Ijue afya kwanza

Ijue afya kwanza

Share

Tunawasaidia Wanaume Walio OA Kumaliza Tatizo la Kuwahi Kufika Kileleni na Kushindwa Kurudia Tendo.

04/01/2024

KWAKO MWANAUME
IMARISHA AFYA YA UZÀZI NA TENDO.
Je' Umekuwa ukishindwa kumridhisha mwenzi wako mpaka kukupelekea kuanza kuwa muoga wa kukutana na mwenzi wako kwa kuogopa kurudia makosa yale yale ya KUWAHI KUFIKA KILELENI, KUSHINDWA KURUDIA TENDO, DHAKARI KUWA LEGEVU, KUTOA KIWANGO KIDOGO SANA CHA MBEGU au MBEGU KUWA NYEPESI SANA n.k?
Hii PACKAGE INAMALIZA CHANGAMOTO ZIFUATAZO:

- KUWA NA UWEZO. KURUDIA TENDO VIZURI.

-KUONGEZA IDADI YA MBEGU

-KUSIMAMISHA UU'ME VIZURI.

- KUBORESHA MZUNGUKO WA DAMU.

-KUIMARISHA MISULI

-KUPATA HAMU YA KUFANYA TENDO

-KUTOFIKA MAPEMA KILELENI

TUNAFANYA DELIVERY TANZANIA NZIMA NA NCHI JIRANI MZIGO UTAKUFIKIA POPOTE ULIPO.
Vunja ukimya usikubali changamoto ndogo ndogo zivunje HESHIMA YAKO, wengi tumewasaidia na wako sawa SASA karibu tukushauri.

Call/SMS/WhatsApp 0743290308

20/07/2023

JE UMESHAWAI KUGUNDUA K**A AFYA YAKO INATEKEMEA MAZOEZI KWA KIASI KIKUBWA.

SASA USIKUBALI CHANGAMOTO YOYOTE IKURUDISHE NYUMA 😂😂😂😂

11/04/2023
29/03/2023

Je ni nini kinachosababisha hali hii? Wataalamu wanaeleza walau sababu tano. Habari njema ni kwamba kuna njia za kuzui tatizo hili .

1: Unene mwili wa kupindukia
Uzito wa mwili wa kupindukia huongeza athari kwa mbegu za kiume za uzazi.

Kuongezeka kwa ukubwa wa seli za mafuta, zinazomfanya mtu anenepe, husababisha majeraha mwilini -inflammatory, ambayo huathiri uzalishaji wa homoni za uzazi za kiume au testosterone, ambazo ni muhimu sana katika kutengenezwa kwa maji maji yanayotunza mbegu za kiume za uzazi.

2.Matumizi mabaya ya vilevi, na madawa ya kulevya
Pombe, sigara za kawaida, sigara za kielekroniki, bangi, Co***ne na dawa zenye anabolic steroid … Je unafahamu kuwa dawa hizi zote hutumiwa mara kwa mara? Zote huathiri viungo vya uzazi vya mwanaume.

"baadhi ya vilevi na madawa haya huharibu moja kwa moja seli za uzazi za kiume, ," anaeleza Dkt. Miranda.

Nyingine, hatahivyo, hua na madhara yasiyo ya moja kwa moja. Huathiri homoni za uzazi zinazochochea utendaji kazi wa manii(mfuko wa mbegu za uzazi za kiume)

Mfano unaotolewa zaidi miongoni mwa wataalamu ni kubadilishwa kwa testosterone kwa njia ya tembe, jeli, na sindano, ambazo hutumiwa na wanaume ili kuongeza ukubwa wa misuli.

3.Maambukizi ya magonjwa ya zinaa
Magonjwa k**a vile Klamidia na chlamydia na kisonono, ambayo husababishwa na bakteria, yanaweza kusababisha majeraha katika njia ya mbegu za kiume iliyopo nyuma ya manii- epididymis.

Njia hii huunganisha sehemu ya juu ya manii na ni sehemu inayotunza mbegu za kiume za uzazi.

Madhara yoyote kwa sehemu hiyo, husababisha hatari kwa mbegu za kiume za uzazi.

Shirika la WHO linakadiria kuwa , katika mwaka 2020 pekee, kulikuwa na visa vipya milioni 129 vya maradhi ya chlamydia na visa milioni 82 vya kisonono miongoni mwa wanaume na wanawake. Kiwango hiki kimeendelea kuimarika na kuongezeka katika miongo ya hivi karibuni.

Radaelli anaongeza kuwa ugonjwa wa tatu ;kwenye orodha ya maradhi yanayosababisha kupungua kwa mbegu za kiume za uzazi ni : Ugonjwa wa virusi vya human papillomavirus, unaofahamika zaidi k**a HPV.

"Pia unafahamika kwamba unaweza kuathiri uzalishaji wa mbegu au hata Vinasaba DNA ya mbegu ya uzazi ," anasema.

4.Kompyuta kwenye mapaja
Unakumbuka kuwa manii yanapaswa kuwa katika hali ya hewa yenye kiwango cha katika ya 1-2°C baridi kuliko sehemu nyingine yoyote ya mwili ?

Tafiti zilizochapishwa katika miongo iliyopita zimefichua kuwa kubeba kipakatarishi chako au laptop kwenye paja kunasababisha hatari ya ziada katika uzalishwaji wa mbegu za kiume za uzazi.

Hii ni kwasababu betri ya kifaa hicho hupata joto na inaweza "kupika" mbegu za kiume.

5.Kemikali za sumu za Endocrine disruptors
Wataalamu wanatahatharisha pia kuhusu msururu wa kemikali za sumu zinazofahamika kwa ujumla k**a endocrine disruptors.

Kemikali hizi ni pamoja na zile zinazochafua hali ya hewa, pamoja plasiki na kemikali za kuua wadudu.

Kwa ujumla, sumu hizi zina muundo sawa na ule wa homoni katika miili yetu.

Zaidi ya mazingira na sababu nyingine zinazosababisha kupungua kwa kiwango cha mbegu za kiume za uzazi, kuna mambo mengine yanayochangia hali hii.

La kwanza ni urithi. Inakadiriwa kuwa 10 katika 30% ya visa vya ugumu katika kupata mtoto husababishwa na matatizo katika vinasaba DNA vya kiume .

29/03/2023

Nimependa nirudie somo hili ;
Mwanaume unapokutana na mazingira kushiriki tendo unatakiwa uweze kuwa na mambo matatu ya kukupa uwezo wa kuperform vizuri

*1. Blood circulation system*

Unapopata hisia na kuhitaji tendo ni lazima mfumo wa Mzunguko wa damu uwe active, damu itiririke kwa wakati sahihi toka Moyoni kwenda kwenye tissue za uume na kuujaza uwe ngangali tayari kwa tendo

Unapokuwa na mfumo mbovu wa Mzunguko wa damu kwenye uume, au mishipa ya damu kuwa michafu, dhaifu, yenye mafuta machafu basi uume utashindwa kupokea damu na mwisho uume utakataa kusimama au kusimama kwa unyonge na kusinyaa mapema.

2. *Sexual stamina (duration)*

Hapa Mwanaume lazima work rate yako iwe na stamina sahihi ya kumudu tendo la ndoa na mwanamke uliye naye, kila mwanamke anamahitaji yake kihisia, mwingine dk 4 Amefika kileleni na mwingine dk 16-20 ndipo anafika.

Mwanaume unatakiwa kuwa na duration nzuri ya kuperfom tendo, aidha dk 7 kwa round ya kwanza, dk 10-24 kwa round ya 2, dk 20-40 kwa round ya 3.

Au dk 20+ kwa round ya kwanza, dk 35+ kwa round ya pili, hapo ni tofauti kati ya mwanaume na mwanaume kulingana na factors za afya, saikolojia, hormones nk.

Inapofika mahali hauna stamina, dk kiduchu umeshamaliza, unakosa hamu ya kurudia au unashindwa kabisa kuendelea hiyo ni shida na unapoteza sifa ya mwanaume rijali.

*3. Ej*******on (Kufika kileleni)*

Mwanaume yeyote anayekuwa rijali ni lazima amalize kwa kumwaga manii (sperms) ishara ya kufija kileleni, Mwanamke aliyekamilika anahitaji sana kufikiwa na bao kamili ukeni mwake.

Bao la mwanaume lina uzani wake, uwingi wa mbegu na modality yake.

K**a ni bao kidogo, au haumwagi kabisa, au

unamwaga mbegu majimaji na si mnato, au nyingi ila

chafu basi unapoteza sifa ya mwanaume rijali.

Hakikisha unapata bao zuri, lenye ujazo, lenye afya na harufu safi.

Je, unajua inakuwaje mpaka unapoteza sifa hizo na kuwa mwanaume mdhaifu na mwenye aibu mbele ya Mwanamke?

28/03/2023

*SABABU ZA UUME KUSINYAA/ KUWA LEGE LEGE, KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO HARAKA NA MATIBABU YAKE.*

Haya ni matatizo yanayotesa wanaume wengi kwenye suala la nguvu za kiume.
Kuwahi kufika kileleni ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake.

Wengi walio na tatizo hili utakuta uume wao unaposimama unakuwa legelege na wakati unapolala husinyaa na kurudi ndani

Tatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi na kujisikia aibu mbele za wenzi wao pale wanaposhindwa kuendelea kabisa baada ya hali hii kutokea.

Kimsingi mwanaume anatakiwa achukue dakika nne mpaka nane kabla ya kutoa mbegu za kwanza lakini watafiti wanasema tatizo hili hugundukiwa mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika moja.

Tatizo hili huweza kutokea mara tu baada ya kubalehe, {primary pre mature ej*******on} mda mrefu baada ya kubalehe{secondary PE} au kutokana na aina ya mwanamke uliompata. {situational PE}

CHANZO NI NINI?

1) Kupiga punyeto au kujichua ; mara nyingi watu wanaopiga punyeto hua wanafanya haraka kwa kujificha ili wasikutwe na mtu. tabia ile ya kulazimisha mbegu zitoke
haraka huweza kuleta tatizo hili.

2) Kukaa muda mrefu bila kushiriki tendo la ndoa; kukaa mda mrefu sana bila kushiriki tendo la ndoa husababisha mkusanyiko mkubwa wa mbegu za kiume ambazo
zinaleta msisimko mkubwa na ukichelewa sana kushiriki tendo la ndoa zitatoka kwenye ndoto nyevu. kawaida mwanaume anatakiwa ashiriki tendo angalau mara nne kwa wiki.

3) Kuwa na wasiwasi wakati wa tendo la ndoa ; mtu akiwa na historia ya kupata hali hii kabla, hua hajiamini na kua na wasiwasi kwamba litatokea tena na matokeo yake hulipata kweli.

4) Madhara ya dawa zinazofanya kazi kwenye mishipa ya fahamu; baadhi ya dawa za usingizi, mawazo na zingine zinazofanya kazi kwenye mishipa ya fahamu huleta tatizo
hili mfano amitriptyline.

5) Kurithi; baadhi ya koo au familia fulani hurithi vimelea vya kua na ugonjwa huu kwa vizazi mbalimbali vya familia husika.

6) Magonjwa ya mfumo wa uzazi wa mwanaume mfano prostatitis.

NB: Usikae kimya ndugu, na kudhalilika mbele ya mke mpenzi wako.

23/03/2023

Unajitazama katika kioo, lakini unachukizwa! Unachukizwa na mwili wako mwenyewe. Hauna la kufanya, unabaki kuhuzunika tu. Tumbo! Tumbo!

Kivipi kitambi hupelekea upungufu wa nguvu za kiume fatilia nakala hii kwa makini.

*MZUNGUKO WA DAMU*
Kitambi kinaenda bega kwa bega na upungufu wa nguvu za kiume. Kwa nini? Kwa sababu kitambi huharibu mzunguko wa adamu. Tunahitaji mzunguko wa damu wenye afya kwa ajili ya damu hiyo kuingia ndani ya uume na kujaa. K**a damu ya kutosha haingii kwenye uume nguvu za kiume pia hupotea. Uume hauwezi kusimama vizuri.

*HOMONI*
Kibaya zaidi ni kwamba kitambi hubadilisha homoni ya kiume iitwayo "testosterone" kuwa homoni ya k**e, "estrogen". Hili hutokeaje? Ni hivi. Mafuta ya kwenye kitambi huzalisha kimeg’enya kiiwatcho aromatase, na hiyo aromatase ndiyo inayobadilisha homoni ya kiume ya testosterone kuwa homoni ya k**e estrogen.

*TEZIDUME*
Mafuta yaliyo kwenye kitambi pia huaharibu utendaji wa tezidume (prostate gland) kwa sababu uzito wa mafuta hayo huleta shida kwenye tezi hiyo muhimu katika nguvu za kiume.

*MISHIPA YA NEVA*
Mafuta yaliyo kwenye kitambi hudhuru mishapa laini inayohusika na usimamaji wa uume. Uzito mdogo hata wa shilingi kutokana na mafuta yaliyo kwenye kitambi huweza kudhuru mishipa ya neva inayosimamisha uume.

*MISULI*
Pia uzito wa mafuta ya kwenye kitambi hudhuru misuli iitwayo "pelvic floor muscles". Hii ni misuli muhimu sana, iko chini ya nyonga. Inafanya kazi nyingi, baadhi ya kazi zake ni kusaidia kusimamisha uume kuwa imara kabisa, na pia kuzuia kufika kileleni haraka. Mafuta ya kwenye kitambi huidhikisha na kuidhoofisha misuli hii na hivyo kusababisha upungufu wa nguvu za kiume.Naam, tumbo lako linaonekana kutuna na kutengeneza mkunjo. Linaonekana kwamba linaweza kuchukua muda mrefu sana kuwa katika hali hiyo, inaweza kuwa miezi au miaka; au linaweza lisiishe kabisa!

*KISUKARI*
Moja ya madhara ya kitambi ni kwamba, huweza kumfanya mtu apate ugonjwa wa kisukari kwa urahisi zaidi. Kwa sababu mafuta ya kitambi kwa ujumla huzonga viungo ambavyo husaidia kurekebisha sukari ndani ya damu.

Pindi insulini inapolielekeza ini kuhifadhi sukari ya akiba kwa ajili ya nishati ya baadaye, ini lililozongwa ndani tishu za mafuta hushindwa kuitikia ipasavyo. Matokeo yake, sukari huweza kuanza kujazana ndani ya mishipa ya damu na hivyo kuleta madhara makubwa katika viungo na kukaribisha ugonjwa wa kisukari.

21/03/2023

*Vyakula vinne vinavyoua nguvu zako za kiume bila wewe kujuwa;*

*1. Vilevi*

Glasi moja ya mvinyo mwekundu kwa siku inaweza kukusaidia kuimarisha nguvu zako za kiume. Kumbuka nimesema glasi moja kwa siku.

Mwanzoni unapoanza kuwa mlevi unaweza kuhisi k**a vile nguvu zako zinaongezeka au unakuwa imara Zaidi lakini kadri unavyoendelea kuwa mlevi ndivyo utakavyopoteza nguvu zako na hamu yako ya kutaka kuhiriki tendo la ndoa.

Pombe inaweza kukuondolea aibu ya kutongoza na ukajikuta umetongoza yoyote hasa wauza bar (bar meds).

Lakini kunywa pombe kupita kiasi kunahusishwa na kushuka kwa homoni ya testosterone na kuiondoa hii homoni kwenye mzunguko wako wa damu na hata kushusha kiwango chake cha uzalishwaji katika mwili.

Pombe pia ikitumika kupita kiasi na kila siku inao uwezo mkubwa wa kulidhuru ini lako.

Ini ni ogani mhimu ili kuondoa sumu mwilini na linapochakaa hivi sababu ya pombe ni vigumu wewe kuendelea kuwa na nguvu za kiume.

Ini pia linahusika na kuziweka sawa homoni mwilini hasa homoni ya estrogen na homoni nyingine iitwayo phytoestrogens ambayo ni estrogen itokanayo na mimea imo kwenye vitu vinavyotumika kutengeneza bia.

Sigara na bangi ni vilevi vingine vinavyoweza kukuletea upungufu wa nguvu za kiume.

Moshi wa sigara na bangi huziba mishipa yako ya damu na kukusababishia mtiririko mbovu wa damu.

Moshi wa sigara na bangi ni sumu katika mwili.

Sumu yoyote lazima ikuletee kushuka kwa nguvu za kiume.

*2. Vyakula vya kwenye makopo*

Unahimizwa kuendelea kupenda kula vyakula vya asili zaidi na vilivyopikwa nyumbani.

Vyakula vya kwenye makopo yaani vyakula vya dukani au viwandani vingi vina sodium nyingi zaidi ya mwili wako unavyohitaji.

Sodium nyingi husababisha shinikizo la juu la damu na kushuka kwa mtiririko mzuri wa damu sehemu mbali mbali za viungo vya mwili wako.

Baadhi ya vyakula hivyo ni pamoja na juisi zote za viwandani, soda zote, soseji, jibini(cheese), strawberry, tomato sauce, chill sauce, mkate mweupe nk

*3.Vyakula vinavyopikwa katikati ya mafuta mengi*

Vyakula vinavyopikwa katikati ya mafuta mengi (Fried foods) ni vyakula hatari kwa afya ya moyo na afya ya kitandani kwa ujumla.

Hapa shida siyo chakula bali mbinu inayotumika kupika hicho chakula.

Mafuta haya yanayotumika kupika hivi vyakula yanapopata moto yaani yanapounguzwa ili kupika chakula hubadilika na kuwa moja ya mafuta mabaya kabisa kwa afya yako hasa kwa afya ya moyo, saratani na kolesto.

Vyakula hivi pia hupelekea mwili kuongeza uzito na unene kwa haraka sana.

Uzito ukizidi ni rahisi homoni zako kuvurugika na kushuka kwa nguvu za kiume.

Vyakula hivi huziba ateri na mishipa ya damu na kukusababishia damu kutoweza kutiririka kwa uhuru wote kwenda sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo kwenye uume wako.

Ili uendelee kuwa na nguvu za kiume utatakiwa kuacha kula vyakula k**a chipsi, maandazi na chakula kingine chochote kinachopikwa kwa staili hii ya kuwekwa katikati ya mafuta mengi.

Chipsi hasa za vibandani ni hatari zaidi kuliko hata zile za nyumbani.

Kwenye vibanda vya chipsi mafuta hayabadilishwi hata yawe na rangi gani, yakipungua wananunua mengine na kuongeza juu ya yale yaliyotumika kupika jana na juzi.

Ukichunguza vyombo wanavyopikia hizo chipsi utaona ndani na nje havina tofauti, ndani vyeusi na nje vyeusi pia!

Unaweza kula chipsi mara moja moja hasa nyumbani na mafuta yakishatumika kupikia mara moja yamwagwe yasirudiwe au kuchanganywa mapya na yaliyotumika kabla.

Ukiweza acha kabisa kula chipsi kwa ajili ya kuwa na nguvu za kiume za kutosha na kuepuka saratani ikiwemo saratani ya tezi dume.

*4.Vinywaji vyenye kaffeina*

Hivi ni vinywaji vinapotumika kwa kiasi vinaweza kuamsha nguvu na hali yako ya kutaka kushiriki tendo la ndoa lakini vinapozidi kiasi hukuletea tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Hivi ni pamoja na chai ya rangi, kahawa, soda nyeusi zote, energy drinks zote, chokoleti, kokoa nk.

Kikombe kimoja cha kahawa kwa siku hakina ubaya wowote ila ikizidi utanitafuta nikupe Msamitu.

Kaffeina ni kikojoshi (diuretic), huyalazimisha maji kutoka nje ya mwili.

Ukinywa kikombe kimoja cha kahawa tegemea kwenda chooni muda mchache tangu unywe na kutoa mkojo wa ujazo wa vikombe viwili.

Kaffeina ni dawa mojawapo ya kulevya kundi la madawa ya kulevya ya kusisimua (stimulant drugs).

Ndiyo maana ni vigumu sana mtu kuacha kahawa – ni kwa sababu ni dawa ya kulevya pia.

Hata mtu aliyezoea kunywa chai ya rangi kwa miaka mingi siku asipokunywa huona kichwa kinamuuma!

Kaffeina inaweza kukuletea hali ya kuongezeka kwa hamaki katika mwili wako na hamaki ni jambo linaloweza kudhuru nguvu zako za kiume.

Vyakula vingine vinavyoharibu nguvu za kiume ni pamoja na vyakula au bidhaa zitokanazo na soya, viazi pori (beet roots), flaxseed products, dawa za kuongeza nguvu za kiume za kizungu (vi**ra, cupid, na vidonge vingine vya namna hii), mnanaa (minti), licorice, samaki wa kufugwa, kuku wa kisasa na mayai ya kisasa, popcorn (bisi) nk

20/03/2023

Ngono bora kwa wanaume ina uhusiano wa moja kwa moja na vyakula unavyokula.

Wataalamu wa ngono wote wanakubali kuwa kile unachokula na ni kiasi gani, kinaweza kuathiri maisha yako ya ngono k**a mwanaume."Kimsingi, kile kinachofaa kwa mwili wako ni nzuri kwa ngono bora."

Jambo muhimu zaidi hapa ni mtiririko wa damu na mzunguko mzuri.

Mzunguko wenye afya kwa kula vyakula sahihi sio tu husababisha maisha bora ya ngono lakini inakabiliana na kuongezeka kwa uzito na unene kupita kiasi kwa wanaume.

Utafiti unaonyesha kuwa wanaume walio na uzito kupita kiasi, haswa katika eneo la tumbo, wanaweza kuwa na testosterone ya chini, ambayo inaweza kusababisha erections dhaifu. Mafuta katika damu yanaweza kuziba mishipa ndogo inayoongoza kwenye uume.

Kwa hivyo, kula kwa busara na kupunguza uzito wako ni mambo muhimu kwa maisha mazuri ya ngono k**a mwanaume.

Punguza chakula cha kukaanga, vyakula vilivyosindikwa, vyakula vyenye syrup ya mahindi yenye kiwango cha juu cha fructose na vinywaji vyenye sukari.

Utendaji wa kijinsia pia unahusishwa na virutubisho muhimu vya chakula. Moja muhimu ni oksidi ya nitriki ambayo husaidia kufungua mishipa ya damu, ikiruhusu msisimko na kuongezeka kwa nguvu. Kwa hivyo, vyakula vinavyohimiza uzalishaji wa oksidi ya nitriki mwilini ni lazima.

Karibu tukusaidie kutatua changamoto yako ya uzazi kwa kukupatia muongozo, elimu na ushauri.

Calls/ watsap / sms
0743290308.

19/03/2023

Tatizo hili halitokei ghafla k**a vile umelala halafu ghafla asubuhi unaamka una mafua, la hasha. Ni kitu kinachotekea pole pole na pengine mwenyewe usijigundue. Sanasana pima mwenendo wako wa masuala ya mapenzi kwa mwaka uliopita au miezi kadhaa iliyopita. Vile vile kutofanya tendo la ndoa kwa kipindi fulani haimaanishi kutokuwa na hamu ya kufanya mapenzi, pengine una hamu thabiti lakini mazingira hayakukuruhusu. Lakini iwapo hakuna kikwazo cho chote na upo na mwenzi wako halafu inapita wiki bila kufanya tendo la ndoa au unalifanya tendo hilo mara moja au mbili tu kwa mwezi, inabidi uanze kujiuliza maswali. Lakini ieleweke pia kuwa kuhesabu umefanya tendo la ndoa mara ngapi katika kipindi fulani si kipimo pekee cha tatizo hili. Mawazo yako kwa ujumla kuhusu tendo hili ni muhimu pia – jinsi unavyolichukulia na kuliwazia tendo hili kabla, wakati wa tendo na baada ya kumaliza tendo ni muhimu katika kujipima.

Viashiria vingine vyaweza kuwa: kumtomasa mkeo mkiwa ndani tu – chumbani na si penginepo. Iwapo tendo hili unalifanya pale tu mwezi wako anapokuanza na huwa unalifanya k**a mazoea bila kuwa na mawazo ya kushiriki kikamilifu. K**a humwazii mpenzi wako anapokuwa hayupo kwamba angekuwapo ungeweza kufanya naye tendo la ndoa. Vitu hivi k**a vinakutokea basi kuna dalili za kuwa unakosa hamu ya kufanya tendo la ndoa na kwamba inabidi utafute suluhisho.
Calls,watsap 0743290308

10/03/2023

JALI AFYA YAKO YA MZUNGUKO WA DAMU.
Ina 5 grams za L-Arginine kwa kila kijiko kimoja, na vitamini mbalimbali zinazosaidia kuongeza stamina na nguvu. L-Arginine ni amnino acid muhimu sana kwa afya kiujumla. Mili yetu inaibadilisha kuwa nitric oxide, ambayo inasaidia mishipa ya damu kutanuka na kuruhusu damu kupita. ARGI+ pia ina viondosha sumu k**a Pomegranate.

1. Ni kirutubisho muhimu sana kutumiwa kila siku kwa ajiili ya kusaidia mifumo yote ya mwili ili kuupa mwili uwezo wa kufanya kazi vizui zaidi.

2. Inasaidia mfumo wa kinga ya mwili, kutokana na nitric oxide ambayo inatumiwa na chembechembe nyeupe za damu kuua bacteria. Hivyo kuupa mwili uwezo zaidi wa kupigana na magonjwa.

3. Inasaidia kurekebisha kiwango cha "blood pressure kiwe sahihi na afya ya mzunguko wa damu ya moyo kiujumla.

4. Inasaidia kutengenezwa kwa mifupa na mwili kiujumla hivyo ni nzuri sana kwa tatizo la waliovunjika mifupa au wenye mifupa dhaifu.

5. Nitric oxide inayotengenezwa inaongeza mzunguko wa damu ndani ya mwili na hivyo inasaidia kuongeza NGUVU ZA KIUME.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Makumbusho
Dar Es Salaam
0000