Kutunza ngozi
tunaelimishana kuhusu utunzaji wa ngozi ,karibuni
21/12/2021
Vikuku oh kwa wadada ni 5000 tu 0746640957
03/12/2021
Karibuni hereni 3500 😊🥰 popote ulipo K**a ni dar za jumla na rejareja🖐️🙏😊
02/12/2021
Wakati unajali ngozi yako unatafuta na vitu vya kuiongezea uzuri ,,wArembo hapa Kuna his bleceletes ambazo ziko unique na zipo kweny fashion njoo Dm tukuhudumie na pia tunasafilsh mikoani karibuni wArembo wanguu
Barafu inamatumizi gani kwenye ngoziii☄️????
Barafu Ina umuhimu katika ngozi hasa zenye mafuta iinasaidia kuondoa chunusi K**a utaitumia kwa wakati
Chukua kipande kidogo Cha barafu then paka usoni Kila siku asubuhi na join K**a ulkuw na chunusi utaanza kuon zikikimbia😊
Wapendwa habarini Kuna chapisho nilchapisha ili Kila mwenye tatizo kuhusiana na ngozi atoe maoni Ila wengi nimeiona wanatatizo la chunusi na madoa na wengine ngozi yenye mafuta ,so wapendwa chapisho lijalo nitaelezea kuhusu aina za ngozi(kavu/mafuta)na jinsi ya kuimaintain vizuri😊😊🙏🙏
EID MUBARAK ❣️🙏💞 MY GROUP,,,AM BACK
Kutunza ngozi tunaelimishana kuhusu utunzaji wa ngozi ,karibuni
Sema tatizo la ngozi yako upate utatuzi
Nasubilia kwenye comment👇👇👇
06/05/2021
Facial Cleansing Kit Ina Kazi nyingi sana kwa uso wako na muhimu sana kwa wanavopenda kutunza ngozi zao🔥
Hiki kifaa kinatumika kwa Jinsia zote✅
Inaondoa dead skin,black spots na acne✅
Unaweza itumia kwa sabuni,scrub na cleansing wash yoyote✅
Inatumia betri za kawaida tuu✅
Inabebeka kirahisi (unaweza safiri nayo kwenye pochi)
Bei ni tsh 15000 kwa moja Na Jumla ni kuanzia pisi 5 tuu✅
Contact 0672765929 call/dm/whatsap📞
Tunatuma Nchi Nzima🇹🇿
03/05/2021
Habarini wapendwa 👋karibuni
Leo tunaenda kujifunza Mambo yanayosababisha ngozi kuwa na makunyanzi,harara,chunusi pamoja na mikunjo na stretch marks (michilizi) katika mwili.
SABABU ZINAZOSABABISHA MAKUNYANZI,HARARA,MIKUNJO,MICHILIZI NA CHUNUSI,,,
Kuna Mambo saba 7 unayotakiwa kuyafahamu ili kuilinda ngozi yako kimuonekano na kiafya
1.utumiaji wa vipodozi vyenye kemikali.mfano mzuri Ni vipodozi vyenye kuchubua
2.AINA YA VYAKULA.Ulaji wa kiwango kikubwa was vyakula vyenye mafuta na sukari inachangia uwepo was chunusi pamoja na michilizi mwilini
3.UNYWAJI WA MAJI.(Unywaji wa maji husababisha ngozi kuwa na mikunjo ,hivyo unatakiwa angalau kwa siku unywe maji glass nane kwa siku
4.HALI YA HEWA.Hali ya hewa ikiwa ya joto husababisha au huleta makunyanzi,vipele,harara na chunusi
5.UCHAFU.(Kutokuoga vizuri)Husababisha chunusi na harara
6.MAGONJWA YA NGOZI.magonjwa ya ngozi husababisha ngozi kuwa na mabaka
7.UTUMIAJI WA MAKEUP MARA KWA MARA.
Habari wapendwa kutunza ngozi inawakaribisha watu kutumia matangazo na post mbalimbali zinazohusiana na utunzaji was ngozi,,,,,wenye matangazo ya biashara nifate dm kwa maelezo zaidi
22/03/2021
kutunza ngozi inakufanya kuwa na muonekano mzuri wa ngozi na wenye kuvutia
jinsi ya kutunza ngozi ukiwa nyumbani ni rahisi sana kwa kutumia,,,nusu kijiko cha tumeric powder(liwa) , tea spoon nusu unga wa dengu na maziwa kiasi .changanya kisha paka usoni .subili dakika 10 au 15 kisha nawa uso👩
usisahau kulike🙏
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Kisutu
Dar Es Salaam