afyaboranaupendo
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from afyaboranaupendo, Health/Beauty, victoria Place, Dar es Salaam.
Celebrating my 3rd year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. 🙏🤗🎉
28/01/2024
CoQ10 kidonge kimoja lakini kinatibu changamoto zote zinazotuzunguka ikisaidiana na kidonge cha tre en.
CoQ10 inasaidia kutibu
💎Ugonjwa wa moyo
💎Ugonjwa wa fizi
💎high cholesterol
💎shinikizo la damu
💎Angina
💎Inasaidia kupunguza makali ya AIDS
💎Inasaidia kwa wale wenye maambukizi ya mda mrefu (chronic infection)
💎Kisukari
💎uchovu sugu
💎pumu
💎Allergies
💎Candida
💎Inasaidia unene uliopitiliza
💎cancer
💎sclerosis nyingi
💎vidonda vya duodenal
💎male infertility
Pia inasaidia viungo na mfumo wa upumuaji km
💎matatizo ya moyo
💎mfumo wa upumuaji
💎usagaji chakula
💎meno na fizi.
28/12/2023
Phytodefence ni mchanganyiko wa supplement aina tatu
1. Carotenoid Complex
Huongeza kinga ya mwili kwa 37% ndani ya siku 20
Huondoa vimelea vyote vya saratani
Husaidia afya ya macho uweze kuona vizuri.
Inatoa sumu.
2. Cruciferous
Huondoa uvimbe mwilini, fibroids, Ovarian cysts nk.
Inaondoka na kuzuia saratani ya shingo ya kizazi, tezi dume
Inazibua mirija ya uzazi (filopian tube)
Inakausha na kuponesha vidonda na hali ya unyevu wa infections hasa kwenye via vya uzazi.
3. Flavonoid
Huondoa saratani na kuzuia kupata saratani hasa ya damu.
Huongeza mng'ao wa ngozi
Tumia phytodefence
Phytodefence ni mchanganyiko wa supplement aina tatu
1. Carotenoid Complex
Huongeza kinga ya mwili kwa 37% ndani ya siku 20
Huondoa vimelea vyote vya saratani
Husaidia afya ya macho uweze kuona vizuri.
Inatoa sumu.
2. Cruciferous
Huondoa uvimbe mwilini, fibroids, Ovarian cysts nk.
Inaondoka na kuzuia saratani ya shingo ya kizazi, tezi dume
Inazibua mirija ya uzazi (filopian tube)
Inakausha na kuponesha vidonda na hali ya unyevu wa infections hasa kwenye via vya uzazi.
3. Flavonoid
Huondoa saratani na kuzuia kupata saratani hasa ya damu.
Huongeza mng'ao wa ngozi
Tumia phytodefence.
afyaboranaupendo biashara, fursa na afya bora
24/12/2023
Hivi ni Virutubisho muhimu Sana katika kusawazisha kiwango Cha Sukari mwilini. Ukitumia Virutubisho hivi
1.Chembehai zako zitakuwa na uwezo mkubwa wa kufyonza sukari iliyopo kwenye damu na kwenda kutumika.
2.Vinasaidia kongosho kufanyakazi vizuri
3.Vinasaidia kupunguza madhara ya Sukari mwilini.
4.Vinaboresha na kuongeza Kinga ya mwili
5.Vinasaidia kuboresha afya ya Figo na kuzuia Figo kufeli kwa mgonjwa wa kisukari na kutia nguvu mwilini.
11/08/2023
Vitamin E ni Antioxidant muhimu sana kwa afya ya binadamu. Moja ya faida zake ni
1) kuboresha afya ya moyo na mishipa ya damu
2) Inaboresha afya ya tezi dume
3)Ni nzuri kwa mapafu
4)Inazibua mirija ya uzazi iliyoziba na kupevusha mayai
5)Inaimarisha kinga mwilini
6)Inaboresha afya ya ngozi na kuonekana kijana
11/08/2023
FAIDA YA MAFUTA YA SAMAKI (OMEGA 3)
Leo tuzijue faida chache za mafuta ya samaki katika mwili wa Binadamu kuanzia mtoto Hadi mtu mzima...
Faida zake Ni K**a ifuatavyo:-
Ni Kinga ya mwili, inasaidia mwili kupambana na maradhi yanayoshambulia afya ya mtoto, mama mjamzito na hata unayejiona Ni mzima.
Inaondoa tatizo la ukavu wa macho na kuimarisha afya yako ya macho.
Huimarisha mifupa( husaidia watoto wenye matege kunyooka na kuwa sawa).
Inaimarisha afya ya mfumo wa uzazi wa mwanamke (husaidia kuimarisha mayai ya mwanamke) na mwanaume (kuongeza afya ya mbegu na kufanya mwanaume awe na uwezo wa kurutubisha hasa kwa wenye tatizo la uzazi na wale wenye tatizo la premature ej*******on)
Huzuia mimba kuharibika kipindi Cha ujauzito (pre mature)
Huimarisha afya ya Ubongo wa mtoto...na ukumbuke mtoto usipompa vyakula vya kujenga Ubongo Ni shida baadae hata atakapokuwa shule. Jenga Ubongo wa mwanao Sasa.
22/07/2023
Pata sachet 1 kila siku kwa ajili ya kujikinga na magonjwa sugu k**a
1)kisukari
2)shida ya mifupa
3)shida ya moyo
4)cholesterol nyingi mwilini
5)vidonda vya tumbo
6)matatizo ya hormone na uzazi
7) cancer kwa ujumla
8)ngozi chakavu
9) nywele kunyonyoka
10) pumu ya ngozi
11) chunusi sugu
12) shida ya macho kuona
13)changamoto ya sumu nyingi mwilini
14)Pro vitality inapunguza kasi ya kuzeeka au
kuchakaa ni Anti aging
Note:Matumizi ya mara kwa mara ya Provitality kwa watu wazima na wazee yanaweza kukusaidia kuepukana na changamoto nyingi za maradhi ikiwamo Alzheimer’s
07/07/2023
21/06/2023
Hii sabuni nikiboko jamni
✅inaondoa madoa
✅haipaushi nguo
✅inafuwa yenyewe
✅inaokoa muda
✅haichubui mikono
✅nirafiki kwa mazingira
Kwawale dada zangu warembo msiopenda kujichosha au kuharibu kuchazenu hii inawafaa inafua yenyewe
. # # #
21/06/2023
Kwawale wote wenye presha ya kupanda ambayo inawasababishia kuvimba miguu kutokana na damu kushindwa kupita vizuri kwenye mishipa suluhisha lipo karibu tukusaidie
18/06/2023
Happy Fathers day
JE? WEWE NI BABA BORA AU BORA BABA????....
#
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Culinary Team
Attire
Website
Address
Victoria Place
Dar Es Salaam
488