ikiyokufa na kusababisha kuziba kwa tundu za kutolea uchafu hivyo kusababisha chunusi. AHA ni nzur sana kuzubua matundu ya kutolea uchafu
5 . INAFANYA NGOZI KUWA NYORORO NA LAINI. Inaondoa mikwaruzo kwenye ngozi
UNAWEZA KUJIUNGA KWENYE GROUP LETU LA AGELESS SKIN SOLUTION LINK HAPO CHINI
TONER NI NINI?
TONER ni bidhaa ya ngozi inayopakwa Mara tu baada ya kusafisha ngozi
KWANINI TUNAPAKA TONER
1.Tuna paka toner ili kusafisha ngozi ya ndani kwani toner huwa nyembamba mno na rahisi kupenya ndani ili kuondoa uchafu wowote uliziba vitundu vya ngozi
2.Toner ndio huondoa sumu na mabaki yyt yalioachwa na cleanser au sabuni KATIKA ngozi
3.toner ndio kitu pekee chenye kuhakikisha NGOZI ni safi hivyo kuruhusu chochote unachopaka hakikutani na mabaki yyt
4.Toner ndio husawazisha kiwango Cha asidi ya asili katika NGOZI(PH)
5.Toner hupunguza ukubwa was vishimo katika NGOZI K**a vimetanuka,
6.Toner hufanya NGOZI kuwa laini mno
NB: TONER NDIO MLINZI WA NGOZI NA NDIO HUTUMIKA KUKUSANYA SUMU ZOTE NA KUZIONDOA NDANI YA NGOZI.
KARIBU TUKUPATIE TONER KULINGANA NGOZI YAKO
AINA ZA TONER
Tutazungumzia aina tatu za TONER
1. Hydrating Toner
• Hii ni aina ya Toner inasaidia sana kwa wale watu ambao uso hupauka baada ya kuuosha, uso ukak**aa, wale wenye ngozi kavu pia wenye sensitive skin
• Husaidia kuupa uso unyevu na kuruhusu products utakazotumia baada ya toner kufanya kazi kwa haraka na urahisi zaidi.
• Aina hii ya Toner unaweza kutumia kila siku (asubuhi na jioni)
2. Exfoliating Toner
• Hizi mara nyingi zinakua na active ingredients k**a AHA & BHA
• Inasaidia kutoa ngozi iliyokufa (dead skin calls)
• Inasaidia kuzibua uchafu kwenye pores
• Zinawafaa sana watu wenye ngozi za mafuta,chunusi na vipele.
MATUMIZI: Mara 2 hadi 3 kwa week.
3. Treatment Toner
• Hizi ni zile toner ambazo zinakua na Active ingredients ya kutibu kitu fulani mfano makovu, fine lines & wrinkles, vipele etc
• Hizi zinafaa ngozi zote kutokana na shida yako
MATUMIZI: Inategemea na malekezo ya kwenye product
NB: TONER NDIO MLINZI WA NGOZI NA NDIO HUTUMIKA KUKUSANYA SUMU ZOTE NA KUZIONDOA NDANI YA NGOZI.
13/04/2022
35000TSH
GAUNI OUALITY SANA
DIFFERENT SIZE
CALL 0659322657
WHATUP 0764947519
TUNAFANYA DELIVERY DAR NA MKOANI
NB UAMINIFU NDIO SIRI YA MAFANIKIO
KUONA BIDHAA ZAIDI WHATUP GROUP👇👇👇👇
https://chat.whatsapp.com/ILYsE9rFIJiLja7GJUYGEG
38,000/= TSH COTTON NZITO
M- XXL
24/03/2022
55,000/= TSH
24/03/2022
55,000/= Tsh
24/03/2022
15000/=TSH
24/03/2022
15000/=Tsh
24/03/2022
15000/= TSH
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam