Afya yangu.
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya yangu., Health/Beauty, Ilala, Dar es Salaam.
Nawasaidia watu wenye changamoto mbalimbali za Matatizo ya kiafya k**a vile Tezi Dume bila upasuaji, Matatizo ya mifupa, nguvu za kiume , bawasiri, Matatizo ya uzazi kwa mwanamke na wanawake n.k
TIBA YA TEZE DUME BILA KUFANYIWA UPASUAJI.
Nini Maana Ya Tezi Dume?
Tezi Dume Ni sehemu ya mfumo wa uzàzi wakiume ulio katikati ya mirija ya mkojo na kibofu Cha mkojo.
Tezi hii kitaalamu hujulikana K**a Prostate gland.
Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.Majimaji hayo ndo Yale anayotoa mwanaume anapofika KILELENI. HIvyo Tezi hii Ni muhimu Sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.
TEZI hiyo sio kubwa Sana inapatikana 5cm. Lakini tezi hii hukua kadri umri unavyoenda.
Kwa ufupi nibkuwa tezi dume ipo chini ya kibofu karibu na shingo ya kibofu. Na imezunguka na mirija inayotoa mkojo kutoka kwenye kibofu kuja nje ( urethra). HIvyo mkojo unapotoka kwenye kibofu hupitia katikati kwenye tezi dume ukiwa kwenye mirija ya Urethra. Urethra ndo mrija unaotoa mkojo kutoka kwenye kibofu.
VIPI UGONJWA WA TEZI DUME HUTOKEA?
K**a ulivyojifunza hapo juu mkojo ukiwa kwenye mirija hupitia katikati ya tezi dume, Sasa tezi hii Ina kawaida ya kukua kadri mtu anapopata umri zaidi, hivyo Basi tezi hii inapoongezeka ukubwa ndivyo inavyoanza kuminya mirija ya kupitisha mkojona kufanya kuanza kwa tatizo hili la Tezi Dume.
Tatizo Hilo kitaalamu hufahamika K**a Benign Prostatic Hyperplasia ( BPH).
DALILi za tezi dume
- kupata shida wakati wa Kukojoa.
- kutiririkwa mkojo wakati na baada ya Kukojoa.
-kukojoa mara kwa Mara hasa nyakati za usiku
- Kujikamua wakati wa Kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.
dume inatibika bila upasuaji na ili kujua K**a una tatizo hili Ni muhimu kufanya vipimo vifuatavyo
- Re**al- Exam, njia hii utaingiza kidole Cha Kati katika puru ili kuhisi katika ukuta wa puru.
Cha damu,
Unaweza kupona saratani ya Tezi Dume I'ma kwa kufanyiwa upasuaji au kwa kutumia njia mbadala ili kulikausha tezi Hilo.
Endapo Tezi hii ITATIBIWA KWA HARAKA utakuwa umejiepusha na magonjwa K**a vile saratani ya Tezi Dume.
Ili kupata tiba sahihi ya tatizo la tezi dume bila kufanyiwa upasuaji.
Tupigie 📳 0625900937
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Ilala
Dar Es Salaam