AFYA _YAKO 24/7
Karibu kwenye ukurasa wetu. Nawasaidia wanawake wenye Matatizo ya UTI, FANGASI, PID sugu kurejesha afya zao kupitia chakula bora.
kila siku saa 8:00 usiku buree kupitia Whatsapp +255 745 222 123
11/03/2020
Hivi vyakula ni vizuri mnoo kwenye macho Je unafahamu kuwa vingiia mwilini vina faida gani??
Endelea kufatilia page yetu ya _yako 24/7
11/03/2020
Tumia matunda na mlo kamili ili kulinda afya yako na kujenga afya yako!
13/01/2020
Kwanini ni muhimu kunywa maji?
Miili yetu inaundwa na asilimia 70 ya maji, hivyo ni muhimu kunywa maji ya kutosha ili kuufanya mwili kufanya kazi vyema. Iwapo mwili wako haupati maji ya kutosha, hali hii inaweza kusababisha madhara mbalimbali ya muda mfupi na muda mrefu k**a vile magonjwa ya shinikizo la damu, saratani pamoja na magonjwa ya Figo....
Follow us kwa dondoo za afya yako kila siku!
π§π§π§π§π§
07/01/2020
JE UNAFAHAMU MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI YANAWEZA KUPELEKEA USIPATE UJAUZITO KABISA..
PID kwa kiswahili ni maambukizi katika via vya uzazi maambukizi haya hutokea haswa katika uke na husababishwa na bacteria.
Bacteria hawa huambukizwa na kusambazwa kwa njia ya kujamiiana na mtu alieathrika na tatizo hili, na wanauwezo mkubwa wa kushambulia mirija ya uzazi na mayai (o***y)
Endelea kufata page yetu ili kujifunza zaidi kuhusu PID!
05/01/2020
Je! Umeteseka kwa muda mrefu na UTI bila mafanikio??
Leo nazungumza na wewe mwanamke mwenye changamoto ya UTI......!
UTI NI NINI HASA??
πΈU.T.IπΈ
(Urenary track infection)
ππΌnikianza kuzungumzia ugonjwa huu...... unaosababishwa na bacteria (vimelea) kitaalamu vinaitwa e.coli vimelea hivi huishi kwenye mfumo wa chakula na havina madhara yeyote.
ππ½ila vikihama na kuingia katika njia ya mkojo huleta maambukizi ya ugonjwa wa URENARY TRACK INFECTION unaofahamika k**a U.T.I...
HIVYO BASI........ ππππ
Endelea kulike na kucomment kwenye page yetu kwa updateds mbali mbali kuhusu uti.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
123456