Irene na Afya

Irene na Afya

Share

Help people to maintain their healthy and wellness through dietary nutritional supplements.

13/07/2023
10/07/2023

Piga 0658 834004

01/05/2023

Kwa maelezo zaidi call 0658834004

23/04/2022

🗣️🗣️🗣️🗣️ Arushaaaa Narudia Tena Arushaaaa Watu wa Arusha 🤗

Nina Habari njema Kwenu 💪

Kesho kesho Kesho Jumapil ya April 24 saa 8:00pm.

*SEMINAR SEMINAR SEMINAR*

*BF SUMA* Tumekuandalia seminar Baabu kubwaaa 💥💥 Njoo ujifunze mengi kuhusu *Afya* Na *ujasiriamali* mwambie Rafiki yako Amwambie na Rafiki yake wafike bila kukosa maana Zawadi Nono zitatolewa kwa wale Wageni watakao huzuria pamoja na Marafiki Zao .

🤗🤗🤗 Unaanzaje kukosa Hii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

*Location*
Nipale Golden Rose Hotel

Presenter atakua *DR. IBRAHIM SHADDAGGAH*

*Reception*
Caroline
M***a Hussein
Asha mrefu.

Wasiliana nami mapema Upate utaratibu mapema Nyoooote mnakaribishwa *NB HAKUNA KIINGILIO NI BUREEEE🤗🤗*

Photos from Irene na Afya's post 05/04/2022
29/09/2021

What app 0658834004

29/09/2021

Chukua hatua mapema urudishe heshima yako acha kunywa fumbi la congo

09/06/2021

*UJUE UGONJWA WA P.I.D*

Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke (SHINGO YA KIZAZI)kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake. Kwa kawaida maambukizi haya huhusisha shingo ya uzazi (cervix) hali ambayo hujulikana k**a cervicitis, nyama ya mfuko wa uzazi (endometrium) ambayo kitaalamu huitwa endometritis, na mirija ya uzazi (fallopian tubes) hali ijulikanayo kitabibu k**a salpingitis.

1⃣ *_PID husababishwa na nini?_*

Pamoja na aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID, vimelea vya jamii ya Neisseria Gonorrhoeae pamoja na Chlamydia trachomatis ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama.

2⃣ *Je mwanamke huambukizwaje PID?* Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na
✅Kufanya ngono isiyo salama.
✅Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)
✅Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)
✅Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango.
✅Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.

3⃣ *Dalili za PID ni zipi?* Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni :-
✅Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu.
✅Kupata maumivu ya mgongo.
✅Mwanamke kutokwa na uchafu sehemu za siri. Uchafu huu huambatana na harufu mbaya.
✅Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa.
✅Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.

✅Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi.
✅Kupata homa.
✅Wakati fulani kuhisi kichefuchefu na
Pia kutapika.

N.B. *Maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke yanatibika kabisa ukipata tiba ya uhakika, usipozingatia ni chanzo cha Ugumba

Contacts: 0755517072

30/03/2021

Bedroom package get it now .ufurahie tendo

27/03/2021

Bed room package tuwasiliane 0755517072 ni ya asili kabisa na inakurudishia nguvu zako za asili moja moja sio ya zima mote inaondoa tatizo kabisaa .sauti hii inatosha kwa wanaumeee

23/03/2021

*Ijue Vizuri PID*👇
*PID* Ama Pelvic Inflammatory Disease ( PID).

Ni maambukizi katika via vya uzazi.
Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:- .
👉Matumizi ya antibiotics Kwa wingi,
kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi.
👉Kadhalika ujauzito kuharibika ikiwa ni pamoja na kujifungua na kuachwa bila kusafishwa
👉 Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms( kwa baadhi ya watu) na kufanya ngono zembe.
👉 Pia *hormonal* imbalance ni chanzo moja wapo baada ya kusababisha uvimbe

*DALILI ZA UGONJWA WA PID*

1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri .
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa laini sana hivyo Kupata michubuko kiurahisi
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula

*MADHARA YA PID*

•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi

*PID* inatibika na kupona Kwa haraka
Ukifuata dose sahihi

Pia ni mhimu sana kutumia vitu vyenye vitamin C za kutosha

*Ila ngumu kutibika usipo fuata dose sahihi na kutotambua shida ni nini ?*

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam