Aloyce na afya777

Aloyce na afya777

Share

tatua changamoto za kiafya

18/05/2022

TUZUNGUMZE KUHUSU AFYA YA MIFUPA NA NA MAUNGIO (JOINTS )
0789272860
OSTEOARTHRITIS nitatizo la kuisha kwa gegedu (cartilage) au uteute(synovialfluid) katikati ya maungio(joints).
AINA_ZA_MAGOJWA_YANAYOSHAMBULIA_VIUNGO_NA_MIFUPA
👉osteoathrits
👉gaut athrits
👉 rheumatoid athrits etc.

SABABU
👉 umri kuanzia miaka 30+
👉ajali
👉uzito kupita kiasi nk
👉kupungua kwa virutubisho K**a vile glucoseamine mwilini
👉kutumikisha viungo kupita kiasi

DALILI
1.Maumivu kwenye magoti
*wakati wa kupanda ngazi au mlima au wakati wa kutembea
2.magoti kushindwa kujikunja
3.kusikia milio ya mifupa kusagana kwenye magoti na magoti kuchoma
4. Maumivu ya mgongo
5.kushindwa kuinama
6.kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni.

MADHARA
1. KANSA YA MIFUPA
2. KUSHINDWA KUTEMBEA KABISA
3.VIUNGO KULIKA KWA KIASI KIKUBWA

SULUHISHO_LIPO TUTAFUTE KWA NAMBA 0789272860

18/05/2022
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Ilala Dar Es Salaam
Dar Es Salaam