Afya Bora
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya Bora, Health/Beauty, Mwenge, Dar es Salaam.
25/04/2023
Tupigie/WhatsApp 0715225517 au bonyeza link kwenye bio
27/02/2023
Tupigie/WhatsApp 0715225517
22/01/2023
My business partners🌹
-Kuwahi kufika kileleni
-Kushindwa kurudia tendo
-Uume kusimama legelege
Tupigie/WhatsApp 0715225517
27/12/2022
ATHARI ZA MAAMBUKIZI KATIKA VIUNGO VYA UZAZI(PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)
Maambukizi kitaalamu huitwa ‘Pelvic Inflammatory Diseases’. Maambukizi haya huwa sugu na huchukua muda mrefu mwanamke kupona endapo atakuwa na tatizo hili.Maambukizi hushambulia kizazi na mirija ya mayai na viungo jirani k**a vile kibofu cha mkojo na tumbo.
CHANZO CHA MAAMBUKIZI
Maambukizi haya huwapata wanawake walio katika umri wa miaka 15 hadi 25 ambao tunasema wapo katika umri wa kuzaa.
Vimelea vya ugonjwa huu husambazwa kwa njia ya ngono, pia tatizo hutokea ndani kwa ndani endapo kutakuwa na maambukizi katika kidole tumbo.Vimelea vinavyosababisha maambukizi haya au ugonjwa wa ‘PID’ ni ‘Chlamydia’ au hutamkwa Klamidia ambapo hukabili takriban asilimia hamsini ya matatizo haya.
Vyanzo vingine ni vijidudu vya kisonono au gono.
Pia kuna uwezekano mkubwa mwanamke akapata maambukizi ya vimelea vyote vya aina mbili.
DALILI ZA UGONJWA
Mgonjwa hulalamika maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hushambulia pande zote chini ya kitovu kulia na kushoto, mara chache maumivu huwa upande wa juu wa tumbo yaani juu ya kitovu. Siku za hedhi huvurugika, hutokwa na uchafu ukeni na uchafu huu huwa na harufu mbaya na muwasho, hupata maumivu wakati wa kukojoa, maumivu huwa kwa ndani zaidi na wakati mwingine hufunga kupata haja kubwa.
Mgonjwa hulalamika kupata homa za mara kwa mara na mwili daima unakuwa mchovu.
Athari za ugonjwa
Mwanamke mwenye tatizo hili pamoja na kuumwa tumbo chini ya kitovu mara kwa mara, athari kubwa anazopata ni kuziba kwa mirija ya uzazi na hivyo kushindwa kupata ujauzito ndani ya mwaka mmoja.
Siku za hedhi huvurugika na maumivu makali wakati wa hedhi na kushindwa kujua siku za kupata ujauzito.
Athari nyingine ni uwezekano wa kupata mimba kwenye mrija ’Ectopic Pregnancy’ kutokana na mrija kuziba nusu.
UCHUNGUZI
Uchunguzi hufanyika katika hospitali ya mkoa katika kliniki za magonjwa ya akina mama. Vipimo mbalimbali vitafanyika, mfano kipimo cha kuangalia ukeni na kuchukua majimaji ya ukeni na kupimwa maabara, vipimo vingine ni Ultrasound na vingine ambavyo daktari ataona vinafaa.
USHAURI
Ni vema umuone daktari wa kinamama kwa uchunguzi wa kina. Vipimo vya mkojo pia vitafanyika na vingine ambavyo vimeelezwa ili kupata ufumbuzi wa kudumu.
Ni vema kujikinga na kuepuka ngono zembe, epuka kuwa na wapenzi wengi, jiweke katika hali ya usafi wa hali ya juu katika mazingira ya ukeni na haja kubwa. Wahi hospitali kwa uchunguzi na tiba.
Kwa tiba na suluhisho la kudumu,
Tupigie/WhatsApp 0715225517
23/12/2022
TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI (FALLOPIAN TUBES)
Mirija ya uzazi kitaalamu inajulikana k**a Fallopian tubes. Hii ni mirija midogo iliyopo kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke ambayo husaidia kupitisha yai lililopevuka hadi kufika kwenye mji wa mimba.
Mirija hii inapoziba inazuia yai kusafiri baada ya kuachiliwa na mfuko wa mayai pia inazuia mbegu za kiume kulifikia yai.Tatizo hili ni moja kati ya sababu za ugumba kwa wanawake. ambapo Asilimia 40 ya wanawake wenye matatizo ya ugumba inasababishwa na tatizo la mirija kuziba.
Mara nyingi wanawake wenye tatizo hili hua hawaoneshi dalili zozote zile.
KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI KUNASABABISHA VIPI UGUMBA?
Kila mwezi yai la mwanamke linapopevuka huachiliwa kutoka kwenye mfuko wa mayai na kusafiri kupitia mirija ya uzazi kuelekea kwenye mji wa mimba. Mbegu za kiume pia husafiri kutokea kwenye shingo ya kizazi na kulifata yai kwenye mirija ya uzazi ili kulirutubisha. tuelewe kwamba urutubishwaji wa yai unafanyika kwenye mirija ya uzazi wakati yai linasafiri kuelekea kwenye mji wa mimba.
Mirija inapokuwa imeziba inzauia yai kusafiri kufika kwenye mji wa mimba na inazuia mbegu za kiume kulifikia yai hivyo kusababisha ugumba.
Mbali na hayo mirija hii inaweza isizibe yote kabisa na kuacha upenyo unaoruhusu mbegu za kiume kupita na kulifikia yai na kupelekea mimba kutunga nje ya kizazi.
DALILI ZA MIRIJA YA UZAZI KUZIBA
Sio watu wote wenye tatizo hili huonesha dalili.Asilimia kubwa ya wanawake wenye tatizo hili hawaoneshi dalili zozote.
Aina ya tatizo hili inayojulikana kitaalamu k**a HYDROSALPINX ndo huwa na dalili za maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kutokwa na maji maji mengi ukeni.
Hydrosalpinx ni aina ya tatizo la mirija kuziba ambapo mirija inaziba na kujaa maji.
pia mwanamke huweza kupata dalili k**a maumivu makali wakati wa tendo la ndoa na maumivu makali wakati wa hedhi
VISABABISHI VYA TATIZO LA MIRIJA KUZIBA
Kisababishi kikubwa cha mirija kuziba ni tatizo la maambukizi kwenye viungo vya uzazi (PID)
Na mara nyingi PID husababishwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa japo sio kila mwenye PID imetokana na magonjwa ya zinaa.
Sababu nyingine ni k**a
Magonjwa ya zinaa mfano Kisonono na Chylamidia
Maambukizi kwenye kizazi baada ya mimba kuharibika (abortions)
Historia ya tatizo la kidole tumbo (Appendicitis)
Historia ya Mimba kutunga nje ya kizazi
upasuaji ambao unahusisha mirija ya uzazi
VIPIMO GANI VYA KUONESHA TATIZO HILI?
Tatizo hili upimwa kwa kipimo maalumu cha X ray ambacho kinajulikana kitaalamu k**a Hysterosalpingogram (HSG) ambapo unawekewa kimiminika fulani ambacho ni salama kwenye kizazi na kupigwa X ray. Kimiminika hicho kikiingia kwenye kizazi kinaenda hadi kwenye mirija kikishndwa kupita kwenye mirija basi inaonesha mirija imeziba.Aina nyingine ya kipimo hiki ni kwa kuwekewa kifaa chenye camera ambacho kinapitishwa ukeni hadi kwenye mirija. Vipimo vingine ni vile vya kupima ute (High vaginal swab) kuangalia k**a kuna maambukizi.
MATIBABU
K**a mirija imeziba kwa makovu madogo madogo basi huzibuliwa kwa vifaa maalumu au upasuaji wa kutoa makovu hayo.
Endapo mirija imeziba kwa kujaa maji kwa sababu ya maambukizi (hydrosalpinx) basi unahitaji matibabu ya maambukizi hayo kwanza.
UWEZEKANO WA KUPATA UJAUZITO
Mirija ikishazibuliwa unaweza kushika mimba kawaida. k**a una matatizo ya kupevusha mayai daktari anaweza kukuongezea dawa za kusaidia kupevusha mayai.
Endapo mirija imeziba hata unapotumia dawa za kupevusha mayai haziwezi kukusaidia.
Tupigie/WhatsApp 0715225517
12/12/2022
TATIZO LA UKE KUWA MKAVU | CHANZO NA MATIBABU
Kwa kawaida kwa kila mwanamke,uke wake unapaswa kuwa na hali ya unyevunyevu kutokana na ute mwepesi unaozalishwa ili kusaidia kuuweka uke katika hali hii.
Hormone inayojulikana k**a estrogen ndo inayofanya kazi ya kufanya ute ute huu kuzalishwa ili kufanya uke kuwa na unyevunyevu na kuta za uke kuwa zinavutika(elastic).Pia ute huu husaidia kuweka sawa mazingira rafiki kwa mbegu za kiume,ili zinapokuwa zimeingia zisiweze kufa hadi zinapolifikia yai.
Kushuka kwa kiwango cha hormone ya estrogeni ni chanzo kikubwa cha kupungua kwa ute huu na kufanya uke kuwa mkavu.Kiwango cha hormone kinaweza kushuka kutokana na sababu mbali mbali k**a tutavyoona katika makala hii.
Inaweza kuonekana ni jambo dogo,lakini kutokua na unyevunyevu wa kutosha inaweza kuathiri maisha ya muhusika haswa katika swala la kujamiiana.Ikiwemo kusababisha tatizo la maumivu wakati wa tendo la ndoa, na kupata tatizo la fangasi za ukeni mara kwa mara
CHANZO CHA TATIZO
Tatizo la uke kuwa mkavu linawakumba sana watu waliofikia ukomo wa hedhi (Menopause) Kutokana na sababu kwamba mwanamke anapofikia kipindi hiki mwili unapunguza au kuacha kutengeneza hormone hii ya estrogen. Hali hii hupelekea kuta za uke kuwa nyembamba na hazivutiki tena hali ambayo kitaalamu inajulikana k**a Vaginal Atrophy.
Kiwango cha estrogen kinaweza pia kushuka kutokana na vitu vifatavyo:
1.Kuzaa na kunyonyesha. Kipindi hiki mwili unazalisha hormone ya maziwa (prolactin hormone) ambayo pia inazuia kuzalishwa kwa hormone ya estrogen.
2.Matibabu ya saratani. (Tiba ya mionzi na dawa za saratani)
3.Kutolewa mifuko ya mayai( ovaries)
4.Dawa zinazozuia uzalishwaji wa hormone ya estrogen kwa watu wenye tatizo la Uvimbe kwenye kizazi, (fibroids na endometriosis)
SABABU NYINGINE ZA UKE KUWA MKAVU NI:
SJOGREN SYNDROME ,Huu ni ugonjwa ambao kinga ya mwili inaharibu cell zinazotengeneza huu unyevunyevu
Dawa kutibu mzio( allergy) na mafua
Kusafisha uke hadi kwa ndani (douching)
Kusafisha uke kwa kutumia sabuni zenye kemikali
Kutoandaana kabla ya kufanya ngono.
UCHUNGUZI
Unapopata muwasho,au maumivu wakati wa tendo la ndoa na kuona uke wako ni mkavu vyema ukachukua tahadhari mapema.
MATIBABU
Wasiliana nasi
Piga/WhatsApp 0715225517
31/07/2021
HORMONE IMBALANCE NI NINI? TEGA SIKIO LAKO
Ni kutokuwepo na usawa katika homoni za uzazi( progesterone na Estrogen Hormone) ambazo huratibu mfumo wa uzazi k**a kubeba mimba, kupevusha mayai, kupata hedhi kila mwezi, siku za hedhi kuwa na mpangilio maalum, kupata ute wa uzazi, kupata hamu ya tendo la n.k, mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%
SABABU ZA MVURUGIKO WA HOMONI
1. Utoaji wa mimba
2. Uwepo wa sumu mwilini
3. Kutokula mlo uliokamilika au mfumo mbovu wa maisha
4. Family history (Upungufu au ongezeko ya homoni ya progestrone na Estrogen).
5. Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
6. Uzito mkubwa
7. Msongo wa mawazo
8. Kutofanya mazoezi
9. Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango
10. Kukomaa kwa hedhi
DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI
1.Maumivu wakati wa tendo la ndoa
2. Kutoshika mimba
3. Mzunguko wa hedhi kubadilika
4. Kuongezeka uzito
5. Kupungua hamu ya tendo la ndoa
6. Kupoteza kumbukumbu
7. Hasira za marakwa mara
8. Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi au kutoa damu yenye mabonge
9. Uke kuwa mkavu
10.Kutoka jasho jingi usiku
11.Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
12.Mzio wa vyakula(Allergies) kuchagua chagua vyakula
MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONI
1. Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
2. Mimba kuharibika mara kwa mara
3. Kukosa mtoto au ugumba
4. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
5. Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
6. UTI(Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara
7. Kuzeeka mapema
8. Kuziba kwa mirija ya uzazi
9. Saratani
10.Uvimbe kwenye uzazi wa mwanamke( fibroids and cysts)
SULUHISHO
Tumia bidhaa zetu za asili ni suluhisho pekee kwa tatizo hili, husaidia kuweka sawa homoni za mwanamke, kuboresha mfumo mzima wa uzazi, kuondoa sumu mwilini na kupunguza kasi ya uzee, sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na kupatwa changamoto mbalimbali za kiafya
Kwa tiba tafadhali wasiliana nasi 0715225517 / 0757225517
09/06/2021
Huyu hapa mkombozi wa wanawake😍😍😍
ZIJUE FAIDA 9 ZA FEMICARE
1⃣huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo
2⃣inatibu Fangasi sugu ukeni, na U.T.I sugu
3⃣Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D atumie na yunzi
4⃣huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika
5⃣Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.
6⃣Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika ikitumiwa na bidhaa ya Yhunzi.
7⃣Inakaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight.
8⃣Inaondoa maumivu ya tumbo chini ya kitovu. (chango)
9⃣ inaondoa michubuko ukeni. Ni muhim kwa mwanamke kuwa nayo hii kwa ajili ya ulinzi wake kulingana na faida zake.
Follow
kwa matatizo mbalimbali ya kiafya
Tupigie/WhatsApp
0715225517 / 0757225517
04/06/2021
*TATIZO LA UKE MKAVU*
uke mkavu ni tatizo ambalo husababishwa na upungufu/kiwango kidogo/ uwiano mbaya wa homoni za uzazi yaani estrogen hormones ambazo huleta ute na vilainishi vya uke
Kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na ute wa wastani ambao hufanya uke kubana, kuleta joto na raha katika tendo
*VISABABISHI VYA UKE MKAVU*
👉 Upungufu/kiwango kidogo/uwiano mbaya wa homoni za uzazi
👉Magonjwa ya zinaa k**a kaswende, gonorrhea n.k
👉 U.T.I sugu
👉 fangasi sugu ukeni
👉 uke mchafu
👉 matumizi ya sabuni za antibiotics kusafisha uke
*DALILI ZA UKE MKAVU*
👉 maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
👉 kukosa/kupungua hamu ya tendo la ndoa
👉 maumivu chini ya kitovu wakati wa tendo
👉 maumivu ya kiuno, mgongo na tumbo
👉 kutokufurahia tendo la ndoa
*MADHARA YA UKE MKAVU*
👉 kutoshika mimba
👉 hormonal imbalance
👉 ni rahisi kushambuliwa na maambukizi katika mfumo wa uzazi k**a P.I.D n.k
Kupata tiba na ushauri..
Tupigie/WhatsApp 0715225517 / 0757225517
Like na kushare page yetu
anawake wengi wanateseka kupata ute k**a huu, wengi wanashindwa kutofautisha huu ute unapaswa kuuona siku za hatari, ndio ute wa uzazi. Hapa ukishiriki tendo uwezekano wa kupata ujauzito ni asilimia 99.99%. Sasa k**a una PID au hormonal imbalance yaan period yako haiko sawa huu ute ute sahau kuuona hadi utibiwe...
Kupata tiba hii
Tupigie/WhatsApp 0715225517 / 0788067817
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Culinary Team
Attire
Contact the business
Telephone
Address
Mwenge
Dar Es Salaam