Afya bora tz
Huduma bora kwa ajili ya afya yako tunakujali
02/06/2023
Samahani Guys nimekuwa busy kidogo na ile njia ya kumsaidia Shangazi (Aunt) yangu kuondokana na maumivu ya mifupa kwa kupangilia vyakula maalumu, mazoezi na programu nilio waambia wiki iliyopita ..
Nilizan ingechukua zaidi ya wiki 3 hata mwezi ili kuondokana na maumivu hayo yaliyo msumbua muda mrefu lakin nimeshangaa na kufurahi tayari nimeweza kumsaidia na anatembee vizur kuliko mwanzo
Najua nitaweza kuwasaidia watu wengi kuondokana na maumivu hayo yanayo wasunbua zaidi ya haya kila wiki kwasababu tayari naona maendeleo mazuri sana ya Shangazi yangu
Anyway huo ndio mrejesho wangu ngoja niendelee kumsaidia zaidi
ILA K**A UNGEPENDA KUJUA ZAIDI NJIA HII YA KUONDOKANA NA MAUMIVU YA MIFUPA KWA URAHISI basi .. Unaweza kunichek whatsaap Sasahivi kwa KUBOFYA LINK Hapo chini 👇
https://chat.whatsapp.com/JZIDjmhmcIs2dHeO9zj2Nz
Hello guys nimeweza kumpatia Shangazi yangu (Aunt) njia rahisi zaidi ya kuondokana na maumivu ya mifupa kwa kupangilia vyakula vizur, mazoezi ya kutosha na programme Mbalimbali .
Nawala sio kutumia dawa za kupunguza maumivu
Nahitaji wiki 1 au 2 niweze kuona maendeleo yake kwanza
HALAFU NITARUDI KUPOST MREJESHO WAKE MUDA SI MREFU
08/05/2023
TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA WASUMBULIWAO NA
MAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)?
MSHAURI: +255745942389
➡▪Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti
Tatizo hili huweza humpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kuk**ata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.
Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu na mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa na kuruka.
SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA (mifupa kwa ujumla)
1.Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
2.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
3.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
4.mawazo (stress).
5.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya mto.
MADHARA YA MAUMIVU HAYO NI K**A YAFUATAYO;
1.Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
2.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
3.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
4.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.
Habari njema ni kwamba baada yakufanya utafiti wa kina kwa mda mrefu sasa tiba imepatikana,tiba ya uhakika na ya haraka
Kwa matibabu ya haraka na sahihi wasiliana nasi,+255745942389
Utajipatia offer maalumu ya msimuu huu
Whatsap https://wa.me/c/255745942389
07/01/2023
Gout hii husababishwa na kiwango kikubwa cha Uric acid mwili
Je Uric acid tunazitoa wapi?1 Kwenye vyakula tunavyokula
2.Unri mkubwa hii hutokea pale ambapo cell nyingi zinakufa halafu mwili unakuwa hauna uwezo wa kuzitoa kwa wakati na kupelekea cell hizo zilizo kuga kutengeneza chemical inayoitwa purine hii huvunjwa na kuzalisha Uric Acid mwilini
MADHARA YAKE NI YAPI
👉HUUNGUZA MIFUPA NA KUFANYA KUPOTEZA UBORA
👉HUKAUSHA UTE KWENYE MAUNGIO
DALILI ZAKE NI ZIPI
👉MAUMIVU KWENYE MAUNGIO
👉 VIUNGO KUTOA MILIO KWENYE MAUNGIO
👉KUTOKEWA NA VIJIVIMBE KWENYE MAUNGIO
👉MIFUPA KUKOSA UBORA NA KUANZA KUSAGIKA
Kwa ushauri na maelekezo zaidi unawez kujiunga na group langu la Whatsaap link 👉👉👉👉https://chat.whatsapp.com/EG1TyDn96j81iVOHgxR8cd huwa natoa Masomo kila siku kwa undani zaidi na unakuwa free kuuliz maswali
Pia unaweza nipigia kwa namba 0745942389
TAZAMA NAMNA UNAVYOTAKIWA KUNYANYUA KITU CHA AINA YEYOTE matatizo ya maumivu pingili za mgongo; Mambo hayo ni k**a kumaintain uzito unsostahili,kulalia godoro gumu lisilobonyea, kukaa kwenye kiti kwa kuzingatia ukaaji mzuri kwa afya ya mgongo pamoja na sasa tazameni na muwe mnafanya hivo kwa maslahi mapana
KUTOKA CHINI Kumekua na ongezeko la watu wenye
ya mgongo, kiuno,magoti, kifundo cha mguu na kanyagio .Watu hawa wanakuaga na hitilafu kwenye pingili za mgongo, au kwenye
diski zilizopo kati ya pingili na pingili.. Pamoja na matibabu husika k**a
virutubisho,mazoezi maalum ya mgongo hua tunashauri watu hao wawe wanafanya mambo kadhaa ambayo yanalinda na kuimarisha afya ya
unyanyuaji wa vitu kitaalamu k**a hi clip inavyoonyesha.
ya mgongo wako,Unyanyuaji wa kwanza siyo sahihi unyanyuaji wa Pili ndio sahihi. Tafadhi washirikishe na wengine kwa maumivu ya mongo ni makali sana na kwa kumshirikisha ndugu yako na akawa anajali pingili zake kwa kuzilinda unaweza kua umemuondolea maumivu makali ya mgongo.
Comment
Ushauri
0745942389
23/12/2022
Disc buldge
Hi Hali ya kukandamizwa kwa mishipa ya
fahamu(nerves). Inaweza kufanana na disc herniated.
Hii disc bulge inatokea Kati ya pingili ya juu na chini inapo sababisha disc kugandamiza.
Hii Hali inaweza kusababisha Ute kupunguza na kitendo hiki kinaweza kuendelea na kadri umri unavyozidi kwenda ndio tatizo linakuwa kubwa.
Madaktari huwa wanashauri matibabu ya muda mrefu na muda mfupi hutegemea na muda wa tatizo lenyewe.
Dalili
✔kukaza kwa misuli
✔kuchoka na kupata ganzi za miguu
✔kupunguza uwezo wa maungio na mguu kufa ganzi.
✔kutembea kwa shida
✓ sciatica
17/11/2022
Bulging Disc
Hi Hali ya kukandamizwa kwa mishipa ya fahamu(nerves)
Hali hiyo huleta maumivu makali ya mgongo au
kuwaka Moto
Pia maumivu hayo upelekea ganzi mwilini
Usikubali kukaa na tatizo kwasababu linakua kubwa zaidi.
K**a unatatizo unaweza kupata suluhisho
kwa ushauri na suluhisho kamili wasilian nasi kwa
0745942389
17/11/2022
JE MAUMIVU YAKO YA MGONGO YAPO KWENYE KIUNO NA NYONGA? K**a Maumivu yako yapo sehemu ya Kiuno na nyonga ujue disc aina ya Lumber (L1-L5) kuna mahali kuna shida. DALILI ZA SHIDA HIYO
Maumivu huanzia kiunoni hushuka kwenye
Tako,
Miguuni na kupelekea Ganzi
kupata k**a vichomi au shot kwenye miguu.
Miguu kuishiwa nguvu na kuhisi mizito.
MADHARA YA SHIDA YA KIUNO NA NYONGA NI
Upelekea kushindwa kufanya tendo la Ndoa kiufaSaha # hasa mwanaume
Hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya
mwili
Upelekea kufa Ganzi kwa viungo mwilini
Hupelekea kufika kileleni mapema wakati wa tendo la Ndoa na kushindwa kurudia
Unaweza kishindwa kutembea kabisa,kunyanyuka,inafikia hatua mtu anakuwa analala tu mda wote(Stroke)
Maumivu kuzidi kusambaa mwili mzima hasa sehemu zenye joint/ maungio
Mwanaume Kushindwa kumpa mimba mwanamke
Mwanamke kushindwa kupata mimba au
kujifungua kawaida Kupoteza maisha
SULUHISHO LIPO LITAKALOKUPA KUPONA KABISA
Wasiliana nasi kwa +255745942389
09/11/2022
Bado Unaweza Fanya Choice Yani Chaguzi Utumie Chakula K**a Dawa Now Au Utumie Dawa K**a Chakula Maisha Yako Yote Anza Now Kujali Afya Manya Mazoezi, Kula Vizuri K**a Unauzito Mkubwa Punguza Maana Magonjwa Yasioyo Ambukizana Mengi Pressure, Sukari Na Utakula Dawa Kwa Maisha Yako Yote Kipi Garama
Now Jali Afya Yako
Kwa ushauri zaid
https://chat.whatsapp.com/EG1TyDn96j81iVOHgxR8cd
0745942389
09/11/2022
UFANYAJI WA MAZOEZI BILA KULINDA MIFUPA KWA UMAKINI KUNA ADHARI KUBWA YA KUPATA CHANGAMOTO ZA MIFUPA K**A KUISHA KWA UTEUTE ,KULIKA KWA GEGEDU NA MIFUPA KUANZA KUSAGIKA
FANYA MAZOZI KIASI,FATILIA MLO KAMILI WA KULINDA MIFUPA WENYE MADINI MUHIMU KATIKA MWILI WA MWANADAMU
KWA WENYE CHANGAMOYO YA MIFUPA TAYARI HAKIKISHA UNAFANYA MAZOEZI UKIAMBATANISHA NA VIRUTUBISHO MUHIMU VYENYE MADINI YA KUIMARISHA MIFUPA NA KUTATUA CHANGAMOTO INAYOKUSUMBUA
KWA USHAURI NA MAFUNZO ZAIDI https://chat.whatsapp.com/EG1TyDn96j81iVOHgxR8cd
0745942389
09/11/2022
🔴 VIJUE VYAKULA MUHIMU KWA AFYA YA MIFUPA NA MAUNGIO
Mifupa imeundwa kwa madini mbalimbali ikiwemo madini ya calcium na phosphorus kwa kiasi kikubwa hvyo ili uweze kuwa na mifupa imara unahitaji kula vyakula vyenye calcium na phosphorus kwa wingi.vyakula hvyo ni k**a ifuatavyo
⚫Samaki.
samaki wana madini k**a calcium ambayo ni muhimu katika mifupa pia mafuta ya samaki (omega 3 fatty acids) yana umuhimu sana katika afya ya mifupa pamoja na mfumo wa damu.
⚫Mboga za majani.
tunapata calcium na vitamin mbalimbali ambavyo vinaweza kuimarisha mifupa na viunga pia zina uwezo wa kuzuia vimeng'enya hatari vinavyoweza kusababisha kuvimba na maumivu katika viunga.
⚫Matunda.
baadhi ya matunda yana lycopene na anthocyanins na vitamin C ambazo huepusha madhaifu ya mifupa matunda hayo ni k**a machungwa, nyanya,limao, strawberries, ndizi mbivu nk
⚫Mafuta.
vyakula vyenye kiasi kikubwa cha omega 3 mfano mafuta ya parachichi na mafuta ya mzeituni
⚫Maharage.
baadhi ya maharage ni mazuri katika afya mifupa mfano maharage ya
soya,maharage meusi nk haya virutubisho ambavyo vinaweza kuimarisha mifupa.
⚫Maziwa.
maziwa yana calcium na vitamin mbalimbali ikiwemo vitamin D ambayo husaidia ufyonzaji mzur wa calcium.
⚫Mayai.
Haya yana madini mbalimbali ikiwemo calcium na vitamins kwa wingi hvyo husaidia kuwa na mifupa imara.
⚫Vyakula vyenye phosphorus ni k**a ndizi mbivu,apples, broccoli,maharage nk
Tumekuandalia virutubisho lishe vya asili vimeandaliwa kwa kiasi ambacho kinahitajika na mwili kwa ajili ya kuimarisha mifupa vina uwezo wa kumsaidia mtu anayesumbuliwa na mifupa na kusuluhisha tatizo lake. Kwa maelezo zaidi na kupata virutubisho tuma neno BONE SOLUTION WHATSAP +255745942389
09/11/2022
ZIFAHAMU DALILI ZA SARATANI YA MIFUPA NA UFUMBUZI WAKE.
IWAPO UTAONA DALILI YOYOTE KATI YA HIZI,CHUKUA HATUA MAPEMA KWANI UKIWAHI TATIZO LA SARATANI LINAWEZA KUTIBIKA HADI KUPONA.
wasiliana nasi 0745942389
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
ILALA BOMA
Dar Es Salaam