Binti Brembo
โฃ๏ธโฃ๏ธBrembo natural products๐๐ ni bidhaa asili kwa ajili ya kutunza na kuipa afya ngoz yakโฃ๏ธ
23/04/2022
Wapenzi karibun mitandio inaanzia bei 7000,8000,9000๐๐n.k pia mikoan tunatum mizig kwa uaminifu na tunauzaa jumlaa na rejrejaa๐ค pia ndalaa na pochi zote utapat kwa jumlaa na rejrejaa karbun saan tugawan fursaa hakuna kulala #0623786458
05/06/2021
Faster wahi inbobo tuyajenge mwari wangu, raha ya mwanamke ung'ae upendeze kila siku uonekane mwari kwa mumeo๐๐๐
Wenzio washaitwa wali ndani kutwa wanazid kua na bebi face...mmoja akanambia shoga ndoa soon danga limeamua kuongeza mke wa pili mama weeee bridal lotion inamiujiza yake shoga yangu upo?
Na k**a upo๐๐ KWAHUDUMA ZA BREMBO NIONE INBOBO TUYAJENGE KWA RAHA ZETU๐คธ๐คธ
๐0623786457/0676786458
18/05/2021
โ๏ธUnapoitaji kuwa na ngozi nzuri jua inahitaji matunzo popote pale uwepo ngozi inahitaji kulelewa k**a mtoto ili iwe yenye afya na mvuto๐๐๐๐๐mwendo wetu ni mmj tu 1skin 1colour ya kibrembo vua gamba ilooo marufuku kuwa na ngozi ngumu ๐๐๐vua gamba na kabaridi haka ukimaliza ujipake moisturizer oil na utamu wa Bibi unukie kibrembo zaidi๐๐๐ ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ komesha๐๐๐
๐ฏdeadskin
๐ฅsugu
๐weusi chini ya macho
โmakunyanzi
๐ฏweusi mapajani makwapani
๐ฅmichilizi
๐ฅvipele makalioni
Brembocoffeescrub TSH.18000
Brembo Moisturizer tsh 10,000.
14/04/2021
WHITENING LOTION
Ni lotiom yenye mchanganyiko wa vitamin A,vitamin C,mango butter
๐ Sifa ya mango butter Ni kufanya ngozi kuwa soft na ya kuvutia,kuipa ngozi unyevu na kutibu ngoz pia
๐ฅPia sifa ya vitamin C hung'arisha ngozi
๐Lotion hii huleta mn'gao na mwangaza kwenye ngozi yako
๐ฅYanaipa nuru ngozi yako kuifanya iwe laini,nyororo na nzuri
๐Ni lotion nzuri na inasaidia kupambana na mikunjokunjo na hivyo Basi kupelekea na ngozi kutozeeka na kuharibika
BREMBO WHITENING LOTION 30000
Wasiliana nasi 0623786458
14/04/2021
MAHITAJI
๐Brembo coffee scrub
๐Bridal lotion
๐Bridal oil
๐Lemon juice
๐Carbonate
MATUMIZI
Chukua brembo coffee scrub mix carbonate+ lemon juice kiasi tu osha sehemu yenye tatizo na upake huo mchanganyiko Kisha usugue iyo sehemu kwa dk 10 sizidi apo,tumia maji baridi ya frijini kunawa sehemu hiyo hii itasaidia kuikaza ngozi maana michirizi hutokea ikiwa muscle relaxer sasa nawia maji baridiiii ili ziwe zimekaza baada ya kufanya ivyo chukua kipande Cha barafu fanya k**a unamassage hiyo sehemu na barafu Hilo polepole ukesha chukua brembo bridal oil paka ya kutosha mnooo sehemu hiyo na Hakikisha ya kutosha na ikikauka tu paka Tena hiyo sehemu usisubiri mpk uoge ndio uipake wewe Hakikisha mda wote sehemu ya michirizi iko nyevu( moisture) pia juu ya bridal paka bridal lotion ili k**a pengine michirizi yko ni ya rangi ( meusi,dhambarau) itangarishwa na zile rangi zitapotea.
NB:
๐hili zoezi fanya wiki mbili mfululizo na nakuomba usiluke stage yeyote chochote nilichokielezea kifanye uvivu ndio huwaga unawaangusha unafanya kitu kwa mood utachelewa nyonyo๐.
๐Sehemu yenye michirizi pekee ndio utafanyia scrub wiki (2) mfululizo uko kwengine fuata maelekezo ya utumiaji wa hiyo scrub.
KWA HUDUMAA BREMBO CALL ME #0623786458
14/04/2021
Mabrembo michirizi imekuwa ni janga mama karibu kwa watu wengi wengi huwa wanateseka na tatizo Hilo pasi kujua haswa kipi kilichomsababishia kukumbana na hali hiyo!!!? Pia mabrembo inakubidi ujue chanzo Cha michirizi yko hii itakusaidia haswaa kujua namna/ jinsi ya kulitibu tatizo Hilo.
JE michirizi ni Nini haswa??????
MICHIRIZI
Hii ni misuli midogomidogo ambayo hupanda juu ya tabaka la ngozi Kisha kuipasua hiyo ngozi kutokana na ukavu wa mahali husika( ngozini)
๐ SABABU ZA KUPELEKEA MICHIRIZI:
- Allergy
-Balekhe
-Kutanuka kwa mwili
-Uzazi
-Matumizi ya vipodozi vikali.
MUENDELEZO โก๏ธโก๏ธโก๏ธโก๏ธ
KWA HUDUMA ZA BREMBO CALL ME #0623786458
14/04/2021
๐๐๐hayaaaa hayaaaa wapikaaa futariii mjeee hapaaaa๐คฃ๐คฃBrembo iko na jambo lenuu marufuk kupik ftari ukiwa na gambaaa kaa kitenge Cha javaa๐๐๐mwendo Ni mmojaa one skin one color๐๐๐mtoto wa mama mkwe ataelewaaaa tyu๐คฃ kwa hudumaa za brembo
Call 0623786458
14/04/2021
Wale wa kuuliza matokeo muda gani njooni hapa ๐ฃ๐ฃ๐ฃ๐ฃ๐ฃ๐ฃ๐ฃ nawaita kwa herufi kubwaaaaaaa njoooni ๐๐๐๐๐๐ haya hii hapa ukilala ukiamka imooooo ukishinda ukilalaa imooooo unapata sabuni, lotion, na oil ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ oh matokeo muda gani mie nasema bridal ni leo leo kila ukijipindua imoooooo โบโบโบโบโบ ukilala ukiamka vimeumanaaaaaa ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ magamba na bridal ni kuuumana tuuuuuu ๐๐๐๐๐๐
Bridal set Tsh. 148000 yenye๐๐
Bridal oil
Bridal soap
Bridal lotion
Brembo coffee scrub
Unapata lotion ya kupaka mwl mzima (unapaka mchana)
Sabuni ya mwili mzima
Na oil ya mwli mzima (unapaka usiku)
Coffee scrub Mara moja kwa week usoni na mara tatu kwa week mwilini
Tupigie #0623787458
What'sup #0623787458
Tunakufanyia delivery
13/04/2021
GAID K**A GAIDI๐๐๐๐๐K**A.HAUNA UYU NYUMBANI KWAKO UNAIKOSESHA HAKI ZA MSINGI NGOZI YAKO๐๐๐๐
NGOZI NZURI YAHITAJI KUFANYIWA SCRUBING ILI IWEZE KUGLOW NA LOTION IWEZE KUFANYA KAZI KWA HARAKA
HAKUNA NGOZI INAYOGLOW BILA KUFANYIWA SCRUB
HAPA MWENDO NI KUVUA GAMBA UNABAKIA 1SKIN 1COLOUR๐๐๐๐๐๐๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅMARUFUKU KUWA NA NGOZI NGUMU ๐๐
BREMBO COFFEE SCRUB TSH.18000
CALL #0623786458
WHATSUP #0623786458
TUNAPATIKANA STAND NDOGO BARABARA YA MIAMI OPPOSITE NA STERIO HOTEL
WE DO DELIVERY
13/04/2021
Wale wa kulalamika kila sikuuu Oooh kila lotion upakayo inagoma๐๐๐๐shoga angu ondoa deadskin kwanza kwa kutumia brembo coffee scrub ili ukija kupaka lotion ikute ngozi iko Safi na tayari kwa kupokea lotion
Komesha ๐๐๐
๐chunusi
๐ฅฅmadoa
๐ฅdeadskin
๐ฅsugu
๐งmakunyanzi
๐ฅweusi kwapani
๐michilizi
Brembo' coffee scrub 18,000/=
WHAT'SUP me #0623786458
Call me #0623786458
kwa ushauri juu ya ngozi na nywele๐๐๐
delivery ipo pia ndani na nje ya TANZANIA
Napatikana stand ndogo barabara ya Miami opposite na sterio hotel utaona viatu vimepagwa kibarazani ingia ndani duka la pili kutoka kushoto utakuwa umefika
12/04/2021
Ngozi matunzo ngozi malezi๐๐๐๐๐Hari ya hewa inakuhusu kupaka bridal oil ili kuipa ngozi unyevu๐๐๐๐๐Ila kupaka utramu wa Bibi๐๐๐๐๐๐๐๐๐Mambo weraaa weraaaa๐๐๐๐๐๐mwendo wa kunukia kuanzia kwapa Hadi kwa bi mkole๐
๐
๐
๐
๐
๐
๐
๐
๐
๐
๐
๐๐๐๐๐weee mwendo ni mmj hatoki mtu ndani๐๐๐๐
๐
๐
๐
๐
๐
๐
๐
Utamu wa Bibi TSH.5,000
BRIDAL OIL TSH.30,000
CALL ME GAIDI WA NGOZI KISWASWADU (0782-497043)
๐MAWAKALA๐ฏ
0623-786458-TANDALE/MAGOMENI
+25775986932/BURUNDI
0715-693442/KIBAHA/MLANDIZI
0719-793010/MPANDA/KATAVI
0719-671744-g/mboto
0688-061563/MUSOMA
0712-881988/k.koo/posta
0683-622080/KAWE/MSASANI
0678-227992/MZUMBE UNV(MORO)
0753-353496/IRINGA
0623-807804-BUZA/MBAGALA
0717-510-660-SINZA/MBEZI
0744-241518/BAGAMOYO
0682-802078/MAJI CHUMVI
0687-946134-G/MBOTO/PUGU
0717-813688/MWANZA
0654-800082-MABIBO/UBUNGO
0745-384-203 ILALA/BUGURUNI
0755925837/0620889070/SHINYANGA
0754-948402-MABWE PANDE
0763-984433-MIKOCHENI
0624-221013-SUMBAWANGA
0658-985-815/GOBA/MBEZI BEACH
0718-542313-MAKONGO JUU
+254-780-333-923-MOMBASA/NAIROBI
0755-219-443-TABORA
0717-813-688-MWANZA
0717-694234-TABATA/SANENE
๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
0688-847-443/MBAGALA/BUZA
0713-140506-SINGIDA
0774-863-330-ZNZ
0624-659-770-ARUSHA
0753-799920-KIGOMA
0719-061328-SONGEA
0753-910-105-MOSHI
๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
0769-974-548-MBEYA
0787-194-619-IRINGA
0713-536-999-CHANIKA/PUGU/AIRPORT
0687-946134-MIKOCHENI/MSASANI/KINONDONI
0784-486945-TANDIKA/TEMEKE
๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
0621-989-258-KIGAMBONI
0773-208-707-ZNZ
0679-668-557-MUSOMA
0713-872-078-MOROGORO
0782-167878-DODOMA
0672-870-777-TABATA/KINYEREZI
๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
0717-446-884-DODOMA
0623-786-458-TEGETA/BUNJU
๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
0769-117-154-SONGWE
0712-505-523 MTWARA
0716-887-285-TANGA
0769-399-204-NJOMBE
0683-287-079-MTWARA
0717-348-036/TANGA
0713101112-KIMARA/BARUTI/KOLOGWE
0655-234-904-KIJITONYAMA
๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
0715693442-MAHENGE/IFAKARA
0719-091-969-UDOM UNIVERSITY
0758-127-547-MIPANGO UNIVESTY
0658195650-HOROHORO
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam