TIBA BILA DAWA.

TIBA BILA DAWA.

Share

"We Care For You're Life".

30/09/2022

"UKIFIKA AR HIJAMA HEALTH CARE CLINIC UTAPATIWA MATIBABU YASIYO NA SHAKA YA MAGONJWA YAFUATAYO:-

• Pressure.
• Kisukari / Diabetes.
• Mwili Kupooza ( Kiharusi / Stroke ).
• Kifafa ( Epilepsy ).
• Ganzi.
• Magonjwa Yote ya Ngozi..
• Mwili Kuwaka Moto.
• Sumu Mwilini.
• Chunusi.
• Kupoteza Kumbukumbu ( Kusahau ).
• Pumu Ya Ngozi ( Eczema ).
• Asthma/Pumu.
• Goita/Goitre.
• Maumivu Ya Magoti. Nyonga , Kiuno , Mgongo n.k.
• Gouti /Gauti.
• Rheumatism.
• Glaucoma ( Pressure Ya Macho ).

• Na Mengine Mengi Bila Kutumia Dawa Tiba ni Uhakika Zaidi Ya 90%...

"Karibu Katika Ofisi Zetu Magomeni Dar es salaam Mtaa wa LUPONDA , NYUMBA NA: 02 Nyuma ya Kanisa la Roma Magomeni Morocco Hotel.

" Mwasiliano:- +255655514026 au +255789595658

Photos from TIBA BILA DAWA.'s post 30/09/2022

"UGONJWA WA KUPOOZA MWILI - "KIHARUSI / STROKE".

Stroke au kiharusi ni tatizo linalotokea ghafla kwenye ubongo ambapo mtiririko wa damu kwenye eneo fulani la ubongo husitishwa ghafla au kupungua sana hivyo kusababisha eneo hilo la ubongo kukosa damu na virutubisho muhimu na seli za eneo hilo kuanza kufa.

Hili linaweza kutokea pale mishipa ya damu ya kuelekea kwenye eneo hilo Kuziba au mishipa ndani ya ubongo katika eneo hilo kupasuka.

Seli za ubongo za eneo hilo zikianza kufa kwa kukosa damu, shughuli zote zinazoendeshwa na eneo hilo la ubongo husimama kwa mfano kumbukumbu au uendeshaji wa mfumo wa misuli katika mwili.

Kiharusi ni ugonjwa wa dharura hivyo tiba inatakiwa ipatikane mapema iwezekanavyo. Kimsingi kiharusi huweza kumpata mtu yoyote wakati wowote.

Kuna aina tatu za stroke; ischemic, hemorrhagic na TIA.

Kundi la watu lililo kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata ugonjwa huu ni lile la watu wenye miili mikubwa, umri zaidi ya miaka 55, wenye historia ya ugonjwa huu kwenye familia zao, ambao hawafanyi mazoezi , wanaokunywa sana pombe au kutumia madawa haramu.

Kila moja ya aina za stroke hapo juu inasababishwa na vitu tofauti.Ischemic strokes, ndiyo aina ya stroke inayowaathiri watu wengi zaidi, asilimia 85 ya wagonjwa wa stroke hupatwa na aina hii ya stroke.

Aina hii ya stroke husababishwa na kuziba kwa arteri (mishipa ya kusafirisha damu safi) zinazoelekea kwenye ubongo au kusinyaa kwa mishipa hiyo hivyo kusababisha hali inayoitwa ischemia (upungufu mkubwa wa mtiririko wa damu).Kuziba kwa mishipa ya damu hutokea baada ya damu kuganda ndani ya arteri zinazo elekea kwenye ubongo au katika maeneo ya mbali zaidi na kusukumwa kwenye mishipa yenye kipenyo kidogo ndani ya ubongo.

Mishipa hii inaweza kuzibwa pia na mafuta yaliyoganda ndani ya arteri (plaque).Hemorrhagic strokes, husababishwa na arteri ndani ya ubongo kuvuja damu au kupasuka. Damu hii iliyovuja huleta mgandamizo kwenye seli za ubongo na kuziharibu.

Kupasuka kwa mishipa ya damu husababishwa na hypertension, trauma au dawa zinazofanya mishipa hii ya damu kupungua unene wake.Transient ischemic attack (TIA), hii ni tofauti na aina hizo mbili za stroke hapo juu kwani hapa mtiririko wa damu kuelekea kwenye ubongo huvurugwa kwa muda mfupi kwa sababu zile zile tulizozitaja hapo juu tulipozungumzia ischemic strokes.

Stroke ya aina hii ni ishara ya kutokea strokes nyingine baadaye k**a hatua zinazostahili hazitachukuliwa.

Dalili Za Kiharusi (Stroke) - Ugonjwa wa stroke humpata mtu ghafla na dalili hutokea kwa muda mfupi sana.

Dalili kuu za ugonjwa huu ni :-

Kuchanganyikiwa, mtu akipata shida ya kuongea na kuelewa anacho ambiwa , Maumivu ya kichwa yanakwenda pamoja na kupoteza fahamu kwa vipindi na kutapika , Ganzi katika viungo vya uso, mkono na mguu na hasa vikiwa vya upande mmoja wa mwili Kupana shida ya kuona kwa jicho moja au yote , Kupata shida ya kutembea vikichanganyika na kizunguzungu na kukosa mpangilio wa matendo ya mwili .

Athari za kiharusi zinaweza kuwa ni za muda mrefu. Kulingana na muda uliopita kabla ya kuugundua na kuutibu ugonjwa huu, mtu anaweza kupata ulemavu wa muda mfupi au wa kudumu.

Pamoja na madhara ya stroke k**a yalivyoorodheshwa hapo juu, mgonjwa wa stroke anaweza pia kupata yafuatayo: Msongo wa mawazo , Maumivu kwenye mikono na miguu yanayo ongozeka baada ya viungo hivyo kufanya kazi au kutokea mabadiliko ya hali ya hewa.

Kupooza au udhaifu wa upande mmoja wa mwili Kupata shida katika kufanya matendo ya kuonyesha hisia za mwili Kushindwa kumudu matumizi ya kibofu cha mkojo au viungo vya njia ya haja kubwa .

*"HIJAMA"* ( *Cupping Therapy* ) Itakusaidia Kuzibua Njia za Damu Zilizoziba Kwenye Ubongo Kwa Kuondoa uvimbe ndani Ya Njia hizo na Mafuta Mabaya ( Bad Cholesterol ) Yanayoganda kwenye njia za Damu Mwili Mzima na Kufanya Upone Kabisa na Haraka Bila Kutumia Dawa Yoyote na Usiendelee kuteseka maisha Yako Yote.

• Pia *"HIJAMA"* Itakuondolea , Kukukinga na Kukusaidia Kupambana na Munguko Mbaya wa Damu ( Bad Blood Circulation ) ambao ndiyo Chanzo Kikuu Cha Ugonjwa huu wa Kiharusi , Ili Kujikinga ni Vyema Kufanya *HIJAMA* Mara Kwa Mara ( Walau Mara 2 - 3 kwa Mwaka).

*Tiba hii ni Ghalama Rahisi Inayotoa Majibu haraka na Uhakika Kwa asilimia 99% Utapatiwa Matibabu Haya Kwa Ghalama Ya Kuanzia Isiyozidi 50,000 tu ( Ya Vifaa ) + Usafiri na Utaendelea Kuhudumiwa Mpaka Utakapopata Matokeo Kisha Utafanya Malipo , Huduma hii itakuwa endelevu Kutokana na Ukubwa wa Changamoto au Ukubwa wa Muda wa Kudumu na Ugonjwa.

"Karibu Katika Ofisi Zetu Magomeni Dar es salaam Mtaa wa LUPONDA , NYUMBA NA: 02 Nyuma ya Kanisa la Roma Magomeni Morocco Hotel.

" Mwasiliano:- +255655514026 au +255789595658

TAFADHALI : USISAHAU KU SHARE NA WENGINE ILI UWASAIDIE.

"Tunaomba maoni yako kuhusu mada hii yetu ya leo, na usisite kuuliza maswali pale ambapo unaona hujaelewa..

04/09/2022

"UGONJWA WA KIFAFA - ( Epilepsy )"

• Ubongo wa binadamu una mabilioni ya seli za neva Zinashirikiana na kila moja kupitia chaji ndogo ndogo za umeme ambazo huwaka na kuzima.Wakati baadhi ya ama hizi seli zote kwa ghafla huanza kuwaka kwa pamoja, wimbi la nguvu za umeme hupita kwenye ubongo na husababisha kifafa ama kuzirai.

• Kifafa ni jina la kuzirai kwa ghafla kunapotokea zaidi ya mara moja bila ya sababu ya kutibiwa inayojulikana.

• Katika sehemu hii jifundishe zaidi kuhusu huu ugonjwa.

*"Nitajuaje ikiwa niimeathiriwa na kifafa?"*

• Kwa mukhtasari, wakati mtu anapo athiriwa na kutetemeka kusikoweza kudhibitiwa kwa sehemu moja ama zaidi ya mwili wake ama anaanguka chini na kupoteza fahamu, hii inaweza kuwa dalili ya kifafa na ni muhimu kutafuta ushauri wa dakitari haraka iwezekanavyo.

• Wakati wa kifafa kuna mshtuko wa ghafla wa misuli.Mikono, miguu na sehemu nyingine za mwili huwa na mwendo wa kujirudia rudia ambao ni vigumu kuukabili kwa kutumia nguvu haswa ikiwa mgonjwa ni mkubwa kwa umbo.

• K**a sehemu ya tendo la misuli, mgonjwa husaga meno yake kwa sababu ya tendo la nguuvu katika taya. Jaribio lolote la kuweka kitu kwenye mdomo linaweza kusababisha kuvunjika kwa meno ya mgonjwa, kunyongwa na kile kilichowekwa mdomoni ama mgonjwa kumuuma vibaya mhudumu wake.

• Kwa hivyo fahamu: USIWEKE kitu katika mdomo wa mgonjwa anaposhikwa na mshtuko wa kifafa..

• Kutokea kwa kifafa hakuwezi kutabirika katika watu tofauti. Kuna wale ambao ugonjwa wao wa kifafa unaweza kudhibitiwa kwa urahisi ilhali wengine wanahitaji matibabu 2-3 ili kupunguza visa vya kuzirai bila ya kuvimaliza kabisa. Kwa wagonjwa 2 wenye umri sawa na uzani sawa, matibabu ya kipekee yanaweza kutolewa katika vipimo tofauti ili kudhibiti kuzirai kwao.

• Mtu aliyeathiriwa na kifafa anapaswa Kupatiwa Matibabu Kwa Muda Kiasi Kadiri itakavyo Shauriwa na Daktati Wetu.

• Hii Inategemea wingi wa kutokea kwa visa vya kuzirai,

•Ugonjwa huu wa Kifafa Unatibika Kwa Urahisi Sana Kwa Njia Bora Ya Matibabu Ya *"HIJAMA"* ( Cupping therapy .

• Karibu tukuhudumie kuondoa changamoto ya tatizo la Kifafa.

*Tiba hii ni Ghalama Rahisi Inayotoa Majibu haraka na Uhakika Kwa asilimia 99% Utapatiwa Matibabu Haya Kwa Ghalama.Isiyozidi 50,000 tu , Isipokuwa Kwa Baadhi Watalazimika Kurudia Kutokana na Ukubwa wa Changamoto zao au Ukubwa wa Muda Waliodumu na Ugonjwa.

"Karibu Katika Ofisi Zetu Magomeni Dar es salaam Mtaa wa LUPONDA , NYUMBA NA: 02 Nyuma ya Kanisa la Roma Magomeni Morocco Hotel.

" Mwasiliano:- +255655514026 au +255789595658

TAFADHALI : USISAHAU KU SHARE NA WENGINE ILI UWASAIDIE.

01/09/2022

*"UGONJWA WA PUMU - "BRONCHIAL ASTHMA" *🕳.

🕳 Pumu ni nini ?

🏿* PUMU* Ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa upumuaji baada ya njia ya kupitishia hewa (bronchieal tube) kuvimba na kutengeneza Ute (mucus) ambayo kupelekea njia ya hewa kuwa ndogo, mgonjwa huanza kupata shida ya Kupumua, kukohoa, kutoa sauti K**a filimbi na wengine Kushindwa kuongea.

🕳 Asthma/Pumu huwapata Rika na jinsia zote wakubwa kwa Watoto.

"Pumu haina chanzo mahususi (halisi), bali hufananishwa na kulinganishwa na mazingira flani.

🕳 Dalili za Pumu

• Mgonjwa wa pumu huonyesha dalili kadha wa kadha Kati ya hizo ni hizi zifatazo:-

• Kupata shida ya Kupumua
• Kifua kubana na kifua kuuma
• Kukoa/kikohozi Kikavu Kisichokoma.
• Kutoa sauti k**a filimbi wakati wa kutoa hutoa hewa au Kukohoa.
• Kushindwa kulala/kupata shida wakati wa kulala kwa sababu ya Kushindwa Kupumua vizuri.
• Kubanwa Mbavu.

• Wakati mwingine Pumu hutokea/huamshwa na mazingira flani ya nje au Hali ya hewa.
• Shughuli katika mazingira flani

- Baadhi ya watu hupata tatizo la Pumu kwa sababu ya kazi hujulikana K**a (exercises induced asthma) mfano wanaofanya mazingira yenye baridi sana na hewa kavu.

• Mzio (Aleji) - Watu wengine huamsha Pumu kwa sababu ya mzio au Aleji (allergies induced asthma).

• Aleji Inaweza Kuwa Ya Vitu mfano vumbi, Harufu Mbaya , Manukato , Moshi , Harufi za Kemikali au Mvuke Wa Barafu.

• Kundi lingine la watu wengine Wako Kwenye Hatari Ya Kupata asthma kwa sababu ya kazi wanazo fanya ( *Occupation asthma* ) Ni:- Wakulima Wanaopulizia dawa mashambani,viwanda vya gesi na kazi zinazohusisha vumbi, moshi matumizi ya Vitu Vyenye harufu Kali au Manukato.
•Kuvuta hewa iliyo changanyikana na Vumbi , Moshi , Harufu za Kemikali au Mvuke Mfano wa Mvuke wa Friji.

🕳 Mazingira ambayo yanaweza kuamsha/kusababisha tatizo la Pumu ni pamoja.

Chanzo Cha Pumu/Asthma
Pumu haisababishwi na kitu kimoja huweza kusababishwa na vitu vingi,

• Mzio/Aleji ya vumbi,moshi,
Kurithi kutoka kwenye familia ambayo ina watu au mtu mwenye Pumu.

• Mazingira ya kazi mfano, kazi za kupulizia dawa shambani, viwandani K**a vya simenti, gesi, makaa,n.k.

• Uvutaji wa sigara ,Kuwa na Uzito au unene kupita kiasi
Msongo wa mawazo au Kiungulia Cha muda mrefu.

🕳 MATIBABU

• Pumu Ni ugonjwa Uliotafsiriwa Kuwa ni wa kudumu na matibabu yake Kwa Njia Zilizo zoeleka na Zimazopendwa Bado ni changamoto.

• Na mara nyingi kumfanya muhanga kutumia dawa hizo kwa muda wote wa maisha yake.

• Ila Kwa Matibabu *"HIJAMA"* ( *Cupping Therapy* ) Yatakusaidia Kuondoa uvimbe ndani Ya Njia za hewa na Kuondoa Ute (mucus) Wrote kwenye njia ya hewa na Kufanya Upone Kabisa Bila Kutumia Dawa Yoyote na Usiendelee kuteseka maisha Yako Yote.
• Pia *"HIJAMA"* Itakuondolea , Kukukinga na Kukusaidia Kupambana na mzio/Aleji ambao ndiyo Chanzo Kikuu Cha Pumu.

• Karibu tukuhudumie kuondoa changamoto ya tatizo la Pumu/Asthma.

*Tiba hii ni Ghalama Rahisi Inayotoa Majibu haraka na Uhakika Kwa asilimia 99% Utapatiwa Matibabu Haya Kwa Ghalama.Isiyozidi 50,000 tu , Isipokuwa Kwa Baadhi Watalazimika Kurudia Kutokana na Ukubwa wa Changamoto zao au Ukubwa wa Muda Waliodumu na Ugonjwa.

"Karibu Katika Ofisi Zetu Magomeni Dar es salaam Mtaa wa LUPONDA , NYUMBA NA: 02 Nyuma ya Kanisa la Roma Magomeni Morocco Hotel.

" Mwasiliano:- +255655514026 au +255789595658

TAFADHALI : USISAHAU KU SHARE NA WENGINE ILI UWASAIDIE.

30/08/2022

"HII NDIYO SABABU KUU YA VIFO VYA GHAFLA - HEART ATACK - ( *Shambulizi la Ghafla la Moyo* )".

• *Heart Attack* ni Moja ya Magonjwa hatari sana ambayo yanaweza kumpata mtu yoyote.

• Kwa kawaida Ugonjwa huu hutokea pale ambapo sehemu ya nyama ya moyo inapo haribika au Kufa Kutokana na Kukosa Damu ya Kutosha.

• Tatizo hili husababishwa na Kuziba kwa Mishipa ya Damu inayosambaza damu katika moyo ( *Coronary Artery Blockage* ) Kunakotokana na Kuzidi Kwa Mafuta Mabaya Mwilini ( *Atherosclerotic Plaque* ).

• *Watu walio katika hatari ya Kukumbwa na Ugonjwa huu ni Pamoja na:.*

• Wavutaji wa Sigara.
• Wenye umri mkubwa Kuanzia miaka 45 Kwa Wanaume na 55 Kwa Wanawake.
• Watu wenye mafuta ya lijamu katika damu au wale wenye mafuta mabaya aina ya *triglycerides* na *low density lipoprotein* kwa kiwango kikubwa katika damu zao.
• Wenye Kisukari.
• Wenye matatizo ya shinikizo la damu ( *High & Low Blood Pressure* )
• Walio na Unene kupita kiasi ( *Obesity* ).
• Wenye matatizo Sugu ya Kushindwa Kufanya Kazi Kwa Figo Zao ( *Chronic Renal Failure* ).
• Moyo kushindwa kufanya kazi (heart failure).
• Wanywaji wa Pombe Kupindukia.
• Watumiaji wa madawa ya kulevya hasa *Co***ne* na *Methamphetamine*.
• Watu wenye msongo wa mawazo Wa Muda Mrefu - ( *Chronic high stress levels* ).
• Upungufu wa vitamin B2, B6, B12 na folic acid.

• *Dalili za shambulizi la moyo.*

• Maumivu makali ya ghafla kifuani ambayo husambaa kwenye Taya , Shingo, Bega na mkono wa Kushoto.
• Kupumua kwa shida.
• Kutoka jasho kwa wingi Sana - ( *Diaphoresis* ).
• Kuhisi mapigo ya moyo yanapiga haraka - ( *Palpitations* ).
• Kichefuchefu.
• Kutapika
• Kuchoka haraka sana
• Kupoteza fahamu.

• *Chanzo*.

• Tafiti mbalimbali zimehusisha mambo yafuatayo na shambulizi la moyo.

• Msongo wa mawazo.
• Maambukizi hasa vichomi vinavyo sababishwa na vimelea vya *Chlamydophila Pneumonia*.
• Hutokea zaidi asubuhi hasa saa tatu ( Saa 3 asubuhi).

• Ili kuweza kutambua Uwepo wa tatizo hili, mwaka 1979, shirika la Afya Duniani (WHO) liliweka vigezo vya kutambua shambulizi la moyo.

*Vigezo hivyo ni:-*

• Historia ya kuwa na Maumivu ya Kifua ( *Chest Pain* ) Kwa Zaidi ya Dakika 20.
• Mabadiliko katika kipimo cha ECG, na
• Kupanda na kushuka kwa kipimo kiitwacho kitaalamu *Cardiac Biomarkers* hasa *Creatine Kinase* - MB na *troponin*.

Matibabu.

• Shambulio la moyo ni tatizo linalohitaji matibabu ya dharua.

• Lisipotibiwa kwa haraka husababisha kifo katika muda mfupi sana tangu mgonjwa apatwe na tatizo.

*Njia za kuzuia shambulizi la moyo*.

• Kuacha kuvuta sigara.
• Kufanya mazoezi ya mara kwa mara.
• Kupunguza unywaji wa pombe.
• Kubadilisha aina ya mlo. Kupunguza mafuta katika mlo na chumvi.
• Kutumia mafuta ya samaki ( *Omega-3 fatty acids* ).
• Kuna utafiti unaosema kuwa uchangiaji damu hupunguza hatari ya magonjwa ya moyo hasa kwa wanaume..

*Madhara*.

• Moyo kushindwa kufanya kazi ( *heart failure* ) Ghafla.
• Matatizo katika mfumo wa mapigo ya moyo ( *Atrial fibrillation* ) ambayo hatimaye hupelekea kifo
• Shambulizi la moyo kurudia mara ya pili.
• Kifo cha ghafla ( *Sudden Death* ).

• Matatizo Yote haya Yanaweza Kutibika Kwa Uhakika Zaidi na Ghalama nafuu Kwa Njia Ya "HIJAMA* ( CHUKU ).

*Tiba hii ni Ghalama Rahisi Inayotoa Majibu haraka na Uhakika Kwa asilimia 99%.

"Karibu Katika Ofisi Zetu Magomeni Dar es salaam Mtaa wa LUPONDA , NYUMBA NA: 02 Nyuma ya Kanisa la Roma Magomeni Morocco Hotel.

" Mwasiliano:- +255655514026 au +255789595658

na Wengine Unaowapenda Wapate Elimu hii Bure.

28/08/2022

♐KIPANDA USO ".♐

♐Ni Nini ? ♐

♐Kipandauso ni Jina la Jumla la Maumivu Ya Kichwa Ya Mara Kwa Mara ambayo Mara Nyingi Hushamiri Nyakati za Asubuhi Yanayo shabihiana na Kuongezeka au Kukua Kwa Miale Ya Jua♐

♐Mara Nyingi Maumivu Haya Yamekuwa Yakihusishwa na Kuchomoza na Kupanda Kwa Jua Hasa Nyakati Za Asubuhi Kutokana na Miale Inayotoka Kwenye Jua Kuchochea Ongezeko la Maumivu Hayo Yanayoweza Kutokana na Sababu Mbali Mbali.

♐Maumivu Ya Kichwa Yanayobusishwa na Kipandauso Yamegawanyika Sehemu Nyingi sana japo kuwa 1% yake ni ashirio la matatizo ya kiafya ambayo yamepitiliza au Ya Muda Mrefu.

♐ K**a Vile Concussion of Brain , Meningitis , Encephaliti na Viashiria Vya Stroke. Kuumwa na kichwa pia inawezatokana na matatizo ya Misuli au Mishipa Ya Damu Inayozunguka taya , Matatizo Ya Tissue au Misuli ya Taya , Meno au Hata Kula vitu vya Baridi zaidi Mara Kwa Mara.

♐Kula Vyakula Vyenye Nitrite au Monosodium Glutamate.♐

♐Sehemu ambazo huuma ni k**a ifuatavyo:

-⏳ Mfumo wa fahamu ambao upo kwenye fuvu la kichwa.
- Baadhi ya neva za fahamu zilizoko usoni.
- Misuli ya kichwani.
-Mishipa inayopatikana kwenye fuvu la kichwana chini ya ubongo kuna mifumo ya fahamu yenye hisia. Kumbuka fuvu na tishu za ubongo kwa zenyewe haziumi kwani hazina mifumo ya fahamu ambayo inahisia.

♐Yapo Mambo 12 ambayo yanahusika sana.

1:Nervous tension headaches;

- ⏳Ni maumivu ya kichwa endelevu upande mmoja au pande zote za misuli ya shingo na upande wa juu wa mgongo, kuumwa na kichwa pamoja na kusinzia. Tumia vitamin b2 na c , ounguza au acha matumizi ya sukari,kahawa,chakula chenye kukusababishia mzio,misongo ya mawazo na ufanye mazoezi yakutosha.

2: Cluster headaches;

-⏳ Kichwa kuuma haswa upande mmoja wa kichwa kwa maumivu makali, machozi humtoka mtu na mak**asi kwa mbali. Kitu cha kwanza ni kutumia chakula chenye protein ya kutosha, epukana na chakula chenye mzio kwako.

3: Hangover headaches;

- ⏳Hii ni hali ya kichwa kuuma kwa sababu ya matumizi makubwa ya vinywaji vikali haswa pombe. Weka barafu chini ya kichwa yaani maeneo ya kichogoni au shingoni,kunywa maji mengi na juice ya matunda freshi na uache pombe.

4: Exertion headaches;

- ⏳Hutokea pale ambapo mwili utatumika sana na haswa kwenye ngono. Weka barafu linalouma, kula mlo kamili na usifanye mazoezi.

5: Caffein headaches;

- ⏳Hali hii hutokea pale ambapo umeacha matumizi makubwa sana ya kahawa kwa ghafla. Kunywa kiasi kidogo cha kahawa kuondoa maumivu na upunguze matumizi kidogokodogo mpaka utakapo acha kabisa.

6: Sinus headaches;

- ⏳Maumivu haya huanzia upande wa kulia na kushoto wa pua na kupanda mpaka kichwani. Kula vitamini C kwa wingi na umuone mtaalamu wa afya maana saa zingine hii utkana na maambukizi.

7: Bilious headaches;

-⏳Kichwa na macho huuma haswa kipanda uso na husababishwa na kula sana, kula vibaya, kutofanya mazoezi na kukosa choo. Fanya mazoezi na kunywa maji ya kutosha.

8: Hunger headaches;

- ⏳Maumivu ya kichwa ambaya husababishwa na kutokula kwa muda. Kula chochote ilimradi kiwe ni protein au carbohydrates .

9: Eyes ram headaches.

- ⏳Haya ni maumivu yanayotokea kwenye macho na wengi hudhani labda wameangalia vibaya japo saa zingine inaweza kuwa sababu. lakini chanzo chake haswa ni ubongo kufanya kazi kupita kiasi. Badili mtindo wa maisha na k**a ni mtumiaji wa miwani ni vyema ukamuana mtaalamu aangalie k**a lensi zimepotea nuru au la.

10: Menstrual headaches;

-⏳ Hali hii hutokea kwa kina mama kipindi cha yai kupevuka. Hutokana na mabadiliko ya hormone, muone mtaalamu wa afya.

11: Arthritis headaches;

-⏳ Haya ni maumivu ya kichwa yanayosikika mpaka shingoni na saa zingine mpaka mgongoni ambayo husababisha maumivu haswa unapozidisha mwendo au shughuli. Kitu kikubwa ni kutibu ugonjwa unaosababisha hali hiyo.

12: Hypertension headaches;

-⏳ Ni maumivu ya kichwa chote, mwendo mkubwa pia huongeza maumivu. Hali hii husababishwa na shinikizo la damu. Tibu au pambana kushusha shinikizo la damu na halii itaisha bila shaka.

-⌛ Kabla ya Kupata Matibabu Yoyote Kuhusiana na Matatizo ya Kipanda Uso Kuna Mambo Kadhaa Unapaswa Kujiuliza : -

-Je unapata Usingizi wa kutosha?
-Unalala usiku masaa mangapi?
- Je, unakunywa maji ya kutosha?
-Una miaka mingapi?
-Unapata haja kubwa ya kutosha?
- Utaratibu Wako Wa Kuamka Ukoje ?
- Ukiamka Unakurupuka tu au Unasubiri Kutoa Nafasi Ya Damu Kusambaa Vizuri Kwenye Ubongo ?

♐Ushauri♐

♐Nenda Pia kapime macho yako na kwenye mishipa ya fahamu huenda Kuna matatizo na Na Pia Ufanyiwe Uchunguzi wa Ugonjwa wa Sinusitis.

♐Kwa Mtu anaye jishughulsha na Kazi za Juani awe anavaa Kofia.

• Matatizo Yote haya Yanaweza Kutibika Kwa Uhakika Zaidi na Ghalama nafuu Kwa Njia Ya "HIJAMA* ( CHUKU ).

*Tiba hii ni Ghalama Rahisi Inayotoa Majibu haraka na Uhakika Kwa asilimia 99%.

"Karibu Katika Ofisi Zetu Magomeni Dar es salaam Mtaa wa LUPONDA , NYUMBA NA: 02 Nyuma ya Kanisa la Roma Magomeni Morocco Hotel.

" Mwasiliano:- +255655514026 au +255789595658

na Wengine Unaowapenda Wapate Elimu hii Bure.

28/08/2022

*MADHARA YA KUTUMIA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO ZA KISASA*

*NA PIA NYONGA HUWEZA KUGEUKA NA KUWA ZA KIUME. KITENDO CHA DAMU YA HEDHI KUBAKI NDANI YA TUMBO HUWEZA KUSABABISHA UVIMBE ( FIBROIDS ) TUMBONI.*

*MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA*

1⃣ *Usumbufu hedhi*
2⃣ *Kuumwa kichwa mara kwa mara*
3⃣ *Kizungu zungu*
4⃣ *Kichefu chefu*
5⃣ *Kuongezeka uzito usiokuwa na faida.*
-
*MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA*

1⃣ *Huathiri fuko la uzazi kwa ndan*
2⃣ *Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga*
3⃣ *Kuumwa kichwa mara kwa mara*
4⃣ *Kupata kichefu chefu*
5⃣ *Kutopata hedhi kwa baadh ya wanawake*
-
*MADHARA YA KITANZI*

1⃣ *utokaji ovyo wa damu*
2⃣ *Kutoboka fuko la uzazi*
3⃣ *Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.*

*👉-Napenda kushauri tunayo tiba (supplements )inayoondoa Changamoto hizo.*

*MADHARA YA KIJITI*

1⃣ *Husababisha kansa*
2⃣ *Kuchanganyikiwa akili*
3⃣ *Shinikizo la damu*
4⃣ *Maumivu makali au kutoja damu wakati wa tendo la ndoa.*

• Matatizo Yote haya Yanaweza Kutibika Kwa Uhakika Zaidi na Ghalama nafuu Kwa Njia Ya "HIJAMA* ( CHUKU ).

*Tiba hii ni Ghalama Rahisi Inayotoa Majibu haraka na Uhakika Kwa asilimia 99%.

"Karibu Katika Ofisi Zetu Magomeni Dar es salaam Mtaa wa LUPONDA , NYUMBA NA: 02 Nyuma ya Kanisa la Roma Magomeni Morocco Hotel.

" Mwasiliano:- +255655514026 au +255789595658

*USIWE MCHOYO MUALIKE RAFIKI YAKO , MZAZI AJIUNGE NASI APATE KUJIFUNZA HILI JAPO APATE UELEWA KWA KINA*.

Tafadhali Kwa Faida Ya Wengine.

27/08/2022

*NINI CHANZO CHA GANZI NA MIGUU KUWAKA MOTO... ?*

• Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy.

• Mwili wa binadamu hutawaliwa na mifumo ya neva au kwa kitaalamu Nervous System, ambapo katika mifumo hii kuna mfumo mkuu, central nervous system (ubongo na uti wa mgongo) na pia kuna mfumo wa pembezoni ambao ni kazi za mwili mbali na ubongo na uti wa mgongo (peripheral nervous system), mfumo huu wa pembezoni hujumuisha kazi za misuli, mapigo ya moyo, mmeng’enyo wa chakula tumboni, uwezo wa kuhisi baridi au joto, kugusa vitu na kujua ukali wa ncha ya kitu na kadhalika.

• Matatizo haya ya kiafya (miguu au mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.

• Dalili .

1. Mtu kuhisi ganzi
2.Maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni au mikononi,
3. Kuhisi k**a umevaa soksi au gloves wakati hujavaa,
4. Kuhisi k**a kuna kitu cha ncha kali kinakuchoma miguuni au kwenye vidole,
5. Kushindwa kushika au kunyanyua kitu,
6. Kuchoka kwa misuli na kadhalika.

• Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuatayo naomba uyafahamu:

1. Kupungua kwa virutubisho mwilini, katika hili tunamaanisha mwili kutokuwa na vitamini vya kutosha na hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex).

2.Matumizi ya dawa, mtu kuwa katika matumizi ya baadhi ya dawa, mfano dawa za kutibu kifua kikuu au za kupambana na virusi vya ukimwi huweza kumsababishia mtumiaji matatizo ya neva.

3. Uzito mkubwa wa mwili: Hali hii hupelekea maumbile ya viungo vya mwili mfano umbile la uti wa mgongo lionekane tofauti na ilivyo kawaida, kubadilika huku husababisha baadhi ya neva katika uti wa mgongo zikandamizwe zaidi na misuli au uzito wa mwili na hivyo kusababisha neva hizo zishindwe kufanya kazi vizuri, matokeo yake ni wewe kuanza kuhisi maumivi au kufa ganzi kwa miguu.

4. Ugonjwa wa kisukari: Mtu mwenye tatizo la kisukari huwa hatarini zaidi kuugua au kupata matatizo ya neva, (diabetic polyneuropathy).

• Shinikizo la damu: Mtu kuwa na shinikizo kubwa la damu (High blood pressure) pia ni kihatarishi kinachoweza kumfanya mtu apate ugonjwa huu wa neva.

• Baadhi ya vitu hatarishi vinavyoweza kumfanya mtu apate matatizo haya, vinaweza kuepukika kwa mtu kuyabadili maisha yake mfano, k**a ulikuwa hufanyi mazoezi ya mwili, basi ujitahidi kuupa mwili mazoezi ili kupunguza uzito wa mwili, kuepuka magonjwa ya kisukari na kuepuka kuwa na shinikizo kubwa la damu, kula chakula chenye virutubisho vya kutosha.

• Matatizo Yote haya Yanaweza Kutibika Kwa Uhakika Zaidi na Ghalama nafuu Kwa Njia Ya "HIJAMA* ( CHUKU ).

*Tiba hii ni Ghalama Rahisi Inayotoa Majibu haraka na Uhakika Kwa asilimia 99%.

"Karibu Katika Ofisi Zetu Magomeni Dar es salaam Mtaa wa LUPONDA , NYUMBA NA: 02 Nyuma ya Kanisa la Roma Magomeni Morocco Hotel.

" Mwasiliano:- +255655514026 au +255789595658

na Wengine Unaowapenda Wapate Elimu hii Bure.

26/08/2022

~MAUMIVU YA VIUNGO MAGOTI , MGONGO , NYONGA N.K - JOINT TEARS & WEAR°.
~
ARTHRITIS NI NINI ?
~
Matatizo ya viungo,miguu kuwaka moto , maumivu ya kiuno na mgongo , yamekua yakiwasumbua watu wengi hasa wenye uzito mkubwa , wanaofanya mazoezi na wazee wenye umri kuanzia 55+.
~
Hii ni kwasababu umri unavyozidi kwenda mwili unashindwa kuzalisha ute ute katika viungio vya mifupa na hivyo kupelekea misuguano ya mifupa Na Kusababisha maumivu makali sana na kupelekea mtu kushindwa Kukaa , Kuinuka , Kukimbia au Hata Kutembea Kabisa!!
~
- Mara Nyingi Ugonjwa Huu Huitwa ARTHRITIS , Unasababishwa na hitilafu yoyote katika sehemu hizo za maungio ya mifupa.
~
Inaweza kuwa cartilage inalika,upungufu wa synovial fluid (Maji Maji Katika Maungio ) , maambukizi ya vijidudu katika moja ya maeneo hayo au mchanganyiko wa matatizo Mbali Mbali , Ikiwemo Uzito mkubwa.
~
Tabia kuu ya magonjwa haya ni maumivu kwenye maungio ya mifupa (joints) ambayo ni endelevu na ambayo hutokea eneo hilo hilo moja.
~
Chanzo Cha Arthritis Ni Nini...?
~
Ili Upate Kuelewa Vyema Chanzo cha ugonjwa huu,hebu kwanza tutazame muundo wa joint au sehemu mifupa miwili inapokutana( Maungio).
~
Mfano Goti ambapo mifupa miwili mmoja wa paja na mwingine wa mguu vinapokutana:
~
Maungio ya mifupa - Ligaments;
~
-Ndicho kitu kinachoshikilia mifupa hii miwili pamoja , hii ni k**a utepe wa plastiki au mpira unaonyumbuka uliozunguka eneo hilo kwa nje , ukikunja goti inanyumbuka na ukinyoosha mguu inarudi.
~
Cartilage ; Huu ni utando unafunika eneo ambalo mifupa hugusana ili kuzuia mifupa hii isisuguane moja kwa moja,Utando huu ambao kwa kiswahili tunauita gegedu huyawezesha maungio hayo kufanya kazi kiulaini pasipo kusababisha maumivu.
~
Capsule ; Hiki ni kitu kinachofunika maungio haya kikizunguka pande zote , ndani ya mfuko huu wa capsule kuna synovial fluid ambayo huzalishwa na synovial membrane.
~
Synovial fluid : Huu ni ute ute wa kulainisha sehemu hiyo ya maungio na synovial membrane ni utando ulio kwenye kuta za ndani za capsule.
~
K**a nilivyoeleza hapo juu kuwa kuna aina zaidi ya 100 za ugonjwa huu wa joints au arthritis.
~
Katika mada yetu ya leo tutatazama aina k**a nne hivi za ugonjwa huu,tukielezea chanzo cha kila aina....
~
1. Osteoarthritis.
- Hii ni aina ya arthritis inayosumbua watu wengi zaidi kuliko aina nyingine zote...
~
Ugonjwa huu huwapata zaidi watu wenye umri mkubwa , Osteoarthritis hutokea pale cartilage inapopoteza uwezo wake wa kubonyea na kuwa ngumu hivyo kuharibika haraka.
~
- Cartilage ni kiungo cha kuhimili migandamizo ya ghafla ( shock absorber ), Cartilage hii inapopoteza ubora wake , tendons na ligaments huvutika na kusababisha maumivu.
~
Hali ya uharibifu huu wa cartilage ikiendelea mwishowe mifupa huanza kusuguana moja kwa moja na ndipo mgonjwa atakapoanza kupata maumivu makali sana sana.
~
- Athari za ugonjwa huanza taratibu na kuongezeka zaidi na Mgonjwa ataanza kupata maumivu kwenye joint baada ya kufanya shuguli fulani au baada ya mapumziko ya muda mrefu.
~
Joints zitaanza kukaza siku hadi siku , Hasa wakati wa asubuhi unapotaka kuanza shughuli zako za kawaida.
Na siku zinavyosogea ndivyo utakavyoona ni vigumu zaidi kukitumia kiungo chako , Mara nyingine utaona uvimbe kwenye joint.
~
Osteoarthritis - Hushambulia zaidi nyonga,mikono , Magoti na Uti wa Mgongo.
~
2. Rheumatoid arthritis.- Ugonjwa huu hutokea pale mfumo wa kinga ya mwili unapopungua , viungo huanza kushambuliwa , ikiwa ni pamoja na synovial membrane (synovium) na kusababisha uvimbe na maumivu.
~
Hali hii isipodhibitiwa,huweza kusababisha ulemavu . Ugonjwa huu unaweza pia kushambulia macho , Ngozi , Mapafu , Midomo , Damu na Mishipa ya Damu.
~
Huu ni ugonjwa ambao zaidi ni wa wanawake na huwatokea zaidi wawapo kati ya umri wa miaka 40 hadi 60.
~
Mgonjwa atasikia maumivu na kuona uvimbe kwenye joints za pande zote za mwili ;
~
Yaani k**a ni magoti yote mawili yatashambuliwa na Viungo vinavyo shambuliwa zaidi ni Vidole , Viwiko vya mikono na miguu.
- Athari zake huonekana zaidi asubuhi unapoamka na maumivu yanaweza kudumu kwa muda wa hadi nusu saa.
Muathirika wa ugonjwa huu hujisikia mchovu muda wote , hukosa hamu ya kula na hupungua uzito , Ugonjwa huu huweza kukua zaidi na Kusababisha matatizo katika viungo vyote vya mwili.
~
Matatizo yanayoweza kujitokeza ugonjwa ukikua ni k**a yafuatayo:
– Macho kuwa na ukavu , maumivu , wekundu , kutopenda mwanga na kutoona vizuri.
– Midomo , Ukavu au kukauka kwa lips za midomo,maumivu na maambukizi ya fizi.
– Ngozi,Vijinundu chini ya ngozi kwenye maeneo yenye mifupa
-- Mapafu,Kushindwa kupumua vizuri.
– Mishipa Ya Damu,Uharibifu wa mishipa ya damu.
– Damu , Upungufu wa chembechembe nyekundu za damu.
3. Infectious arthritis (septic arthritic).
- Aina hii ya arthritis inatokana na maambukizi ya bacteria kwenye synovial fluid. Maambukizi haya yanaweza kuwa pia ni ya fungus au virusi.
~
Wadudu kutoka sehemu nyingine ya mwili iliyo karibu na maungio ya mifupa huweza kusambaa kupitia mfumo wa damu hadi kwenye joint na kuleta maambukizi.
~
Mara nyingi mtu mwenye aina nyingine ya arthritis ndiye anayepata maambukizi ya namna hii , Mgonjwa ataanza kwanza kupata homa , maumivu na uvimbe kwenye joint.
~
Maeneo ambayo hushambuliwa zaidi na aina hii ya arthritis ni Magoti , Mabega , Kiwiko cha mkono , Kiganja (wrist) na vidole na mara nyingi ni eneo moja tu ndilo litakaloshambuliwa.
~
4. Juvenile rheumatoid arthritis (JRA).
- Ni ugonjwa ambao huwapata zaidi vijana walio na umri ulio chini ya miaka 16 na unakuja kwa namna nyingi.
Kuna aina kuu tatu za ugonjwa huu:
~
I. Pauciarticular JRA.
- ~
~Huu ndiyo unaoonekana zaidi na hauna madhara makubwa ukilinganisha na aina nyingine,Mtoto atasikia maumivu kwenye joints zinazofikia nne.
II. Polyarticular JRA.
- Huu hushambulia joints nyingi zaidi , zaidi ya nne na maumivu yake ni makali zaidi.
Kadri siku zinavyo ongezeka, ndivyo maumivu yatakavyozidi.
III. Systemic JRA.
- Huu huonekana kwa nadra ambapo maumivu hujitokeza kwenye maeneo mengi na madhara yake kuwa makubwa zaidi,
Mtoto ataanza kusikia homa za vipindi ambapo huzidi zaidi nyakati za jioni.
~
Hali hii inaweza kumtokea mtoto kwa muda mfupi au kwa wengine kwa muda mrefu sana.
Mtoto atapata mauvimu kwenye maungio ya mifupa (joints) , uvimbe kwenye maungio hayo na kukak**aa kwa viungo.
Mtoto huyu atakosa hamu ya kula hivyo kumfanya akonde.
Ugonjwa ukizidi , mtoto anaweza kudumaa (kushindwa kukua), ukuaji wa mifupa yake kuathirika na kupata matatizo ya macho (uveitis).
Changamoto Kubwa Ya Matatizo Ya Joints Huwapata Wana Michezo , Wanyanyua Vyuma (Body Builder) ,Watu Wanaofanya Kazi Ngumu ,Mafundi ,Watoto Wadogo Wenye Umri wa Kuanza Kutembea , Magari , Wabeba Mizigo Na Madereva Wa Masafa Marefu Pamoja Na Wafanyakazi Wa Mahofisini Wanao Fanya Kazi Za Kukaa Zaidi.
"Lipo Suluhisho Pekee la Kumaliza Matatizo Yote Haya Kwa Haraka Sana.

• Tuba ya Hijama/Cupping..

• Matibabu bora ya kuondoa Tatizo hili Bika Kutumia Mafawa na Kupoteza ghalama Kubwa Bila Kuwa na Uhakika was Kupona ni Hijamah.

"Karibu Katika Ofisi Zetu Magomeni Dar es salaam Mtaa wa LUPONDA , NYUMBA NA: 02 Nyuma ya Kanisa la Roma Magomeni Morocco Hotel.

📷 Tatizo Lako linapona kabisa. Wasiliana Nasi kwa kupiga Simu:-

" Mwasiliano:- +255655514026 au +255789595658

N.B. "Ibada hii Pia ni SUNNAH Kwa Waislam , Imesuniwa Kufanya Walau Mara Mbili Kwa Mwaka hata k**a huumwi... Ukiumwa Unapata tiba Pia Unapata Thawabu.

NA WENGINE WAIPATE.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Magomeni , Luponda Street , House No : 02
Dar Es Salaam