Jali afya yako

Jali afya yako

Share

Tuna wasaidia wanume walio OA wenye changamoo ya upungufu wa nguvu za kiume n walio Athirika na PUN

04/09/2021

Mambo 8 Muhimu Kuhusu Mbegu za kiume
Kuhusu Mbegu Za Kiume
1.NAMBA
Kila siku mwanaume huzalisha mamilioni ya mbegu za kiume huku akitoa zaidi ya mbegu milioni 280 kila anapofika kileleni.
-
2.UWEZO WA KUTUNGA MIMBA
Kwa mujibu wa taarifa ya National Infertility Association,mwanamme mwenye uwezo wa kumpa ujauzito mwanamke anatakiwa awe na wastani wa mbegu milioni 40-300 kwa kila millilitre.Kinyume cha hapo inakuwa ni vigumu sana kwa mwanamme huyu kutungisha ujauzito.
-
3. KASI
Mbegu hizi huogelea kwa kasi kubwa sana baada ya kutolewa zikilitafuta yai kwenye mirija ya fallopio.Mbegu hizi hutumia wastani wa dakika 8-68 tu hadi kulifikia yai baaada ya kumwagwa kwake
-
4.WASTANI WA KUPONA NI 1%
Japokuwa zaidi ya mbegu milioni 280 hutolewa kila baada ya kufika kileleni,ni wastani wa 1% tu ya mbegu hizi ndizo huweza kuhimili mapambano na changamoto zilizopo kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke huku 99% zikifa.Asilimia hii moja ndiyo huamua utungwaji wa ujauzito .
-
5.HUTANGULIZA MAJIMAJI
Kabla mwanamme hajatoa mbegu kamili,majimaji hutangulia kwanza ili kuandaa mazingira mazuri ya kuogelea pindi zitakapotolewa.Bila uwepo wa kitendo hiki,mbegu zote zingekufa mara moja baada tu ya kutolewa
-
6.AFYA YAKE
Wanaume wanaokula vyakula hasa vya haraha haraka mitaani visivyo na virutubisho muhimu (Junk food),wavuta sigara pamoja na watumia madawa ya kulevya huzalisha mbegu chache zilizo na afya duni.Ikitokea mbegu hizi zimerutubisha yai,uwezekano wa kuharibika kwa ujauzito ama kuzaa mtoto mwenye matatizo katika baadhi ya viungo vya mwili ni mkubwa sana
-
7.ATHARI ZA MAISHA BINAFSI
Kasi,namba na uwezo wa mbegu hizi kurutubisha yai hutegemea tabia ya mhusika.Pombe,madawa ya kulevya,sigara,vyakula,miale mikali ya mwanga k**a laptops na wifi huleta madhara kwa mbegu hizi
-
8.MUDA WA KUKOMAA
Japo kila siku mwanaume hutengeneza mbegu za kiume,huzichukua walau miezi miwili na nusu mbegu hizi ili ziweze kukomaa vizuri.Hii inatoa maana kuwa,mbegu zilizo na uwezo wa kurutubisha yai ambazo mwanamme hutoa anapofika kileleni huwa zimetengenezwa miezi mitatu iliyopita.Zile ambazo hazijafikia umri huu huendelea kukomazwa hadi pale zitakapokuwa tayari

Kwa mawasiliano zaidi tuma neno afya yako kwenda what's app namba 0682530249 au piga simu

21/05/2021

SABABU ZA KUPUNGUA/KUKOSA NGUVU ZA KIUME NA MATIBABU YAKE

_Kuna pendekezo la mtu mmoja alisema bora mtu kwanza afahamu kwanza visababishi
Katika maisha ya kila siku kutokana na vyakula ,vinywaji nk ,haya matatizo unaweza kuyapata na ukajiuliza umepungukiwa nguvu namna gani
yangu ya awali nilieleza vizur ule mchanganyiko ambao ndo unaunda (heshimayandoa) napia habari nzur na uwezo wa (mult maca)
Katika Makala yangu ya vyakula vinavyotibu nguvu za kiume watu wengi nliokutana nao na wengine wamekuwa wakinipigia simu wakisema “mimi sina tatizo la nguvu za kiume ila nawahi kufika kileleni” wengine wakisema “ mimi niko sawa sawa ila tu nakosa hamu ya tendo la ndoa, wengine wanasema mimi tatizo langu ni kuwai kufika kileleni lakini nikifika nashindwa kuendelea na tendo nk.

Ukweli wa mambo ni kwamba
 K**a unakosa hamu ya tendo la ndoa, una tatzo la nguvu za kiume .
 K**a uume hausimami barabara , una upungufu wa nguvu za kiume
 K**a uume unasimama na kulegea kwa muda mfupi au kwa mwanamke fuuani unafanya nae sawasawa ila kwa mwingine mambo hayaendi sawa, basi una tatzo la nguvu za kiume.
 K**a uume wako hulegea tu muda mfupi baada ya kuingia ukeni, una tatizo la nguvu za kiume
 K**a unasikia maumivu wakati wa tendo na wakati uume ukisimama una tatzo na nguvu za kiume
 K**a unashindwa kutoa mbegu (shahawa) au unatoa mbegu nyepesi una tatzo la nguvu za kiume
 K**a unashindwa kurudia tendo mara ya pili una tatizo kubwa la nguvu za kiume
 K**a unashindwa kufika kileleni wakati ukiendelea na tendo una tatizo kubwa la ukosefu wa nguvu za kiume.
Ndugu yangu k**a una baadhi au unahisi una dalili za kuwa na matatizo yaliyoainishwa hapo juu basi nakushauli uchukue hatua haraka sana, hi ni kwa sababu kuchelewa kwako kutakufanya hapo baadae tatizo liwe kubwa Zaidi na huenda ukashindwa kulitibia

Iwapo una matatzo ya nakutokea jua kabisa una tatizo la NGUVU ZA KIUME sasa ni muda muafaka wa kuanza kutafta matibabu sahihi bila kuchelewa na unapoanza kujitibu ni vzuri zaid kabla mambo hayajawa mabaya zaid unakuwa unajitengenezea mazingira ya kupona lakini chelewa chelewa ….utakuta mwana si wako

Sababu za kupungua kwa nguvu za kiume
Kuna sababu za kimwili na sababu za kisaikologia
 Matumizi ya Vi**ra
 Kupiga Punyeto(masturbation)
 Maradhi ya mishipa ya damu
 Shinikizo la damu la kupanda na kushuka
 Unene mkubwa na kitambi
 Kisukari
 Maradhi ya moyo
 Sigara, pombe na madawa ya kulevya
 Kuendesha magari au usafirikwa mda mrefu
 Lishe mbovu, mfumo mbaya wa maisha, umri, majeraha na vidonda vya tumbo
 Msongo wa mawazo na vidonda vya tumbo
 Ngiri na maradhi ya zinaa
 Uraji wa vyakura vyenye kemikali (chemicals)

MATIBABU
Hakika mpaka sasa unaweza kujijua tatzo lako limetokana na nin ili uweze kufanya maamuzi sahihi kuhusu afya yako.
Lakin kwanza, mchakato wako wa kutafta matibabu upitie njia zifuatazo
I. Salimu amri kuwa una tatizo na usijione huna tatizo kumbe una tatzo litakuwa kubwa Zaidi utajilaumu bdae
II. Thamini afya yako ya mwili na akili
III. Vijue vyanzo vya tatzo lako maana ukishajua chanzo umepiga hatua kubwa katika matibabu
IV. Jadili na mke wako au mwenza wako, kuna baadhi ya wanaume wengi mno wanaogopa kutafta ufumbuzi wa tatzo hilo wakiona ni unyonge mkubwa sana na wengine huona aibu kabisa kwa wake zao matokeo yake tatzo huwa kubwa na baadae kuwa shida kutibika

• VIRUTUBISHO huinua kiwango cha testosterone ,ambayo hushughulika na kuongeza ham ya tendo la ndoa
• VIRUTUBISHO hutibu matatzo ya mkojo na viungo vya uzaz. Huongeza utoaji wa nitric oxide ndani ya mwili ambayo huboresha mzunguko wa dam , huifanya misuli kutanuka na mishipa ya ateri kutanuka pia kufanya dam kutiririka vzur
• VIRUTUBISHO huongeza stamina , hukufanya uchelewe kufika kileleni na uume kuwa mgumu zaid
• VIRUTUBISHO huongeza shahawa na kuzifanya kuwa na afya bora

Kwa mawasiliano zaid
Tuma neno afya jamii kwenda whatsapp namba 0682530249 au piga simu usaidiwe Mapema

Share na sambaza ujumbe huu kwa ndugu jamaa na marafiki

18/05/2021

FAHAMU TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME LINATOKANA NA NINI

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NINI ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa Kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huusisha akili, hormones, neva, msuli, hisia, Pumzi na mirija ya damu. Tatizo hili uripotiwa kua Kati ya mwanaume wa5 kati yao Kuna mmoja anaupungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume n kiashiria kua aupo Sawa kiafya hvyo n tatzo linaloitaji tiba na sio madawa

Hili tatizo uwanyima watu rahaa kwa kua na mawazo na mausiano kuvurugika kwa asilimia kubwa sana watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji virutubisho na sio madawa ya kuboost kwa siku moja au wiki mtu huyo autopona bali ataongeza tatizo lizid kua kubwa zaid

Watu wenye tatizo hili wanahitaji kupewa virutubisho na sio madawa yenye madhara na kubadilisha mtindo wa maisha na kuzingatia yale atakayoelekezwa

Kuna matatizo ya kutokufanya mapenzi kikamilifu nayo ni
Kuwai kufika kilelen mapema sana, kutokumwaga mbegu, kukosa hamu ya tendo, kushindwa kuendelea na tendo

CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume Lina vyanzo vingi sana japo watu wengi huvipuuzia na kudharau na madhara yake utokea kwa haraka sana na mengine utokea kwa mdaa mrefu.Kuna mazingira Hatarishi yanaweza kukuweka hatari kupata tatizo la upungufu wa nguvu za kiume nayo n pamoja na - :

Kuwa na halemu au shinikizo la damu ( ugonjwa wa moyo)

Uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe kupita kiasi

Uzito Mkubwa au Unene uliopitiliza

Hulaji holela wa vya kula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi.

Kisukari.

Kuwa na mawazo au wasi wasi.

Umri hasa wazee.

Matumizi ya Madawa yenye kuongeza nguvu za kiume au kukuza maumbile

Matumizi ya vinywaji yanayo badili hali ya mwili

Matatizo ya kibofu

Kujichua au kupiga punyeto kwa mdaa mrefu

Kutopata usingizi kamili.

Utumiaj wa madawa yenye kemikali kwa mdaa mrefu K**a vile madawa ya kutibika magonjwaa K**a vile Saratani (cancer), vidonda vya tumbo, tatizo la moyo, kisukari na mengine mengi

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME - :

Kukosa hamu ya tendo au Mapenzi.
Kuwai kufika kileleni.
Kutokumwaga mbegu.
Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa Kusimamisha vizuri.
Kushindwa kuendelea na tendo kila ukimaliza tendo la kwanza.
Kuhisi maumivu wakat wa tendo au kila baada ya tendo.
Kushindwa kbsa kuendelea na tendo au kusikia uchovu, kichefuchefu na kuvimba kwa uso, mguu, tumbo Kuja maji
Kukosa Pumzi ya kuendelea na tendo au uchangamfu wakat wa tendo

JINSI YA KUEPUKANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

Kufanya mazoezi angalau kwa dkika 30 kwa siku
Kunywa maji mengi
Epuka vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi.
Acha kujichua au kupiga punyeto.
Punguza au acha kuvuta sigara au kunywa pombe.
Kuwa na uzito sahihi kulingana na urefu wako
Punguza mawazo.
Kula vyakula bora au lishe bora sio vyakula vyenye kemikali.
Lala vizuri kwa ufanisi.
Usitumie madawa yenye kemikali nyingi huathiri mfumo wako wa uzazi.

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume lindolewa japo kwa mdaa mrefu kulingana na madhara ulio yapata au kuwai kupata Suluhisho. Watu weng upewa madawa ya kuongeza nguvu hila kwa siku moja au mdaa huo huo unaoenda kufanya tendo na sio kutibu tatizo. Tuna virutubisho vya kutibu tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume na sio madawa yenye madhara au ya kuboost kwa siku hyo hyo
Hili up one inatakiwa uchukue mdaa kidogo na ni kulingana na tatizo lako limekaa kwa mdaa gani

Tuma neno afya jamii kwenda whatsapp namba 0682530249 au piga simu usaidiwe Mapema

18/05/2021

MWANAUME SOMA HAPA ITAKUSAIDIA KUOKOA MAISHA YAKO NA NDOA YAKO!

ZIJUE DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME,

Kwanza unatakiwa kufaham UPUNGUFU wa nguvu za kiume sio ugonjwa bali ni dalili za ugonjwa inamaanisha kuna dosari au udhaifu katika utendaji wa viungo vyako ndani ya mwili,

NGUVU ZA KIUME NI NINI?
ni neno la jumla lenye mjumuisho wa mambo mengi ambayo yamegawanyika katika sehem MBALI MBALI
1. Hamu ya tendo la ndoa
2. Kusimama kwa uume barabbara k**a kipande cha mti au msumari)
3. Stamina kiasi cha kukupelekea kufurahia tendo
4. Pumzi
5. Uwezo wa kurudia tendo
6. Wepesi na uchangamfu wa mwili katika kutenda
*Kwa lugha nyepesi Hii ndio maana ya neno nguvu za kiume*

Sasa basi tumeona hapo juu kuwa k**a kuna udhaifu au dosari katika utendaji wa BAADHI ya viungo ndani ya mwili wako basi sio mbaya tukajua BAADHI ya viungo vinavyohusika kuwasha umeme kwa mwanaume / namaanisha nguvu za kiume na viungo hivi hufanya kazi zingine pia katika mwili

Kuna viungo zaidi ya 50 ila kwa uchache ni ivi vifuatavyo
1. Ubongo
2. Moyo
3. Mishipa
4.mirija iliyo ndani ya uume
5. Neva maalum za parasympathetic
6. Uti wa mgongo
7. Kiuno / nyonga
8. Misuli
9. Tezi ya pituitari
10. Utando maalum wa uumeni.

*HIVYO BASI TUNAPOONGELEA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TUNAMAANISHA KUWA NDANI YA MWILI WAKO KUNA VITU HAVIFANYI KAZI VIZURI LABDA NI INI , FIGO , TEZI DUME LIMETANUKA , AU HOMONI HAZIJA WIANA HAPA SASA NDIPO HUTOKEA NENO NA KITENDO CHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*

JIJUE JITAMBUE HIZI NI DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME
1. kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Uume kusimama kwa ulegevu, kusinyaa na kurudi ndani AU KUTOWEZA KUSIMAMISHA KABISA
3. Kuwahi kufika kileleni
4. Kuchelewa sana kufika au kutofika kabisa mshindo
5. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada
6. Kukosa pumzi hivyo hupelekea kusimamisha zoezi Mara kwa Mara
7. Kukosa uchangamfu wa mwili katika utendaji .
8. Kuchoka sana baada ya tendo na hata kuskia kichefchef au kuskia usingizi MZITO SANA MARA TU UMALIZAPO ..
9. KUSHINDWA KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA MOJA

KWA LUGHA NYEPESI NGUVU ZA KIUME NI K**A SERIKALI AMBAYO INA WIZARA MBALI MBALI ILI SERIKALI IFIKE KULETA MATUNDA MAZURI KWA JAMII HIZI WIZARA LAZMA ZIWE THABIT KATIKA MASLAHI YA JAMII NA SERIKALI KWA UJUMLA NA ENDAPO WIZARA MOJA ITAKUWA INA HITILAFU BASI LENGO HUSIKA KUTOKA KWA SERIKALI KUJA KWA JAMII HALITATOKEA ASILANI MF. WIZARA YA NISHATI NA MADINI IGOME , WIZARA AFYA IGOME , UNAFIKIRIA SERIKALI HII ITAFIKIA MALENGO ??? BASI NDIVYO HIVYO NDANI YA MWILI WAKO .. TEZI IKIKOSA AFYA , MOYO , UBONGO NK NK LAZIMA EFFECT ITATOKEA NA MOJA YA EFFECTS NI UPUNGUFU WA NGUVU ..

Au tuseme kiwanda kuna wafanya kazi , kuna maji , umeme , madawa ivi ikotokea WAFANYAKAZI TU WAKAGOMA je hiki kiwanda kitazalisha bidhaa itayofika Sokoni?

MSICHOKIJUA WANAUME WENGI kupungukiwa nguvu za kiume ni kasoro za kiutendaji wa viungo ndani ya mwili hii ni kengele ya tahadhari kipo kitu hakifanyi kazi vizuri ..

Sasa KOSA kubwa wanalolifanya wanaume wengi TANZANIA NA NJE ni kuanza kutafuta suluhisho la dawa za nguvu za kiume na kuzibugia bila kuangalia chanzo, inatakiwa kutibiwa chanzo cha tatizo sio matokeo ya tatizo ... na hamshangai dawa hiyo inaweza kumtibu mmoja na mwengine akasema haifanyi kazi ?? Unajua Kwanini... vyanzo vya matatizo yao ni tofauti

*Mfano ... mwanaume mwenye sukari , mwenye presha , mwenye kansa ya tezi , mwenye stress , mwenye unene uliopitiliza, watu Hawa lazma tiba zao ziwe tofauti sio dawa za nguvu za kiume moja kwa moja lazma kuanza na mzizi wa tatizo k**a ni mnene apunguze mwili , k**a anasukari atibie sukari kwanza*

BAADHI YA SABABU ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME (MUENDELEZO)

1. KUTOKUNYWA MAJI YA KUTOSHA
2. KUPATA CHOO KIGUMU AU KUTOPATA KABISA, UNATUMIA NGUVU NYINGI KWENYE KUSUKUMA
3. UZITO ULIOPITILIZA
4. KITAMBI
5. VYAKULA VYA BANDIA VILIVYOWEKWA HOMONI ZA K**E
6. VYAKULA VYENYE MAFUTA SANA
7. ULAJI WA NYAMA KWA SANA
9. ULAJI WA FAST FOODS NA VINYWAJI VYA VIWANDANI IKIWEPO POMBE
10. ULAJI WA MIRUNGI/ MIRAA
11. KUTOSHIRIKI MAZOEZI YA VIUNGO
12. KUTOKULA BALANCED DIET
13. KISUKARI
14. TEZI DUME
15. PRESHA na mengine mengi

**********************************************
JE WEWE NI MWANAUME NA YALIYOONGELEWA HAPO YAMEKUGUSA NA UNGEPENDA KUONDOKANA NA CHANGAMOTO YA UKOSEFU AU UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME? TUNA HABARI NZURI KWAKO TUNA BIDHAA LISHE AMBAZO ZINASAIDIA KURUDISHA HESHIMA YAKO, PIA UTAELEKEZWA VYAKULA VYA KUKUIMARISHA ZAIDI NA AINA ZA MAZOEZI UNAYOTAKIWA KUFANYA. K**A UKO SERIOUS KARIBU WHATSAPP +255682530249

18/05/2021

DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Mwanaume anayekabiliwa na tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume huonyesha dalili zifuatazo:-

1. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume wake barabara. Kwa kawaida uume wa mwanaume aliyekamilika (rijali ) unaposimama, hutakiwa kuwa imara k**a msumari, lakini kwa mwanaume anaye kabiliwa na tatizo hili uume wake hata ukisimama hubakia kuwa lege lege na huweza kusinyaa wakati wowote. Tatizo hili ni matokeo ya kulegea kwa mishipa ya uume. Mishipa ya uume ndio inayo ufanya uume usimame barabara.

2.kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa mara moja. Hii husababishwa na kutokuwa na msukumo mzuri wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume
3. Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa. Hili ni matokeo ya kuwa na msongo wa mawazo
4. Kufika kileleni mapema
5. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha kabisa. Hali hii hutokea pindi tatizo la kutokuwepo kwa msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume linapokuwa limekomaa
6.Uume kusinyaa na kurudi ndani. Hapa uume wa mwanaume unakuwa umesinyaa na kurudi ndani. Uume huu unakuwa hauna uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa hali hii husababishwa na upigaji punyeto kw a mda mrefu pia magonjwa hasa chango lá kiume au ngiri
PIA VYANZO VIKUU VYA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME upigaji punyeto wa mda mrefu msongo wa mawazo ugonjwa wa kisukari shinikizo lá damu (pressure kupooza kwa mwili kuugua chango la kiume ulevi ulokithiri woga wa kufanya tendo la ndoa kuwa na wasiwasi wa kumudu kutekeleza tendo la ndoa uzoefu wa kukatisha tamaa wa siku za nyuma ulaji mbovu wa vyakula vya kisasa na vyenye mafuta kupita kiasi mazingira yasiyoridhisha wakati wa tendo la ndoa.

Karibu kwa ushauri zaidi piga Simu namba +255682530249 au WhatsApp +255682530249
MATOKEO NI YA UHAKIKA 100% BILA MADHARA YA KIAFYA (side effects)

12/05/2021

FAHAMU TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME LINATOKANA NA NINI

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NINI ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa Kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huusisha akili, hormones, neva, msuli, hisia, Pumzi na mirija ya damu. Tatizo hili uripotiwa kua Kati ya mwanaume wa5 kati yao Kuna mmoja anaupungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume n kiashiria kua aupo Sawa kiafya hvyo n tatzo linaloitaji tiba na sio madawa

Hili tatizo uwanyima watu rahaa kwa kua na mawazo na mausiano kuvurugika kwa asilimia kubwa sana watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji virutubisho na sio madawa ya kuboost kwa siku moja au wiki mtu huyo autopona bali ataongeza tatizo lizid kua kubwa zaid

Watu wenye tatizo hili wanahitaji kupewa virutubisho na sio madawa yenye madhara na kubadilisha mtindo wa maisha na kuzingatia yale atakayoelekezwa

Kuna matatizo ya kutokufanya mapenzi kikamilifu nayo ni
Kuwai kufika kilelen mapema sana, kutokumwaga mbegu, kukosa hamu ya tendo, kushindwa kuendelea na tendo

CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume Lina vyanzo vingi sana japo watu wengi huvipuuzia na kudharau na madhara yake utokea kwa haraka sana na mengine utokea kwa mdaa mrefu.Kuna mazingira Hatarishi yanaweza kukuweka hatari kupata tatizo la upungufu wa nguvu za kiume nayo n pamoja na - :

Kuwa na halemu au shinikizo la damu ( ugonjwa wa moyo)

Uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe kupita kiasi

Uzito Mkubwa au Unene uliopitiliza

Hulaji holela wa vya kula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi.

Kisukari.

Kuwa na mawazo au wasi wasi.

Umri hasa wazee.

Matumizi ya Madawa yenye kuongeza nguvu za kiume au kukuza maumbile

Matumizi ya vinywaji yanayo badili hali ya mwili

Matatizo ya kibofu

Kujichua au kupiga punyeto kwa mdaa mrefu

Kutopata usingizi kamili.

Utumiaj wa madawa yenye kemikali kwa mdaa mrefu K**a vile madawa ya kutibika magonjwaa K**a vile Saratani (cancer), vidonda vya tumbo, tatizo la moyo, kisukari na mengine mengi

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME - :

Kukosa hamu ya tendo au Mapenzi.
Kuwai kufika kileleni.
Kutokumwaga mbegu.
Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa Kusimamisha vizuri.
Kushindwa kuendelea na tendo kila ukimaliza tendo la kwanza.
Kuhisi maumivu wakat wa tendo au kila baada ya tendo.
Kushindwa kbsa kuendelea na tendo au kusikia uchovu, kichefuchefu na kuvimba kwa uso, mguu, tumbo Kuja maji
Kukosa Pumzi ya kuendelea na tendo au uchangamfu wakat wa tendo

JINSI YA KUEPUKANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

Kufanya mazoezi angalau kwa dkika 30 kwa siku
Kunywa maji mengi
Epuka vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi.
Acha kujichua au kupiga punyeto.
Punguza au acha kuvuta sigara au kunywa pombe.
Kuwa na uzito sahihi kulingana na urefu wako
Punguza mawazo.
Kula vyakula bora au lishe bora sio vyakula vyenye kemikali.
Lala vizuri kwa ufanisi.
Usitumie madawa yenye kemikali nyingi huathiri mfumo wako wa uzazi.

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume lindolewa japo kwa mdaa mrefu kulingana na madhara ulio yapata au kuwai kupata Suluhisho. Watu weng upewa madawa ya kuongeza nguvu hila kwa siku moja au mdaa huo huo unaoenda kufanya tendo na sio kutibu tatizo. Tuna virutubisho vya kutibu tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume na sio madawa yenye madhara au ya kuboost kwa siku hyo hyo
Hili up one inatakiwa uchukue mdaa kidogo na ni kulingana na tatizo lako limekaa kwa mdaa gani

Tuma neno afya jamii kwenda whatsapp namba 0753269145 au piga simu usaidiwe Mapema

12/05/2021

SABABU ZA KUPUNGUA/KUKOSA NGUVU ZA KIUME NA MATIBABU YAKE

_Kuna pendekezo la mtu mmoja alisema bora mtu kwanza afahamu kwanza visababishi
Katika maisha ya kila siku kutokana na vyakula ,vinywaji nk ,haya matatizo unaweza kuyapata na ukajiuliza umepungukiwa nguvu namna gani
yangu ya awali nilieleza vizur ule mchanganyiko ambao ndo unaunda (heshimayandoa) napia habari nzur na uwezo wa (mult maca)
Katika Makala yangu ya vyakula vinavyotibu nguvu za kiume watu wengi nliokutana nao na wengine wamekuwa wakinipigia simu wakisema “mimi sina tatizo la nguvu za kiume ila nawahi kufika kileleni” wengine wakisema “ mimi niko sawa sawa ila tu nakosa hamu ya tendo la ndoa, wengine wanasema mimi tatizo langu ni kuwai kufika kileleni lakini nikifika nashindwa kuendelea na tendo nk.

Ukweli wa mambo ni kwamba
 K**a unakosa hamu ya tendo la ndoa, una tatzo la nguvu za kiume .
 K**a uume hausimami barabara , una upungufu wa nguvu za kiume
 K**a uume unasimama na kulegea kwa muda mfupi au kwa mwanamke fuuani unafanya nae sawasawa ila kwa mwingine mambo hayaendi sawa, basi una tatzo la nguvu za kiume.
 K**a uume wako hulegea tu muda mfupi baada ya kuingia ukeni, una tatizo la nguvu za kiume
 K**a unasikia maumivu wakati wa tendo na wakati uume ukisimama una tatzo na nguvu za kiume
 K**a unashindwa kutoa mbegu (shahawa) au unatoa mbegu nyepesi una tatzo la nguvu za kiume
 K**a unashindwa kurudia tendo mara ya pili una tatizo kubwa la nguvu za kiume
 K**a unashindwa kufika kileleni wakati ukiendelea na tendo una tatizo kubwa la ukosefu wa nguvu za kiume.
Ndugu yangu k**a una baadhi au unahisi una dalili za kuwa na matatizo yaliyoainishwa hapo juu basi nakushauli uchukue hatua haraka sana, hi ni kwa sababu kuchelewa kwako kutakufanya hapo baadae tatizo liwe kubwa Zaidi na huenda ukashindwa kulitibia

Iwapo una matatzo ya nakutokea jua kabisa una tatizo la NGUVU ZA KIUME sasa ni muda muafaka wa kuanza kutafta matibabu sahihi bila kuchelewa na unapoanza kujitibu ni vzuri zaid kabla mambo hayajawa mabaya zaid unakuwa unajitengenezea mazingira ya kupona lakini chelewa chelewa ….utakuta mwana si wako

Sababu za kupungua kwa nguvu za kiume
Kuna sababu za kimwili na sababu za kisaikologia
 Matumizi ya Vi**ra
 Kupiga Punyeto(masturbation)
 Maradhi ya mishipa ya damu
 Shinikizo la damu la kupanda na kushuka
 Unene mkubwa na kitambi
 Kisukari
 Maradhi ya moyo
 Sigara, pombe na madawa ya kulevya
 Kuendesha magari au usafirikwa mda mrefu
 Lishe mbovu, mfumo mbaya wa maisha, umri, majeraha na vidonda vya tumbo
 Msongo wa mawazo na vidonda vya tumbo
 Ngiri na maradhi ya zinaa
 Uraji wa vyakura vyenye kemikali (chemicals)

MATIBABU
Hakika mpaka sasa unaweza kujijua tatzo lako limetokana na nin ili uweze kufanya maamuzi sahihi kuhusu afya yako.
Lakin kwanza, mchakato wako wa kutafta matibabu upitie njia zifuatazo
I. Salimu amri kuwa una tatizo na usijione huna tatizo kumbe una tatzo litakuwa kubwa Zaidi utajilaumu bdae
II. Thamini afya yako ya mwili na akili
III. Vijue vyanzo vya tatzo lako maana ukishajua chanzo umepiga hatua kubwa katika matibabu
IV. Jadili na mke wako au mwenza wako, kuna baadhi ya wanaume wengi mno wanaogopa kutafta ufumbuzi wa tatzo hilo wakiona ni unyonge mkubwa sana na wengine huona aibu kabisa kwa wake zao matokeo yake tatzo huwa kubwa na baadae kuwa shida kutibika

• VIRUTUBISHO huinua kiwango cha testosterone ,ambayo hushughulika na kuongeza ham ya tendo la ndoa
• VIRUTUBISHO hutibu matatzo ya mkojo na viungo vya uzaz. Huongeza utoaji wa nitric oxide ndani ya mwili ambayo huboresha mzunguko wa dam , huifanya misuli kutanuka na mishipa ya ateri kutanuka pia kufanya dam kutiririka vzur
• VIRUTUBISHO huongeza stamina , hukufanya uchelewe kufika kileleni na uume kuwa mgumu zaid
• VIRUTUBISHO huongeza shahawa na kuzifanya kuwa na afya bora

Kwa mawasiliano zaid
Tuma neno afya jamii kwenda whatsapp namba 0753269145 au piga simu usaidiwe Mapema

Share na sambaza ujumbe huu kwa ndugu jamaa na marafiki

12/05/2021

UKIFANYA PUNYETO AU KUJICHUA YAFUATAYO YATAKUA MALIPO YAKO

🧍.kukosa hamu ya tendo ukiwa na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na dhakari inasimama vizuri

🧍.kujiskia au kuchoka sana ukiwa unafanya mapenzi na ukimaliza unashindwa kuendelea na kupata usingizi hapo hapo.

🧍.kuwai kufika kileleni haraka sana dk 2-3 na baada ya kufika unashindwa kuendelea na tendo

🧍. dhakari kusinya au kulegea kila ukibadilisha style au mtindo na kushindwa kuendelea na tendo

🧍. dhakari kusimama kwa ulegevu au legelege kila ukimaliza bao la Kwanza

🧍. kupata maumivu hasa pale unapopata bao la pili na kuendelea na kupata maumivu kwenye korodani

🧍.kukosa hisia kabisa baada ya kufika kileleni safari ya Kwanza

🧍. kushindwa kumuandaa mpenzi wako kuhofia utawai kufika kileleni kabla ya mchezo

🧍.kutoa mbegu au manii hafifu Hadi kushindwa kumpa mkeo ujauzito

JE UMESHAPATA MADHARA NA UMESHAKUA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME .

K**A N NDIO USISITE KUTUTAFUTA NA KUPATA SULUHISHO LA CHANGAMOTO YAKO

Tuma neno AFYA MWANAUME kwenda WhatsApp namba +255753269145 au piga simu usaidiwe mapema

Photos from Jali afya yako's post 10/03/2021

UGONJWA WA GAUTI,VISABABISHI VYAKE, VIHATARISHI ,DALILI ZA UGONNJWA HUU WA GAUTI.

UGONJWA WA GAUTI ni nini ???

Ni aina ya ugonjwa unaoathiri viungo vya mwili.Unaosababishwa na kuwepo kwa kiasi kikubwa kuliko kawaida cha tindikali ya urea (URIC ACID) katika damu. Ongezeko la Uric Acid husababisha madhara katika Joints , Joint ni sehemu ya mwili inayounganisha mifupa miwili , Gauti inaweza kutokea ghafla (acute gout ) au ikawa sugu (chronic gout).
URIC ACID ,ni kemikali asilia inayopatikana katka mwili wa binadamu .Hupatikana baada ya kuvunjwa vunjwa vyakula ambavyo ndani Yake kuna kundi la kemikali aina ya PURINE.
Gauti inayotokea ghafla huwa na maumivu makali na Mara nyingi huathiri joint zaidi ya moja na huambatana na hali ya kujirudia ya maumivu na uvimbe kwenye Joint.



VISABABISHI VYA UGONJWA WA GAUTI

🥕Gauti husababishwa na kuwepo kwa kiwango kikubwa kuliko kawaida cha URIC CID katika damu.
- hali hii hutokea iwapo mwili wa Mgonjwa unatengeneza
URIC ACID katika majimaji yanayozunguka joint yanayitwa
(SYNOVIAL FLUID) na hatimaye kutengeneza vijiwe vidogo
vidogo vya tindikali ya Urea yaan( URIC ACID CRYSTALS)
ambavyo husababisha joint kuvimba na hatimaye kuathirika.

VIHATARISHI VYA UGONJWA WA GAUTI (RISK FACTORS)


🥕 Ingawa chanzo hakieleweki vema ugonjwa Wa GAUTI hutokea kuwapata baadhi ya watu waliokatika familia moja . Na wanaume huathirika kuliko wanawake ingawa wanawake waliokoma kupata hedhi huathiriwa zaidi kuliko wale wanaoendelea kupata hedhi.

🥕Aidha unuwaji pombe ,unachangia kwa kiasi kikubwa kuwepo kwa ugonjwa huu pamoja na matumizi ya baadhi ya madawa K**a vile: - Dawa za kutoa maji mwilini ambazo kwa ujumla husababisha ongezeko la kiwango cha URIC ACID Latina damu.

🥕Kuwa na ugonjwa Wa kisukari,magonjwa ya moyo,unene uliopitiliza, ugonjwa Wa sickle cell,Anemia,au aina nyingine ya upungufu Wa damu pamoja na saratan ya damu.


🥕Inaweza kusababishwa na matumizi ya Dawa ambazo utendaji Kazi wake huingiliana na utoaji Wa URIC ACID mwilini.


DALILI ZA UGONJWA WA GAUTI

🥕kawaida ugonjwa huu huusisha joint chache au moja .Joint zinazoathiriwa zaidi ni pamoja na :
-Kidole kikubwa cha mguu
-Magoti.
-Kiwiko cha mguu.
🥕
🥕wagonjwa huwa na maumivu yanayoanza kwa ghafla hususani nyakati za usiku .Mara nyingi mgonjwa hudai anasikia maumivu makali K**a vile:
- Kitu kinachokata
- Kupwita
- Anasikia mifupa inasagana

🥕Joint hubadilika na kuwa na joto ,kuvimba na kuwa mwekundu,kwa kawaida Mgonjwa atalalamika maumivu K**a ataguswa kwenye joint yenye matatizo.

🥕shambulio linaweza kudumu kwa siku kadhaa kabla Mgonjwa hajapata nafuu lakini pia laweza kujirudia Mara kea Mara. Pia Mgonjwa anaweza kujihisi homa .


MADHARA YA UGONJWA HUU

🥕Gaut inaweza kusababisha matatizo sugu kwenye joint chronic(gouty arthritis)

🥕vijiwe katika figo.

🥕Mrundikano Wa Uric Acid unaweza kusababisha ugonjwa sugu Wa figo.

VIPIMO VYA KUPIMA UGONJWA HUU
🥕utapima kiwango cha Uric Acid katika dam u .hata hivyo si kila aliye na kiwango kikubwa cha Uric Acid katika damu huwa ni GAUTI.

🥕Utapima kiwango chaUric Acid katika mkojo

🥕Uchunguzi Wa majimaji yanayozunguka joint (synovial fluid) ili kuchunguza vijiwe katika joint.

X ray ya joint iliyoathirika na watachunguza u tan do unaozunguka joint (synovial biopsy)

MATARAJIO

Wagonjwa wanaofuata mashart na ushauri Wa dactari huweza kuishi maisha yao ya kawaida , hata hivyo Mara nyingi GAUTI YA GHAFLA hatimae huwa GAUTI SUGU


Asannteen kwa kuwa nasi 🥢🥢🥢🥢kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi 0753269145 WHATSAPP au piga 0753268145

Photos from Jali afya yako's post 10/03/2021

MAUMIVU YA VIUNGO UNAJUA TATIZO
LAKE?

_Matatizo ya viungo K**a Muguu, mgongo, kiuno, mikono n.k yamekuwa yakiwasumbua wengi sana, hasa wazee, wanamichezo na wanaGym, watu wanaofanya kazi ngumu, n.k

🔸SABABU ZA MAUMIVU YA VIUNGO (ARTHRITIS)
1_UMRI

🔸Hii ni kwasababu Kadri umri unavyokwenda, mwili uashindwa kuzalisha ute ute katika maungio ya mifupa, hvyo upelekea msuguano baina ya mfupa na mfupa ambapo hupelekea mtu kupata maumivu makali hata kushindwa kukaa, kuinuka, kukimbia au hata kutembea vizuri.
_Aina hii ya Arthritis huwasumbua watu wengi zaid kuliko nyingne kutokana na cartilage (Utando unaofunika eneo ambalo mifupa hugusana na kuzuia isisuguane na kufanya kazi kiulain) inapoteza uwezo wake wa kubonyea na kuwa ngumu hvyo kuharibika haraka. (Osteoarthritis)

2_UKOSEFU WA MADINI MUHIMU KATIKA MWILI. (Rheumatoid Arthritis)
🔸Pia tatizo hili hutokea pale mfumo wa kinga ya mwili unapopungua kutokana na virutubisho hafifu, hivyo viungo huanza kushambuliwa ikiwa pamoja na synovial membrane na kusababisha Uvimbe na maumivu., pia huweza kushambulia macho, ngoz, mapafu, midomo,damu, na mishipa ya damu. hali hii isipotibiwa huweza kusababisha ulemavu

3_Maambukiz ya bacteria kwenye synovial fluid, huweza kuwa fangus au virus kutoka sehemu nyingne ya mwili kupitia mfumo wa damu na kusambaa hadi kwenye Joint na kulet Maambukiz na kusababisha Uvimbe na maumivu. Aina hii ya Arthritis huitwa Infectious Arthritis.

4_KAZI NGUMU., hii hufanya mwili kutumia chakula kingi na virutubisho vingi hvyo hushambulia hata madin muhimu yaliyokuwapo katika maungio ya mifupa., pia changamoto za maumivu na misuli kukak**aa huwapata madereva wa misafara mirefu, wakaaji wa muda mrefu, wabeba mizigo n.k
🔸Baadhi ya watoto wadogo pia wamekua ktka changamoto ya kusumbuliwa na maumivu katika maungio, kudumaa na ukuaji wa mifupa kuathiriwa.

👔IBA YAKE,
Kwa kutimia Forever Freedom, Calcium, HA au New Arctic Sea (Super Omega 3) na Heat Lotion.na forever Garlic thyme.

Virutubisho vilivyotokana na Aloe Vera, Matunda, Mafuta ya Tangawizi na Curcuma, Unga wa Soya na Galatin na Mbegu za Almonds.

Hutupatia Vitamin A, B6, B12, C, D & E, Proteins, Madini ya Calcium, Iron, Zinc, Selenium, Sodium, Potassium, Copper na Hyaluronic Acid (HA) pamoja na Citric Acid.

FAIDA ZAKE KIAFYA.

1. Husaidia kuboresha na kuimalisha afya ya Mifupa na Misuli.

2. Husaidia kuimalisha na kuirainisha maungio ya mifupa ( Joints) kwa kuongeza ute ute ili Mifupa inapokutana isisagike.

3. Husaida Mifupa kutochakaa na Misuli isijikunje hivyo hupunguza na kuzuia maumivu ya Miguu, Kiuno, Nyonga na Mgongo.

4. Husaidia kuboresha na kuimalisha afya ya Moyo na Mzunguko wa damu ili kuzuia kuathirika kwa Misuli mwilini.

5. Husaidia kudhibiti ongezeko la Uzito na maumivu ya miguu.

6. Husaidia kuupa mwili nguvu na stamina kwa muda mrefu ili kupunguza maumivu ya mwili na uchovu.

7. Husaidia ngozi kuwa na unyevu wa kutosha kwa kuzuia kukauka kwa ngozi na kuvimba kwa Miguu.

Kwa msaada zaidi na utaratibu wa kupata tiba wasiliana nasi kupitia wasap namba hii 0753269145 tuma ujumbe neno afya jamii au piga simu kwa maelezo zaidi

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
VICTORIA