mafuta YA NAZI halisi
Tuna mafuta ya n**i halisi ambayo hayajachanganywa na kitu chochote
03/05/2025
# BinanceinDar
01/11/2024
16/09/2024
Chagua kilicho bora na uhalisia wake 🥥
09/11/2023
"usipoteze muda wako kwa kuendekeza wasiwasi. Amka na elekeza nguvu yote uliyonayo kuijenga kesho unayoitamani"
Ni ushauri tuuu....✍️✍️✍️
20/12/2022
MAFUTA YA N**I ambayo hayajachanganywa na chemicali yeyote na unaweza kutumia kwa matumizi yeyote unayotaka kutumia.
FAIDA 6 ZA MAFUTA YA N**I
01. Mafuta ya n**i kwa afya ya moyo.
-kuna asidi ambayo inapatikana katika mafuta ya n**i iitwayo"Lauric acid" ambayo itaenda kudhibiti cholesterol/lehem mbaya
02. Mafuta ya n**i huongeza nguvu ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
03. Mafuta ya n**i hung'arisha ngozi.
04. Ni mafuta mubadala ya kupikia yenye Afya.
-Tofauti na mafuta ya alizeti au hata mafuta ya zaituni.
05. Huzuia maradhi mengi hatarishi.
06. Husaidia katika ugonjwa wa mzio/ aleji
120ml-5,000/= 250ml-10,000/= na litre 01-25,000/=
MUHIMU
Hakikisha unapata mafuta ya n**i ambayo ni ya asili kwa asilimia 💯, ikiwa utanunua dukani kuna uwezokano mkubwa yakawa yamechanganywa na kemikali zingine .
Tunafanya delivery na Mikoani tunatuma kwa uaminifu
WhatsApp | Piga📞
0778681433 | 0748176854
Mbagala Majimatitu, Dar es Salaam
25/10/2022
UNYEYUSHA NGOZI
Mafuta ya n**i huchukuliwa kuwa moisturizer bora kwa ngozi ya mkono, haswa katika eneo la kiwiko. Unaweza kujaribu kuipaka usoni, lakini hupaswi kufanya hivyo ikiwa una ngozi ya mafuta sana.
Kwa kutumia mafuta kwa eneo la kisigino, utaondoa nyufa na urejeshe upole wa ngozi. Inashauriwa kutumia safu nyembamba ya dutu kwenye miguu na kuvaa soksi juu yake kila siku kabla ya kwenda kulala. Kufanya hivi mara kwa mara kutaweka visigino vyako vizuri na laini.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
MBAGALA
Dar Es Salaam