Mr.Nestory afya bora .

Mr.Nestory afya bora .

Share

BORESHA AFYA YAKO ILI KUWA IMARA ZAIDI ONDOA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME ,MATATIZO YA PRESHA NA MADONDA TUMBO PAMOJA NA KISUKARI.

TUMA UJUMBE AFYA YANGU KUJA WHATSAPP NO 0744052573 ILI KUPATA HUTUMA KWA HARAKA ZAIDI.

16/03/2023

Mwanaume Boresha Afya yako kwa kuzingatia Virutubisho lishe.. Call 0744052573

16/12/2022

*K**a wewe ni mwanaume Nina habari njema kwako👇

Ninasaidia wanaume kuboresha au kuongeza uwezo uwezo wao wa kushiriki vizuri tendo la ndoa kwa kutumia virutubisho

K**a wewe ni ( *mwanaume)* unayehangaika ku ( * kushindwa kufanya vizuri tendo la ndoa )* kwa kipindi kirefu bila ya kuona mafanikio basi nina habari nzuri mno.

Nimekuandalia darasa BURE kabisa Kupitia WhatsApp Lenye kukuonyesha .....

*Jinsi ya kuboresha uwezo wako wa kushiriki vizuri tendo la ndoa kwa kutumia virutubisho Bora kabisa)*

Kujiunga na Darasa Hilo Gusa LINK Hapa Chini

Https//wa.me/+255744052573

Ndani ya darasa hilo tutazungumzia yafuatayo:

1. Umhumu wa kufanya mazoezi.
2.Umhimu wa kutumia virutubisho lishe.
3. Darasa la vyakula na mazoezi..
4. Umhimu wa kupata mda wa kupumzika..

Kujiunga na Darasa Hili Gusa LINK Hapa Chini Kabla Group Halijajaa Kwani Hakutokua na Group Jingine....

https://chat.whatsapp.com/DL9Jkgac7nQA4genrStR7C

Ni mimi mwenye kujali mafanikio/afya yako....

MR. NESTORY
Au Nipigie simu moja kwa moja kupitia Namba 0744052573

23/05/2022

Dkt Abubakar Ahmad Tsafe, anasema mazoezi ya viungo ya aina ya Kegel ni mazoezi ya tiba.

Kegel ni aina ya mazoezi rahisi yaliyoandaliwa kwa ajili ya kuimarisha misuli ya nyonga na viungo vilivyopo chini yake kwa wanaume na wanawake.

Eneo hili la nyonga pia ni pamoja na katikati ya mifupa miwili ya miguu kunakoshikilia viungo vya uzazi vya mwanamke na mwanaume.

16/05/2022

UKWELI WA MAMBO NI KWAMBA....

💎K**a unakosa hamu ya tendo la ndoa una tatizo la nguvu za kiume

💎K**a uume hausimami barabara
una upungufu wa nguvu za kiume

💎K**a uume unasimama na kusinyaa kwa mda mfupi una tatizo la nguvu za kiume

💎K**a uume wako hulegea tu mara baada ya kuingia ukeni una tatizo la nguvu za kiume

💎K**a unasikia maumivu wakati wa tendo na wakati uume ukisimama una tatizo la nguvu za kiume

💎K**a unashindwa kutoa mbegu(shahawa) au unatoa mbegu nyepesi una tatizo la nguvu za kiume

💎K**a unafika kileleni mapema una tatizo kubwa la nguvu za kiume

▶️Umehangaika sana kupata suluhisho bila mafanikio? Karibu tukusaidie

Contact
0744052573

Whatsapp
+255744052573

KARIBU TUKUSAIDIE

11/05/2022

MADHARA YA MATUMIZI YA MATE KATIKA TENDO LA NDOA KWA MFUMO WA UZAZI WA MWANAMKE* •Mate ni mchanganyiko wa maji, uteute na kimeng'enya kinachofahamika k**a Ptyalin -Kazi ya maji yaliyo katika mate ni kuyeyusha chakula kinywani ili kiwe rahisi kumeza. Kinywa cha binadamu kimeundwa na mamia ya bacteria (oral micro flora) ambao ni rafiki kwa afya ya kinywa. Pia katika mfumo wa uzazi wa wanawake kuna aina ya bacteria(lactobuciluss bacteria) pamoja na Fungus (candida albicans) ambao ni rafiki kwa mfumo wa uzazi wa mwanamke. •Kumekua na matumizi ya sio sahihi ya mate wakati wa tendo la ndoa wapenzi wengi wamekua wakitumia mate k**a vilainishi. Matumizi ya mate k**a vilainishi ina madhara makubwa kwasababu unapochukua mate na kuyaweka katika uke unahamisha bacteria wanaopatikana katika mdomo na kuwaleta katika uke. Kumbuka hao ni aina tofauti za bacteria hivyo hawawezi kuishi pamoja matokea yake hukinzana na husababisha either wageni au wenyeji kudhoofika, •Na mara nyingi wenyeji wanapodhoofika hufanya bacteria wageni kutawala eneo hilo na kwa kuwa bacteria hao sio eneo husika kwao kuishi huanza kuleta madhara makubwa katika uke na kupelekea aina mbali mbali za maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke. •Pia bacteria hao wakati mwingine huweza kuzoeana na kuzaa bacteria ambao ni chotara Ambao huwa wanaweza kuwa wapole au wakali sasa wakiwa wakali husababisha madhara makubwa wakati mwingine hupelekea -Kupata infection kwenye via vya uzazi - Kansa ya kizazi -Uvimbe na magonjwa mengine ya mfumo wa uzazi. -Maumivu wakati wa tendo na michubuko. ***WATU HUTUMIA MATE SABABU YA UKE KUWA MKAVU ILI MWANAMKE AWEZE KUINGILIWA INABIDI AWE NA UTE UTE UTAKAORAHISISHA JITAHIDI KUTAFUTA UKE UACHE MATUMIZI YA MATE*** Tuwasiline kupitia Whatsapp au piga simu namba 0744052573

11/05/2022

Tumia virutubisho kujiimalisha na sio madawa, upungufu wa nguvu za kiume sio Ugojwa ni mabadiliko kutokana na mifumo mibaya ya maisha tuliyonayo k**a Ulaji mbaya, kukosa mazoezi, Utumiaji wa pombe na sigara au madawa ya kulevya, kukosa muda mzuri kulala usiku ili mwili upumzike, Stress, Matumizi mabaya ya madawa ya hospitalini (kuna watu kichwa kikiuma tu dawa kila muda kumbuka izo ni sumu unaweka mwilini), Matumizi ya madawa ya kujiboost ukitegemea kujiimalisha zaidi kumbe bila kujua unaharibu zaidi N. K

Ili kurudi Sawa tumia tiba lishe usitumie madawa

Kwa mwongozo zaidi Tuma ujumbe neno AFYA sasa hivi kwenda WhatsApp namba 0744052573 au piga usaidiwe mape

30/01/2022

Mwanaume maamuzi ya kuboresha afya yapo na wewe mwenyewe ambaye unajua changamoto yako ipoje .
Mimi nitakusaidia kukupa mwongozo na njia sahihi ambazo unapaswa kutumia kwa lengo la wewe kuona matokeo mazuri zaidi.

Nitumie ujumbe afya kuja whatsapp namba +255744052573
Au nitumie namba yako kupata maelezo kwa haraka zaidi.

27/01/2022

*JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME*

1.Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku.

2.Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi.

3.Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini k**a kisukari, moyo, punguza unene na mengine.

4.Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol) au mafuta yaliyozidi

5.Balansi usito wako.

6.Usivute sigara.

7.Punguza au acha kunywa pombe.

8.Punguza mawazo
Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali.

9.Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi .

10.Usitumie dawa zenye kemikali nyingi huathiri mfumo wa uzazi.

11.Kunywa maji ya kutosha

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa +255744052573

19/01/2022

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
NA CHANGAMOTO YA UZAZI KWA MWANAUME

Familia nyingi kwasasa zina changamoto ya mfumo wa uzazi. Leo hii tunaenda kuzungumzia mfumo mzima wa uzazi wa mwanaume hususani:

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Takwimu za afya zinaonesha kati ya wanaume 10 miongoni mwao 7 wana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Tatizo hili linazidi kuongezeka kwa kasi kubwa, na lilikuwa linawakumba sana watu wazima kuanzia umri wa miaka 35 – 75+
Lakini kwa sasa Tatizo hili linajitokeza kuanzia umri wa Miaka 25+

Tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume
Limegawanyika katika makundi Matatu ambayo huhusiana kwa ukaribu sana
Makundi haya ni k**a yafuatayo:,

- Shahawa hazina uwezo wa kutunga mimba.Pia kuwa na shahawa nyepesi sana k**a maji.

- Ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa. Ikitokea umepata hamu hata kidogo shahawa zinawahi kutoka.Yaani kuwahi kufika kileleni.
Hapa pia tunapata aina mbili.

KUWAHI KUFIKA KILELENI KABLA YA TENDO LA NDOA

Hili hutokea pale mwanaume anafika kileleni hata kabla ya kuanza tendo na hushindwa kusimamisha tena uume.

KUWAHI KUFIKA KILELENI WAKATI WA TENDO LA NDOA

Hii hutokea pale mwanaume anapowahi kufika kileleni wakati wa tendo na hushindwa kumridhisha mwenzi wake na pia hushindwa kurudia tendo.

Wengine wanapata hamu ya tendo la ndoa lakini hawatoi shahawa.

- Uume kutosimama.
Hutokana na mwanaume kushindwa kabisa kusimamisha uume wake, Tatizo hili huambatana na changamoto ya uume kusinyaa au kuwa mdogo,
Mishipa ya uume kulegea na uume kutokuwa strong ukisimama.

II. CHANZO CHA MATATIZO YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*

Upungufu wa nguvu za kiume sio ugonjwa, ila ni k**a indicator inayoonesha kwamba kuna baadhi ya viungo ndani ya mwili wa binadamu ambavyo vinahusika na suala zima la nguvu za kiume havifanyi kazi vizuri.
Baadhi ya hivyo viungo vinavyo husika na nguvu za kiume ni: Moyo, Ini, Figo, Ubongo, Mishipa ya Damu, Korodani, Tezi dume, Misuli, .. … … n.k.
Kunapo kuwa na hitilafu kwenye viungo hivi ndiyo vinapelekea moja kwa moja mtu kupata changamoto ya nguvu za kiume.

Hivi ni baadhi ya vitu vinavyo sababisha viungo tulivyo taja hapo juu kutofanya kazi vizuri na baadae kusababisha matatizo mbali mbali ikiwemo vifo.

Kuwa makini na vitu vifuatavyo:

- Uvutaji wa sigara, na utumiaji wa dawa za kulevya

- Pombe (aina yeyote).

- Kujichua, au kupiga punyeto

- Kula vyakula venye kuharibu mfumo wetu wa mmeng’enyo wa chakula (Digestive System).
Huu mfumo ukiharibika unasababisha damu kutosafirishwa vizuri mwilini.

- Uzito mkubwa au kitambi

- Tatizo la Kutokupata choo vizuri (Constipation)

- Tatizo la Tezi dume

- Matatizo ya moyo

- Kisukari (Diabetes)

- Stress, Pressure, Chorestrol

- Mvurugiko wa Homoni

- Kukaa kwa muda mrefu

- Kutumia sana madawa yenye kemikali k**a dose za mda mrefu k**a kisukari na pressure,
Hapa unatakiwa kuwa makini na kukumbuka kwamba mili yetu haijaumbwa kwajili ya madawa ya kikemikali. Mili yetu iliumbwa ili iweze kujitengenezea kinga kupitia vyakula tunavyo kula vyenye lishe na virutubisho; siyo madawa ya kikemikali au mitishamba.
Tunaenda hospitalini kwasababu hakuna njia mbadala lakini unaweza kupatiwa msaada kuondokana na addiction hiyo. K**a wewe unahitaji kuwa na afya bora na ujiepushe na magonjwa mbali mbali, unashauriwa kujenga utaratibu wa kupatia mwili wako lishe kamili na virutubisho muhimu.

III. DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Na tunapo ongelea suala la upungufu wa nguvu za kiume tunamaanisha:

- kukosa hamu ya tendo la ndoa

- Kukosa pumzi wakati wa tendo yaani ufanyapo tendo lenyewe

- Uwezo wa kushindwa kurudia tendo la ndoa

- Uume kusimama kwa ulegevu (Kulegea kwa mushipa ya uume)

- Kuwahi kufika kileleni yaani Kabla ya tendo na wakati wa Tendo pia

- Kuchelewa sana kufika kileleni na hii hutokea sana kwa mwanaume mwenye upungufu wa Shahawa.Mwanaume mwenye tatizo hili huweza kutumia mpaka Saa moja na nusu kwa mzunguko mmoja na hata afikapo kileleni hutoa shahawa kidogo sana na pia hukosa hamu ya tendo la ndoa pia. Kuchelewa huko kumwaga shahawa humpa ukavu mwanamke na maumivu makali wakati wa tendo hali ambayo humfanya mwanamke kutorudia tendo.
Hali hii ikitokea mara kwa mara kwa mwanamke humkosesha hamu ya tendo kabisa. Mara nyingi wanawake hupata tatizo hili lakini huwa ni vigumu kumweleza mwanaume wake kwa kulinda tuu mahusiano yake na kuanza kujuta japo hatakwambia kwa sababu ni aibu kwake; na wewe pia hutofurahiya tendo la ndoa kwa kukosa ushirikiano na Utaathirika kisaikolojia kwa njia moja au nyingine

- Kuchoka sana baada ya tendo au kujisikia kichefuchefu, wakati mwingine wengi hua wanajihiisi kutapika.

IV. MADHARA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Kabla hatujaenda kutiririka baadhi ya madhara yanayotokana na upungufu wa nguvu za kiume, kuna kitu muhimu sana kwa wanandoa au wapenzi wanastahili kukijua.
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu sana na aliumbwa na uwezo wakuweza kukojoa zaidi ya mara 5, endapo wewe utaweka sawa afya yako na kujuwa ni vitu gani unastahili kufahamu. Ili mwanamke akojoe kwa mshindo wa kwanza ni lazima uume wako uweze kusimama angalau dakika 5 – 10 ukiwa unachezesha uume wako kwenye mashavu ya uke.
Wanawake wanapenda sana kuchezewa kwenye mashavu ya uke kwa kutumia uume, siyo vinginevyo. Wanaume wengi wanashindwa kuwaridhisha wenzao kwasababu ya upungufu wa nguvu zao za kiume huwapelekea kutumia baadhi ya madawa au Vi**ra ili angalau waweze kuwaridhisha wenzao jambo ambalo si sahihi kwani wengi wao hujikuta kuwa ni wahanga wa matumizi ya hivyo vitu pekee na ndo huweza kuhimili tendo.

Ukweli thabiti ni huu: endapo unakuwa na afya nzuri ya mfumo wa uzazi, utaweza kusimamisha uume wako na kumridhisha kiurahisi bila kutumia nguvu nyingi kwa kila mshindo.
Hivyo basi usihangaike kwenda kwa waganga (kalumanzira), kwasababu suala zima ni kwamba unajali vipi afya yako?

Mfumo wako wa uzazi ukiwa haufanyi kazi vizuri, utapata madhara yafuatayo:

- Dharau kwa mwenzi wako na inaweza kuwa ya moja kwa moja au si moja kwa moja.

- Kushindwa kumridhisha mwanamke. Hili tatizo linampelekea kutoka nje ya ndoa na baadae kuachika

- Kushindwa kupata mtoto

- Kushindwa kupata ladha kamili ya tendo la ndoa

- Kuchoka haraka wakati wa tendo la ndoa

- Uume kusimama kwa ulegevu

- Fujo kila kukicha. Shida hamzitatuwi k**a watu wazima, na maranyingi hamuelewani hata kidogo. Wengine wanaenda kwa waganga, makanisani na kwa mashekhe ili wapate suluhisho la ndoa zao (Heshima ya ndoa hushuka)

- Kutoka nje ya ndoa (jinsia zote). Vitu unavyoenda kutafuta havieleweki, havina msingi; bali unakaribisha matatizo juu ya mengine na kukaribisha maradhi katika ndoa.

- Ndoa kusambaratika, na kurandaranda kila sehemu.
Unajishushia heshima mwenyewe bila kujitambuwa.

Ipo dhana potofu ambayo wanaume na wanawake huamini kukosa hamu ya tendo la ndoa hutokana na mtu kuwa kwenye mahusiano na mtu mmoja kwa mda mrefu zaidi.
Dhana hii ni potofu na haina ukweli.

- Madhara mengine ni Uume kusinyaa na kupoteza ubora na ukak**avu

V. SULUHISHO THABITI NA LA KUDUMU

Mili yetu ni sawa na kiwanda. Kiwandani kuna vitu vingi sana: kuna mashine, wafanyakazi, umeme, maji, ... … n.k; kinapokosekana kimoja kati ya hivyo kiwanda hakiwezi kufanya kazi vizuri. Ndivyo vivyo kwenye mili yetu tukija kwenye upande wa nguvu za kiume. Nguvu za kiume ni k**a kiwanda.
Kwa watu wenye changamoto hii ya upungufu wa nguvu za kiume, kampuni tumewaandalia program ya lishe kamili na virutubisho muhimu. Bidhaa hizi ni vyakula, siyo dawa wala mitishamba.
Zimetengenezwa kutoka kwenye vyakula ambavyo tungefaa kula kila siku, na vina lishe kamili na virutubisho muhimu katika mili yetu inavyo hitaji ili iweze kutengeneza yenyewe afya bora na nadhifu.
Hizo bidhaa zina mchanganyiko wa vitu vifuatavyo: Proteins, Vitamins, Minerals, Essential Fat Acid and Trace minerals.
Ambavyo huenda kufanya kazi ya kuboresha afya yako ya uzazi na kuimarisha mfumo wako mzima wa uzazi na kukufanya kuwa imara.

Kwa yeyote anayehitaji hii program ya kuboresha na kuimarisha afya yake ya mfumo mzima wa uzazi, awasiliane nasi tutampa Utaratibu wa upataji wa Programu hii muhimu.

Mawasiliano:Whatsap piga

+255744042573

30/12/2021

BORESHA AFYA YAKO KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO
USITUMIE DAWA KWANI UNAWEZA KUPATA MATATIZO MENGINE.
TUMA UJUMBE AFYA YANGU WHATSAPP NO +255744052573

30/12/2021

Dalili zinazoonyesha Kwamba Mwanaume amepungukiwa nguvu za kiume.

1️⃣Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .

2️⃣Sehemu za Siri Zinasinyaa taratibu baada ya goli moja.

3️⃣Mwili unahisi ganzi pamoja na sehemu za Siri.

4️⃣Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

5️⃣Nyeti zinasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke Zinasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .

6️⃣Kupoteza hamu ya tendo la ndoa.

7️⃣kushindwa kurudia Mara ya Pili .unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.

8️⃣Mashine kulala Ndani ya Nyeti Za Mwanamke,unakuta upo katika ya Game ,mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.

Tuwasiliane K**a una dalili tajwa hapo juu. Nitakusaidia Nitakupatia Matibabu Utapona Kabisa Hali Yako Itakuwa Nzuri K**a Mwanzoni.

Kwa ushauli, Elimu, Miongozo, Suluhisho sahihi kwa upande wa afya ya uzazi tupigie sasa hivi au tuma ujumbe whatsapp andika "BORESHA AFYA"📞 0744052573
whattup +255744052573
Utapata kuhudumiwa haraka

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam