FAIZA MOHD
KARIBU TUKUPATIE VIRUTUBISHO BORA KWA CHANGAMOTO ZA KIAFYA NA BIDHAA ZA USAFI ZISIZO NA KEMIKALI
POPOTE TUNAKUFIKIA TUPIGIE 0717506019
04/12/2022
CALMAG
Kirutubisho hiki ni kizuri sana kwa changamoto ya mifupa ...lakini kina kazi hizi .....
√Inasaidia kuondoa stress na kupata usingizi vizuri
√Inaondoa mafuta mabaya yaliyo zunguka katika mishipa
√Inafanya mishipa ya fahamu ifanye kazi vizuri
√Inakinga kusagika kwa mifupa ..Ina calcium 500
√Inaondoa heavy bleeding ...kwa wale wanawake wenye shida ya kupata damu nyingi.... Na maalum kwa wale waliotoka kujifungua
√Inasaidia Mama mjazito kuepuka operations wakati wa kujifungua
√Inakaza maumbile ya k**e (Uke)baada ya kujifungua
04/12/2022
[23/02, 08:47] SD Mungilwa: UGONJWA WA BAWASIRI .
BAWASIRI NI,
Ugonjwa wa kuota nyama au kinyama sehemu ya haja kubwa na kutopata choo kikubwa....
TATIZO LA KUTOPATA CHOO LAWEZA SABABISHA:-
~Kansa ya utumbo..
~Bawasili(nyama sehemu ya ajakubwa?
~Kifo
~Tumbo kujaa gesi
~Vidonda vya tumbo..
~Kupoteza nguvza kiume au ugumba kwa wanawake..
Kati ya changamoto ya kiafya inayo wakumba watu wengi ,ni kutopata choo na kupata choo kigumu k**a cha mbuzi,na usidhani ni kawaida kutopata choo kwa muda wa siku 3 hadi week,kumbe ni tatizo kubwa linaloweza kusababisha magonjwa k**a Kansa ya utumbo,kuota kinyama sehemu ya haja kubwa(Hemorrhoids),vifonda vya tumbo(ulcers) na kutoa harufu mbaya na kali unapopumua(kujamba)
WATU wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba.
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.
~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles.
~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50
• AINA ZA BAWASIRI
~Kuna Aina mbili za bawasiri
(A) BAWASIRI YA NDANI
~Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
(B)BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS
• CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
° KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE.
°KUHARISHA KWA MUDA MREFU
°TATIZO LA KUTOPATA CHOO.
°MATATIZO YA UMRI.
°KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
°UZITO KUPITA KIASI.
°MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU.
°VYAKULA VYENYE MAFUTA KWA WINGI.
°VINYWAJI VIKARI K**A POMBE,KAHAWA.
°KUTOKULA VYAKULA VYA NYUZI NYUZI.
° KUTOKUNYWA MAJI YA KUTOSHA.
°VYAKULA VYA NGANO,WANGA NA VILIVYOKOBOLEWA.
°KUTOFANYA SHUGHULI YOYOTE BAADA YA KULA.
°VAKULA VYENYE MAFUTA KWA WINGI.
• DALILI ZA KUTOPATA CHOO NA BAWASIRI.
√ Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa.
√ kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia.
√ kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa.
√kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo.
√kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana.
√ Kuhisi moto wakati wa kujisaidia.
√ Kutopata choo kwa siku 2 na kuendelea.
√ Tumbo kujaa gesi na kujisaidia hewa.
√ Kuhisi maumivu ukikaa.
√ Kusinzia baada tu ya kula
√ Tumbo kuunguruma.
√ Kujamba kila wakati.
√ Kukosa hamu ya kula
•MADHARA YA TATIZO LA KUTOPATA CHOO NA BAWASIRI.
-kupata upungufu wa damu (anemia)
-Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo.
-hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake.
-kuathirika kisaikolojia
- kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali.
- Kupasuka kwa utumbo na kusababisha kifo.
- Kitambi na uzito uliopindukia.
- Kansa ya Utumbo.
- Kukosa uwezo wa kubeba mimba.
MATIBABU
Kwa kawaida katika hospitali zetu ,Bawasili hutibiwa kwa kukata vinyama vinavyo ota katika haja kubwa, hali ii husababishwa tatizo kuendelea kwa sababu, ni sawa na mti kukatwa matawi na kuacha mizizi...
TIBA HALISI...Ni kutumia Tibalishe zetu zenye mchanganyiko asilia wa matunda,mbogamboga,matunda,vitamomin,uyoga,madini na vitu vingine vingi...
Soluhisho kwa bidhaa za Neolife
Tren en en
Chelated zinc
Vitamin E anapasua na kupakaa na kumeza pia
Aloevera Gel anapakaa
Na care pia anaoshea kwenye tatizo
20/11/2022
AJIRA BILA KUTOA JASHO AMBAYO HAIPOTEZI MDA WAKO UNAFANYA ATA UKIWA NYUMBANI KM UKO TAYAR
KWA MAELEZO ZAID 0717506019
Kazi...kazi...kazini
K**a uko tayari kujifunza karibu
Tutakufundisha jinsi ya kutafuta pesa
Ukaziishi ndoto zako
Utapendeza wakati wotE
Tuma NISAPOT 0717506019
04/11/2022
KWA CHANGAMOTO ZA KIAFYA NA BIDHAA ZA USAFI CALL 0717506019
02/11/2022
*Aloe Vera Plus*
Hi ni bidhaa Bora haijawahi kutokea duniani (the best & superior product) Ni ya kipekee Sana imetokana na jeli asili za mche wa mwarovera
Hi juice ni kiboko tamu *(based in nature but packed by science)*
*SIFA ZA ALOE VERA PLUS*
🌷Huondoa msongo wa mawazo (strees)
🌷Husaidia kuleta usingizi wenye tatizo la (insonomia)
🌷Huondoa kiungulia
🌷Husaidia kwa wenye tatizo la tumbo kujaa gesi
🌷Husaidia Kuondoa kichefu chefu
🌷Husaidia kutoa sumu mwilini (detox)
🌷Husaidia kuondoa tatizo la tumbo kuwaka moto 🔥
🌷Husaidia kuponya vidonda vya tumbo
🌷Husaidia wenye tatizo la chembe ya moyo
🌷Husaidia hatua 6 za mmeny'enyo wa chakula
🌷Husaidia Mzunguko wa damu kuwa vizuri (blood circulation)
🍾🍾🍾🍾🍾🍾🍾🍾🍾
02/11/2022
*OMEGA 3 SALMON OIL PLUS*
Zipo faida nyingi sana K**a utaamua kutumia Omega 3 salmon oil plus, imetengenezwa kwa aina 4 za mafuta ya samaki aina ya salmon na jamii 8 za Omega
FAIZA ZA KUTUMIA OMEGA 3 SALMON OIL PLUS
🌱 Husaidia kuboresha Afya ya moyo
🌱 Husaidia kuboresha Afya ya Ubongo wa mtu mzima na kurejesha Kumbukumbu (Brain function)
🌱 Husaidia Afya ya viungo kwa kurejesha Ute Ute ulopotea kwenye joint
🌱 Husaidia kuzuia na Kupunguza uvimbe kwa 68% (decrease inflammation)
🌱 Husaidia Afya ya macho kwa wenye presha ya macho (Clear vision)
🌱 Husaidia kuzuia kisukari hasa( type one diabetes)
🌱Huondoa mood swing na kumrudisha kati Hali ya kawaida mtu ambae amechanganyikiwa (kichaa)
🌱Omega 3 salmon inatibu mtu mwenye tatizo la kipandauso (Migraine Headache)
🌱 Husaidia kupambana na changamoto za upumuaji wenye Tatizo la pumu
🌱 Husaidia kuzuia mtoto kutopata Tatizo la utindio wa ubongo
🌱Omega 3 salmon Husaidia kuzuia Maradhi ya moyo, kisukari na unene wa kupindukia
🌱 Husaidia mzunguko wa Damu (blood circulation)
🌱 Husaidia kuyeyusha cholesterol zote kwenye mishipa ya Damu
🌱K**a mama Mjamzito atatumia Omega 3 salmon oil Husaidia kuzuia Magonjwa ya kurithi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto
*ZIPO FAIDA NYINGI ZA OMEGA 3 SALMON OIL PLUS HIZI KWANZA ZITOSHA WEKA ODA YAKO*
02/11/2022
Imetengenezwa kwa natural extracts which are rich in calcium,magnesium,amino acid,vitamin D and D3.Bidhaa hii ni kwa ajili ya afya ya mifupa, mishipa, misuli na meno. Unapotumia Cal mag inaenda kufanya yafuatayo kwenye mwili wako; 1. Inaondoa maumivu ya mifupa 2. Inasaidia watu wenye stress kurelax na kupata usingizi 3. Inachoma mafuta mabaya yaliyo katikati ya mishipa . 4. Inafanya mifupa ya fahamu ifanye kazi vizuri 5. Inaondoa na kukukinga na ugonjwa wa mifupa kulika au kusagika 6. Inasaidia kuondoa heavy bleeding 7. Inasaidia mwanamke mjamzito kutopata jifungua kwa operation
24/10/2022
Hii ndo Botanical balanceBOTANICAL
√Inabalance kiwango cha sukari mwilini
√Inaamsha Kongosho
√Inaondoa mafuta yanayozunguka Kongosho
√Inasaidia Kongosho kumwaga insulin kwa wakati
√Inaupa mwili nguvu na kuondoa Tabia zote za uchovu
√Inaondoa maumivu ya mwili...kiboko kabisa ya watu wenye matatizo ya sukari
24/10/2022
TRE EN EN : VIDONGE 120: / VIDONGE 60:
KAZI
1. Inasaidia Utando wa seli kufanya kazi vizuri maana inafungua seli ziweze kufanya kazi yake kikamilifu.
2. Huongeza Nguvu mwilini.
3. Hupunguza Uchovu sugu wa mwili
4. Huongeza kinga ya mwili
5. Husaidia mwili kufyonza virutubisho vitokanavyo na chakula.
6. Inaongeza hamu ya kula
7. Husaidia kuondoa constipation.(Changamoto ya kupata)
8. Hulainisha ngozi.
9.Huondoa sumu mwilini
10.Ku balance homoni
Kwa mawasiliano 0717506019
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Machava Njamaroad
Dar Es Salaam