Afya na Mr Tesha

Afya na Mr Tesha

Share

Afya Yako ndio mafanikio yako

25/04/2023

Niulize kuhusu Afya Yako

20/09/2022

TEZI DUME NI NINI?.

Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.

DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-

✓Kukojoa Mara kwa mara.
✓kubakiza mkojo kwenye kibofu.
✓kukojoa saana usiku.
✓Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
✓Kupungukiwa nguvu za kiume
✓UTI ya Mara kwa mara.
✓Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
✓Figo kujaa maji,hii Ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
✓Kupoteza fahamu.
✓Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
✓Uume kushindwa kusimama vizur.

Pg 06 59581462

20/09/2022

Je? Unasumbuliwa na Matatizo ya Uzazi?

Dozi kiboko ya ugumba ipo;
- Inawahisha ujauzito,
- Inazuia ujautizo kuharibika,
- Inatibu PID, UTI, na fangasi,
- Inazibua mirija,
- Inarekebisha homoni,
-Inayeyusha vimbe za cyst,
- Inaongeza ute ukeni ili ufurahie tendo la ndoa🔥

Bonyeza link watsap👇
0659581462

Share Ujumbe Huu

02/09/2022

NMN COFFEE ( NO SUGAR ADDED )

_ Huongeza kinga ya mwili.
_ Inatengeneza DNA upya.
_ In nzuri kwa MTU mwenye selemundu ( Sicle Cell ).
_ Huondoa kiwango cha sukari kilichozidi mwenye damu.
_ Huondoa makunyanzi na kurudisha seli zilizo kufa.
_ Hupambana na magonjwa mengi ya kurithi.

Kupata bidhaa hii ya kahawa lishe
Wasiliana nami kwa simu namba

0659581462

Kwa maelekezo na ushauri zaidi.

Ijali afya yako uishi maisha marefu.

Photos from Afya na Mr Tesha's post 02/09/2022

Karibusana BF Suma Ipokwajiliyako

Photos from Afya na Mr Tesha's post 14/07/2022

Ni lotion ambayo imetengenezwa takribani na mimea asili 7 isiyo na kemikali na ni chakula cha ngozi. Mimea hiyo inaifanya DERMA EVER kuwa mafuta bora ya mwili na uso na kukupa faida zifuatazo 👇🏽👇🏽🧴🍒.

💥Inaongeza unyevu kwenye ngozi, kwa asilimia 53% 🧴🍒
💥Inarudisha uwezo wa ngozi , kutanuka na kusinyaa hivyo huondoa makunyanzi kwenye ngozi.

💥Inaleta Mng’ao wa ngozi na inamfanya mtumiaji kuwa na ngozi yenye rangi moja mwili mzima.

💥Inaondoa uchakavu wa ngozi kwa watu wote.

💥Inasaidia ngozi kujilinda na kujitibu na magonjwa ya ngozi K**a vile matangotango.

💥Huondoa cell zilizokufa kwenye ngozi na kuchochea uzalishaji wa cell mpya kwenye ngozi.

💥Inarekebisha ngozi iliyoungua na cream zenye kemikali.


WE CARE YOUR SKIN HEALTH 🧴🍒🍒🧴

Photos from Afya na Mr Tesha's post 04/07/2022
14/05/2022

USITHAMANISHE MALI YAKO HUKU UKIWA NA BAWASIRI, BEI NAFUU NJOO USAIDIWE USIKATE TAMAA

Piga simu/WhatsApps +255768142954.
Usaidiwe leo
BAWASIRI.
Ni nyamà zinàzotokéa enéo la hàjà kubwa ambazo hutokana na kuvimba kwa mishipa midogo midogó ya damu. Nyàma hizí huwa ndogo mithili ya punje ya harage au kubwa zàidi ya hapo.

VISÀBABISHI.
BAWÀSIRI hútokana na matàtizo mbalimbali katikà afyà yà mwili wa binadàmu kàma ifuatavyo:-
✓Kuharíshà au kuhàra kwa muda mrefu
✓Kukaa kwà mudà mrefu
✓Uñené/uzito uliozidi
✓Líshe/chàkula kilicho na kiwango kidogo çha fibre
✓Kukosà mazoézi kwa muda mrefu.
✓Umri mkubwà.
✓Kikohozi cha muda mrefu.

AÍNA ZA BAWASIRI
1.BAWASIRI YA NJE.
Hii hutokea katika eneo la mwisho kàbisa là mfereji wà haja kubwa na húonekana kwà urahisi. Pia huambatanà na maumivu makali mudà mwingíné pamoja nà muwàsho kàtika séhem lengwa.

2.BAWASIRI YA NDANI,
Hii hutokea ndani ya mfereji wa hajà kubwa na mara ñyingi huwa haina màumivu saña ñdiyo mana wengi huchelewa kuigundua.
Bawasiri híi imegawànyikà katika sehemu kuu tatu:-
∆Bawasiri inayotoka wàkati wa hàja kubwa na kurudi yenyewe bàada ya kujisaidia.
∆Bawasiri isiyotoka kabisa, inakuwa imesimama kuelekea ndani zaidi na huwa na màumivu.
∆Bawasiri inayotoka wakati wa haja kubwà na huwa hairudi mpaka mwathirika airúdishe..

DALILI/VIÀSHIRIA VYA BAWASIRI.
✓Maumivu wakati wa kujisaidia hàja kúbwa.
✓Damu kutoka wakati wa hàja kubwa.
✓Muwasho sehemu ya hàja kubwa.
✓Uvimbe/ kinyama kuota sehemu ya haja kubwa.
✓Haja kubwà kujitokéa yenyewe.
✓Choo kigumu na kutokukipata kàbisa.
✓Maumivu makali ya kiuno na mgóngó
✓Tumbo kujaa gesi.

MADHARA ÍKIWA HÀITATIBIWA MÀPEMA.
✓Hajà kubwa/kinyesi kutoka bila kujítàmbua.
✓Kukosa hamu yà teñdo la ndoa.
✓Kupungukiwa nguvu za kiume kwa wanaumé.
✓Mwili kudhoofika na kupauka(Kupotezà nuru ya uso)
✓Mwíli kuchoka mudà wóte0659581462

05/05/2022

● VIUNGO (Ingredients)Expower mean)
○ Epimedium: ni kirutubisho kinachoongeza hamu ya kufanya mapenzi, kinasaidia kuchelewa kufika kileleni na kuongeza uwezo wa s***m kurutubisha Yai.
○ Maca: inaongeza nguvu kwa mwanaume na kusimama kwa uume.
○ Una Mchanganyiko wa kipekee wa vyakula vya asili vinavyoongeza ufanisi katika tendo la ndoa
○ Inamuongezea Mwanaume uwezo wa kufanya mapenzi bila madhara
○ Inasaidia kumuongezea mwanaume hari ya kujiamini.
○ Kuongeza wingi na ubora wa manii (s***m)
○ Inaondoa Uchovu na msongo wa mawazo
○ Inaoboresha mzunguko wa damu kwenye uume hari inayosaidia uume kusimama vizuri

Photos from Afya na Mr Tesha's post 21/04/2022

CHEMBE YA MOYO HUTOKEA WAKATI GANI...!???????

Chembe ya moyo hutokea pale misuli ya moyo inapohitaji damu ya kutosha zaidi kuliko kawaida, mfano wakati unafanya mazoezi, au unapokuwa na msongo wa mawazo. Unapokua umetulia mfano umekaa kwenye kitu kiwango cha hewa ya oksijeni kinachohitajika ni kdiogo, lakini unapokuwa kwenye shughuli k**a kupanda mlima au kukimbia moyo unahitaji kiwango kikubwa cha hewa na ndio matokeo ya chembe moyo.
Pamoja na maumivu na kubana kwa kifua dalili zingine za chembe ya moyo ni k**a

1️⃣Kushindwa kupumua vizuri
2️⃣Kupata kichefuchefu
Mwili kukosa nguvu na kupata ganzi
3️⃣Kutokwa na jasho
4️⃣maumivu ya bega na shingo hasa upande wa kushoto.

MAZINGIRA NA TABIA HATARISHI ZINAZOPELEKEA KUPATA CHEMBE YA MOYO.

🔹Kuwa na uzito mkubwa na kitambi

🔹Kuwa na historia ya kugua magonjwa ya moyo

🔹Kuwa na kiwango kikubwa cha cholesterol au shinikizo la damu kuwa juu

🔹Mgonjwa wa kisukari
🔹Uvutaji wa sigara

🔹Kutofanya mazoezi au kushugulisha mwili
🔹kula Milo mizito( wanga) hasa nyakati za jioni.

Photos from Afya na Mr Tesha's post 21/04/2022

FAIDA ZA DAWA LISHE ZA BF SUMA
Kukotana na maisha tunayo ishi
Hatuli vitu vinye viin lishe hivyo kufanya mwili kua dhaifu na kinga kushuka hivyo kusababisha magonjwa k**a
Kisukari (kurithi, au life style
Pressure
Kansa
Upungufu wa nguvu za kiume
Mimba kuharibika
Maumivu ya viungo
Tezi dume
Mvurugiko wa hedhi au kukosa kabisa
Kukosa mtoto
Macho kutoona vyema baada ya umri mkubwa kidogo
Magonjwa ini ,figo, moyo
Mzunguko wa damu kua mdogo
Hivyo kusababisha pressure,kuvimba baadhi ya maeneo,
Kichwa kuuma mara kwa mara
Na matatizo mengine
Hivyo kampun ya BFSUMA imekuletea tiba lishe ambayo unaweza kutumia bidhaa zao ili kuzuia kupata magonjwa k**a hayo
Kwana bidhaa zao zimetengenezwa kiasili kabsa kwa kutumia kiin cha kila lishe hivyo mtu anaweza tumia ili kuupa mwil uwezo wa kupambana na magonjwa k**a hayo hasa wakati wa umri mkubwa ndio hujitokeza
Kwa ambae hauna udhaifu unapaswa kutumia doz moja tyu ila kwa ambae amesha pata hayo matatizo anapaswa kutumia doz tatu au zaid

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Mwenge
Dar Es Salaam
222

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00