Afya
Tumia virutubisho lishe kurejesha AFYA Yako .. USITUMIE dawa ๏ฟฝ
13/10/2024
JE! Unasumbuliwa na njia ya haja KUBWA kubana?,au maumivu makali wakati WA kujisaidia?
Solution ya uhakika ipo..ndani ya week 2 TU utaanza kujisikia vizuri .
Wasiliana na sisi Kwa ushauri zaidi Kwa WhatsApp au piga 0682793390.
06/10/2024
06/10/2024
KWA HUDUMA ZAIDI NIPIGIE SIM
0682793390
06/08/2023
Kuna jambo linanishangaza sana! utakuta mwanaume anapata muda wa kukaa kitako kwa dakika tisini au zaidi akiangalia mpira na wengine wanakesha kabisa katika baa wakinywa na kula tu!
lakini wanasahau kabisa kutenga muda tena mdogo tu k**a dakika 20 mpaka 30 kila siku kwa ajili ya kufanya Mazoezi.
Mwanaume anayefanya mazoezi siku zote hawezi kuwa sawa na mwanaume asiyefanya mazoezi, sio tu katika kuimarisha nguvu za kiume lakini pia kuweza kujitawala katika tendo la ndoa na kuweza kumfikisha mwanamke katika raha ile inayotakiwa.
Hizi ni miongoni mwa faida ambazo unazikosa pindi ambapo hufanyi Mazoezi;
Ukifanya mazoezi hormone ya testosterone inazalishwa zaidi, hivyo misuli kutuna na kuwa na muonekano wa kiume zaidi. Nguvu kuongezeka na stamina, akili kuwa sharp, kuongeza ufanisi wa mijongeo ya viungo, kuwa na furaha na amani na pia kuongeza hamu ya Kufanya Tendo la ndoa mda mrefu.
Pili mazoezi hufanya mtiririko wa damu kwenye uume uwe mzuri hivyo kuufanya uume uwe na nguvu na kuondoa kabisa tatizo la nguvu za kiume.
Tatu humpa uwezo mfanyaji wa mazoezi haya kukawia kumwaga mbegu hivyo kumpa nafasi mwanamke aweze kufikia katika kilele chake pasi na kumkatishia njiani
Mazoezi ya mara kwa mara huimarisha moyo wako na kuuruhusu kusukuma damu zaidi ndani ya mwili wako kwa kila pigo la moyo jambo ambalo husaidia kupunguza kiwango cha mafuta hatarishi kilichopo mwilini na ndani ya damu yako, hivyo kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo.
Kati ya kitu utapata kutoka kwangu wakati unatumia virutubisho ni miongozo sahihi ya mazoezi hasa kujua ni mazoezi yapi ni muhimu kwa tatizo lako.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA ๐๐ฝ
๐๐๐๐/ ๐๐๐๐๐๐๐๐ 0682793390
06/08/2023
Huduma zangu SIO dawa โ lakini ni virutubisho lishe
06/08/2023
JIFUNZE KITU HAPA ๐
1. Matumizi ya Vifaa vya kieletroniki k**a vile simu computer, vifaa vya wireless, Tafiti zimeonyesha mionzi yake hupelekea joto lisilohitajika katika mifuko ya mbegu za kiume Hivyo uwezo wa mbegu Hupungua na kuharibu muundo asili wa mbegu kwa ujumla.
2. Maambukizi. Maambukizi mengine yanaweza kuingilia uzalishaji wa mbegu za kiume na afya ya manii au yanaweza kusababisha makovu ambayo huzuia kupita kwa shahawa. Haya ni pamoja na baadhi ya magonjwa ya zinaa, k**a vile Klamidia na Kisonono Nk.
3. Uvimbe. Saratani na Uvimbe usio na madhara unaweza kuathiri viungo vya uzazi vya mwanaume moja kwa moja, au unaweza kuathiri tezi zinazotoa homoni zinazohusiana na uzazi (k**a vile tezi ya pituitari).
4. Aina ya chakula unachokula, Chanzo kingine cha kuwa na mbegu chache au zisizokuwa na afya ni kutokula chakula sahihi na cha kutosha kila siku.
5. Upungufu wa njia ya manii. Mirija inayobeba mbegu za kiume inaweza kuharibiwa na ugonjwa au kuumia. Baadhi ya wanaume huzaliwa na kuziba katika sehemu ya korodani inayohifadhi mbegu za kiume au kuziba kwa mirija inayotoa mbegu za kiume kutoka kwenye korodani.
6. Matumizi ya vifaa vya plastiki - Wakati kifaa cha plastiki kinapowekewa chakula cha moto hutoa kemikali k**a vile bisphenol ambazo zina asili ya homon ya estrogen homon ya k**e hivyo huathiri kwa kiasi kikubwa homon za kiume na kupelekea uchache wa mbegu.
7. Matumizi ya Dawa fulani. Dawa za Saratani (chemotherapy), baadhi ya dawa za kuzuia fangasi , baadhi ya dawa za vidonda na baadhi ya dawa nyinginezo zinaweza kuharibu uzalishwaji wa mbegu za kiume na kupunguza uwezo wa kuzaa wa kiume.
8. Kuendesha baiskeli kwa muda mrefu. Kuendesha baiskeli kwa muda mrefu ni sababu nyingine inayowezekana ya kupungua kwa rutuba kwa sababu ya joto kupita kiasi kwenye korodani.
9. Matumizi haramu ya dawa za kulevya huchochea nguvu na ukuaji wa misuli zinaweza kusababisha korodani kusinyaa na uzalishaji wa manii kupungua. Utumiaji wa kokeini au bangi unaweza kupunguza kwa muda idadi na ubora wa mbegu zako pia.
10. Uzito. Unene unaweza kusababisha mabadiliko ya homoni ambayo hupunguza uwezo wa kuzaa kwa wanaume.
06/08/2023
๐Samaki aina ya Pweza amejawa na wingi wa virutubisho ambavyo husaidia mwili kujikinga dhidi ya magonjwa k**a vile saratani vile saratani ya mdomo, utumbo mkubwa, tumbo, matiti, shingo ya kizazi na pia kansa ya mapafu.
๐Pweza amejawa na virutubisho vinavyosaidia kuongeza ashki (hamu) na kuboresha tendo la ndoa. Hii ni kutokana na uwepo wa virutubisho aina ya protini na madini ya selenium.
๐Aidha Pweza humsaidia mwanamke kuwa na sifa halisi za uk**e na pia mwanaume kuwa mwanaume wa shoka. Kwa mwanaume humsaidia kuwa na misuli iliyojengeka vizuri na hivyo kuweza kumtofautisha mwanaume na mwanamke.
๐Faida ya nne ni kuwa pweza ina virutubisho vinavyosaidia kuukinga mwili dhidi ya kupungukiwa na uwezo wa ubongo hasa kwa wenye umri mkubwa. Kitaalamu tatizo hili huitwa Alzheimer.
๐Pweza huwasaidia walaji kujikinga dhidi ya ugonjwa wa Pumu . Wataalamu wamegundua kuwa mlaji wa pweza yupo katika hatari ndogo ya kuugua ugonjwa wa pumu. Hata wenye ugonjwa huo huweza kupata virutubisho vya kupunguza athari za ugonjwa.
๐Pweza husaidia mwili kufanya kazi zake vizuri ikiwamo mmengโenyo wa chakula, upumuaji na hata mzunguko wa damu.
Minofu ya pweza huusaidia mwili kuzalisha Haemoglobin ambazo ni muhimu katika damu. Hii ni kwa sababu pweza ana madini aina ya shaba ambayo ni muhimu kwa kazi hiyo.
๐Kwa upande wa kina mama, pweza husaidia katika uzalishaji wa maziwa pindi wanapojifungua.
๐Faida nyingine waipatayo watumiaji wa supu na minofu ya pweza ni kuwa huongeza madini joto mwilini.
๐Virutubisho vilivyomo ndani ya pweza husaidia kupunguza athari za maradhi ya moyo kwa kuwepo mafuta ya omega-3.
06/08/2023
Je, unafanya nini baada ya tendo la ndoa? Mnakumbatiana kwa muda? Ama unageuka, kutazama upande tofauti na kulala?
Unafahamu kwamba kuna mambo unatakiwa kufanya mara baada ya kumaliza kushiriki tendo la ndoa? Ni muhimu sana kufanya hivyo hili kukuwezesha kubaki na afya salama.
Zingatia mambo haya 4 mara baada umalizapo kushiriki tendo la ndoa.
1.Hakikisha unapata haja ndogo
Hakikisha unaenda kupata haja ndogo mara baada ya kumaliza kushiriki tendo la ndoa hasa kwani hii inasaidia kuondoa bakteria yoyote aliyeingia wakati wa kujamiana na pia kukupunguzia uwezekano wakupata magonjwa k**a UTI.
2.Osha sehemu za siri vizuri
Unapomaliza kushiriki tendo la ndoa hakikisha unaenda kunawa na kusafisha sehemu zako za siri kwa maji masafi. usitumie sabuni kwani zinaweza kukufanya ukapata miwasho, Pia pindi ufanyapo hivyo hakikisha hausugui sana kwani unaweza ukasababisha uvimbe katika maumbile yako.
3.Angalia k**a umeumia au kuna alama za damu.
Hakikisha unajiangalia k**a umechubuka au kuna alama zozote za damu kwani vitu hivyo vinaweza kutokea wakati wa tendo na mtu asiweze kujua, na pindi ukiona umeumia au kuna uchafu ambao sio wakawaida unatoka basi nenda ukapate huduma haraka.
4.Chunguza kondomu
Mwisho kabisa k**a ulifanya Tendo la ndoa na kondomu hakikisha unaangalia kondomu mliyotumia k**a ipo sawa, ichunguze k**a imepasuka au k**a imezama kwenye sehemu za siri za mwanamke.
Kwa hivyo, kumbuka kufuata hatua hizi muhimu baada ya tendo la ndoa ili kuhakikisha una linda afya yako!
04/08/2023
NI RAHISI SANA โ๏ธ
Wanaume wengi baada ya kupata hili tatizo huwaumiza kichwa, hukosa amani, huanza kupambana na kutafuta wapi watapata majibu ya maswali yao.
Hapa hutegemeana na kila mtu amkutana na nani? Wengi huingia kutumia njia hatari sana na mwisho wanapoteza hata zile nguvu kidogo walizo nazo.
Zifuatazo ni njia unazoweza kuzitumia ili kuondoa tatizo hili.
1. FAHAMU CHANZO CHA TATIZO LAKO.
Wanaume wengi hujitambua kuwa hawana uwezo lakini hawajui tatizo limesababishwa na nini?
Hutumia tiba ambazo si za chanzo kilichowapa wao tatizo.
Lazima ufahamu chanzo ni uzito na unene? Madawa? Punyeto? Kisukari? Ama la?
Kwahiyo ukishafahamu chanzo ni Uzito na unene, unapewa program ya kupungua uzito kwanza, ukiimaliza ndipo uanze kuipata programme ya nguvu za kiume kuboreshwa.
K**a chanzo ni kisukari au majukumu ya kazi utaanza na kumaliza kisukari kwanza, kisha unafuata program ya kuboresha nguvu zako.
Wengi wanatumia madawa mbalimbali hawaponi ni kwasababu hawajaondoa chanzo cha tatizo Lao, hata k**a program inarudisha nguvu zako ila k**a uzito uliokuwa chanzo cha tatizo bado upo hauwezi kupona.
2. AMINI JITIHADA NA HAKUNA NJIA ZA MKATO
Tatizo la nguvu za kiume halina shortcuts, epuka madawa ya kuboost nguvu k**a njia ya mkato kumaliza tatizo k**a vile (Vigra, Enjoy, Eletro) utaharibu kizazi chako kabisa, utakuwa mtumwa wa hayo madawa na mwisho hormones zako zitarelax, hutaweza kusimamisha tena milele, unakuwa mtu wa majuto na maumivu sana.
3. TUMIA PROGRAM MAALUMU KWAAJILI YA KUONDOA TATIZO LAKO.
Ukishafahamu tayari una tatizo na chanzo chake unakijua, mfano ni unene kupitiliza, madhara ya punyeto, kazi ngumu na kukosa lishe nk.
Basi pata program sahihi kwa kuwafuata wataalamu wazoefu na ukaona pia waliohudumiwa na wao wamepona au la? Matapeli ni wengi, watu wanajali pesa zaidi kuliko mafanikio ya afya yako.
NB. K**a umeshajua wewe Mwanaume unaweza kunipigia au kuniandikia ujumbe mfupi inbox ukieleza changamoto yako labda nikakupatia ushauri utakao Kusaidia kuimarisha Afya yako ya Uzazi.
KWA SULUHISHO ZAIDI NIPIGIE SIMU0682793390
15/07/2023
Najua unaelewa kuwa kuna umuhimu mkubwa sana wa kumuandaa mwenza wako kwa kumshika shika viungo vyake vya mwili kabla ya kuingiza machine ndani ya uke wake.
lakini ni jambo la ajabu sana k**a utakuwa unapuuzia swala hili.
Yani kwa kuwa wewe hamasa yako ya mapenzi huwa kubwa na mwili wako unakuwa tayari unajikuta unataka kuanza mchezo mara tu unapo muona mwenza wako akiwa mtupu.
Hapo ndio unapo kosea ๐ค๐ฝ
Ukiwa unaendekeza Tamaa zako za kimwili kamwe hutaweza kumfikisha Mwanamke yoyote kileleni.
kwani utakapo muingilia mwanamke ambaye hayupo tayari kuingiliwa kimwili kwa kuwa hujamuandaa yani lazima utajikuta unafikia mshindo ndani ya sekunde kadhaa tu.
Na hata ukitaka kuzuia bao utashindwa tu kufanya hivyo, hivyo unajikuta umemaliza haja zako za kimwili na kumuacha mwanamke pengine akiwa hata wazimu haujampanda na kwa bahati mbaya hata ukijikamua utajikuta unashindwa kurudia tena tendo kwani haitasimama tena kwasababu ya papara zako.
Wataalamu mbali mbali wa mapenzi wanabainisha ya kuwa mwanaume mwenye kutumia muda mwingi kumuandaa mwanamke wake huweza kujizuia kufika mshindo mapema na hivyo kudumu kifuani kwa muda mrefu na hata kufanikiwa kumfikisha mwanamke kileleni zaidi ya mara moja.
Usisahau kwamba lengo la Kufanya Mapenzi ni wote mridhike na mfurahie! Na sio kujiridhisha mwenyewe ๐๐ฝ
mwanaume unapaswa kumshika shika mwanamke sehemu mbali mbali k**a shingoni, mabegani na kumbusu sehemu ya juu ya mwili wake taratibu ukiteremsha mikono kwenye sehemu zake za Siri (Uke). Pia Ni muhimu kupapasa matiti kwa utaratibu huku ukimbusu basi hamu ya ngono Kwa Mwanamke itapanda haraka.
Baada ya hapo Ute utatoka mahususi kuruhusu uume wako kupenya kwa urahisi. Na ukishaanza kupeleka moto Wala haitochukua muda mrefu na Mwanamke lazima atafika KILELENI.
Naamini umejifunza kitu.
K**a unatatizo la kutoa MBEGU kipindi unafanya Maandalizi basi nitafute ๐+255 682793390
14/07/2023
Je wejua kwamba asilimia sitini ya mwili wa binadamu ni maji? Naam, mwili wa binadamu huhitaji takribani vikombe 6 vya maji kila siku ambazo ni lita mbili.
Unywaji wa maji una faida nyingi na husaidia mwili katika kupambana na maradhi, Maji hutengenezaji wa mate, usafirishaji wa virutubisho, na udumishaji wa joto mwilini.
Hizi hapa ni faida 8 za kiafya zinazotokana na kunywa maji.
1. Matatizo ya choo. Maji ni dawa ya kutibu ugumu wa kwenda haja kubwa, kunywa maji ya kutosha kila siku na utajiepusha na tatizo la ukosefu wa choo mara kwa mara.
2. Usafishaji wa mwili. Maji husaidia katika kuondoa sumu mwilini kwa kutoa uchafu wote kwa njia ya mkojo na haja kubwa.
3. Kupunguza uzani. Ukiwa wataka kupunguza uzani basi kunywa maji kwa wingi kwani maji hayana mafuta wala sukari.
4.Pia maji husaidia katika usafishaji wa mwili. Maji huondoa sumu na uchafu mwilini kwa kutoa uchafu wote kwa njia ya mkojo na haja kubwa.
5. Maji ni tiba ya kichwa kuuma. Dalili ya kupungukiwa maji mwilini ni kuumwa na kichwa.Wataalamu wa afya wanashauri watu kunywa maji ya kutosha na hautasumbuliwa sana na kmaimuvu ya kichwa mara kwa mara.
6. Maji Nishati ya mwili kwani Mwili unapopungukiwa na maji, hukufanya ujihisi mchovu, hivyo kwa kunywa maji ya kutosha kila siku utakuwa mwenye nguvu. Binadamu anahimizwa kunywa maji badala ya vinywaji baridi k**a vile soda, juisi au bia.
7. Unywaji wa maji utakufanya ngozi yako kuwa nyororo na ya kupendeza.Maji husafisha ngozi yako na kutoa uchafu k**a jasho.
8. Afya ya moyo. Unywaji wa maji ya kutosha unaweza kupunguza hatari ya kupatwa na maradhi ya moyo. Utafiti unaonyesha kuwa watu wanaokunywa glasi ya maji zisizopungua 5 kila siku hujiepusha na uwezekano wa kupatwa na ugonjwa wa moyo kwa asilimia 41 zaidi ya wale wanaokunywa glasi 2.
Hivyo kila mtu analojukumu la kulinda mwili kuhakikisha hamenyani na magonjwa hayana dawa au asili.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Makumbusho
Dar Es Salaam