Afya Desk
ukurasa huu ni maalumu kwaajiri ya elimu ya afya. kujilinda , kujikinga , kutoa sumu mwilini, na kutibu magonjwa mbalimbali kwa kutumia tiba mbadala.
17/05/2020
Tatizo la Jogoo Kushindwa Kuwika.
Erectile Dsysfunction
Kuna tatizo ambalo wengi huwa tunaliita ukosefu wa nguvu za kiume.
Neno hili k**a linavyotumika mimi naliona ni pana mno na halielezei hasa ni kitu gani kinamaanishwa kwani kuna matatizo lukuki ambayo yote yapo katika kundi la ukosefu wa nguvu za kiume.
Leo tutazame tatizo ambalo limeliita tatizo la jogoo kushindwa kuwika au jongoo kushindwa kupanda mtungi.
Kwanza tutazame tatizo hili lipoje.
Nini Maana Ya Jogoo kushindwa Kuwika
Hii ni hali inayomtokea mwanamme ambapo anakuwa na hamu ya kufanya tendo la ndoa lakini uume wake
hausimami kabisa,kukosa kusimama kikamilifu au kusimama kikamilifu kwa muda mfupi sana hivyo kukosa nguvu ya kufanya tendo lililokusudiwa.
Nusu wa wanaume hupata tatizo hili wanapofikia umri wa miaka 40, idadi ikiongezeka kwa wanaume wenye umri mkubwa zaidi,kwa mfano asilimia 70 ya wanaume wenye miaka 70 huwa na tatizo hili.
Ifahamike kwamba kila mmoja wetu huweza kupata tatizo hili kwa muda fulani kutokana na vitu k**a uchovu, kupata kilevi,kutoelewana na mwenzi n.k.
Tunasema mwanamme ana tatizo hili pale tu hali hii inapoendelea kwa kipindi kirefu,kwa mfano hali hii ikitokea kwa mwezi mzima mfulululizo.
Sababu Za Tatizo La Jogoo Kushindwa Kuwika
Kuna mengi yamesemwa kuhusu chanzo cha tatizo hili.
Ukizingatia kwamba tendo la uume kusimama linahusisha ubongo,homoni, misuli na mishipa ya damu,tatizo katika hayo ndilo linaloweza kusababisha jongoo ashindwe kupanda mtungi.
Baadhi ya sababu zinapelekea uume kutosimama au uume kukosa nguvu ni:
👉Magonjwa ya moyo.
👉Unene wa kupindukia.
👉Ugonjwa wa kisukari.
👉Uvutaji wa sigara.
👉Utumiaji wa pombe.
👉Punyeto.
Madhara Ya Tatizo La Jongoo Kushindwa Kupanda Mtungi.
Kuna madhara mengi yanayotokana na tatizo la jongoo kushindwa kupanda mtungi.
Mwanamme anayepatwa na tatizo hili hushindwa kumridhisha mwenzi wake na hali hii huweza kusababisha matatizo makubwa katika mahusiano katika ndoa.
Matibabu ya uhakika whatap/ piga 0714586766
03/05/2020
👉SULUHISHO LA AFYA LA KUDUMU 👈 je unasumbuliwa na fungus,Pid,ugumba, nguvu za kiume, pressure,vidonda vya tumbo,bawasiri,harufu mbaya ukeni,kutokuwa na hamu ya tendo. karibu katika group la afya ujifunze na upate tiba ya uhakika. au piga 0714586766/0746680236. Dr yusuph. (Free consultation, ushauri Ni bure). Bonyeza link hapo chini
https://chat.whatsapp.com/L12py5TpkTFJtkERNKz4zh
22/03/2020
SULUHISHO LA NGUVU ZA KIUME .
DR .yusuph kutoka AfyaDesk tawi la Tanzania
TENDO LA NDOA , Limegawanyika katika sehemu kuu mbili kwa asili .
1 KULETA RAHA KUBWA ISIYOKIFANI.
Hii hutokea pale wapenzi wawili wanaposhiriki tendo la ndoa wakiwa na Hali ya uhitaji kwa kila mmoja , wakati sahihi, mazingira mazuri, usafi binafsi, utayari, na wote kufika mshindo (bao). RAHA ya hapa haiwezi kufananishwa na kitu chochote hasa pale mwanamke anapofikia hatua inayoitwa General body or**sm.
2 . KULETA KIUMBE KIPYA DUNIA.
Hapa M/Mungu anatushirikisha moja kwa moja katika uumbaji . Ambapo hakuna namna nyingine ya upatikanaji wa kiumbe Cha kufanana na wewe nje ya utaratibu huu. Kuwa na mtoto Ni furaha kubwa na kila mtu hutamani hivyo .
JE KWANINI WANAUME WENGI HAWAFIKII MALENGO HAYA MAWILI YA TENDO LA NDOA ?
Unaweza kusababishwa na Mambo mengi K**a .matumizi ya dawa za kuimarisha misuli ya uume kwa muda mre, Magonjwa sugu ya viya vya uzazi , kisukari, pressure,kulegea kwa erect muscles, kujichua kwa muda mrefu ,hormon imbalance,mbegu zisizokomaa, s***m motility na mobility.
WENGI WAMETESEKA MUDA MREFU NA SASA BASI. NA UTAPONA KABISA K**A WENGINE . SISI TUNATIBU ,MWENYEZI MUNGU NDIO MPONYAJI
K**A UPO DAR ES SALAAM KARIBU OFISINI KWA MAZUNGUMZO NA MATIBABU
KWA WALIOMBALI TUNAWEZA KUWASALIANA .
KWA MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA AU KWA Simu KUELEZEA TATIZO LAKO ,NA KUKUELEKEZA NINI CHA KUFANYA AU MATIBABU YAKO NI SHILINGI 20,000 TU. (Consultation fee)
0746680236 YUSUPH S yusuph.
Kwa elimu ya bure na maelekezo mengine like page yetu. Bofya link hapo chini then like page
https://www.facebook.com/104735854367241/posts/143836440457182/?app=fbl
22/03/2020
SULUHISHO MAGONJWA SUGU YA WANAWAKE ,UTASA NA UGUMBA
DR .yusuph kutoka AfyaDesk tawi la Tanzania
TENDO LA NDOA , Limegawanyika katika sehemu kuu mbili kwa asili .
1 KULETA RAHA KUBWA ISIYOKIFANI.
Hii hutokea pale wapenzi wawili wanaposhiriki tendo la ndoa wakiwa na Hali ya uhitaji kwa kila mmoja , wakati sahihi, mazingira mazuri, usafi binafsi, utayari, na wote kufika mshindo (bao). RAHA ya hapa haiwezi kufananishwa na kitu chochote hasa pale mwanamke anapofikia hatua inayoitwa General body or**sm.
2 . KULETA KIUMBE KIPYA DUNIA.
Hapa M/Mungu anatushirikisha moja kwa moja katika uumbaji . Ambapo hakuna namna nyingine ya upatikanaji wa kiumbe Cha kufanana na wewe nje ya utaratibu huu. Kuwa na mtoto Ni furaha kubwa na kila mtu hutamani hivyo .
JE KWANINI WANAWAKE WENGI HAWAFIKII MALENGO HAYA MAWILI YA TENDO LA NDOA ?
Unaweza kusababishwa na Mambo mengi K**a .matumizi ya dawa za uzazi wa mpango, Magonjwa sugu ya viya vya uzazi PID ,UTI SUGU , FIBROIDS, HORMONI KUVURUGIKA , MLANGO WA MJI WA MIMBA KULEGEA. KIZAZI KUSOGEA , MATATIZO YA KISAIKLOGIA
WENGI WAMETESEKA MUDA MREFU NA SASA BASI. NA UTAPONA KABISA K**A WENGINE . SISI TUNATIBU KWA NJIA RAHISI ,MWENYEZI MUNGU NDIO MPONYAJI
K**A UPO DAR ES SALAAM KARIBU OFISINI KWA MAZUNGUMZO NA MATIBABU
KWA WALIOMBALI TUNAWEZA KUWASALIANA .
KWA MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA AU KWA Simu KUELEZEA TATIZO LAKO ,NA KUKUELEKEZA NINI CHA KUFANYA AU MATIBABU YAKO NI SHILINGI 20,000 TU. (Consaltation fee)
0746680236 YUSUPH S yusuph.
Kwa elimu ya bure na maelekezo mengine like page yetu .bofya link hapo chini then like page .https://www.facebook.com/104735854367241/posts/104820767692083/?substory_index=0&app=fbl
FAHAMU AINA ZA U.T.I SUGU
A) *lower U.T.I
Lower U.T.I ni hatua ya ugonjwa kushambulia maeneo ya urethra na
kibofu cha mkojo (bladder). Katika hatua hizi, mgonjwa atasikia dalili
zifuatazo:
1. Maumivu wakati wa kukojoa
2. Kujisikia kukojoa mara kwa mara lakini kutoa mkojo kidogo tu
3. Damu katika mkojo
4. Mkojo wenye rangi ya chai
5. Mkojo wenye harufu kali
6. Maumivu ya kiuno kwa wanawake
7. Maumivu ya sehemu za nyuma kwa wanaume
*B) Upper U.T.I
Upper U.T.I ni maambukizi ya ndani ya figo. Hii ni hatua mbaya sana
endapo bacteria wataanza kuingia kwenye mkondo wa damu kutoka
kwenye figo – SEPSIS. Sepsis huweza kusababisha msukumo wa
damu kuwa mdogo sana (Low Blood Pressure), msh*tuko au kifo.
Dalili za upper UTI
1. Maumivu ya maeneo ya juu ya mgongo
2. Homa
3. Kusikia baridi
4. Kusikia kichefuchefu
5. Kutapika
Ukiipuuza U.T.I Unaweza kupata athali kubwa sana k**a zifuatazo
1.Figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure) hii ni hatari sana ,hutokana na bacteria kushambulia figo
2.Kupatwa magonjwa ya kibofu ,k**a kibofu kuziba ,kushindwa kukojoa ,hii hupelekea MTU kukojoa kwa mirija
3 .maumivu ya mgongo, kiuno na NYONGA
4.kupoteza hamu ya tendo la ndoa.nk.
5.kuharibu homon(hormon inbalance)
6.mimba kuharibika
7.kushindwa kubeba mimba.
kwa kupata tibalishe isiyo na kemikali wala madhara
Wasiliana nasi call or whatsapp
0714586766
04/03/2020
PID
Pelvic Inflammatory Disease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:-
Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivy wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi. Kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua. Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe.
DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MADHARA YA PID
•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi
inatibika na kupona Kwa haraka
Kwa ushauri au tiba ya tatizo hili waweza kuwasiliana nami 0714586766
27/01/2020
Mlo kamili
TATIZO LA MIGUU/MIKONO KUFA GANZI
Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy.
Matatizo haya ya kiafya (miguu/mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.
*Dalili zinazoambatana na ugonjwa huu ni hizi zifuatazo*
1.Mtu kuhisi ganzi
2. kushindwa kushika au kunyanyua kitu, kuchoka kwa misuli na kadhalika.
3.maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni/mikononi
*Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuatayo:*
1.Kupungua kwa virutubisho mwilini,hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex).
2.Matumizi ya dawa, mfano dawa za kutibu MAUMIVU
3.Uzito mkubwa wa mwili,
4.Ugonjwa wa kisukari,(diabetic polyneuropathy).
5.Shinikizo la damu(PRESHA), n.k
Fanya mazoezi, kula vyakula vyenye virutubisho na kula mboga mboga na matunda KWA WINGI.
WATU WENGI SAANA HUKAA NA TATIZO HILI WAKIJUA HALITIBIKI TATIZO HILI SASA LIMEPATA SULUHISHO NA LINAONDOKA.
31/12/2019
2.nguvu ya uumabaji (power of creation )
Ni sehemu ya nguvu inayotokana no Tendo la ndoa.
Ni heshima kubwa mungu aliyotupa na kutushirikisha katika hili ya kuleta kiumbe kinachofanana na basi na hakiwezi kupatikana kwa njia nyingine .
Lengo lingine la tendo la ndo ni kuleta mtoto. Mtoto huyu ni sehemu ya nguvu zetu na ndo maana lolote baya linapomkuta humuathiri pia mzazi .
Mtoto anaraha yake , na miongoni mwa mwa dhamira kubwa ndani ya ndoa ni kupata watoto.
Je unajua sababu za kupelekea usipate watoto.
Nini hormoni kuvurugika, magonjwa ya zinaaa, magonjwa ya via vya uzazi au mawazo karibu kwa ushauri na matibabu ili ufurahie ndoa yako.
Bofya link yapo chini
Share on WhatsApp WhatsApp Messenger: More than 1 billion people in over 180 countries use WhatsApp to stay in touch with friends and family, anytime and anywhere. WhatsApp is free and offers simple, secure, reliable messaging and calling, available on phones all over the world.
20/12/2019
JE WAJUA SABABU ZA MAUMIVU MAKALI KWA WANAWAKE WAKATI WA TENDO LA NDOA ?
Mungu ameweka hekima kubwa sana ndani ya tendo la ndoa, 1.Raha ya kubwa isiyokifani. 2 .kuleta kiumbe kimpya chenye roho duniani.
Twende tukajifunze pamoja bure na namna bora ya kukabiliana na changamoto hizo.
Bonyeza link hapo chini
👇
https://www.facebook.com/104735854367241/posts/106345560872937/
20/12/2019
Suruhisho la kukosa hamu ya Tendo la ndoa kwa wanawake.
Kwanza kabisa, inashauriwa kitaalamu kubadilisha mfumo wa maisha kwa mfano, kubadili ratiba za kazi, matembezi au ratiba zako na mpenzi wako.
Kingine ni kufanya mazoezi mara kwa mara kwa sababu mazoezi huongeza ufanisi, lakini pia kuhakikisha uzito wako uko sawia ili kumfanya mtu kuwa na umbile zuri, furaha na kuongeza ufanisi wakati wa tendo lenyew
Kupunguza msongo wa mawazo (achana na stress) kwa kukubali kwamba tatizo lipo baina ya wapenzi na hivyo kutafuta suluhu pamoja na kuacha kugombana lakini pia Matatizo ya kimaisha lazima uyataftie ufumbuzi.
Kufanya mazoezi ya misuli ya kiuno kwa kufanya k**a unazuia mkojo wakati unahisi haja ndogo na kuhesabu kutoka moja hadi tano, baada ya tano pumzika na halafu rudia. Haya mazoezi (kegel exercise) yanaweza kufanywa na jinsia zote huongeza uwezo wa kujamiiana kwa wanawake na wanaume.
Badilisheni mfumo wa maisha yenu
Zungumza na mpenz wako k**a rafk ako Malumbano na matatizo ni vitu vya kawaida katika uhusiano wowote, ni vizuri kwa wenza kukaa pamoja na kuzungumza matatizo yao, kuwa wa kweli, waaminifu, kuaminiana, kujaliana na kuzungumza juu ya tendo la ndoa lenyew kwa pamoja.
Ni vizuri kila mmoja kuainisha vitu anavyopenda na asivyopenda kufanyiwa wakati wa kujamiiana. Pale inapotokea mmoja hajapendezwa au kufurahishwa na uwajibikaji au ufanisi wa mwenzie basi hana budi kutumia lugha nzuri kutafuta kiini cha tatizo na kulitafutia ufumbuzi.
Weka mazingira mazuri na muda wa kufanya tendo la ndoa na mwenza wako ili mpate kudumisha uhusiano wenu.
Ongeza msisimko katika uhusiano wenu kwa kujaribu aina au staili mbalimbali wakati wa kujamiiana, kubadilisha muda wa kufanya mapenzi (sio usiku tu hata asubuhi, mchana) au sehemu tofauti na ile mliyoizoea wakati wa kufanya mapenzi (sio kila siku kitandani tu).
Tiba ya dawa
Kutibu ugonjwa ambao ni kiini cha tatizo hili – kwa mfano k**a una -Kisukari,
-magonjwa ya moyo,
-magonjwa ya zinaa,
-sumu ilio zidi mwilini kwa ajili ya matumiz ya dawa nk.
Tumia bidhaa za asilia zinazoondoa msongo wa mawazo na sonona,chemicals zilizo sababishwa na madawa mbalimbali ulio tumia yenye sumu
-Kutibu tatizo la sonona na wasiwasi,(tutayaandalia mada)kwa leo n kwa kifupi tuu
-Tumia dawa au vilainishi vya ukeni wakati wa tendo la ndoa vya asili kwa wale wanaopata maumivu, kupunguza uke kuwa mkavu, au kuwasha.
_Tiba ya homoni.
Tumia bidhaa asili ilii kutoa tatizo na si kuongeza
ukiwa hapo nyumban fanya yafuatayo,kurekebisha,hayo yote ulio uliza
Kitunguu swaumu Kitunguu swaumu kina kemikali ambayo huongeza mzunguko wa damu kwenda kwenye viungo vya uzazi kwa mwanamke na mwanaume, na kufanya kuongeza hamu ya kufanya mapenzi pamoja na hamu yakula.
Habat soda
Mafuta, mbegu, au unga wa habat soda k**a wengi wanavyoiita na ambazo zimetumika kwa miaka mingi sana. Tumia kidogo kwenye chai au maji ya uvuguvugu mara mbili kila siku. Mbegu hizi hupatikana kwa wingi katika nchi za asia k**a Saudi Arabia, Syria, Iran, Dubai (UAE), na hata Misri, Tanzania-maeneo ya pwani hupatikana pia.
Giligilani
Hii huchochea hamu ya tendo la ndoa kutokana na uwepo kwa wingi wa kichocheo aina ya androsterone.
Ndizi
kuwepo kwa wingi kwa kimeng’enyo aina ya ‘bromelain’ na madini ya potashiam, huongeza msisimko wa tendo kwa wanawake na wanaume. Potassium pia hupatikana kwenye tikiti maji ambalo pia lina kemikali aina ya ‘arginine’ ambayo huongeza wingi wa damu katika mishipa ya damu na hivyo kusaidia katika kusisimua mwili,nakuongeza hamu yakula.
Parachichi
Huwa na kiwango kikubwa cha madini ya folic acid ambayo huvunjavunja protini. Vitamini B6 kwenye parachichi huchochea kutengeza vichocheo mbalimbali kwa wingi.
Mayai
Mayai yana kiwango kikubwa sana cha vitamini aina ya B5 na B6, ambazo husaidia kuleta usawa wa viwango vya vichocheo mwilini na kupunguza msongo wa mawazo.
Nyanya
Zina kiwango kikubwa cha virutubisho aina ya bio-active phyto-nutrients, lycopene, na beta carotene ambazo husaidia kuleta damu kwa wingi kwenye viungo vya mbalimbali na hivyo kusaidia kusisimua mwili
Chocolate’
Ina kiwango kikubwa cha kemikali ambazo huongeza hamu ya tendo.
Vitamin A
Husaidia katika kuweka usawa wa vichocheo vya mapenzi. Vyakula venye wingi wa vitamin hii ni pamoja na
karoti,
maini,
tikiti maji,
spinach,
maziwa nk.
Vitamin B complex Huongeza kiwango cha kichocheo cha testerone ambacho husaidia katika kuongeza ufanisi wa tendo la ndoa kwa wanaume na wanawake. Vitamini B complex hupatikana kwa wingi kwenye ndizi,
viazi tamu,
lentils mboga za majani,
parachichi,
mayai,
samaki aina ya jodar(tuna),
bata mzinga,
maini nk.
Mdalasini na Asali Mchanganyiko wa vitu hivi viwili husaidia sana katika kuongeza ufanisi kwa wale wenye tatizo hili .
Hongera. Kwa kuendelea kujua zaidi afya yako na unaweza kucomment hapo chini.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam
255
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 10:00 - 17:00 |