Julius Nyakangara
Health, beauty, and home care products
17/10/2022
DALILI ZA HOMA YA ( )
By; Dr. Julius Nyakangara 0625909390.
DALILI
Maumivu wakati wa kukojoa, joto la mwili kupanda, homa, na majimaji yasiyo ya kawaida kupitia njia ya mkojo.
HOMA YA GAFRA (acute) YA ; - Maumivu sehemu za chini za uume. Maumivu katikati ya korodani na njia ya haja kubwa, homa na kuhisi baridi. Maumivu ya nyonga nasyhemu ya chini ya uti wa mgongo. Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa. Hamu ya kukojoa isiyo isha, na mkojo una kuwa na maumivu. Wakati Fulani mkojo unaweza usitoke, lakini kibofu kikawa kimejaa. Maumivu na uvimbe nyuma ya korodani. Usaha unaweza kutunga ndani ya tezi dume, na mkojo ukatoka k**a unachoma na unaweza kuambatana na usaha au damu.
HOMA SUGU (chronic) YA TEZI DUME; - Tezi dumme sugu inaweza isiwe na dalili yoyote. Na k**a zinatokea, bassi hujitokeza moja baada ya nyingine. Hamu ya kukojoa mara kwa mara mkojo unao choma, mkojo ulio changanyika na damu, maumivu ya uti wa mgongo, na maumivu wakati wa kumwaga mbegu za kiume. Damu inaweza kuchangamana na shahawa. Hartimaye mwanaume anapoteza nguvu za kiume. Taratibu pia inakuwa ngumu kupata mkojo, pia kuna maumivu na uzito sehemu ya chini ya uume, ndani ya korodani, nyonga na kiuno.
SABABU
Homa ya tezi dume (prostatitis) ni uvimbe wa tezi dume. Inaweza kuwa ya gafra au sugu. Ile ya gafra inasababisa dalili kali na za gafra ambazo zinaweza kukaa kwa muda mfupi. Lakini homa sugu inaweza kusababisha dalili za wastani (mild) kwa muda mrefu; nani ngumu sana kutibu. Aina zte hizi huwapata sana wanaume kati ya miaka 30- 50 walio sexually active. Lakini pia inaweza kuwapata wanaume wa lika zote. Na hili ( ) ndilo tatizo la tezi dume linalowapata wanaume wengi.
Sababu kuu ya homa ya tezi dume ni uambukizo wa bakteria ambao wamesambaa kutoka kwenye njia ya mkojo hadi kwenye tezi dume. Lakini pia inaweza kusababishwa na magonjwa ya zinaa.
Uvimbe huu unakwenda kuziba njia ya mkojo; na hii hupelekea bakteria kuzaana kwa wingi. Lakini pia mabadiliko ya homoni kwa sababu ya umri unaweza kuchangia hili.
Mkojo ukishindwa kutoka vizuri, kibofu cha mkojo hutanuka, kuwa dhaifu na kulegea na hivyo kuwa rahisi kushambuliwa. Pia maambukizi yanaweza kupita kwa urahisi na kufika kwenye ureta na hadi kwenye .
TIBA;
i. Kula chakula bora, matunda, mboga za majani, nafaka nzima, mbegu na njugu (nuts)
ii. Jiepushe na vyakula vyenye viungo vingi (spicy foods), msongo wa mawazo, ssigara na pombe. Epuka nyama.
iii. Kumbuka tezi dume inatibika bila upasuaji k**a ukipata msaada mapema na hivyo kuepuka kupata tezi dume sugu na hatimaye kutengeneza saratani ya tezi dume.
iv. Kumbuka tibayoyote lazima iwe chini ya mtaalamu wa afya, hivyo unaweza kunitafuta kwwa namba zangu hapo juu nikakusaidia
17/10/2022
DALILI ZA HOMA YA ( )
By; Dr. Julius Nyakangara 0625909390.
DALILI
Maumivu wakati wa kukojoa, joto la mwili kupanda, homa, na majimaji yasiyo ya kawaida kupitia njia ya mkojo.
HOMA YA GAFRA (acute) YA ; - Maumivu sehemu za chini za uume. Maumivu katikati ya korodani na njia ya haja kubwa, homa na kuhisi baridi. Maumivu ya nyonga nasyhemu ya chini ya uti wa mgongo. Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa. Hamu ya kukojoa isiyo isha, na mkojo una kuwa na maumivu. Wakati Fulani mkojo unaweza usitoke, lakini kibofu kikawa kimejaa. Maumivu na uvimbe nyuma ya korodani. Usaha unaweza kutunga ndani ya tezi dume, na mkojo ukatoka k**a unachoma na unaweza kuambatana na usaha au damu.
HOMA SUGU (chronic) YA TEZI DUME; - Tezi dumme sugu inaweza isiwe na dalili yoyote. Na k**a zinatokea, bassi hujitokeza moja baada ya nyingine. Hamu ya kukojoa mara kwa mara mkojo unao choma, mkojo ulio changanyika na damu, maumivu ya uti wa mgongo, na maumivu wakati wa kumwaga mbegu za kiume. Damu inaweza kuchangamana na shahawa. Hartimaye mwanaume anapoteza nguvu za kiume. Taratibu pia inakuwa ngumu kupata mkojo, pia kuna maumivu na uzito sehemu ya chini ya uume, ndani ya korodani, nyonga na kiuno.
SABABU
Homa ya tezi dume (prostatitis) ni uvimbe wa tezi dume. Inaweza kuwa ya gafra au sugu. Ile ya gafra inasababisa dalili kali na za gafra ambazo zinaweza kukaa kwa muda mfupi. Lakini homa sugu inaweza kusababisha dalili za wastani (mild) kwa muda mrefu; nani ngumu sana kutibu. Aina zte hizi huwapata sana wanaume kati ya miaka 30- 50 walio sexually active. Lakini pia inaweza kuwapata wanaume wa lika zote. Na hili ( ) ndilo tatizo la tezi dume linalowapata wanaume wengi.
Sababu kuu ya homa ya tezi dume ni uambukizo wa bakteria ambao wamesambaa kutoka kwenye njia ya mkojo hadi kwenye tezi dume. Lakini pia inaweza kusababishwa na magonjwa ya zinaa.
Uvimbe huu unakwenda kuziba njia ya mkojo; na hii hupelekea bakteria kuzaana kwa wingi. Lakini pia mabadiliko ya homoni kwa sababu ya umri unaweza kuchangia hili.
Mkojo ukishindwa kutoka vizuri, kibofu cha mkojo hutanuka, kuwa dhaifu na kulegea na hivyo kuwa rahisi kushambuliwa. Pia maambukizi yanaweza kupita kwa urahisi na kufika kwenye ureta na hadi kwenye .
TIBA;
i. Kula chakula bora, matunda, mboga za majani, nafaka nzima, mbegu na njugu (nuts)
ii. Jiepushe na vyakula vyenye viungo vingi (spicy foods), msongo wa mawazo, ssigara na pombe. Epuka nyama.
iii. Kumbuka tezi dume inatibika bila upasuaji k**a ukipata msaada mapema na hivyo kuepuka kupata tezi dume sugu na hatimaye kutengeneza saratani ya tezi dume.
iv. Kumbuka tibayoyote lazima iwe chini ya mtaalamu wa afya, hivyo unaweza kunitafuta kwwa namba zangu hapo juu nikakusaidia
05/10/2022
SABABU ZA MARA KWA MARA
(SPONTANEOUS OR )
By; Dr. Julius Nyakangara 0625909390.
DALILI
Kitoto kinatolewa nje ya mwili wa mama kabla ya muda sahihi wa kujifungua. Na hii hutokea kabla ya wiki ya 20 ya ujauzito au miezi 5 ya ujauzito.
SABABU.
Sababu inaweza kuhusisha shingo ya kizazi kuto kufunga vizuri (cervical incompetence), mimba kutunga nje ya tumbo la uzazi, kuachia kwa kondo (abraptio placentae), kondo (placenta) kujishikiza kwenye shingo ya kizazi. Pia tofauti ya vinasaba kati ya mama na mtoto inaweza kuchangia.
Sababu nyingine inaweza kuwa mawazo, homa na kifafa cha mimba (pregnancy-induced hypertension).
Lakini sababu inayochangia sana na mara kwa mara mimba kuharibika ni lishe duni (malnutrition).
Kuona damu ukiwa mjamzito inapaswa kuchukuliwa k**a dharura, mana inayonyesha kwa mimba inataka kutoka, hivyo muone mtaalamu wa afya.
KINGA/ TIBA
i. Kwa kuwa sababu kuu ni lishe, mama mjamzito lazima apate ( ) zinazotoa VITAMIN, MADINI MUHIMU na PROTINI, kwa musaada zaidi namna ya kupata tiba hii nitafute nitakusaidia.
ii. Kumeza vidonge vya madini ya chuma, huzuia ufyonzwaji wa Vitamini E, hivyo kusababisha mimba kutoka. Hivyo usimeze vidonge vya madini ya chuma yakiwa peke yake.
iii. Ni muhimu sana mama mjamzito apate supplements zenye vitamini na madini kwa ukamilifu, apate lishe nzuri na kuepuka vyakula vya ovyo (junk foods)
iv. Achana na ushauri kuwa unaeza ukala chochote unachokitaka. K**a ni chakula cha ovyo acha. K**a ni chakula chenye afya na unakitamani kula. Ukipungukiwa madini ndipo unapata hamu ya kutaka vitu vyenye sukari, chokoleti, udongo nk.
v. Ili kuzuia mimba nyingine isihribike, anza kula chakula chenye afya miezi sita kabla ya kupanga uzazi mwingine.
vi. Epuka kuvuta sigara, au kuwa karibu na wanaovuta. Wavutaji wana hatari mara mbili ya mimba kuharibika, na wakizaa watot wao wanakuwa na uzito mdogo. Usifanye X-Ray yoyote hata k**a ni ya jino.
vii. Kunywa kahawa hasa katika miezi mitatu ya mwanzo kunaweza kusababisha mimba kuharibika
viii. Kwa msaada zaidi kuhusu tiba na ushauri unaweza kunitafuta kwa namba zangu hapo juu.
04/10/2022
ZA (Uambukizo kwenye via vya uzazi)
By Dr. Julius Nyakangara 0625909390
DALILI
Kukosa hamu ya chakula, kichefuchefu, homa, kuhisi baridi, maumvu ya mwili, mapigo ya moyo kwenda mbio, wakati fulani kutoka damu uukeni. Unapata maumivu makali upande wa kushoto n kulia wa tumbo. Hata kujisaidia haja kubwa au ndogo huongeza maumivu.
Mara kwa mara kuna maumivu makali ya tumbo yanayoisha k**a maumivu ya kawaida ya tumbo kubana (maumivu k**a ya hedhi inayoanza). Maumivu yanaweza kuambatana na kuhisi baridi, homa na majimaji ukeni yenye harufu mbaya, yanaweza kuwa na rangi ya njano au kijani. Wakati fulani hata kutembea tu huamsha maumivu makali. sugu inaambatana na maumivu yasiyoisha ya nyonga mpaka kwenye kinena (lower pelvic area), na maumivu haya huwa makali wakati wa tendo la ndoa. Kuwa makini na maumivu ya tumbo la chini yanayo ongezeka wakati au baada ya kutembea.
SABABU
PID ni uambukizo wa mirija ya uzazi, mifuko ya mayai (ovaries), na viungo vinavyozunguka via vya uzazi. Sababu kubwa ni uambukizo ulio katika tumbo la uzazi. Hutokea mara kwa mara kwa wanawake rika la miaka 15-25, n ani tatizo linalofanya wanawake wengi kuumwa sana hata kulazwa (hospitalization). Japo pia wapo wanawake ambao hawapati maumivu makali licha ya kuwa na PID.
Japo kutoa mimba kunaweza kusabaisha ( ), lakini PID ni kisababishi kikubwa cha ( ) kwa wanawake. Shambulio moja la PID husababisha ( ) kwa 15%
Athari nyingine ni maambukizi ya mara kwa mara (UTI, magonjwa ya zinaa “kaswende, kisonono”) na mimba kutunga nje ya tumbo la uzazi.
Inaaminika kuwa asili kuu ya hili tatizo ni mazingira yasiyo ya usafi wakati wa tendo la ndoa.
Sababu nyingine ni matumizi ya kitanzi ( ). Tatizo hili limeonekana mara nne Zaidi kwa wanaottumia kitanzi k**a uzazi wa mpango.
ni sababu nyingine hasa k**a haijafanywa kwa uangalifu. Utafiti moja uliofanywa 90% ya waliokuwa na maambukizi waalikuwa na kawaida ya kufanya , na walifanya hivyo tangu wakiwa na miaka 16 au 17.
Sababu nyingine ni kutawadha vibaya bada ya haja kubwa. Kutawadha kutoka mbele kuja nyuma ndiyo huzuia bakteria kupanda kwenye uke, shingo ya kizazi hadi kwenye via vingine vya uzazi.
TIBA
1. Kwa muda epuka matumizi ya sukari nyingi na mafuta mengi, epuka vyakula vya kukaanga (junk foods). Usitumie tumbaku, kahawa au pombe.
2. Funga kwa siku kadhaa ukila matunda na juisi za matunda.
3. Kwa kutuliza maaumivu, unaweza kukanda na maji ya moto kwenye tumbo la chini au unaweza kutumia hot water bottle au sauna belt.
4. Kila baada ya masaa manne, weka miguu yako kwenye beseni la maji ya moto, huku ukiwa umefunga kitambaa chenye vipande vya barrafu kwenye tumbo la chini kwa muda wa dakika 30, ikifuatiwa na mapumziko kitandani kwa muda wa nusu saa.
5. Kwa tiba kamili na ushaurri nitafute kwa namba zangu hapo juu. Nawapenda sana.
KINGA
• K**a do**he inafanyika basi mazingira ya usafi mkubwa yazingatiwe.
• K**a inawezekana, unaweza kujitahidi kuepuka kutumia kitanzi k**a njia ya uzazi wa mpango.
• Inatakiwa, kabla ya kukutana kimwili, mwenza wako aoshe mikono vizuri hasa ndani ya kucha na kukausha mikono kwa kitambaa kisafi. Pia inatakiwa aoshe sehemu zake za sirri vizurri kwa maji na sabuni. Na k**a anakupenda atafurahi kufanya hivyo. K**a hili halitafanyika, basi , MAABUKIZI KWENYE yatajitokeza. Kumbuka, inachukua wiki chache tu kwa kusababisha ugumba wa kudumu
• Epuka kufanya ngono zembe, au kuwa na wapenzi wengi.
03/10/2022
DALILI ZA KWENYE MAYAI YA UZAZI ( ***Y)
( , )
Dr. Julius Nyakangara 0625909390
DALILI
Maumivu ya tumbo, Maumivu ya mgongo, Maumivu ya nyonga, choo ngumu (constipation), shida ya kibofu cha mkojo, kuona damu muda mchache baada ya kumaliza hedhi, maumivu makali ya hedhi na damu kuchanganyika na mabonge ya damu au k**a vinyama. Kati ya 30% ya wenye tatizo hili pia hawaonyeshi dalili yoyote, lakini hawabebi mimba, au mimba huharibika au kutunga nje ya kizazi. Wanawake wengi wenye hili tatizo hawana uzao.
SABABU ZA ENDOMETRIOSIS, OVARIAN CYST.
Seli za tishu k**a ile iliyo katika tumbo la uzazi, inaweza kuota na kukua katika sehemu zingine zilizo karibu na mfumo wa uzazi, kwenye misuli ya nyonga, kibofu cha mkojo, njia ya haja kubwa, ututumbo mpana kwenye kidole tumbo (appendix) na kadharika. Ni mara chache kuota nje ya viungo vinavyozungukwa nyonga (outside pelvic area). Na kila hizi tishu zinaokuwa (settle) huathiriwa na homoni ya estrogen, hivyo kila mwezi zitatoa damu.
Endometriosis hugundulika kati ya miaka 30-40. Ina kawaida ya kurithishana kwenye familia. Tatizo hupungua wakati wa ujauzito au kunyonyesha, na wakati mwingine linaweza lisirudi tena. Pia linaweza kurudi na kudumu mpaka mwanamke anapokoma hedhi ambapo hukoma lakini likiacha alama za makovu sehemu lilipopita labda tu k**a mtu ametibiwa.
Athari za mara kwa mara za endometriosis ni kuto beba ujauzito au mimba kuharibika katika miezi ya mwanzo. Wanawake wengi wenye hili tatizo hawajawahi kubeba mimba mpaka kujufungua. Hata upasuajiwa ktoa kizazi hautatui tatizo k**a uvimbe umetokea nje ya mfumo wa uzazi.
Kuepuka ngono wakati wa hedhi hupunguza hatari ya kupata hili tatizo uvimbe kwenye mayai (endometriosis).
TIBA
i. Lishe lazima iboreshwe, lishe ya Matunda, mboga za majani, nafaka nzima, mbegu (mfano maharage), na Jamii ya karanga. Kula vyakula vingi visivyo vya kupikwa na vyenye nyuzi nyingi.
ii. Usitumie vitu vyenye kahawa, sababu hongeza maumivu. Sukari nyingi na unga mweupe huongeza tatizo.
iii. Ondoa vyakula vyenye homoni na antibiotic ndani yake.
iv. Kwa maelezo zaidi unaweza kunipigia kwa namba simu au wasap 0625909390 ili kupata msaada zaidi na mwongozo wa matibabu. Nawapenda sana.
28/09/2022
ZA , , NA
(By Dr. Julius Nyakangara 0625909390, 0767731068)
Karibu nusu ya wagonjwa hawaonyeshi dalili yoyote. Lakini hivi vivimbe vinaweza kusababisha kutoka damu nyingi kusiko kwa kawaida wakati wa hedhi, na kupata hedhi za mara kwa mara, lakini pia zinaweza kumzuia mwanamke asipate ujauzito. Dalili nyinginezo ni pamoja na kupungukiwa damu, maumivu ya mwili, kutokwa damu siku chache baada ya kumaliza hedhi, uchovu kwa sababu ya kupoteza damu nyingi, kuongezeka kwa uchafu (majimaji) unaotoka ukeni, kuona damu baada ya kushiriki tendo la ndoa.
Karibia nusu ya vivimbe vidogo vidogo havionyeshi dalili yoyote. Dalili za uvimbe kuwa mkubwa ni kupata hedhi inayotoka muda mrefu, inaambatana na maumivu makali, na damu inatoka nyingi.
Kutegemeana na mahali ilipo, uvimbe huu unaweza kusababisha maumivu kwenye mgongo, miguu au/na kwenye nyonga. Pia uvimbe unaweza kuleta mgandamizo kwenye kibofu cha mkojo au njia ya haja kubwa; uvimbe huu unaweza kuzuia mkojo kutoka, au hata mtu kukosa choo.
SABABU ZA FIBRROIDS (Fibroma, Polyps)
Fibroids ni usiokuwa wa saratani (cancer) ambao unakuwa taratibu ndani ya ukuta wa misuli ya tumbo la uzazi. huu una ukubwa tofauti kutoka kwenye ukubwa wa mbegu ya mtama, hadi kuwa kubwa kiasi cha kujaza tumbo la uzazi, na unaweza kuwa mmoja au kuwa zaidi ya mmoja. Uvimbe huu unakuwa umefunikwa na mfuko wa ngozi laini (fibrous connective tissue capsule). Uvimbe mkubwa unaweza kuathiri hedhi na hata kusababisha ugumba.
Uvimbe huu ni mara chache sana kuonyesha dalili zake kabla ya kufikisha miaka 30. Lakini baada ya miaka 30 dalili zake huanza kuwa wazi, huwapata hasa wa wanawake wa Kiafrika (weusi). 20%-30% wana hivi vivimbe hivi. Na fibroids, polyps au fibroma ndiyo uvimbe ambao mara nyingi hukutwa kwa wanawake. Aina ya dalili inayojionyesha inategemeana na mahali uvimbe ulipo. Inaweza kuleta mgandamizo na maumivu kwenye kibofu, haja kubwa, hata kuzuia mkojo na hivyo kuathiri figo.
K**a uvimbe huu haujaonyesha dalili yoyote usisumbuliwe, lakini ukionekana kuanza kukua lazima utibiwe.
K**a hedhi ina damu nyingi, na inatoka kwa kasi, uvimbe unaweza ukawa ni chanzo.
Vivimbe hivi havijitokezi kabla ya kuvunja ungo, na huwa vinaiacha kukua k**a mwanamke akikoma hedhi. Huwa vinakuwa kipindi ambacho kiwango cha homoni ya estrogen ni kingi mwilini.
Hivyo sababu za fibroids kuongezeka ukubwa ni “MIMBA, kutumia dawa za UZAZI WA MPANGO, au DAWA ZA KUREKEBISHA HOMONI (HRT)”
TIBA YA FIBROID (UVIMBE KWENYE KIZAZI)
1. Matumizi ya uzazi wa mpango huongeza uwezekano wa kupata huu uvimbe. K**a uvimbe umeonekana usitumie uzazi wa mpango wenye estrogen, maana hiki kichocheo huongeza kasi ya ukuaji wa uvimbe.
2. Zaidi ya 30% ya upasuaji wa kuondoa kizazi hufanywa kwa lengo la kuondoa huu uvimbe.Lakini upasuaji huu husababisha zahama kubwa kwenye vichocheo (homoni) vya mwili.
3. Upasuaji mbadala ni wa kuondoa uvimbe bila kuondoa kizazi (myomectomy). Ni kweli kwamba, kuna madhara makubwa yanayo ambatana na huu upasuaji, maana matokea yake siyo ya kudumu. Kwa Zaidi ya 50% uvimbe mpya utajitokeza.
4. Lakini ukifuata kanuni nitakazokupa, na msaaada wa tiba nitakayokuongoza, hautakuwa na uwezekano wa kupata uvimbe, na k**a una uvimbe utaweza kupona uvimbe huo bila upasuaji.
5. Mwenyezi Mungu anataka tuwe na furaha. Anatamani kuweka wimbo mpya katika ndimi zetu hata tuweze kumsifu. Hata wewe anaweza kukupa nguvu ya ushindi.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Address
Mbagala
Dar Es Salaam
0000
Opening Hours
| Monday | 07:00 - 13:00 |
| Tuesday | 07:00 - 13:00 |
| Wednesday | 07:00 - 06:00 |
| Thursday | 07:00 - 00:00 |
| Friday | 07:00 - 13:00 |
| Sunday | 07:00 - 22:00 |